Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *16--20* *
Gonga94 · Stories

*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *16--20* *

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
___________________________________*

*SEHEMU YA 16*

Kisha shangazi slimpigia simu mjomba na kumpa taarifa:


"Mumewangu  hapa nyumbani kunamgeni,  mgeni mwenyewe ni mama yake na Laura  hivyo nimeona nikupe taarifa, anataka kumuona mwanae"


"Mkewangu subili kwanza,  Laura  yupo hapo nyumbani?


"Ndio yupo Mumewangu"


"Subili nakuja hapo sio muda,  sitaki aumie Laura wangu"


"Sawa japo ameomba amuone wakati nakupa taarifa kama yeye yupo"


"Hapana nakuja hapo"


Mjomba alitoka na kuanza safari ya kurudi nyumbani,   ili kuja kuzuia nisiumie kabisa,     kwani nimuda mrefu sana usema ukweli hata sura ya mamaangu siijui kabisa,   ninajuaga  mama mzazi hayupo duniani yaani amefariki,  kwani haji hata kuniona,  na ndio maana mjomba hataki niumie kabisa,  nikiwa chumbani kwangu sina hili wala lile nilipigiwa simu na General Ethane akaniambia:


"Naomba nikuone,   kwani ninazawadi yako kipenzi changu"



"Ethane bwana!,   unajua sipo sawa,  na  nawezaje kuja huko sasa, eeh!?



"Nakutumia usafili,   utafika hapo sio muda mrefu jiandae mpenzi wangu "



"Baby!"



"Please baby"


"Ok"


Kisha nilianza kujiandaa,  muda sio mrefu mjomba aliingia nae,  baada ya hapo  alitumwa dada wa kazi na kuja kuniita,  bila kusita  nikatoka na kwenda hadi  sebreni,   nilipo muoma mjomba yupo  hapo nilifurahi na kumfuata nikamkumbatia na  kumuambia"


"Mjomba umesahau kitu gani nyumbani,    ungeniagiza mimi mwanajeshi wako faster ningekuletea"



"Nimerudi kwasababu nimekukumbuka wewe  kipenzi changu"



"Mjomba bwana  haya umeniona sasa umefurahi,  nataka baadae nitoke naenda kukutana na rafiki yangu,  ambaye  niliekuwa nae kambini anaitwa Nancy"


"Mimi siutumii mudawako wote kipenzi changu utaenda tu"



"Ok sawa"



Unamuona huyu hapa mgeni?


"Ndio nimemuona mjomba"


"Huyu ni dadaangu ambaye ni mamayako wewe"


"Mh! Mjomba bwana acha basi masihara yako,   nilikuwa najiandaa mimi utanichelewesha nitamfanya Nancy anisubili sana"


"Laura siku danganyi na ndio kikubwa kimenirudisha hapa nyumbani japokuwa hakuja kwa utaratibu amezuka kama mvua tu sijui kakumbuka nini?


Nilishtuka sana na nikasimama huku nikimtizama kisha nikamuambia shangazi:


"Wewe ndio mama yangu mimi ninaekujua   na huyu ndio baba kwangu,  hao wengine naomba mkiwajua nyie inatosha,   naomba mnisamehe"


Nilipoongea hivyo kisha nilisimama na kutoka mbio nikaenda chumbani kwangu na kujifungia mlango nilijisikia vibaya sana kisha nilianza kujiandaa ilinitoke,  huku mama alianza kulia na mjomba alibaki akimtizama tuu kisha alimuambia:



"Lakini dada mimi nilijua tuu tangu umenikabizi mtoto ni muda gani sasa hadi leo hii,    ana haki yakufanya hivyo,   hata ningekuwa mimi pia ningefanya hivyo,  kwani unataka nini hasa ulivyokuja, eeh! Umuone kisha ufanyeje,   hukuja siku zote uje leo,  nibora hata usingekuja  bwana"



Mama alizidi kulia na shangazi nae akamuambia:


"Nilijua tuu hichi ndicho kinakuja kutokea,   wifi kama kweli unampenda ungekuwa unakuja kumuona hata baada ya miezi miwili unakuja mala moja,  lakini tangu umetukabidhi mtoto akiwa na miaka miwili,  leo hii katoka jeshini  anamiaka ishirini,   nimtu mzima kabisa anajua mimi ni mama na mjombaake ndio baba,   alafu leo hii tumuambie wewe ndio mzazi wake,   kweli hatakama niwewe unaweza kuvumilia maumivu yake,   jibu ni hapana, haya sasa muache mwanangu na uondoke tafadhari nakuomba sitaki kumuona hana raha"



Nilitoka chumbani na kupita sebreni nikiwa nimekasirika,  huku  ninatokwa machozi kwa hasira,   niliubamiza mlango na kutoka nje nilienda hadi nje ya geti kabisa,  nikakuta usafili niliotumiwa na General ukiwa unanisubili,   kisha nikaingia na kuondoka zangu,    nae mama alipoona kachafua hali ya hewa aliamua kuondoka zake,  kilamutu alikuwa kavurugwa kabisa,   nilienda hadi kwa General alipomuelekeza dereva anipeleke,  nilimkuta kasimama ananisubili,  nilipofika nilishuka na kumkimbilia kisha nikamkumbatia huku nikiwa nalia,  alishangaa kuniona nipo kwenye hali hiyo,  akanishika mkono na kunipeleka kwenye kiti nikae,  kisha alinianza kuniuliza:



"Nini tatizo mpenzi wangu?


Nilishindwa hata kumuambia nilikuwa bado nalia,  kwani nilikuwa na hasira sana,  kisha General alienda kunichukulia maji yakunywa,  kisha akanipa na kunituliza kidogo,  akaendelea kuniuliza:



"Nini tatizo hembu niambie,  kitu gani kimekupata Laura?


Kisha nianza kumsimulia:


"General leo kuna mmama kaja nyumbani kwetu,  na mjomba akanitambulisha kuwa yule nimamaangu mimi,   yaani nidadaake  nilishindwa kumuelewa kiukweli,  kwani  mimi siku zote nimekuwa nikijua hao ninao kaa nao ndio wazazi wangu mimi,  sitaki mtu yeyote mimi wote niwaogo tuu kwangu"


"Haya basi tulia nipo hapa mimi mpenzi wangu,   hakuna atakae kudanganya tena sawa"


"Sawa"





Je unavyodhani Laura atamuelewa mamaake mzazi au ndio hataki kabisa kudanganywa tena ili kujua endelea kufuatilia.................
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *16--20* *

___________________________________*

*SEHEMU YA 16*

Kisha shangazi slimpigia simu mjomba na kumpa taarifa:


"Mumewangu  hapa nyumbani kunamgeni,  mgeni mwenyewe ni mama yake na Laura  hivyo nimeona nikupe taarifa, anataka kumuona mwanae"


"Mkewangu subili kwanza,  Laura  yupo hapo nyumbani?


"Ndio yupo Mumewangu"


"Subili nakuja hapo sio muda,  sitaki aumie Laura wangu"


"Sawa japo ameomba amuone wakati nakupa taarifa kama yeye yupo"


"Hapana nakuja hapo"


Mjomba alitoka na kuanza safari ya kurudi nyumbani,   ili kuja kuzuia nisiumie kabisa,     kwani nimuda mrefu sana usema ukweli hata sura ya mamaangu siijui kabisa,   ninajuaga  mama mzazi hayupo duniani yaani amefariki,  kwani haji hata kuniona,  na ndio maana mjomba hataki niumie kabisa,  nikiwa chumbani kwangu sina...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-16-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako
*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO*  *11--15* *__________________________________*  *SEHEMU YA 11*  Nilishtuka sana mjomba alipo niona ndio mkono wa General Ethane upo mdomoni kwangu
*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *11--15* *__________________________________* *SEHEMU YA 11* Nilishtuka sana mjomba alipo niona ndio mkono wa General Ethane upo mdomoni kwangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO Niliwatizama waliniona ila walinipotezea kabisa kisha General aliinuka na kuondoka wale wasichana wambea wakaanza kusema:
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO Niliwatizama waliniona ila walinipotezea kabisa kisha General aliinuka na kuondoka wale wasichana wambea wakaanza kusema:
*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *01--05* *__________________________________*   *SEHEMU YA 01*  "Kikosi namba saba, wote mnatakiwa  pared,  leo jioni kutakuwa na ugeni,   hivyo mjiandae"
*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *01--05* *__________________________________* *SEHEMU YA 01* "Kikosi namba saba, wote mnatakiwa  pared,  leo jioni kutakuwa na ugeni,   hivyo mjiandae"
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

595
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

497
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

475
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

323
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

227
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

74

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest