Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

π€πˆππ” πŸ™ˆ 1- 5
Gonga94 Β· Stories

π€πˆππ” πŸ™ˆ 1- 5

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SEHEMU YA 01

Maisha muda mwingine ukisema uyaelezee kwa ukubwa unajikuta hata hujui wapi unaanzia na wapi unamalizia.

Kwasababu wengine maisha yametupitisha sehemu ambazo hata unajiuliza hapa nimepita vipi. Unajiuliza imekuaje nimevuka hapa. Na hivyo hivyo ndivyo mimi Ndeana ninashindwa kufunguka na kuelezea zaidi. Ila kwakuwa ninatamani wanawake wajifinze kutoka kwangu. Nitasema ingawa sijui nitasema mangapi maana ni Mengi sana, naahidi nitapita hatua kwa hatua. Kituo kwa kituo mpaka pale nitakapoona kuna watu wananielewa mimi kwa uzuri kabisa.

Ndotp ya kila mtu ina gharamiwa, unaweza kugharamia ndoto yako kwa muda, pesa na utu wako uamuzi ni wako. Kwa maana ndoto si ile unayoota ukilala, bali ni ile inayokunyima usingizi, ndoto ni ile inakufanya unyong’onyee na kukukosesha raha mpaka itimie. Hivyo ndiyo ilivyo kuwa. Mimi Ndeana nilikuwa ninayo ndoto katika maisha yangu. Ndoto yangu ilikuwa ni kufanikiwa sana katika kazi yangu ambayo nimesomea.

Mimi nimesomea mambo haya ya kuhudumu mahotelini. Nishafanya kazi sehemu nyingi nyingi sana. Matatizo ni mengi mno kama kuoneana wivu, mshahara mdogo, kunyanyasana na mambo mengine mengi mengineyo hali inayopelekea kufukuzana kazi au wewe mwenyewe kuacha kazi.

Jina langi mimi ninaitwa Ndeana. Jina sio rahisi kusikika mara nyingi. Najua, ila nalipenda sana jina langu. Ni jina pekee ambalo huwa nahisi linanifaa peke yangu dunia nzima. Ndiyo kwasababu huwa silisikii sana watu wakiitwa jina hili.

Ninaye dada yangu, pia ninaye baba yangu ambaye huyu ndiye baba na huyu ndiye mama kwetu kwa maana baba yetu alifariki mimi nikiwa bado mdogo. Hivyo kwa nguvu na upendo wa Mungu dada yangu na baba wamepambana kuhakikisha napata kilicho bora katika maisha yangu.

Siku moja, naikumbuka vizuri sana siku hii. Nilikuwa nimetoka kazini kwangu nikiwa na maumivu sana. Kwasababu mimi ni moja kati ya watu ambao corona ilituathiri. Nilisimamishwa kazi wakati huo kwa maana hotel haikuwa inajiweza sana hata kulipa wafanyakazi wote katika kipindi kigumu kama kile.

SEHEMU YA 02

Nilipofika nyumbani kwetu, nilipitiliza ndani. Na dada yangu naye alikuwa nyumbani siku hii ni wazi alitoka kwenye mahangaiko yake. Dada yangu ananijua, namna nilivyokuwa ni wazi kuna kitu hakikuwa sawa hivyo alinifuata chumbani kwangu.

Nilikuwa nimekaa chini nimejiegemeza ukutani nalia sana. Dada yangu aliniita kwa upole sana β€œNdeana mdogo wangu.”
Nilimtazama na machozi yakanitoka nami nikaita β€œdada!!”
Akaniuliza kwa upendo β€œmdogo wangu kuna nini tena unanitisha dada yako?”

Baada ya kuniuliza vile tu mimi nilianza kulia kwa uchungu nikisema β€œsijamaliza hata miezi 6, tayari nimesimamishwa kazi. Kwanini mimi na sio wengine. Ina maana mimi sikidhi mahitaji yao. Dada unajua nilivyohangaika kupata ile kazi. Unajua kabisa. Sasa nitafanyaje mimi.”

Dada alitazama na mimi akaniambia hivi β€œsikia mdogo wangu, hizo ni njia za Mungu. Kwenye maisha yako vitu vinapoondoka tena vingine kwa maumivu makali sana. Na vingine ni kama vile unapasuliwa chupa masikioni mwako ili mradi ukose utilivu.

Usijali kabisa. Unaweza poteza vitu, watu wa karibu na mambo muhimu sana. Unajua kwanini mdogo wangu, Mungu hawezi kushuka kutoka Mbinguni aje kuanza kuongea kama hivi tunavyoongea. Bali yeye humpa mtu kile anatakiwa kupata katika maisha yake.

Mdogo wangu, niamini pale hustahili kuwepo wewe, wewe ni wa majuu, wewe ni zile hotel kubwa kubwa nyota tano. Jitazame kwanza ulivyo kazuri, jitazame ulivyo, ninachokupenda mdogo wangu pamoja na mazingira ya kazi unajitunza sana. Sikia leo pumzika, mwambie Mungu asante, naomba kile ninachostahili kupata.”

Nilimsikiliza dada yangu kwa makini sana. Kisha nikamwambia dada yangu β€œdada wewe unasema tu. Sasa huu uzuri una kazi gani. Ndoto zangu nifanye kazi hotel kubwa hapa Dar. Ila naishia kufanya kazi hotel hazina hata maana na bado nateseka, sasa nitafanyaje mimi dada, ina maana Mungu haoni wengine wa kuwaondoa bali mimi tu.”

Dada akanitazama na kusema β€œsikia, pumzika sasa. Kisha tukiamka kesho anza tena kutuma Cv yako kwenye hayo mahotel unayotaka.”

SEHEMU YA 03
Nikajikuta nacheka nikisema β€œHotel gani jiji hili haina Cv zangu. Kila hotel hapa inanijua mimi japo sio kwa sura ila jina langu, Ndeana lipo. Hapa dada nawaza niende Zanzibar, niende labda Arusha hata sijui yaani.”
Dada akanitazama tu na kutabasamu halafu aliniacha pale chumbani.

Hatukuwa matajiri, hatukuwa maskini wale wa kushindwa kupata chakula ingawa hatukula tunachotaka kila siku ila tulikuwa na maisha yetu nashukuru Mungu. Basi niliinuka pale chini na kusimama dirishani nikajifuta machozi huku nikiwaza nini nifanye. Kiukweli sikuwa na la kufanya zaidi ya kujitupa kitandani.

Mimi sio mweusi sana wala sio mweupe. Nina rangi yangu tu nzuri ya kuwaka sana na kuvutia. Sio mnene sio mwembamba wala sio wale watu wa kati. Nina mwili wangu hivi, yaani ni kama nilikuwa niwe mwembamba ila nina nyamanyama. Ni mrefu, nina mguu mzuri sana wa kuvalia nguo fupi, yaani nina mguu mzuri.

Na ni wale watu wasio na mwili ila wana shepu fulani hivi nzuri sana mpaka huwezi kuelezea. Na kiuno changu chembamba. Yaani ni balaa balaa. Sifa hizi hata mimi mwenyewe nilichoka kuzisikia. Na vile nina macho makubwa malegevu acha tu. Mimi ninajijua kwakweli nina uzuri wangu. Na najipenda sana na najitunza sana.

Muda wa kupata chakula cha usiku dada yangu aliniita nami nilitoka nikiwa nimechoka sana. Nilikutana na baba yangu na aliponiona aliniambia kwa upole β€œNdeana mwanangu, nimesikia kilichotokea. Ila hupaswi kuwa na huzuni kabisa mwanangu. Unajua hili tatizo sio wewe tu limekupata, watu wengi wamesimamishwa kazi tena hata hivyo mimi nashukuru Mungu sasa utakaa nyumbani utulie maana huko Hotelini kila siku kukutana na watu mwisho mwanangu upate hivyo virusi. Tulia nyumbani unipikie maharage baba yako.”

Dada yangu alianza kucheka. Alicheka sana huku akisema β€œyaani baba una mchokoza mdogo wangu, muache ale.”
Nikamtazama dada yangu na kusema β€œdada unacheka, mwambie baba mimi sijasoma upishi, sitaki mimi baba.”
Basi familia yangu ilikuwa pale kunifariji na nikajikuta tu naanza kuzoea maumivu hata nikawa nacheka pamoja nao.

SEHEMU YA 04

Maisha ya kukaa nyumbani bila kazi ni magumu sana. Umeamka upo tu, unakula unachezea simu unalala. Ni magumu sana kwa mtu ambaye umezoea kwenda kazini kisha upate changamoto ukae tu nyumbani. Mateso yake hayaelezeki. Dada yangu yeye alikuwa akienda kwenye mambo yake. Yeye hufanya biashara ya kuuza vitu kama mapazia, mavazi, mashuka na vitu vingine vingi maofisini.

Mimi ndiyo dada wa nyumbani tena. Nilikaa huku nikihangaika kutuma cv yangu huku na kule mpaka mwezi ukatimia mimi nipo tu sina dili lolote. Nilianza kujiona namna nachakaa, nachoka, nabadilika. Kusema ule ukweli wa moyo, kuoga asubuhi kwenda kazini ni raha sana. Ndiyo ni raha mno mimi ni shahidi katika hilo.Nilikuwa nateseka sana kwa kuishi bila kazi na wakati mimi ninatamani sana kufika mbali zaidi kwenye hii kazi yangu kiasi huwa nawaza hata kuwa na mgahawa wa kishua pale nitakapofanikiwa. Ni ndoto bado hazijatimia.

Siku moja jioni, dada yangu alinikuta sebuleni nikihama kochi hili kwenda kochi lile na lile. Aliponiona tu alikuwa amacheka akisema β€œNdeana, Ndeana mdogo wangu niulize kuna nini?”

Nikamtazama na kusema β€œkwani dada huwa unaishiwa uongo haya kuna nini?”
Akaja kukaa karibu yangu na akaniambia β€œnilikuambia mimi, pale hustahili kukaa. Mungu atakupandisha juu juu sana.”

Nikasema kwa upole nikiwa na kimuhemuhe cha kujua β€œdada Vanessa, si uongee sasa kwani kuna nini?”

Akatabasamu na kusema β€œile hotel kubwa unaitamani, unaiwaza na kutamani ukafanye kazi pale ni hotel gani vile.”
Mimi haraka haraka nikataja.

Dada akaniambia β€œkama hujawahi kuomba Mungu mdogo wangu omba sana leo, utapata hiyo hotel, ila sharti ukipata usituache familia yako,”
Nikacheka na kusema β€œfamilia gani sasa na wewe dada. Mimi na nyie mpaka kifo. Na sitaki ngonjera mimi niache nipumzike. β€œ

Dada yangu nakumbuka aliniambia β€œsitanii. Ninaye mteja ambaye ni kama dada kwangu sasa. Anafanya kazi kwenye kampuni kubwa huko posta. Nikamuelezea kuhusu wewe na namna unapambana kupata kazi. Akaniambia anafahamiana na boss wa hiyo Hotel ni mtu wake wa karibu. Akimwambia kuwa ni mdogo wake anataka kazi basi hukawiii mdogo wangu.”

SEHEMU YA 05

Nikatoa macho na kuziba mdomo wangu nikiuliza β€œwewe dada Vanessa. Unasema kweli?”
Dada yangu Vanessa alicheka na kusema β€œsasa kumbe, kwanini nikutanie. Mdogo wangu, kaniambia kesho saa tano nimpigie yaani nimefurahi sana.”

Nilifurahi sana, nilimkumbatia dada yangu na kusema β€œdada asante kwa kunipambania. Mungu tusaidie tupate hiyo nafasi, Fanya jambo Mungu.”
Dada Vee aliniambia kwa upendo tukiwa tumekumbatiana β€œmpaka hapa tayari, tusibiri hiyo kesho saa tano mdogo wangu. Ila nimekusifia sana usiniangushe.”

Nikatabasamu tu na kusema β€œunavyoongea ni kama vile nimepata kazi tayari dada.”
Dada aliinuka akitaja jina la hiyo hotel huku anasema β€œkama nakuona vile mdogo wangu, kazi ushapata mimi ndiyo Vanessa dada yako. Ushapata mdogo wangu.”
Mimi nikawa nacheka kwa furaha mpaka nataka kulia. Kama kweli nikipata ndoto yangu itakuwa inafanikiwa. Ndoto inaenda kutimia.

Nikuambie tu hii siku ilienda vizuri sana kwangu. Nilikuwa naisubiri hiyo kesho saa tano kama vile sijui nasubiri nini. Hotel nimetajiwa ni ndoto yangu. Sijui niseme nini unielewe. Ni kama vile Agatha kesho usikie unaenda kukutana na Shigongo anaenda kutimiza ndoto zako.

Mpendwa wangu, kitanda nilikuwa naona kidogo maana ni nina biringika ni huku ni kule. Sina neno hapa zaidi, hamu ya kwenda kwenye hiyo hotel imenikaba. Yaani ni kama vile msanii wa mziki unaambiwa unaenda kukutana na msanii mkubwa na atakusaidia. Basi ndiyo kwangu ilikuwa hivyo.

Nashika simu, naanza kuitafuta ile hotel na kuangalia ilivyo natabasamu tu. Nawaza nivae nini hiyo siku nikiitwa ili niendane na hadhi ya ile hotel. Hotel kubwa sana hapo Dar maeneo ya Posta. Ninatamani kama niitaje na jina ila wacha tuseme tu Hotel kubwa sana maarufu yenye hadhi kubwa mno. Hawalali watu wa kawaida, watu wanalipa dollar tu. Moyoni nabaki kusema Mungu nionekanie na mimi na familia yangu. Mungu usinipite.

Dada yangu alikuja chumbani kwangu, alinikuta bado naitazama Hotel kwa simu. Alitabasamu na kusema β€œmdogo wangu, unaonekana huamini kabisa.”

Nikatabasamu na kusema β€œdada wewe unaamini kuhusu hili. Unajua mimi nahisi ni ndoto tu yaani.”
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

π€πˆππ” πŸ™ˆ 1- 5

SEHEMU YA 01

Maisha muda mwingine ukisema uyaelezee kwa ukubwa unajikuta hata hujui wapi unaanzia na wapi unamalizia.

Kwasababu wengine maisha yametupitisha sehemu ambazo hata unajiuliza hapa nimepita vipi. Unajiuliza imekuaje nimevuka hapa. Na hivyo hivyo ndivyo mimi Ndeana ninashindwa kufunguka na kuelezea zaidi. Ila kwakuwa ninatamani wanawake wajifinze kutoka kwangu. Nitasema ingawa sijui nitasema mangapi maana ni Mengi sana, naahidi nitapita hatua kwa hatua. Kituo kwa kituo mpaka pale nitakapoona kuna watu wananielewa mimi kwa uzuri kabisa.

Ndotp ya kila mtu ina gharamiwa, unaweza kugharamia ndoto yako kwa muda, pesa na utu wako uamuzi ni wako. Kwa maana ndoto si ile unayoota...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aibu-1-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aibu
JAMANI BOSS MI NAONA AIBU πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž 1- 5 🚩🚩🚩🚩🚩
JAMANI BOSS MI NAONA AIBU πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž 1- 5 🚩🚩🚩🚩🚩
Season four  π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 154
Season four π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 154
*1 - - - - - 5* π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________ SEHEMU YA 1 MWANZO....... "Ni aibu Mwanaume mwenye meno 32 kulalamika mkewe hajamuandalia chai
*1 - - - - - 5* π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________ SEHEMU YA 1 MWANZO....... "Ni aibu Mwanaume mwenye meno 32 kulalamika mkewe hajamuandalia chai
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  105
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 105
  𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  165 - 172
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 165 - 172
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:26
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:26
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  76
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 76
	𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’  81 - 89.. π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ 81 - 89.. π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  60
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 60
🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:21
🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:21
mtoto wa mchepuko nimeona nikusimulie na maswaibu yangu
mtoto wa mchepuko nimeona nikusimulie na maswaibu yangu
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 141
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 141
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆  π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  11
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 11
AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ???????? Sehemu ya Tano  (  5  ) *************
AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ???????? Sehemu ya Tano ( 5 ) *************
AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ???????? Sehemu ya Nne  (  4  ) *************
AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ???????? Sehemu ya Nne ( 4 ) *************
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:45
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:45
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 147
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 147
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  68  Akaniuliza
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 68 Akaniuliza
11 - 20🚩🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž
11 - 20🚩🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  90
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 90
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 129
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 129
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😚😚😚😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊 *BOSS NAONA AIBU* *1-5* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KWANZA*  "Dada naona unaumia shingo unaweza lala kwenye bega langu ili upate kupunguza maumivu ya shingo
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😚😚😚😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊 *BOSS NAONA AIBU* *1-5* *_____________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* "Dada naona unaumia shingo unaweza lala kwenye bega langu ili upate kupunguza maumivu ya shingo
AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ???????? Sehemu ya Kwanza   MPAKA ya Pili  (  1&2  )
AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ???????? Sehemu ya Kwanza MPAKA ya Pili ( 1&2 )
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  95
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 95
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 133
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 133
Chombezo : Penzi La Jesca  Sehemu Ya : 6  IMEANDIKWA NA  ENOCH LIBERATUS  Jesca alianza kumuonea aibu Mwalimu John ila alimsifia kuwa ana mashine kubwa na...
Chombezo : Penzi La Jesca Sehemu Ya : 6 IMEANDIKWA NA ENOCH LIBERATUS Jesca alianza kumuonea aibu Mwalimu John ila alimsifia kuwa ana mashine kubwa na...
WOLPER: "Siwezi Kuvaa Mavazi Yanayonibana Ni Aibu Sana Mimi Ni Mama"
WOLPER: "Siwezi Kuvaa Mavazi Yanayonibana Ni Aibu Sana Mimi Ni Mama"
AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ???????? Sehemu ya Tatu  (  3  ) *************
AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ???????? Sehemu ya Tatu ( 3 ) *************
Yanga SC na Singida Black Stars Waibuka Kidedea, Watinga Raundi ya Pili Michuano ya Afrika ⚽
Yanga SC na Singida Black Stars Waibuka Kidedea, Watinga Raundi ya Pili Michuano ya Afrika ⚽
6 - 10🚩🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž
6 - 10🚩🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 78

MY WANGU❀️ sehemu ya 78

601
MY WANGU❀️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❀️ sehemu ya 79 na 80

563
MY WANGU❀️ sehemu ya 81

MY WANGU❀️ sehemu ya 81

526
MY WANGU❀️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❀️ sehemu ya 82 na 83

391
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 31 na 32

334
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 33

235
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 53...54πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 53...54πŸ’˜πŸ’˜

144
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

38

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.67K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.45K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.41K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.28K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.28K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 53...54πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 53...54πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasaπŸ˜†πŸ˜† my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❀️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❀️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 51...52πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 51...52πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majutoπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 50πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎢🎢from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎢🎢"" ""🎢🎢from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest