Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........10
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Baada ya simu kukatwa Mwanamama Katalina aliamua kunyenyuka kwenye kiti alichokuwa amekaa na kwenda kwenye gari lake tena akiliondoa kwa kasi na haikufahamika ni wapi anapoelekea........

ENDELEA NAYO..
Mwanamama katalina alienda moja kwa moja mpaka nyumbani kwa mwanadada Angelina,na aliwakuta wakimbebeleza binti Anjelina aliyegoma kabisa kurudi  kufanya kazi kwenye kampuni ya FNF,
"Anjelina unajua ni kipi kilichonileta hapa?",mwanamama katalina aliuliza baada ya kufika.
"Hapana mama sijui",Angelina alijibu kwa unyenyekevu wa hali  ya juu.
"Kesho jitajidi sana uje kuna zawadi imeandaliwa kwa ajili yako na kampuni tuliloingia nalo mkataba wa nyie kuvaa viatu vinavyotengenezwa na kampuni hilo", Mwanamama katalina aliongea.
"Zawadi ya kuaibika mama na sura yangu nitaiweka wapi", Angelina bado hakukubaliana nae kabisa mwanamama katalina.

Uwepo wa wao watatu kuwa pale yani mwanamama katalina,Manka na mama yake mzazi walifanya ushawishi mkubwa uliomfanya mpaka Angelina akubali kwenda.
                  
Baada ya maongezi ya mda mrefu kati ya Albert na Diana wakiwa bado wanaendelea kuongea, kijana Albert alichukua simu na kuiwasha na baada ya simu yake kuwaka alikutana na ujumbe huku namba iliyotumika kutuma ujumbe huo ikiwa ni ngeni,
"Mama mzazi ni mmoja tu duniani sijui kwanini umesahau kile nilichokwambia kwamba mama yako yupo kwenye hatari Albert",
Ni ujumbe uliosomeka kwenye simu yake na ulimtoa kwenye mudi ya kuendelea kuongea na Diana, ata Diana aliliona hilo.
"Albert kuna tatizo?",Diana ilibidi amuulize baada ya kumuona ameishiwa raha na tabasamu kufutika usoni.
"Ndio diana naomba niende tutaongea siku nyingine", Albert hakutaka kusubiri kuona Diana ataongea nini aliamua kuondoka maeneo yale akimuacha Diana kwenye maswali yasiyokuwa na majibu.
"Huyu itakuwa kuna kitu kinachomsumbua sio bure lakini mimi hayanihusu mambo yake nikipata ninachokitaka ata urafiki kati yangu na yeye lazima ufe, sina kingine cha kufanya zaidi ya kuheshimu makubaliano niliyoweka na baba yangu", Diana aliongea kuonyesha kuwa yupo na Albert kwa sababu flani.

Nae palepale simu yake iliita ilimlazimu aipoke,
na mtu aliyempigia hakuwa mwingine bali ni Stewart,
"Diana nipo nyumbani kwenu nakusubiri nimepiga stori na baba yako mpaka amechoka nakuondoka",Stewart aliongea.
"Ivi unakichaa Stewart nani aliyekuelekeza nyumbani kwetu unawezaje kuja bira kuwa na ruhusa yangu na ulipajuaje?",Diana aliongea maneno ya kutosha na upande wa Stewart hakuwa ata na wasiwasi wowote zaidi ya kumuimiza awahi kurudi nyumbani yupo anamsubiri.

Albert baada ya kuachana na Diana alimtafuta Mary kwenye simu ili ajue ni kwanini amemtumia ule ujumbe na majibu aliyopatiwa ni waonane sehemu tulivu ili waweze kuongea vizuri,
Albert hakujali kama tayali giza limeshaanza kutanda mda huo aliitaji kujua atafanya nini kumsaidia mama yake mzazi alienda mpaka sehemu aliyoitwa na Mary na kufanyikiwa kumkuta akimsubiri,
"Nilijua huwezi kuja",Mary aliongea baada ya kumuona Albert.
"Mama yangu ni mhimu kuliko kitu chochote kile na ndiyo mana nipo hapa nahitaji uniambie nani aliye nyuma ya haya yote unayoniambia", Albert aliongea na mda huo alikuwa bado kasimama.
"relax Albert kwanza unatakiwa ukae ili unisikilize kwa umakini zaidi",Mary aliongea tana akiwa hana wasiwasi wowote ule.
"Aya nimekaa nani anayetengeneza mipango ya kumuangamiza mama yangu kama akishindwa kuwa Miss Tanzania?",Albert kwa mara nyingine tena aliuliza.
"Unataka kumjua huyo mtu?"
"Ndio tena sasa ivi tu"
"Aliyekaa mbele yako ndiyo anamipango ya kumuua mama yako kama tu akikoswa uMiss Tanzania",Mary aliongea.
"Unamaanisha wewe ndiyo una hiyo mipango ya kumuangamiza mama yangu kama usipokuwa Miss Tanzania?".

Albert alinyenyuka kwenye kitu alichokuwa amekaa na kumfata Mary ambae hakuwa na wasiwasi wowote ule.
"Nitakuua nakwambia ukijaribu kumuua mama yangu ole wako umguse na kuanzia sasa ivi nitafanya juu chini usiendelee na mashindano labda sio mimi Albert", Albert aliongea huku mboni za macho yake zikibadilika na kuwa nyekundu.
"Wewe ndio unatakiwa uniogope mimi na sio mimi kukuogopa, naitwa Mary na unachotakiwa kufanya kwa sasa nikunisikiliza kile ninachokitaka, una usiku wa leo tu wakujiuliza uwe upande wangu au ufanye kile unachoona ni sahihi ili mama yako afe, na kaa ukijua sipo peke yangu kwenye hilijambo na ole wako upeleke tarifa polisi usije kunilaumu kwa kitakacho mtokea mama yako Albert, kesho asubuhi nahitaji jibu langu upo upande gani wangu au upande wako?", Mary baada ya kumpiga mkwala Albert alinyenyuka na kuondoka maeneo yale.
"Huyu mwanamke mbona anajiamiani sana, subiri nitamwonyesha",ni maneno yaliyotoka  mdomo mwa Albert baada ya Mary kuondoka.
                
Upande wa Diana alifika nyumbani mida ya usiku na kweli alimkuta Stewart akiwa pale tena wanaongea na baba yake vizuri hali iliyomshangaza kidogo,
"Mwenzako kakusubiri sana na ametoka uingeleza kwa ajili yako", Mr.James aliongea na kumfanya Diana ashangae ni lini Stewart alienda uingeleza ila hakutaka kumwambia baba yake ukweli.

Mr.James ilibidi awapishe kwa ajili ya mazungumzo,

"Stewart ndio ujinga gani huu ulioamua kuufanya?",diana alimuuliza Stewart tena akiwa hana utani ata kidogo.
"Umesahau kama na wewe ulilala nyimbani kwetu Diana?, ata mimi leo nilitamani kuja kulala nyumbani kwenu na uzuri nilikufatilie ile siku bira wewe kujua ndiyo mana imekuwa vyepesi mimi kuja kwenu",Stewart aliongea.

Diana hakuwa na kingine tena zaidi ya kukubaliana na hali na stori mbalimbali ziliendelea lakini Stewart alikuwa tofauti na Albert kwani ni mtu mwenye matani mengi na hii ilimfanya Diana atabasamu na mpaka ulifika mda wa kula wote wakapata chakula kisha baada ya hapo Stewart alionyeshwa chumba anachotakiwa kulala usiku huo.

Upande wa Albert baada ya kufika nyumbani  hali haikuwa nzuri kutokana na kile alichoambiwa na Mary aliwaza sana ni kitu gani anatakiwa afanye ili mama yake awe salama mana kwa maneno aliyoambiwa na Mary yalimfanya aanze kuamini kuwa Mary alikuwa anamanishe kile alichokisema.

"Huyu inatakiwa niende nae kwa akili lasivyo nitampoteza mama yangu na ata nikisema niende kutoa tarifa polisi bado haitasaidia kitu zaidi ya kuongeza matatizo zaidi, ngoja nikubaliane nae alafu nione kapanga kufanya nini",Albert akiamua kufanya maamuzi ya kukubali ili aone atakachoambiwa na Mary ni kipi, alipanda kitandani na kulala.
              
Siku mpya ilifika na Albert asubuhi hiyohiyo alimtumia ujumbe Mary na kumtarifu kuwa yupo tayali kuwa upande wake ili mama yake awe salama,
Ata upande wa Mary baada ya kuupata ujumbe ule alilukaluka kwa furaha nakuona sasa mipango yake inaenda vizuri na amebakiza hatua chache tu afikie kile alichokuwa akikitaka, kwanza alimtarifu Albert wanapaswa kukutana jioni ya siku hiyo na amueleze kiundani zaidi ya kipi anachohitaji,

Angelina nae aliamua kwenda kwenye kampuni ya FNF kama alivyoambiwa na mwanamama katalina na alipofika alishangaa akiitwa ofisini kwa mwanamama huyo,
"Angelina unakumbuka nilichokwambia jana", ndicho alichoongea mwanamama katalina.
"Ndio mama nakumbuka"
"Hii ni zawadi yako imeletwa na hatukutaka washiriki wengine wajue mana ingeonekana jambo la ajabu sana kwa kile kilichotokea jana, yakupaswa uchukue naamini utaipenda".

Angelina aliichukua na kuangalia ndani ya box lile alikutana na simu ya garama na ndio zawadi aliyopatiwa na kampuni ile ya viatu.
"Hutakiwi kukata tamaa tuna miezi miwili tu imebaki fanya mazoezi ya kutembea na viatu vya aina ile na inatakiwa uniahidi kuwa kesho tutakapofanya mazoezi kwa mara nyingine hutoniangusha Angelina".Mwanamama katalina aliongea na kumfanya Angelina kutafakari kile alichoambiwa.
"Nakuahidi na temu hii nitafanya kwa jitihada zangu zote, sitakubali tena kudhalaulika mbele za watu, kuanzia leo mimi nitakuwa mshindani wa kweli kwenye mashindano hayo ya Miss Tanzania".Angelina aliongea kwa kujiamini na ata mwanamama katalina hakuamini kusikia maneno yale kutoka kwa angelina.

Hii ilimaanisha kuwa ameapa kuwa mshindani na sio msindikizaji kwa wenzake kauli aliyozungumza ilimfurahisha sana mwanamama katalina...ITAENDELA.

Nyie bado tunaendelea na simulizi yetu ngoja tuone kama kweli Angelina ataweza kushindana na Mary pamoja na Diana.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........10
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Baada ya simu kukatwa Mwanamama Katalina aliamua kunyenyuka kwenye kiti alichokuwa amekaa na kwenda kwenye gari lake tena akiliondoa kwa kasi na haikufahamika ni wapi anapoelekea........

ENDELEA NAYO..
Mwanamama katalina alienda moja kwa moja mpaka nyumbani kwa mwanadada Angelina,na aliwakuta wakimbebeleza binti Anjelina aliyegoma kabisa kurudi  kufanya kazi kwenye kampuni ya FNF,
"Anjelina unajua ni kipi kilichonileta hapa?",mwanamama katalina aliuliza baada ya kufika.
"Hapana mama sijui",Angelina alijibu kwa unyenyekevu wa hali  ya juu.
"Kesho jitajidi sana uje kuna zawadi imeandaliwa kwa ajili yako na kampuni tuliloingia nalo mkataba wa nyie kuvaa viatu vinavyotengenezwa na kampuni hilo", Mwanamama katalina aliongea.
"Zawadi ya kuaibika mama na sura...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

598
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

507
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

475
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

324
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

235
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

79

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest