Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........08
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.......
"Mara zote nilikuwa naitafuta hii nafasi ya kuongea vizuri na wewe baba angu uniambie kuhusu mama yangu mzazi  yupo wapi?...

ENDELEA NAYO....
"Ni story ndefu sana binti yangu na siwezi kukwambia kwa leo ila unatakiwa ujue jina la mama yako mzazi ni Beatrice", Mr.James aliingia ndani baada ya kumtajia jina la mama yake mzazi binti yake pasipo kumweleza kiundani zaidi.
"Baba mbona ameniambia jina la mama angu na kuniacha njia panda",Diana aliongea huku akimfata baba yake aliyeelekea ndani ili amuulize vizuri lakini hakuambulia chochote kile zaidi ya kuambiwa asubiri mda mwafaka utakapofika .

"Ni siri gani baba anayonificha na hataki niijue kwa wakati huu?", Diana alijiuliza baada ya kutokuambulia chochote kutoka kwa baba yake mzazi zaidi ya kutajiwa jina la mama yake mzazi.

Aliamua kujianda ili aende katika kampuni ya FNF na siku hiyo Diana alitaka  kupendeza na kuwa wakitofauti kabisa.

Nyumbani kwa kina Anjelina,
"Mwanangu mbona Leo sielewielewi?", Mama Angelina alimuuliza mwanae.
"Kwanini mama?"
"Umetumia mda mrefu kujipamba na sio kawaida yako,nahisi kutakuwa na tukio la mhimu siku ya leo huko uendako"
"Ni kweli mama hujakosea ila nyie ndio mmefanya mpaka nitumie mda mrefu kujipamba mana sikutaka kuingia kwenye haya mashindano kabisa", Angelina aliongea.

Mwanamama Beatrice alimsogelea binti yake nakuanza kumpa maneno ya kumtuliza na hakuacha kumkumbusha hatakiwa kukataa nafasi aliyopewa na Mwanamama katalina.

Lakini Angelina alikumbuka kitu cha mhimu na aliamua kumwambia mama yake,
"Mama ni mda mrefu umepita hatujaenda kumuona baba gerezani naamini atakuwa anajisikia vibaya sana kuona familia yake haiendi kumtembelea",Angelina aliongea kwa majonzi kidogo.
"Upo sahihi mwanangu kwa ulichosema ila hutakiwa kuwa na mawazo hayo kwa sasa, tutatafuta siku maalumu ya kwenda kumuona baba yako na hutakiwi kukaa sana mwanangu mda unazidi kwenda Angelina", Mwanamama Beatrice hakutaka kuendelea na zile stori za baba mzazi wa Angelina aliye gerezani kwa wakati huo.

Angelina alijiandaa na alipomaliza nae alielekea sehemu husika na siku iyo mavazi yake yalikuwa tofauti na siku zote na hakwenda kikazi kwani Mwanamama katalina alimpa likizo ya kutokufanya kazi yoyote ile zaidi ya kujumuika na wenzake kwenye tukio la siku hiyo.

Alifika ndani ya kampuni ya FNF na ata Mwanadada Diana nae aliwasili na alipendeza isivyo kawaida karibu kila mtu siku hiyo alikuwa tofauti na siku zote na wote walijumuika katika sehemu maalumu iliyo andaliwa kwa ajili ya tukio husika, Mwanamama Katalina aliyekuwa amewasili tayali akiwa na baadhi ya viongozi wenzake wanaowasimamia aliongea mbele ya warembo hao,
"Siku ya leo watu wote mtapatiwa namba na izo ndizo zitakazokuwa namba zenu  za ushiriki mtakazo dumu nazo mpaka mwisho wa mashindano haya na kila mtu atakuja hapa mbele yetu kuonyesha kile kilichomfanya awe hapa", Mwanamama Katalina aliongea na kuwafanya wote warufahi.

Upande wa Angelina alikuwa na wasiwasi kidogo mana alikuwa sio mzoefu wa maswala hayo ya kutembea kimiss na wala hakuwahi kufanyia mazoezi kama wenzake hali iliyozidi kuongeza hofu kiupande wake.

Mwanamama katalina alisimama kwa mara nyingine nakuongea
"na kingine, ni siku ya leo peke yake tutakayofanya ili zoezi asubuhi, siku zingine zote zinazokuja zoezi hili litakuwa likifanyika usiku........
Cha mwisho kampuni yetu ya FNF tumeingia makubaliano ya washiriki wote kuvaa viatu vitakavyotoka kwenye kampuni tuliloingia nalo makubaliano,kila mmoja wenu mda mtakaokuwa mnapatiwa namba zenu za ushiriki mtachagua viatu vitakavyo wafa na hii ni lazima ndugu zangu,na mkumbuke kuwa imebaki miezi miwili tu mashindano yaweze kufanyika ya kumtafuta mshindi kati yenu nyinyi", Mwanamama alimaliza kuongea na kila mshiriki aliyashika maneno yaliyotamkwa na Mwanamama huyo.

Zoezi lilianza kufanyika na kila mshiriki alipatiwa namba na kuchagua kiatu atakachotumia katika zoezi hilo,Mary na Faith nao hawakuwa mbali kwani kila mtu alipatiwa namba ya ushiriki na ata kwa mwanadada Angelina nae alipatiwa namba 30 ikiwa kama namba yake ya ushiriki tatizo lilikuwa kwenye aina ya viatu alivyopewa vilikuwa ni size yake lakini kwenye maisha yake yote hakuwahi kuvaa viatu vyenye visigino virefu na huo ukawa mtihani mwingine kwa mwanadada Angelina.

Diana alipatiwa namba 25 ya ushiriki na sasa kila mtu alijipanga kwa ajili ya zoezi kuanza huku tukio hilo likirecordiwa.
Albert nae alifika kwa ajili ya kushuhudia mazoezi ya warembo waliokuwa pale.

Zoezi lilianza na mshiriki namba Moja alianzia kutembea kwa miondoko iliyomvutia Karibu kila mtu aliyekuwa pale na watu walipiga makofi wakimpongeza kwa kazi nzuri, na wengine pia walianza kupita japo asilimia ya wote waliokuwa wakipita wengi walikuwa na miondoko iliyowavutia watazamaji wa zoezi lile.
"Huu mwaka itakuwa kazi sana kumpata mshiriki mana wengi wanaonekana wako vizuri", mwanamama katalina aliongea akimwambia kiongozi mwenzake waliokuwa wamekaa wote maeneo yale.
washiriki walizidi kupita na kufanya vizuri akiwemo Mary pamoja na rafiki yake Faith nae alijitahidi kwa kiasi chake, ilifika zamu ya mshiriki namba 25 kupita na hakuwa mwingine bali ni Diana,

Albert alivyomwona Diana kwa mbali ndipo alipozidi kudata kabisa kwani siku hiyo Diana alipendeza utasema ndio siku husika ya mashindano yenyewe,
"Diana leo lazima nikutamkie kitu ambacho nilikisubiri kwa mda mrefu kukwambia,leo ni lazima nitamke neno nakupenda ", yalikuwa ni maneno ya kijana Albert aliyekuwa akimtazama Diana.

Mwanamama Katalina alivyomwona Diana alikasilika ila hakuwa na cha kufanya zaidi ya kutazama tu na alikuwa hatazami kwa umakini ushiriki wake kama ni mzuri au mbaya,alijikuta akiwa na mawazo ya chuki kuliko kufatilia kile kilichokuwa kikiendelea pale,lakini alishangaa watu wakipiga makofi ya kumpongeza Diana.
Karibu kila mtu alifurahishwa na kile alichokionesha Diana na ata baadhi ya washiriki wenzake walimpongeza kwa kile alichokionyesha.

Baada ya Diana washiriki wengine wanine walipita sasa ilifika zamu ya mshiriki namba 30 ambae ni Angelina licha ya kuwa ni mazoezi waliyokuwa wakifanya lakini alikuwa na hofu ya hali kitu kilichomfanya apoteze kujiamini, alisogea mpaka stegini na kujaribu kutembea kama wenzake walivyokuwa wanafanya lakini bahati haikuwa kwake siku hiyo kutoka na hofu aliyokuwa nayo alijikuta akitembea vibaya na kuanguka mpaka chini,
"Hahahahahahahaha!!!", ni vicheko tu ndio vilikuwa vikisikika kwa watu waliokuwa pale Karibu kila mtu alicheka isipokuwa Mwanamama katalina peke yake.

Watu waliofurahi zaid ni Diana pamoja na Albert aliyeshindwa kuzuia kicheko chake kwa tukio aliloliona pale.
Mwanamama Katalina alisimama na kwenda mpaka alipokuwa Angelina alimyenyua kwa kutumia mikono yake yake,
"Mwanangu hii ni kama changamoto kwako dhahabu ili ing'ae lazima ipite kwenye moto, mwanzo siku zote huwa mgumu sana na ndiyo tunafanya mazoezi hapa ili ikifika siku ya tukio kila mtu awe na uwezo wa kupambana kupigania taji",Mwanamama katalina aliongea lakini upande wa Angelina ni maneno machache aliyoyasikia kwani mawazo yake yalikuwa kwenye aibu aliyoipata mbele ya umati ule na ata Mwanamama katalina alilitambua hilo ikabidi apaze sauti yake kuwatuliza watu waliokuwa pale,
"Wote naomba mtulie, hapa tunafanya mazoezi tu Ili tulekebishane na ata nyie washiriki wengine mliopita hapa na hamjaanguka kama mwenzenu ilivyomtokea bado mnavitu vya kulekebisha,huyu ni mshiriki mwenzenu na hamtakiwi kumdhihaki ata kidogo kwani hii ni kama changamoto kwake", Mwanamama katalina alimaliza kuongea na kidogo ilisaidia watu kutulia na kuendelea kuangalia washiriki wengine waliokuwa wanapita mpaka pale walipomaliza.

Kila mtu alitowanyika na ata Angelina ambae kila mtu aliyekuwa akikutana nae anamwangalia na kumcheka kutokana na tukio lililotokea,akiwa anatembea kutoka katika kampuni hiyo ya FNF alisikia akiitwa ikabidi ageuke kutazama ni nani anayemuita,
Hakuwa mwingine aliyekuwa anamwita bali alikuwa Diana aliyeamua kumfata baada ya yeye kusimama,
"Duuuuuh pole sana kwa kuanguka si bora uache tu kushiriki kama huwezi, yani mbele za watu unaanguka, hii ajabu sana",Diana aliongea lakini Angelina hakutaka kumjibu zaidi ya kugeuka nakuanza kuondoka kitendo kile Diana aliona kama ni dharau anayofanyiwa na Angelina.
"Unakiburi mimi naogea wewe unaenda?"
"Ata kama nikikujibu haitasaidia kitu  kama kuanguka nilianguka  mimi na sio wewe".
Wakiwa bado na majibishano yale Albert aliweza kuwaona na kuamua kuwafata huku moyoni akiwa na dukuduku la kuongea mbele ya Angelina,kabra hajawafikia alishika simu yake na kuanza kutabasamu kwa kile alichokiona kwenye simu aliwasogelea huku akiwa anakitu cha kuongea kwa Angelina.....ITAENDELA.

Nini atafanya Albert atakapo wafikia karibu katika sehemu inayokuja.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........08
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.......
"Mara zote nilikuwa naitafuta hii nafasi ya kuongea vizuri na wewe baba angu uniambie kuhusu mama yangu mzazi  yupo wapi?...

ENDELEA NAYO....
"Ni story ndefu sana binti yangu na siwezi kukwambia kwa leo ila unatakiwa ujue jina la mama yako mzazi ni Beatrice", Mr.James aliingia ndani baada ya kumtajia jina la mama yake mzazi binti yake pasipo kumweleza kiundani zaidi.
"Baba mbona ameniambia jina la mama angu na kuniacha njia panda",Diana aliongea huku akimfata baba yake aliyeelekea ndani ili amuulize vizuri lakini hakuambulia chochote kile zaidi ya kuambiwa asubiri mda mwafaka utakapofika .

"Ni siri gani baba anayonificha na hataki niijue kwa wakati...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

565
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

530
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

396
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

335
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

237
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

164
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

41

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest