Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??
Gonga94 · Stories

MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story………………..MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

Asante kwa kufatilia story hii, tafadhali soma sehemu iliyopita ili ufurahie hii sehemu zaidi…..

ENDELEA......
Baada ya kufila selo karibu kila mfungwa alitamani kujua kile nilichoambiwa akiwemo Asha.
"Hawajaniambia chochote zaidi ya kunirudisha tu selo" niliongea kwa sauti na kila mfungwa alisikia.
"Kuwa makini hiyo mimba yako inaweza kutolewa mda wowote ule" Monica aliyekuwa kimya aliongea kama kunishauri na maneno yake niliyaweka kichwani.
"Bora mwenzetu utapata mtoto, siku na mimi akijerengesha Afande wa kiume tampanulia na nitahakikisha ananitia mimba kabisa" mfungwa mwenzetu alizungumza.

Siku iliyofata nilishangaa wakati wa kula nikiitwa nakupatiwa chakula cha kitofauti kabisa na wafungwa wenzangu, niliyakumbuka maneno ya Monica ya siku iliyopita na machale yalianza kunicheza baada ya kumuona Afande akiniangalia kila mda aliyenipatia chakula.
"Afande mimi siwezi kula hichi chakula!"
"Unapingana na maagizo tuliyopewa!?"
"Hapana sina maana hiyo ila siwezi tu kukila"
"Utakula utake usitake"
Kauli aliyoingoa ndiyo ilinifanya nishituke zaidi, tangu lini mtu akalazimishwa kula tena gerezani, na kingine pia chakula kilikuwa ni cha tofauti kidogo sio kama walichokuwa wakila wafungwa wenzangu.

Niligoma kabisa kula maana niliamini lazima kuna kitu kilichowekwa kwenye chakula ndiyo maana Afande ananilazimisha niweze kukubali kula chakula.

Basi nilienda mpaka alipo Asha nakuanza kula naye huku nikimuacha Afande akinitazama kwa hasira.
Kiukweli kilikuwa ni kipindi kigumu sana kwangu kwa wakati huo, kwani nilizidi kutengeneza chuki na maasikari ndani ya gereza, kuna mda walikuwa wananipa kazi nzito makusudi tu huku wakijua kabisa na mimba.

Asha aliendelea kunitia moyo na bahati nzuri mimba yangu ilizidi kukua nikuwa gerezani humo humo mpaka pale siku ya kujifungua ilipofika, Nilijifungua mtoto wa kiume tena nikuwa selo pamoja na wafungwa wenzangu na huwezi amini mtu aliyenisaidia alikuwa ni Monica.
Ni Tukio ambalo siwezi kulisahau kamwe kwenye maisha yangu.

Nilitolewa selo nikiwa mimi na mwanangu na kupelekwa kwenye zahanati iliyondani ya gereza.

Nilikaa huko kwa mda mpaka pale hali yangu ilipotengemaa pamoja na mwanangu.
Taarifa zilipelekwa kwa mama yangu mzazi hivyo alikuja kumchukua mwanangu akiwa hivyo hivyo mdogo na kuondoka naye.

Kutokana na mimi kupata mimba nikiwa ndani ya gereza, mkuu wa gereza alikuwa tayari ameshatoa maagizo ya ulinzi kuimalisha zaidi ndani ya gereza, Asikari walikuwa wakifatana wawili wawili yaani tulikuwa hatupati nafasi ya kusimamiwa na Afande wa kiume peke yake.

Miaka ilizidi kwenda na umri wetu wengine ulizidi kusogea, bahati mbaya kwa Monica alifariki akiwa gerezani baada ya kupata tatizo la figo.
Karibu kila mfungwa alihudhunika hasa sisi tuliokuwa tukiishi naye selo moja, utani wa hapa pale wa maneno ya kila aina ya Monica kama kutiana, mchumba wangu, demu wangu na mengineyo yalibaki kama kumbukumbu kwetu.

Niliendelea na kifungo changu na michezo ya kutiana kwa kutumia vidole ndani ya gereza ilikuwa imeshapungua kwa kiasi kikubwa kutokana na usimamizi mkali uliokuwepo.
Mpaka mda wangu unafika wa kutoka gerezani sikuwa binti tena kama nilivyoingia gerezani, umri wangu ulikuwa umeshasogea na mvi kwa mbali zilikuwa kwenye kichwa changu.

Nilimuacha Asha pamoja na wafungwa wengine wakiendelea kukitumikia kifungo chake lakini sikuacha kumtia moyo Asha kuwa lazima aendelea kuwa na matumaini huwenda atapata bahati na yeye ya kutoka gerezani.

Basi nilirudi uraiani kwa mara nyingine na mguu wangu ulinipeleka mpaka nyumbani alipokuwa akiishi mama yangu.
"Shikamoo bibi!"
mtoto mdogo niliyekutana naye njiani alinisalimia.
"Kweli na mda mchache sana wa kuishi!" nilijiwazia mwenyewe baada ya kuitwa bibi.

Nilifika na kumkuta ndugu yangu mmoja na bahati nzuri alikuwa akinikumbuka, mama tayari alikuwa ameshafariki kwa wakati huo na uzuri mwanangu aliyekuwa kijana mkubwa tu alimuacha kwenye mikono salama kwa ndugu aliyekuwa akiishi naye.

Asante sana Zooper kwa kuandika story hii, naamini watu watajifunza mengi kwa kile nilichokipitia.
"Asante pia Dora kwa kupotezea mda wako kunisimulia story ya maisha yako"
"Ivi umeshapost vipande vingapi hapo!?"
"Sikumbuki idadi ni vipande vingapi nilivyopost kwenye group, ila kuna swali nahitaji kukuuliza"
"Niulize tu!"
"Huwa unaenda kumuona Asha gerezani!?"
"Hahahahaha naachaje sasa kwenda kumtembelea mke wangu na mme wangu gerezani hata kesho lazima niende kumuona, mara ya mwisho nilivyoenda unajua aliniambia nini!?"
"Hapana bibi sijui!?"
"Usiniite bibi Zooper niite Dora, nachukia watu wanaoniita bibi!"
"Lakini tayari umri wako umeshasogea!?"
"Hakuna cha umri kusogea hapa lasivyo utatoka hapa nyumbani, nitaacha kukwambia alivyoniambia Asha"
"Basi Dora yaishe niambie kilichotokea baada ya wewe kwenda kumuona Asha!?"
"Mara ya mwisho kwenda kumuona Asha gerezani aliniambia kuwa, amekumbuka sana kufanya mapenzi na mimi na hana mtu tena wa kumfariji gerezani....
"Mbona umenyamaza Dora!?"
"Aaaah samahani Zooper, nimejikuta machozi yakinitoka, natamani nifanye kosa jingeni makusudi ili tu nirudi gerezani nikaishi na Asha kwa mara nyingine tena niumalizie uzee wangu nikiwa huko"
"Unaongea nini Dora!?"
"Kesho jitahidi sana kuja mapema ili twende wote gerezani"
"Basi sawa Dora"
Dora alinyenyuka na kuingia ndani.
"Mmmmh Dora kweli alipitia mambo mengi ndani ya gereza, ngoja nipost hichi kipande cha mwisho kwanza ndiyo niondoke"

"Nadhani tayari kimeshawafikia wapendwa wangu, sina mengi zaidi ya kusema huu ndiyo mwisho wa story hii ya MAPENZI NDANI YA GEREZA iliyosimuliwa na Dora, kwa sasa nipo naenda zangu kwa Tina akaendelee kunisimulia story yake ya CHA WOTE na siku akikamilisha basi nitawapostia.

Imeandikwa na ZOOPER na Kusimuliwa na Dora.

Kwa mawasiliano zaidi nitafute kwa namba 0613083801.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??

Story………………..MAPENZI NDANI YA GEREZA (21) FINAL ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

Asante kwa kufatilia story hii, tafadhali soma sehemu iliyopita ili ufurahie hii sehemu zaidi…..

ENDELEA......
Baada ya kufila selo karibu kila mfungwa alitamani kujua kile nilichoambiwa akiwemo Asha.
"Hawajaniambia chochote zaidi ya kunirudisha tu selo" niliongea kwa sauti na kila mfungwa alisikia.
"Kuwa makini hiyo mimba yako inaweza kutolewa mda wowote ule" Monica aliyekuwa kimya aliongea kama kunishauri na maneno yake niliyaweka kichwani.
"Bora mwenzetu utapata mtoto, siku na mimi akijerengesha Afande wa kiume tampanulia na nitahakikisha ananitia mimba kabisa" mfungwa mwenzetu alizungumza.

Siku iliyofata nilishangaa wakati wa kula nikiitwa nakupatiwa chakula cha kitofauti kabisa na wafungwa wenzangu, niliyakumbuka maneno...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ndani-ya-gereza-21-final

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ndani-ya-gereza
MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (01) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (02) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (02) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (04) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (04) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (03) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (03) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (05) ?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (05) ?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (20) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (20) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (06)?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (06)?? WhatsApp……...0613083801 Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (07) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (07) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (18) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (08) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (19) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (09) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (13) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (13) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ??
MAPENZI NDANI YA GEREZA (16) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (16) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (12) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (15) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (15) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (14) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (14) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (10) ??  Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (10) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (11) ?? Umri………………..18+
MAPENZI NDANI YA GEREZA (11) ?? Umri………………..18+
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

937
MY WANGU❤️ sehemu ya 113

MY WANGU❤️ sehemu ya 113

778
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

603
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

307
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10

168
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4

125
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

102
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

79
BLACK BUTTERFLY 🦋 1

BLACK BUTTERFLY 🦋 1

69
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*

57

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.23K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.97K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Post Mpya
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
@majario LIVE

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY 🦋 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest