Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Hajalishi Wewe Ni Mzuri Namna Gani Ila Chunga Sana Ndoa Yako Isifikie Huku!
Gonga94 · Stories

Hajalishi Wewe Ni Mzuri Namna Gani Ila Chunga Sana Ndoa Yako Isifikie Huku!

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Haijalishi wewe ni mwanamke mzuri namna gani, haijalishi una akili kiasi gani, haijalishi una mawazo mazuri namna gani, kama hujui jinsi ya kuongea na mwanaume wako, ni suala la muda tu atakuacha.

Wanaume wengi hawaonyeshi hasira zao, hawatoi nyongo, hivyo wanachoka kimya kimya, na tatizo ni kwamba unaweza ukaishi ukidhani mnaendelea vizuri wakati yeye tayari amechoka ndani kwa ndani.

Ukizungumza kila siku kwa namna inayomfanya mwanaume ajione mjinga, ajione hafai, au ajione hana thamani mbele yako, atakuvumilia kwa muda akiamini labda akili yako itafunguka na utabadilika, lakini ukigoma kubadilika, utashangaa tu siku unagundua kuwa anakupotezea muda na wewe unabaki tu kusema “nina ndoa naye, mimi ndiyo mke wake,” kumbe alishakuacha muda mrefu, unachoita ndoa ni jina tu, roho yake haipo tena ndani ya nyumba.

Ubaya zaidi ni kwamba mwanaume haachi pale ambapo una “mdomo,” hapana, anasubiri hadi siku ambayo unamhitaji sana ndipo anaondoka, kwa sababu anajua huna pa kwenda.

Ndiyo maana dada usifike huko, usikae ukijifariji kwa uzuri wako au akili yako, wakati unaharibu kila kitu kwa ulimi.

Kama hujui namna ya kuongea na mwanaume wako, soma kitabu changu cha Rudisha Upendo, nimeelekeza hatua kwa hatua jinsi ya kuongea na mwanaume wako, kwa sababu maneno yako yanaweza kuwa kama limbwata—yanaweza kharibu upendo, kuharibua heshima, na kuvunja ndoa bila hata wewe kujua.

Bei yake ni Tsh.15,000/- lakini kwa leo nitakupa kwa bei ya OFA lipia Tsh.9,999/- tu!

Kukipata, unalipia TSH. 9,999/- kwa M-Pesa No. 0742-381-155 au Tigo Pesa No. 0657-552-222.

Hakikisha jina linakuja Iddi Makengo, kitabu unatumiwa kwa WhatsApp/Email/.

---- Baada ya kulipa, tuma ujumbe WhatsApp kwa namba hizo na andika “Nimelipia kitabu cha “RUDISHA UPENDO” kwa jina flani (jina lako au la wakala)

MUHIMU; Hakuna nakala ya karatasi ni SOFT COPY tu

MWISHO

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Hajalishi Wewe Ni Mzuri Namna Gani Ila Chunga Sana Ndoa Yako Isifikie Huku!



Haijalishi wewe ni mwanamke mzuri namna gani, haijalishi una akili kiasi gani, haijalishi una mawazo mazuri namna gani, kama hujui jinsi ya kuongea na mwanaume wako, ni suala la muda tu atakuacha.

Wanaume wengi hawaonyeshi hasira zao, hawatoi nyongo, hivyo wanachoka kimya kimya, na tatizo ni kwamba unaweza ukaishi ukidhani mnaendelea vizuri wakati yeye tayari amechoka ndani kwa ndani.

Ukizungumza kila siku kwa namna inayomfanya mwanaume ajione mjinga, ajione hafai, au ajione hana thamani mbele yako, atakuvumilia kwa muda akiamini labda akili yako itafunguka na utabadilika, lakini ukigoma kubadilika, utashangaa tu siku unagundua kuwa anakupotezea muda na wewe unabaki tu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/hajalishi-wewe-ni-mzuri-namna-gani-ila-chunga-sana-ndoa-yako-isifikie-huku

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi hajalishi-wewe-ni-mzuri-namna-gani-ila-chunga-sana-ndoa-yako-isifikie-huku
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37

1.15K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

930
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

845
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

331
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18

240
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20

117
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18

111
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇

AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇

68
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14

27
Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)

Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.63K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.37K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.8K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.28K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.87K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.78K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.61K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.55K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇 Post Mpya
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇
@majario LIVE

Kila mwanamke ana mzunguko wake lakini hii ndiyo mizunguko ambayo kila mwanamke lazima awe na mzunguko mmoja kati ya hizi:👇 1. MZUNGUKO WA SIKU 22. Huu ndo mzunguko mfupi kuliko mizunguko yote...

Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC Post Mpya
Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC
@majario LIVE

Baada ya jana klabu ya Simba kutangaza kumuongezea mkataba mpya wa mwaka mmoja beki wao kitasa Rushine De Reuck, baadhi ya mashabiki wa soka nchini 🇿🇦Afrika Kusini haswa wa Kaizer...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

ENDELEA....... Madame Yustar alitoa amri mimba itolewe ili kuepusha laana kwenye ukoo wao. "Hapana siwezi kutoa mimba hata iweje" Mellisa alimvimbia mama yake. Saa ngapi asilukiwe akaanza kutembezewa kichapo. Nae hakukubali apigwe kilahisi,...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

ENDELEA......... Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa 😂 Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia " Nasrat wangu, yupo wapi mtoto...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata, Noela alipofika chuoni alihisi hali si ya kawaida. Watu walikuwa wanamuangalia kwa macho ya ajabu, wengine wakinong’ona pembeni yake. Alijaribu kupuuza lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipoingia darasani😭. Mwishowe,...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Salmon alisimama pale akimtazama Noela na baba yake kwa macho yaliyojaa hasira na maumivu. Hakutegemea kabisa kumuona Noela akiwa kwenye dinner ya kimapenzi na baba yake mwenyewe. Iris yeye alisimama pembeni,...

Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie) Post Mpya
Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)
@majario LIVE

lazima baadhi ya mambo tuambiane ukweli mchungu hili uwe tiba kwa vizazi vijavyo pamoja na wasanii chipukizi. Hili swala la Chado Masta kuzaa na Kidemu Jau kuna namna sio salama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
@majario LIVE

Daaah unajua mtoto alibaki kashangaaa ,et akasogea nyuma yangu akajificha, aseeee zena akainuka kwa kwa hasira ,akaja akamvuta mtoto, akamipiga konde moja la mgongo zito kwei kweli ,yani hii siku...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi nikasema ummy upo mama, ummya kanmbia ndio baba nimekumiss, kila siku niktaka kuongea na wewe mama ananikatazia, nikasema ooh sawa mama ndo mana leo nimekuja kukuona mama sawa, basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi zena akanmbia ni sawa pia, nikasema powa ibraa twenzetu, ibra akanmbia mh millan usipanic bwana ,uyu mwanamke alafu sa hizi ana hasira, ebu tulia tuongee vizuri kaka, mbona...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
@majario LIVE

ENDELEA......... Tuliingia room tulifanya yetu baada ya hapo tulitoka mie nililudi kazini na Mellisa aliludi nyumbani. Majira ya jioni nilimpitia Madame Yustar kazini kwake. Aiseeee nae akataka yaani nilikuwa nachoka kinouma asikwambia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15
@majario LIVE

ENDELEA.......... Ndani ya masaa kadhaaa niliingiza mkwanja wa milioni tatu na nusu kutoka kwa jimama la mjini. "Hata Madame Yustar hajawaibkunipa pesa nyingi hivi kwa muda mchache. Huyu nimkubalie nini?" Nilijiuliza mwenyewe....

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14
@majario LIVE

ENDELEA.......... Mellisa nae alibana nje ya mlango wa chumbani kwa mama yake alitaka kujua nini kinaendelea. "Hapana mazingira ni hatarishi sana" "Unamuhofia nani na tupo nyumbani kwangu, kwanza nataka dunia yote ijue kuwa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13
@majario LIVE

ENDELEA........... Watu pombe ziliwakolea mie sio mnywaji wa pombe nilikuwa naangalia tu maujinga wanayoyafanya. Mkojo ulinibana nilienda chooni ile natoa tu dudu mlango ulifumguliwa aliingia mshangazi mmoja kati ya wale waliokuwa wananisifia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest