Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ???????? Sehemu ya Nne  (  4  ) *************
Gonga94 Β· Stories

AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ???????? Sehemu ya Nne ( 4 ) *************

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ????????
Sehemu ya Nne ( 4 )
*************
@Kila Mtu
????????????????????????????????????????????????
..Kinyonge nilifuta machozi na kuinuka nikitaka kwenda chumbani ila msichana wangu wa kazi alikuja na kusimama mbele yangu huku akiwa na glas ya maji. Nilimuangalia na kumtaka anipishe nipite akanambia " samahani dada naweza kuongea na wewe?" "Hapana Zubeda sio sasa, kama kuna lolote unalo hitaji tumia pesa yako nitakurudishia kesho na usinihesabie chakula" "Sihitaji pesa ila nataka kuongea na wewe kuhusu wewe mwenyewe "Kauli yake ilinishtua nikamuuliza "kuhusu mimi ukimaanisha nini?" "Kama hutojali naomba ukae samahani lakini" Nilimuangalia bila kusema kitu nikakaa kumsikiliza,binti alishusha pumzi na kunyosha mkono kunipatia maji. "Sijakuomba haya ongea nimechoka nataka nikapumzike " niliongea huku nikiwa nimekunja uso, Zubeda aliweka glass pembeni na kusema. "Aaam! dada nilitaka kuongea na wewe kuhusu swala la ndoa , najua hutaki kusikia hili ilafamilia yako iko sahihi wewe sasa ni mtu mzima unapaswa kuwa na kwako." "Napaswa kuwa na kwangu hapa ni kwa kwako?" "Hapana sina maana hiyo maana yangu ni kuwa unatakiwa kuolewa uwe na mume na watoto, maana umri wako umeenda sana. Hivi unajua dada yangu ambae umelingana nae sasaiv anawatoto wa tatu, ukiachana na huyo anaemfuata nae ameshaolewa na anamtoto mmoja na hivi karibuni atapata mtoto wa pili.Na wote hao wamesoma na wanakazi zao japo sio nzuri kama yako ila walichukua uamzi sahihi na mapema " Zubeda alivyo ongea hivyo nilimuangalia kwa sekunde kadhaa Kisha nikamwambia " Inaonekana uhuru ulionao unakuzuzua sana, hivi unapata wapi nguvu ya kuacha kazi zako na kuja kunikalisha hapa kwa mambo ya kipuuzi namna hii?. Mimi kuolewa au kuto olewe we kunakuhusu nini ?" "Samahani sana dada ila nimeona nikwambie ukweli lakini kama nimekukwaza nisamehe "Niliinuka nikapiga hatua kadhaa nikasimama na kumwambia "hii iwe mwanzo na mwisho kuongea na mimi kuhusu hiki kitu. Fanya kazi zako ukichoka kalale nasio kuongea yasiyo kuhusu" Niliongea na kuingia chumbani kwangu , nilifika na kukaa kitandani huku macho yakiwa kwenye picha ya Adam iliyokuwa ukutani. Niliangalia kwa mda mrefu na kukumbuka mambo mengi tuliyokuwa tukifanya pamoja , uongo dhambi nimekuwa kwenye mahusiano lakini hakuna mahusiano yalikuwa moto kama hili .Tulipendana na niliiona ndoa hii hapa ,lakini kama yalivyokufa mengine nalo limekufa . Kinyonge niliamka na kuchukua sm yangu nikaanza kuangalia picha za harusi za rafiki zangu, nakukumbuka story ya mahusiano ya kila mtu. Kwa sauti iliyojaa uchungu nikasema " Mungu nimefanya nini kibaya kiasi cha kunifanya kila mahusiano ninayoingia kuishia njiani. Kwanini naachwa mimi kila siku, je me nimbaya? Au sifai kuwa mke wa mtu? Mbona sina tabia chafu,wala sijawahi kumuumiza mtu labda tuseme ndio maana napitia haya.Miaka 30 sina mahusiano ya kueweka, kila mtu anaekuja kwangu hadumu bali huja na kunitumia kisha anapotea bila hata sababu ya msingi. Na mbona nimekuomba sana au maombi yangu hayana nguvu kiasi ambacho hutaki kunijibu, kama ni hivyo tafadhali angalia kiu yangu na uniokoe. Nakama kuna kitu nilichofanya ambacho ndio sababu ya mimi upitia haya tafadhali nioneshe nitatubu hata ikibidii kuadhibiwa niko tayari ila tu nivushwe hapa."Niliongea kwa uchungu huku machozi yakinitoka, mwisho nikapanda kitandani na kujikunja kama kifaranga alienyeshewa na mvua. Taratibu mda ulienda usingizi nao ukashika nafasi yake nililala na kesho yake asubuhi niliamka na kuchoma vitu vyote vya Adam . Na baada ya kuhakikisha nimeondoa kila kitu nilioga na kutulia chumbani huku nikiendelea kuufariji moyo wangu. Mara simu yangu iliita kuangalia mpigaji ni rafiki yangu Wema , niliiangalia kwa mda kidogo huku nikijifikilia kupokea .Lakini mood yangu ilinigomea ,sikuwa nikijisikia kuongea au kufanya lolote zaidi ya kuwa mwenyewe. Mda ulienda jioni ilipofika Wema aliamua kuja naona ni baada ya kuona sipokei sm zake , basi baada ya kufika ilinilazimu kutoka chumbani na kukaa nae seblen. "Elena! Kuna shida gani mbona ulikuwa hupokei sm zangu?" Aliongea Wema baada ya salamu, kwa sauti ya chini nikamjibu. "Nisamehe bure nilikuwa nimelala ,mh ulikuwa unasemaje kuna mpya?""Aaah kwahiyo me kukupigia hadi niwe na mpya?" "Hapana ila nimeuliza tu huenda zikawepo" Wema alikaa kimya kidogo na kusema " nahisi zipo , Elena kuna kitu nimeona na nashindwa kuelewa nini kinaendelea " "Kitu gani tena mbona unanitisha " "Umeachana na Adam?" Swali lake lilinifanya nikashusha pumzi na kumjibu. "Yeah ""Acha masiala tena ? Ndugu yangu kwani imekuwaje ?" "Imekuwa hivyo hivyo basi" "Imekuwaje hivyo hivyo , kwani nini kimetokea hadi mkaachana na mmeachana lini?" "Kabla sijakujibu umejuaje kama tumeachana?" "Umeanza ,we jibu ilikuwaje na nilini " "Okay ,ilikuwa siku moja kabla ya ndoa mdogo wako , na kuhusu kilichotokea ni......" nilishindwa kuongea nikabaki kimya .Wema alinikazia macho na kuniuliza " ulimcheat? Au ulimjibu vibaya maana akili zako unazijuaga mwenyewe" Nilitabasamu na kumwambia " unanijua nikiingia kwenye mahusiano huwa sitaki kuwa na makando kando so swala la kucheat kwangu halipo" "Okay huku cheat sasa imekuwaje mkaachana maana mlikuwa vizuri " "Mmh! Ukweli nikwamba hatuku gombana na ila ilitokea tu akaamua kuvunja kila kitu""Bwanae unazunguka sana ,yaani alianzaje anzaje hadi mkafikia hatua ya kukatisha kila kitu " Kabla ya kumjibu Wema nilimuangalia kwa sekunde kadhaa Kisha nikamwambia . "Aam siku moja kabla ya kuachana tulitoka out kama kawaida yetu ,tukala na kuongea vitu vingi sana na mda wa kurudi nyumbani ulipofika tukarudi na kulala . Sasa asubuhi niliamka nikiwa nawaza sana kuhusu hatma ya mahusiano yetu, nilifikilia ni mwaka wa pili toka tuanze mahusiano lakini hakuna siku ambayo Adam aliongea kuhusu ndoa.Wala si kuongea tu hata zile ishara zakuwa anampango hazikuonekana so nikaona si mbaya kama nikimuuliza ili nijue anafikilia nini. Kumuuliza akanambia hana mpango, na kama unavyonijua kuambiwa vile nikaanza kuuliza mwaswali na katika maswali hayo nahisi nilimkera. Maana alichukia na kunambia niachane na hizo mada kwa bahati mbaya sikutaka kuelewa nikaendelea kutaka kujua muafaka wa mahusiano yetu.Ndo kwenye kujibizana pale akanambia hayuko na mimi kwasababu anataka kunioa no ila yupo kwasababu anataka kuenjoy maisha. Na akasema kama ninahitaji ndoa basi natakiwa kuwa mvumilivu hadi pale akili yake itakapo amua laa tuachane , kusikia hivyo mtoto wakike nikashuka. Kwa heshima zote nikamuomba samahani na kuandaa chai lakini aligoma akadai anaondoka , nami sikutaka kumkwaza nikamuacha akaondoka. Na baada ya kuondoka jioni akanitumia ujumbe kuwa anaona hawezi kuendelea anahitaji tuachane.Nililia na kumpigia sm lakini hakupokea, mwisho akatuma pesa na kusema nitumie kama fidia ya mda alionitumia" "Eeeh kwa hiyo kila kitu ndo kikaisha hivyo ?" "Yeah ,ameenda " "Na ulijaribu labda kumtafuta tena huenda aliongea au kufanya hivyo kwa hasira?" Nilitaka kumjibu ila kabla sijajibu nilikatishwa na sauti iliyokuwa ikitokea mlangoni, wote tuligeuka kuangalia ni nani alie ingiaA.......... ...???????? Nyieeeee....Mambo ni ya motooo.???? Kwani wewe auogopi Usipite bila kulike na kukomeniti fanya ku share kabisa ili sehemu inayofuata isikukose maana ndiyo sehemu balaaa????????????????????????????????
..ITAENDELEA...... Hii ni bonge la simulizi isikubali ikupite.
@wafuasi
#itaendelea_story_ni_kali_sana?
Mkiwa wavivu kucoment namimi nakuwa mvivu kupost hivyo comment kwa wingi jamani ili mnie mizuka
# PIA USISAHAU KUNI FOLLOW MIMI KULUTI MC ILI USIWE UNAPITWA NA STORY ZANGU FAIDA YA KUNI FOLLOW NI KUWA WA KWANZA KUPATA STORY KILA NINAPO POST
@everyone

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ???????? Sehemu ya Nne ( 4 ) *************

AIBU YA KUCHELEWA KUOLEWA ILINIFANYA NIKAOLEWA NA JINI ????????
Sehemu ya Nne ( 4 )
*************
@Kila Mtu
????????????????????????????????????????????????
..Kinyonge nilifuta machozi na kuinuka nikitaka kwenda chumbani ila msichana wangu wa kazi alikuja na kusimama mbele yangu huku akiwa na glas ya maji. Nilimuangalia na kumtaka anipishe nipite akanambia " samahani dada naweza kuongea na wewe?" "Hapana Zubeda sio sasa, kama kuna lolote unalo hitaji tumia pesa yako nitakurudishia kesho na usinihesabie chakula" "Sihitaji pesa ila nataka kuongea na wewe kuhusu wewe mwenyewe "Kauli yake ilinishtua nikamuuliza "kuhusu mimi ukimaanisha nini?" "Kama hutojali naomba ukae samahani lakini"...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aibu-ya-kuchelewa-kuolewa-ilinifanya-nikaolewa-na-jini-sehemu-ya-nne-4

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aibu-ya-kuchelewa-kuolewa-ilinifanya-nikaolewa-na-jini-sehemu-ya-nne
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.22K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

738
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

251
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

100
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.69K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.64K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest