Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:21
Gonga94 Β· Stories

🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:21

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nikasoma tu na kuvuta pumzi huku nikishika kichwa changu kwa kuchoka maana hata sielewi. Kusema ukweli, kazi naitaka, Hotel ile ni kubwa sana yaani mimi kufanya kazi ni ndoto yangu, ila tayari boss anataka penzi na mimi.

Nitafanyaje sasa. Miguu yangu ilikuwa mizito, nguvu ziliniisha. Ilinibidi nitafute mahala nikae. Ndani ya moyo wangu nasikia sauti ikisema β€œusitoe utu wako kupata kitu, ipo siku utapata kilichobora zaidi.”

Kila nikisikia sauti hii machozi yananitoka roho inaniuma kuikosa Hotel kubwa namna ile. Picha za jengo, furaha ya kufika pale kwa mara ya kwanza, namna nilikuwa nasubiri kwa hamu kufanikiwa kunajirudia kichwani.

Roho inaniuma sana kwa maana sipo tayari kutoa mwili kisa kazi nzuri. Nikiwa nawaza ujumbe tena uliingia kwa simu yangu. Nilipotazama alikuwa ni boss wangu Stewart. Aliniandikia hivi β€œNdeana mrembo wangu. Vipi ushaondoka. Mar ameniambia haupo vizuri nami sipendi kukuona au kukuharibia siku yako. Tafadhali naomba kukuona.”

Nilisoma na bila hata kutaka kufikiria haraka haraka nikajibu β€œnimeondoka.”
Ujumbe mwingine uliingia na kusema β€œKumbe hata wewe ni muongo Ndeana. Ninakuona hapa unaniambia umeondoka. Please haipendezi.”
Sikujibu sasa badala yake nikageuza twiga kwa kuinua shingo yangu na kuanza kuangaza huku na kule pengine ningeweza kumuona ila haikuwa hivyo. Sikumuona.
Wakati nataka nimtumie ujumbe nimuulize alipo. Nilishtuka naguswa bega na naitwa kwa sauti yake nzuri sana β€œNdeana.”
Nikatulia. Nilitulia kwa maana tayari nimejua yuko pale na pia nimetulia kwa maana nashindwa na sijui hata nifanye nini.

Akaniita tena β€œNdeana.”
Nikainua kichwa changu na kumtazama. Sasa mimi moyoni ninao uchungu ambao nashindwa kujizuia kabisa. Nina uchungu unaofanya machozi yanitoke na nishindwe kujizuia kabisa yaani.

Ilinibidi niinue uso wangu kumtazama. Ile namtazama tu machozi yananitoka na hasira juu yake. Nikajikuta namuuliza β€œIna maana unanifuatilia si ndiyo, unanifuatilia.”
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:22
Boss wangu, alitazama huku na kule na kusema β€œkuwa mstaarabu basi Ndeana. Kwani wewe ni mswahili hivi?, relax ingia kwa gari na tuzungumze.”

Nikavuta pumzi na kusema β€œStewart sina haja ya kuingia ndani ya gari yako. Tumemalizana. Kama ambavyo nimesema kuwa siwezi kutoa utu wangu kwaajili ya kazi ndiyo ipo hivyohivyo. Tumemaliza.”

Stewart akatabasamu, kiasi nikaona hata ule mwanya wake. Nikainama chini na na kisha Stewart aliniambia β€œSikia Ndeana, mimi sitaki kukuumiza na ndiyo maana nilipoambiwa upo hapa ikabidi nikufuate. Ndeana mimi siwezi kukufanya kitu kibaya mtoto mzuri kama wewe.

Sikia kama unaona mimi nitakudhuru. Chukua simu yako, kisha mwambie mtu ambaye unamuamini kuwa upo na mimi. Ikiwezekana chukua picha kabisa mtumie ili ukipotea niwe wa kwanza kuulizwa.”

Nilimtazama, na kisha akaniambia β€œsimama sasa. β€œ
Nikasimama.
Baada ya kusimama yeye akatoa simu yake na kupiga picha akisema β€œtazama, hapa hata haina yale makeke yenu watoto wa kike picha inawaka namna hii. Ndeana, wewe ni msichana mzuri.”
Akanitumia ile picha na kisha akanishika mkono mpaka kwa gari yake.

Alinifungulia mlango wa gari yake, niliingia na kukaa hata sina raha ya kufanya lolote wala kuzungumza lolote. Baada ya kuingia tu alianza kuzungumza akinitazama usoni na kusema β€œ Ndeana, nisamehe sana.”

Nikamtazama na yeye aliendelea akisema β€œnisamehe Ndeana. Sikujua kama utachukizwa na hisia zangu. Nafahamu kama unawaza mambo mengi sana katika kichwa chako. Sikatai ni kweli huenda hizi ni tabia za wanaume wengi sana.

Ndeana mimi Stewart sifanyi hivi ili nikupe kazi. Ndeana trust me or not. Tangu siku ile ambayo dada yako Mar aliponitumia picha, uliukamata moyo wangu. Uzuri wako, upole, macho yako, midomo ya pekee sana ni vitu ambavyo kila nikitazama nashindwa jizuia.

Pengine unachukia hata kusikia haya maneno. Ila wacha niendelee kuomba msamaha kwa maana sitaacha kusema nakupenda. Ndeana mimi nakupenda kweli kweli haki ya Mungu.

π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:23
Nimekutana na wengi sana, ni kweli nimeona wengi mno ila umeushika moyo wangi na akili yangu kwa namna ya pekee. Sipendi kukuona unachukia, na kukosa furaha ila kama kusema neno nakupenda kwako ni chukizo la moyo wako ni sawa kwa hili sitazuia kuchukia kwa maana neno nakupenda litakuwa ni Wimbo mzuri wa kutoka katika moyo wangu. Kipenzi, ninaposema haya maneno, ninasikia

amani ya ajabu. Ninaona ajabu sana, mimi Stewart napenda kiasi hiki, sijui umenifanya nini wewe mtoto, ila amini usiamini wewe ni mke wangu. This time next year utakuwa mafhabahuni ukisema Yes I do.

Nakupenda Ndeana na natala kuwa mwanaume wako utakayetumia maisha yako yaliyobakia duniani pamoja na yeye. Ndeana ina maana wewe hunipendi hata kidogo kweli, Ndeana tell me please?”

Ungekuwa wewe fikiria ungemjibu nini Stewart, kwanza anaongea kama kajipanga ville. Utulivu na kwa makini sana. Sauti imetulia haina kelele. Maneno yake kayapangilia ipasavyo. Nikajikuta nainamisha tu kichwa chini kwa maana maneno yake yananifikia, yananigusa na kusisimua kwa namna fulani mwili wangu. Ila haki ya Mungu sitaki kuwa na mahusiano naye na kazi ninaitaka.

Akanishika juu ya paja langu, nikashtuka fulani hivi na yeye akatabasamu akisema β€œNdeana zungumza kidogo.”
Taratibu nikainua uso wangu, na kumwambia kwa upole β€œBoss!!!”
Akatikisa kichwa akisema β€œno!!, noo totooo, Stewart. Kwani jina langu ni baya namna hiyo?”
Nikavuta pumzi na kusema β€œStewart.”
Basi akawa anatabasamu, sasa huyu mwanaume wa makamo akitabasamu tabasamu lake ni kama lina uchawi. Ushawahi kukutana na mtu mwenye tabasamu zuri. Ni kama umuombe muda wote awe anatabasamu tu. Kwa maana unaona uzuri wa ajabu kuhusu Mungu kwa watu hawa. Sasa Stewart ndiyo mtu wa namna hiyo. Mpaka nimefika hapa sijawahi kuona tabasamu la pekee kama la Stewart.

Nikajikaza na kumuuliza β€œina maana Stewart, siwezi kupata kazi mpaka niwe mpenzi wako?”

Stewart akaniambia kwa kushika mikono yangu β€œhaina maana hiyo, ila mimi nakupenda nataka uwe mpenzi wangu. Ingekuwa ni hivyo basi wale wasichana wote wa kazini wangekuwa wapenzi wangu. Si ndiyo?”
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:24

Nikavuta pumzi na kusema kwa upole β€œlakini mimi sitaki kuwa na uhusiano na boss wangu.”

Stewart akaniambia akitabasamu ni kama vile kajua lile tabasamu lake ni zuri hivyo anafanya kusudi β€œmimi na wewe hatujuani. Siyo boss wako. Mimi ninakupenda Ndeana. Ndeana I love you so very much , please Ndeana Accept my love.

Wewe ni mwanamke ambaye nataka kulala na kuamka naye maisha yangu yote. Wewe ni mwanamke ambaye najua watoto wangu watakuwa salama na amani wakiwa kando yako. Ndeana wewe hapo, ni wewe hapo peke yako. Fikiria kuhusu mimi.

Sitaki kuzungumza sana ukaniona muongo, leo mimi ni dereva wako sasa nataka nikuzungushe, uone jiji hili zuri kwa uzuri sana na tena uone na hotel zingine na kisha uone ile hotel yetu na wewe ukiwa ndiyo mama Stewart si utakuwa mmiliki nikikuoa. β€œ Akatabasamu

Mimi natamani kumwambia sitaki ila nashindwa. Huyu mwanaume ni mwanaume sio wale wanaume kuhusu mapenzi hayui chochote. Huyu anaonekana mpenda mapenzi yaani anayajua mapenzi.

Kwa maana anavyozungumza, anavyojali kuhusu furaha na mambo kama hayo. Nikisema mwanaume presentable nadhani tunaelewana.

Huyu ni wale wanaume ukienda naye sehemu basi watu watajua kuwa hiyo sehemu kweli mwanaume kaingia. Huyu ni Yule mwanaume hujielezei sana kumtambulisha kuwa ni mwanaume wako.

Maana kuna wanaume unajielezea wewe kisha ni mpenzi wangu inakuwa mwishonu. Ila huyu unaweza kutamani sana mtu akuulize ili ti useme he is my man and i love him. Kwakweli ni mwanaume safi sana.

Msafi, mcheshi, handsome, ana mvuto na sifa nyingi kumuhusu. Mwanaumr hasifiwi sana ila ndiyo namuelezea sasa na kubwa kuliko ni Boss wa Hotel kubwa ambayo mimi ninatamani sana kwenda kufanya kazi. Kusema ukweli ninatamani sana hata iwe kesho.

Basi aliweka nyimbo hizi za Injili kwa gari. Nikashangaa na kumuuliza β€œUnasikiliza injili pia?”
Akaniuliza β€œwhy not?”
Nikatabasamu na kusema β€œwanaume wengi hawapendi kujiweka karibu na Mungu. Hata hivyo watu wenye pesa wao hujihisi tayari wana kila kitu hawajui tena kuhusu Mungu.”
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:25

Akatabasamu na kisha alisema β€œtotooo, mimi nimeumbwa na Mungu. Tena kila nikimfikiria Mungu ninaogopa sana. Nampenda na tena hata hivyo Ndeana mimi nimetunzwa na kulelewa katika familia ya kumpenda na kumjua Mungu sana. Ndiyo maana na mimi nampenda Mungu.”
Nikashangaa sana, na kusema β€œHongera sana.”
Akaniuliza β€œvipi wewe unampenda Mungu Ndeana?”

Nikatabasamu na kusema β€œyeye ndiyo kabla
ya kuanza jambo lolote, na Mungu huyohuyo ndiyo baada ya jambo lolote. Kifupi mimi huwa naanza na Mungu na huwa namaliza na Mungu.”

Akasema β€œwaaaaooo, interesting!!, sasa Ndeana kama ni hivyo. Kanuni ni nzuri sana na rahisi. Basi hata hili langu kabidhi kwa Mungu, Nina hakika asilimia mia. Mungu atafanya njia. Wewe ni wangu, wangu peke yangu. Muombe Mungu juu ya hili.”

Nikamtazama usoni tu. Kisha yeye aliendelea kuendesha gari huku anaimba ile nyimbo ambayo ilikuwa inapigwa pale tena anaimba kwa uzuri kabisa kama vile na yeye ni msanii. Mimi nikawa nashangaa sana.

Alikuwa ananizungusha huku na kule huku anaimba. Ananitazama anatabasamu mwenyewe hana hata shida. Nakuambia kumbe jiji hili ni zuri sana. Wewe pengine unaona tu hapo unaishi na mazingira jirani na pengine kazini. Kwahiyo kuna sehemu tu umezoea kwa maana ndiyo unazopita kila siku. Ila ni nzuri sana. Basi nikiwa na dereva wangu ambaye ndiye Boss wangu simu yangu iliita na alikuwa ni dada yangu. Nikapokea, dada alianza na kusema β€œsasa mbona kimya mimi nimekaa nina hamu ya kusikia wewe tena upo kimya.”
Nikacheka kidogo kumfanya dada asiwe na wasi na kusema β€œnakuja!!, nakuja dada wala usiwe na shida.”
Dada akaniambia β€œfanya haraka sasa. Mimi hamu inaniua.”
Nikajikuta nacheka.

Dada akakata simu. Stewart akaniuliza β€œnani tena anamfurahisha Ndeana wangu.”
Nikasema β€œni dada yangu.”
Akajibu β€œMar!!”

Nikamwambia kwa upole β€œhapana huyu ni dada yangu wa kuzaliwa kabisa. Amenikumbuka inabidi niwahi nyumbani.”
Akaniambia β€œondoa shaka boss, dereva wako nipo hapa nitahakikisha kila kitu kinaenda sawa.”

Nikajikuta natabasamu hata nacheka. Akauliza β€œumecheka, kumbe na wewe hucheka.”

Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:21



Nikasoma tu na kuvuta pumzi huku nikishika kichwa changu kwa kuchoka maana hata sielewi. Kusema ukweli, kazi naitaka, Hotel ile ni kubwa sana yaani mimi kufanya kazi ni ndoto yangu, ila tayari boss anataka penzi na mimi.

Nitafanyaje sasa. Miguu yangu ilikuwa mizito, nguvu ziliniisha. Ilinibidi nitafute mahala nikae. Ndani ya moyo wangu nasikia sauti ikisema β€œusitoe utu wako kupata kitu, ipo siku utapata kilichobora zaidi.”

Kila nikisikia sauti hii machozi yananitoka roho inaniuma kuikosa Hotel kubwa namna ile. Picha za jengo, furaha ya kufika pale kwa mara ya kwanza, namna nilikuwa nasubiri kwa hamu kufanikiwa kunajirudia kichwani.

Roho inaniuma sana kwa maana...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jamani-boss-mi-naona-aibu-21

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jamani-boss-mi-naona-aibu
JAMANI BOSS MI NAONA AIBU πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž 1- 5 🚩🚩🚩🚩🚩
JAMANI BOSS MI NAONA AIBU πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž 1- 5 🚩🚩🚩🚩🚩
Season four  π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 154
Season four π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 154
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  105
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 105
  𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  165 - 172
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 165 - 172
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:26
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:26
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  76
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 76
	𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’  81 - 89.. π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ 81 - 89.. π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  60
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 60
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆  π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  11
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 11
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 141
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 141
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 147
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 147
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:45
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:45
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  68  Akaniuliza
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 68 Akaniuliza
11 - 20🚩🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž
11 - 20🚩🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  90
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 90
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 129
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 129
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  95
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 95
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 133
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 133
6 - 10🚩🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž
6 - 10🚩🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.22K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

742
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

251
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

100
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.69K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.64K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest