Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* 9 -- 10
Gonga94 · Stories

*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* 9 -- 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.





,Chapter 9

'Ameshaniacha, haya pambana ukampe utamu ninao mpa, nikajikuta naropoka...

" hivi unajikuta nani na hako ka mimba chako, usifikiri kaka yangu anakupenda, ni kwamba anakuonea huruma kwa sababu ulimsaidiaga utotoni..

"najua anipendi ila ndio anataka kunaoa, usijali tutapendana wakati wa ndoa, na wewe ndio utakuwa mshenga wetu...

Akataka kuja kunileta vurugu, mama yake akatokea kisha akasema " kuache huyo asije akatufia na hiko kitumbo chake, sikutaka kumjibu, maana nilifundishwa kuwaheshimu watu wazima, wakaingia zao chumban nikasikia wanaongea mpaka wanacheka, nilikuwa na njaa sana, nikaenda jikoni nikakuta mkate na mayai, aisee nilipiga mkate mzima na mayai matatu nikashushia na juice kwa raha zangu, sasa kama mimba ndio inataka nile hivyo mimi ni nani niisononeshe....

Wameshamaliza kujichekesha kama wamehongwa bia za offer wakatoka na Yule wifi yangu wa mchongo ni kama alikuwa anampelekesha mama yake, kwa sababu alimuambia mama yake akamletee chai na mama akaanza kwenda jikon kumletea chai kweli..

Nashangaa anaanza kulalamika na kusema nani kala mkate wote huu na chai kamaliza... " ni mimi, nikasema kwa sauti ya kujiamini....

Yule mama akatoka jikon kwa jazba kisha akaanza kugomba kwa kusema "unahisi hapa ni kwenu, unajua ule mkate tulitakiwa kula nyumba nzima na shea yako haikuwepo..

sasa kama mtoto alikuwa anasikia njaa, kwanini nisimlishe, ety mama mwanao akisikia njaa hautampa chakula, nikasema kwa sauti ya kujiamin...

"wewe binti umechanganyikiwa, yaan unaongea kabisa kwa kujiamin, kwani hio mimba ni ya mwanangu, kwanza mwanangu hakupendi anakuonea huruma tu, alafu unakuja kwenye nyumba unajifanya wewe ndio mother house unataka kuongoza kila kitu humu ndani, akawa anasema Yule mama, ila kabla hata sijajibu nikasikia sauti nyuma yangu ilikuwa ni ya Solomon akisema ww mwenyewe mama unajua kuwa alice ndio kila kitu kwenye hil nyumba, sasa mchefueni akiwafukuza mimi sina pa kuwapeleka....

"yaan unampa kibali huyu kibaka wako cha kutunyanyasa, na wakati unajua kabisa kuwa mimi ni mama yako na huyu ni mdogo wako, na hauna familia nyingine zaidi ya hii, au huyu mwanamke amekuroga, akawa anaendelea kulalamika mama yake na Solomon akaanza kucheka kisha akasema " ubaya ni kwamba hajaanza kuniloga sasa hivi, alianza kuniloga wakati ambapo nina miaka kumi, wakati ambapo alikuwa anaiba vyakula nyumban kwao vyenye libwata na akawa ananiletea mimi nile, wakati ambapo hata huyo anaesema ni ndugu yangu hakuwepo kabisa.

mama nikakuongezee mkate mwingine, sitamani mwanangu akae bila njaa, akasema Solomon, kiukweli huwa sitaman kufarakanisha familia za watu, ila nilikuwa najisikia vizuri sana wakati ambapo Solomon alinichagua mimi na akanitetea mbele ya ndugu zake...

"nataka lollipop nikasema, akatabasamu kisha akasema " kaaa hapa naenda kukuletea na mtu yoyote Yule ambae atakukera nambie nikirudi nitashughulika nae, kisha akaondoka kuelekea dukani...

Nikajikuta namuangalia huku natabasamu, sasa kama alikuwa ananipenda hivyo wakati wote huo, kwanini hakuwa ameniambia kipindi chote hicho mpaka nilipoanza kufundishwa na dunia, nikawa najiambia pale, na mama na mwanae wkaakunja sura kama wanajisaidia kinyesi kigumu vile kisha wakaondoka kwa hasira na kwenda kwenye vyumba vyao.....

ITAENDELE

AChapter 10

Basi kweli Solomon wangu alikuja na lollipop. mbili zile kubwa nyekundu pamoja na chocolate, sijui nani alimuambia kuwa napenda, kisha akanishika mkono tukaingia zetu chumban, nikaanza kula huku natabasamu, akawa ananiangalia, nimemaliza akanisogelea kisha akasema " haurusiwi kumpandishia sauti mama yangu, hata kama anakunanga kiasi gani, naomba usije kubishana nae, maana Yule atabaki kuwa mama yangu, ila jane akikuletea za kuleta, kama una uwezo wa kumzaba vibao wewe mzabe tu mpaka awe na adabu...

siwez kubishana na mama yako, wewe mwenyewe unajua, nikajibu akatabasamu kisha akanambia nimeenda kutafuta mshenga, maana sio ustaarabu kukaa na wewe na wakati wazaz wako wapo, tena wapo mtaa huu huu, leo naenda kukutolea posa, na kabla haujajifungua nitahakikisha tunafunga ndoa, nimechoka kukaa mbali na wewe mamaa, nataka niwe karibu yako, nilihisi joto lako, na kila ninapotaka huduma yako niipate tena kwa wakati....

"wanasemaga kulala na mwanaume ambae sio baba wa mtoto, kuna sababisha changamoto wakati wa kujifungua, huoni kama ukiendelea kunitaka kimwili utaniletea shida wakati wa kuzaa...

Nikashangaa anacheka kisha akasema " kwani baba wa mwanao unamjua..

"hapana simjui, nikajibu..

"vipi kama mimi ndio baba wa mwanao?..

hauwezi kuwa wewe, maana wewe ni mstaarabu na hauwezi kumlazimisha mtu kimwili bila ridhaa yake alafu ukakimbia, Yule kijana ni mshenzi, amesababisha mpaka wazaz wangu wamenifukuza nyumban, bila kujua kuwa hata sikuwa na mahusiano nae, nikaanza kulalamika alafu nikakaa kimya kana kwamba kuna kitu nawaza kisha nikamuuliza Solomon..

hivi kuna uwezekano jinni akakubebesha mimba?..

"kwanini umeuliza hivyo?..

" nahisi ni jini, lakin alitumia umbile la mtu ninae mjua, kwa sababu kwanza alikuwa anatokea kama jinni, kisha namna ambavyo ananirudisha nyumban hata wazaz wangu wakifunga mlango hata hawajui nimeingizwaje ndani, na wakati mimi ni mtu mzima na ni mzito, hivyo mpaka afanikiwe kuniingiza ndani ni lazima wangesikia tu, nikaanza kusema...

Solomon akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akaanza kucheka na kusema " Mungu wangu, lazima atakuwa jinni, huyo, sasa itakuwaje na una mimba ya jinni, alafu wanasemaga kuwa mimba za jinni huwa haziwag za muda mrefu, yaan unaweza ukabeba mimba leo alafu kesho ukajifungua, sasa wewe mbona unaenda mwenzi wa sabaa huu, au anataka uje uzae kobe..

Kwa namna ambavyo solomon alikuwa anaongea, nikajikuta naanza kuogopa, akawa ananicheka na kunambia " hatimae mke wangu kabeba mimba ya jinni, alafu huyo jinni sijui amenifata na mimi, maana ni kama ananilazimisha nikuoe na wakati una mimba. yake...

"basi kama ni hivyo usinioe, sitaki kuja kukuletea matatizo, nikasema kwa sauti ya wasiwasi sana, aisee Solomon alicheka sana kisha akasema " sikujua kama wewe ni muoga kiasi hicho, kama ingekywa ni mimba ya jinni, ungeshazaa na wangekuwa wameshachukua mtoto wao kitambo, hio mimba nina uhakika ni ya mtu unaemjua, naomba tusiongelee hilo, kwa sababu mimi nakupenda na sitaki hata umuongelee jinni kwa sababu naona wivu, maana nilishaapa kuwa wewe ni wangu pekee yangu....

Basi akanisogelea kisha akanipakata na kusema "nakupenda sana alice..

Nikajikuta natabasamu tu..

Sasa nilidhani ni utani kwenye swala la mshenga, ila kwenye majira ya kama saa sita tukasikia hodi, nikahsangaa solomon anasema " wameshafika wewe kaa hapa nitakuja kukuambia kinachoendelea.... "kina nani?, ikabidi niulize...

"washenga, akasema kisha akatoka zake nje..
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* 9 -- 10






,Chapter 9

'Ameshaniacha, haya pambana ukampe utamu ninao mpa, nikajikuta naropoka...

" hivi unajikuta nani na hako ka mimba chako, usifikiri kaka yangu anakupenda, ni kwamba anakuonea huruma kwa sababu ulimsaidiaga utotoni..

"najua anipendi ila ndio anataka kunaoa, usijali tutapendana wakati wa ndoa, na wewe ndio utakuwa mshenga wetu...

Akataka kuja kunileta vurugu, mama yake akatokea kisha akasema " kuache huyo asije akatufia na hiko kitumbo chake, sikutaka kumjibu, maana nilifundishwa kuwaheshimu watu wazima, wakaingia zao chumban nikasikia wanaongea mpaka wanacheka, nilikuwa na njaa sana, nikaenda jikoni nikakuta mkate na mayai, aisee nilipiga mkate mzima na mayai matatu nikashushia na juice kwa raha zangu,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/daktari-wa-jeshi-si-ungeniomba-tuu-9-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi daktari-wa-jeshi-si-ungeniomba-tuu
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* 17 -- 18
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* 17 -- 18
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* 11 -- 14
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* 11 -- 14
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* Chapter 19&20
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* Chapter 19&20
DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *SEHEMU YA KUMI NA TANO*
DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *SEHEMU YA KUMI NA TANO*
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *SEHEMU YA SITA*  Niliegeuka na kumtazama kwa mshangao kisha nikasema " Solomon...
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *SEHEMU YA SITA* Niliegeuka na kumtazama kwa mshangao kisha nikasema " Solomon...
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* Chapter 7  'Mungu wangu Solomon mwanangu
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* Chapter 7 'Mungu wangu Solomon mwanangu
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *1-5*   Kuna wakati kwenye maisha hatuwezi kabisa kuamua hatma zetu, nadhan ni kwa sababu huwa hatujui maisha yetu yamebebwa na nini... Umaskin,...
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *1-5* Kuna wakati kwenye maisha hatuwezi kabisa kuamua hatma zetu, nadhan ni kwa sababu huwa hatujui maisha yetu yamebebwa na nini... Umaskin,...
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* Chapter 8
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* Chapter 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

518
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

435
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

431
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

306
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

142
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

89
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

82
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

75
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

65
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15

59

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest