Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

   NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA  SEHEMU 18 FINAL
Gonga94 Β· Stories

NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA SEHEMU 18 FINAL

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nikiwa nimeduwaaduwaa sina hili wala lile nilijualo..nilishangaa mlango ukisukumwa kwa kasi.....nilibaki nikiduwaa zaidi pale nilipomuona mtu aingiaye.
Hakuwa mwingine bali yule kaka aliyeniwazisha muda wote na kunipa stress z ajabu
,uwepo wa baba mwenye nyumba kwenye chumba changu ulinifanya nione aibu..nikiamini ataniona ni malaya kama nilivyomueleza.

"Nimekaa mbali sana na wewe kwa siku kadhaa,nimekumiss nakuhitaji tena karibu yangu,mrembo wangu"mkaka huyo alizungumza kisha akaanza kunisogelea kisha aakanza kunivua nguo nyie...huku akinikiss romance zile za motomoto...anhaaa nikaona asinitanie kwanza kaniacha muda mrefu wala haji kunitafuta..halafu kanila mara mbili na hata jina simjui.,vipi kama akinila halafu asinioe kabisa....nilizungumza.

"Hebu subiri na wewe kwanza"nilizungumz..mkaka wa watu alitii na kusubiri.

"Unanipenda?"niliuliza.

"Ndio nuru"akajibu.

"Utanioa?,na unaitwa nani?"nikaulizA.

"Naitwa john,nitakuoa ila kwa sasa nipe kidogo basi"akazungumz kisha akanilaza na kuendelea kupiga shoo.....
Safari hii sikuona haja ya kumbania kabisa nikampa yote ,juu chini na ya pembeni....sikufika tu kilimanjaro hadi ziwa victoria nilifika.....kwa uchovu wa shoo aliamua kulala hapohapo siku ya leo..huku baba mqenye nyumba akiwa ni mlinzi wa gari lake alilopaki nnjeπŸ˜€.

Kesho asubuhi niliamka nakushangaaa niliyoyakuta...

"Hiki ni chumba changu?"nilijiuliza pale nilipokuta chumba kikiwa hakina kitu huku nikiwa nimeengemea kwenye mto .

Ikanilazimu kunyanyuka kuelekea nnje ...hakukuwa na kitu nikabaki nimeshika tama.

"Si mwizi yule kaka...hapana hawezi kuniibia ni mawazo yangu tu hebu nisubiri kidogo nione nini kitajiri"nilizungumza.

Haikuchukua muda niliona gari likiwa linakuja upande wangu,nilifahamu ni la yile kaka hivyo nilikaa nikimsubiri kwa hamu afike mahali nilipo.

"Sujakuibia nataka uwe wangu wa milele naomba unipikee na uhamie kwangu,alizungumza kisha akanipigia goti na kutoa pete"

Nuru mie nitake nini tena..moja kwa moja nikapokea ile pete nikaivaa heheheπŸ˜€πŸ˜€sikuacha kumbusu mabusu ya waziwazi..halooo...majirani zNgu hawakuamini kama nuru mie nimevishwa petw.

Baba mwenye nyumba alizimia punde aliposhindwa kuvumilia tukio hiloπŸ˜€,halafu sikujali..wala nini ,tukaongizana na mume wangu mtarajiwa hadi kwake huko.

Tulipifika hatukuanz kula ,nilimlisha kwanz ahalafu aliposhiba nikampikia tena yaani akala tena kabisaπŸ˜€.

Buana buana ikapota miezi.miwili tu shamrashamra za ndo zikaanza,nuru mie nikiwa jmenina haswa sio tako,wala ziwa vyote vikanawiri haswaaπŸ˜….

Wanangu sana hawakuamini macho yao pu de nilipowatembelea maskani kuwapa hiπŸ˜€,domi zege hakuacha kunitania kama nimekuwa omaga...

Baads ya miezi mitatu ,tukafunga pingu za maisha mie na mume wangu john ,ndo takatifu kabisa....
Muda wa sherehe ulipofika ,sikuwasahau wsdau wangu...ulipowekea mziki wa bia tamu...hatukuacha kubambiana na kukatiana miuno...domo zege alinogewa akanisogelea na kunikumbatia kwa nyuma.

John hakuweza kuvumilia ile hali ,alizima mziki na kunibeba juu juu....watu wakabaki wakicheka kwa lililotokea.

Hasira zote zikaishia chumbami...sikumpa vya pwani tu hadi vya kizaramo..nilimpatia....nayeye hakukaa kinyonge buanaπŸ˜‡.

Alinifanya nipige makelele nikisema
"Aaaaah ,aaaah babe ..ni nene kubwa,ndefu halafu tamuu...inanibana babe"
Kwa sifa zake na makeke yake .nilijikuta nikifika mara mbili,kama mtalii makazi.

MWISHO.
MTUNZI NI MIMI JJL...NAWAPENDAπŸ₯°

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA SEHEMU 18 FINAL



Nikiwa nimeduwaaduwaa sina hili wala lile nilijualo..nilishangaa mlango ukisukumwa kwa kasi.....nilibaki nikiduwaa zaidi pale nilipomuona mtu aingiaye.
Hakuwa mwingine bali yule kaka aliyeniwazisha muda wote na kunipa stress z ajabu
,uwepo wa baba mwenye nyumba kwenye chumba changu ulinifanya nione aibu..nikiamini ataniona ni malaya kama nilivyomueleza.

"Nimekaa mbali sana na wewe kwa siku kadhaa,nimekumiss nakuhitaji tena karibu yangu,mrembo wangu"mkaka huyo alizungumza kisha akaanza kunisogelea kisha aakanza kunivua nguo nyie...huku akinikiss romance zile za motomoto...anhaaa nikaona asinitanie kwanza kaniacha muda mrefu wala haji kunitafuta..halafu kanila mara mbili na hata jina simjui.,vipi kama akinila halafu asinioe kabisa....nilizungumza.

"Hebu subiri na wewe kwanza"nilizungumz..mkaka wa watu alitii na...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ndefu-halafu-nene-ila-inanikuna-sehemu-18-final

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ndefu-halafu-nene-ila-inanikuna-sehemu
NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA  SEHEMU YA 08
NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA SEHEMU YA 08
NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA  SEHEMU YA 09
NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA SEHEMU YA 09
NDEFU HALAFU NENE ,ILA INANIKUNA.  SEHEMU YA 07
NDEFU HALAFU NENE ,ILA INANIKUNA. SEHEMU YA 07
NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA  SEHEMU 14
NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA SEHEMU 14
NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA  SEHEMU YA 13
NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA SEHEMU YA 13
NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA  SEHEMU YA 15
NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA SEHEMU YA 15
NDEFU HALAFU NENE  ILA INANIKUNA  SEHEMU 12
NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA SEHEMU 12
NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA SEHEMU 06
NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA SEHEMU 06
NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA  SEHEMU 10 SONGA NAYO....
NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA SEHEMU 10 SONGA NAYO....
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

1.18K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

1.11K
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

768
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

267
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

253
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

240
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

239
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

174
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5

113
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

103

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.81K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS πŸ₯° yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest