Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

BETWEEN SISTERS AND SECRET  Chapter 13  Gael alimuangalia Mia kila mara na kutabasamu,
Gonga94 · Stories

BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 13 Gael alimuangalia Mia kila mara na kutabasamu,

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


alimrudisha nyumbani na yeye akaondoka. "Bibie ndo unarudi saizi, umekosa mambo

mazuri, alisema Dora.

"Mambo gani hayo?" aliuliza Mia.

"Mpenzi wake na Judith alituletea biriani na

chips," Dora alimtambia Mia. "Asikudanganye, hakuna mtu yoyote aliyekuja hapa leo," alisema Judith.

"Aaah kwanini unaharibu mchezo, nilitaka tu aseme alienda wapi na boss Gael, Dora

alikasirika.

"Kumbe hiyo ndo michezo yenu! Tulienda tu

kituo cha yatima kule Tumaini na baada ya hapo

ndo akanirudisha nyumbani." Wote walimcheka Dora.

"Mia, leo tunatoka! Tunaenda club usiku,"

alisema Judith huku anatabasamu.

"Sawa, hata mimi nitaenda, nataka kuona hizo starehe za club mnazozisema kila mara, alijibu

Mia huku akicheka kwa aibu kidogo.

"Okay basi, tuchague nguo kabisa za kuvaa club," alisema Dora.

Ilipofika saa tatu usiku, walifika kwenye club ya Blue Heaven C mahali palipojaa muziki, taa za rangi, na sauti za watu.

Kwa upande wa Mia, huo ulikuwa usiku wa

kwanza kabisa kwenda club.

Baada ya kama dakika kumi, alimuona Mira akiingia na Joel huku wameshikana mikono. Mia alishtuka, alisimama kwa mshangao.

"Yule si Mira," alisema Mia. "Ndiyo... ni yeye kweli tena yupo na Joel," alijibu

Furaha. "Sitaki kuamini anatoka na Joel tena na ni

mpenzi wa Gael."

"Kwahiyo unataka kusema yule kaka ni mpenzi wa Mira wa zamani?" Dora alimuuliza Mia.

"Ndiyo, na Mira ni dada yangu," alisema Mia.

Siku ya sherehe ya kufunga mwaka ilifika kama kawaida, wafanyakazi wote walialikwa.

"Mia unachelewa chelewa nini, fanya haraka basi," alisema Furaha. "Natoka jamani, Mia alitoka taratibu akiwa

amevalia gauni la blue refu lililompendeza sana. "Hili gauni naona kama limenibana, na viatu virefu hata sijazoea mwenzenu," Mia aliongea

kwa kulalamika.

"Ona ulivyopendeza, usitake kuniambia unataka kubadilisha?" aliuliza Furaha.

"Nataka kuvaa kawaida."

"Ukienda huko utajiona wewe peke yako upo tofauti, vumilia kwa leo tu."

Judith na Furaha walimshika mkono, walipanda tax.

"Hapa ndo nyumbani kwa Mama G?" aliuliza Mia. "Ndiyo, umeona palivyo pazuri na pakubwa."

"Kama hoteli vile, ila kuna watu wanaishi jamani!" Mia alishangaa, kila kona kulikuwa kumepambwa vizuri.

"Njoo nikuonyeshe sasa shoga yangu."

"Unionyeshe nini?" Mia alimfuata Furaha.

"Umewaona wale pale wakaka wawili waliokaa meza moja na Mr Gael?"

"Ndiyo, ni kina nani?" aliuliza Mia.

"Yule pale sasa ndo Gavin, mtoto mkubwa wa

Mama G, na yule pale ndo Gian, mtoto wake wa mwisho. Umeona walivyo ma-handsome, wanawake wanawashobokea kama nini! Mimi nampendaga Gavin, anaonekana ni mpole,"

Furaha aliongea huku anacheka cheka. "Mmmh shoga yangu huishiwi vituko, haya nimeshawaona, twende tukakae."

Mia na Furaha walienda kukaa.

Sherehe iliendelea, muda wa kucheza muziki

ulipofika, Mia alimuona Gael anacheza na Mira.

"Kumbe amekuja kwenye sherehe pia, sikumuona mwanzo, sijui ametokea wapi."

"Kwanini anajipendekeza kwenye familia ya Mr Maximilian na wote hawamtaki?"

"Amekosa haya na anaonekana anatamaa ya pesa, ndomana haoni ajabu kutukanwa na

kufukuzwa. Nani anataka mka-mwana mwenye

tabia za ajabu kama Mira?"

Yalikuwa ni maneno ya wafanyakazi wenzie na Mira.

Yale maneno yalimuumiza sana Mia, alitamani kuongea lakini alijizuia.

"Furaha, naenda msalani mara moja."

"Usichelewe kurudi, Furaha aliendelea kucheza.

muziki.

"Sijui nimefikaje hapa, mbona kama nimepotea," Mia aliangalia huku na huku.

"Mambo mrembo, Gian alimsalimia Mia. "Poa, samahani, msalani ni wapi? Mia

alimuuliza Gian. "Aaah ni mbali sana, unaweza kuchukua hata

nusu saa kufika, Gian alimchokoza Mia.

"Sasa itakuwaje? Namaaanisha ni wapi,

unaweza kunielekeza au kunipeleka labda?"

"Ndiyo bila shaka, lakini mpaka unilipe," Gian

aliongea huku anatabasamu. Mia alifungua pochi yake, ilikuwa na elfu moja

tu.

"Sawa, nipeleke, nitakulipa," aliongea Mia huku

anatabasamu.

"Unaahidi?" aliuliza Gian.

"Ndiyo, naahidi."

Gian aliongoza mbele, Mia alimfuata nyuma.

Hawakuchukua hata dakika mbili walifika.

"Ndiyo, kwani huoni hiyo alama?" Gian alimuonyesha Mia mlangoni.

"Hapa ndo msalani?' aliuliza Mia.

"Sawa, asantee. Mia alitaka kuingia, Gian

Sawa, asantee. Mia alitaka kuingia

"Oh, nilitaka kusahau, subiri kidoga alifungua pochi yake, alitoa mia tano, al

kwenye mkono wa Gian. "Hii ni nini? Gjan alimuuliza Mia

akamzuia. "Malipo yangu yako wapi?

"Malipo yako, au ulitaka nikulipe nini?" "Sitaki pesa, nataka kucheza Gian aliongea huku anatabasamu. wewe

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 13 Gael alimuangalia Mia kila mara na kutabasamu,



alimrudisha nyumbani na yeye akaondoka. "Bibie ndo unarudi saizi, umekosa mambo

mazuri, alisema Dora.

"Mambo gani hayo?" aliuliza Mia.

"Mpenzi wake na Judith alituletea biriani na

chips," Dora alimtambia Mia. "Asikudanganye, hakuna mtu yoyote aliyekuja hapa leo," alisema Judith.

"Aaah kwanini unaharibu mchezo, nilitaka tu aseme alienda wapi na boss Gael, Dora

alikasirika.

"Kumbe hiyo ndo michezo yenu! Tulienda tu

kituo cha yatima kule Tumaini na baada ya hapo

ndo akanirudisha nyumbani." Wote walimcheka Dora.

"Mia, leo tunatoka! Tunaenda club usiku,"

alisema Judith huku anatabasamu.

"Sawa, hata mimi nitaenda, nataka kuona hizo starehe za club mnazozisema kila mara, alijibu

Mia huku akicheka kwa aibu kidogo.

"Okay basi, tuchague nguo kabisa za kuvaa club," alisema...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/between-sisters-and-secret-chapter-13-gael-alimuangalia-mia-kila-mara-na-kutabasamu

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi between-sisters-and-secret-chapter
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 14 "Sitaki pesa, nataka kucheza na wewe muziki," Gian aliongea huku anatabasamu.
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 14 "Sitaki pesa, nataka kucheza na wewe muziki," Gian aliongea huku anatabasamu.
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 12 Gael aliangalia simu yake kwa muda mrefu, aliangalia majina kwenye contact
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 12 Gael aliangalia simu yake kwa muda mrefu, aliangalia majina kwenye contact
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 10 Gael alinyanyua glass yake, akanywa pombe  yote kwa mkupuo. "Babe, naenda toilet mara moja." Mira aliondoka.
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 10 Gael alinyanyua glass yake, akanywa pombe yote kwa mkupuo. "Babe, naenda toilet mara moja." Mira aliondoka.
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 17 "Mama G anatupenda wote pale dukani acha story zako za kutunga." Mia alijilaza kitandani.
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 17 "Mama G anatupenda wote pale dukani acha story zako za kutunga." Mia alijilaza kitandani.
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 5 "Samahani sana... ni kosa langu nitarekebisha sasa hivi na nitakupatia risiti, ungependa
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 5 "Samahani sana... ni kosa langu nitarekebisha sasa hivi na nitakupatia risiti, ungependa
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 15 "Basi kikao kihairishwe, Mr Maximilian alisimama akaelekea chumbani.  "Mama sisi acha twende tukamuone Gael tujue  anashida gani," Gavin na Gian walienda...
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 15 "Basi kikao kihairishwe, Mr Maximilian alisimama akaelekea chumbani. "Mama sisi acha twende tukamuone Gael tujue anashida gani," Gavin na Gian walienda...
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 20
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 20
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 19
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 19
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

920
MY WANGU❤️ sehemu ya 113

MY WANGU❤️ sehemu ya 113

763
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

555
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

293
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10

161
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4

124
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

102
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

79
BLACK BUTTERFLY 🦋 1

BLACK BUTTERFLY 🦋 1

69
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*

54

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.23K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.97K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY 🦋 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest