Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........11
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Hii ilimaanisha kuwa ameapa kuwa mshindani na sio msindikizaji kwa wenzake kauli aliyozungumza ilimfurahisha sana mwanamama katalina...

ENDELEA NAYO....
Baada ya Angelina kuamua kutokukata tamaa na kuipambania nafasi ya kuwa  Miss Tanzania mambo yalibadilika kwani alianza kuonyesha ushindani wa hali ya juu na ata baadhi ya washirika wenzake walianza kuona mabadiliko kutoka kwake hali iliyowafanya wasahau ata lile tukio la kuanguka na video yake kusambaa, huku Albert akimuahidi Mary kuwa lazima awe Miss Tanzania.

Siku nazo zilisogea sasa zilibaki siku mbili tu kwa ajili ya mashindano kufanyika.
Makampuni mbalimbali ya mavazi na wafanyabiashara wakubwa walitoa uthamini kwa washiriki mbalimbali kutumia bidhaa za mavazi yao ili waweze kujitangaza kibiashara zaidi, na kila mshiriki alisubiri kwa hamu siku iweze kufika.

Mary alimua amtafute Albert,
"Albert unakumbuka makubaliano yetu yalivyokuwa", alikuwa ni Mary aliyekuwa akiongea na hii ilimfanya Albert kukaa kimya huku akimsikiliza mwanadada huyo.
"Nakumbuka lakini mimi nitafanya nini ikiwa sipo sehemu ya watu watakao husika kupiga kura kwa ajili ya kumchagua mushindi?",Albert alijibu kiutaratibu na kiukweli alikuwa ameshikwa na kushikika na mwanadada Mary.
"Namba yangu ya ushiriki unaijua nenda kaongee na mama yako awashawishi majaji wawe upande wangu siku hiyo, mimi ninachotaka niushindi tu tumia njia yoyote ile unaoijua wewe ilimradi niwe Miss Tanzania vinginevyo utampoteza mama yako mzazi, naondoka Albert tukutane siku ya mashindano",Mary aliongea nakuondoka.

Albert alibaki mwenye mawazo asijue cha kufanya kwa kile alichoambiwa na Mary,
"Huyu asinifanye mimi mtoto mdogo ngoja tuone baada ya mashindano nini atafanya kwa mama yangu,sitafanya kile anachokitaka na mama yangu hatopata tatizo lolote lile", Alibert sasa aliamua kushikilia msimamo wake kama mwanaume.

Siku mbili ziliisha na siku ya tukio ya kumchagua mrembo wa taifa ilifika na kila mtu aliusubiri usiku huo kwa hamu kila mwanadada alikuwa na uhakika wa kuibuka mshindi mbele ya wenzake.
Mwanadada Diana mawasiliano na Stewart yaliongezeka zaidi siku hadi siku na ilifika mda ata Mr.James mwenyewe alitokea kumkubali kijana Stewart na hii ikamfanya Stewart awe na uhuru wa kwenda nyumbani kwao Diana mara kwa mara na ata siku hiyo aliamua kuja kwa ajili ya kufanya maongezi na Diana,
"Diana leo ni siku uliyokuwa ukiisubiri kwa hamu sana naamini usiku wa leo lazima utaibuka mshindi na utakuwa Miss Tanzania wa huu mwaka",Stewart aliongea.
"Nashukuru kwa kunitia moyo ila kuna mtu nilitegemea ndiyo atakuwa msaada wangu wa kuifanya kazi hii iwe nyepesi lakini nae naona kama hajali kabisa",Daina aliongea akimaanisha Albert.
"Mtu gani huyo?"
"Sio lazima sana umjue, kikubwa nahitaji uwepo wako usiku wa leo hakikisha unakuja kuniunga mkono", Diana aliamua abindishe mada hakutaka kuongea kiundani zaidi.
"Tena sio mimi tu nitakuja na wazazi wangu Mr.John na Mrs.John"
"Hahahahaha, mtoto wa mzee John unamaneno".
"Eheee vip kuhusu Mr.James atakuwepo kwenye siku hii mhimu Diana?",Stewart alimuuliza akimaanisha baba yake mzazi.
"Ndio mzazi niliyenae lazima aje atake asitake".

Walikuwa wameshazoeana kwa kiasi kikubwa sana na utani kwao kilikuwa ni kitu cha kawaida kati ya Diana na Stewart.

Upande wa Albert mawazo yalikuwa kwa mama yake mzazi na alisahau ata kumtafuta Diana siku hiyo alipokuwa nyumbani kwao macho yake yote yalikuwa kwa mwanamama katalina.
"Leo mbona unaniangalia ivyo shida nini Albert mwanangu?"
Mwanamama katalina alimuuliza mwanae.
"Hapana mama ila najiuliza leo nani atakayeibuka mshindi na natamani pia mwaka kesho kampuni letu lipewe hii tenda ya kusimamia tena mashindano yajayo",Albert aliongea.
"Albert kweli umekuwa sasa ivi mwanangu na unaongea mambo yenye kujenga tofauti na zamani lakini inakupaswa ujiandae na wewe hatuna mda wa kupoteza",Mwanamama katalina aliongea na kuelekea chumbani kwake.
"Yani leo siwezi kukaa mbali na wewe mama ata dekika moja nitakuwa na wewe kila sehemu kuhakikisha unakuwa salama", Albert aliongea baada ya mama yake kuondoka.

Angelina nae alikuwa kwenye maandalizi makubwa siku hiyo na alimchukua rafiki yake Manka amfanyie make up itakayomfanya apendeze zaidi ya wengine,
"Angelina sioni mtu wa kukushinda amini maneno yangu na baada ya masaa machache yajayo utakuja kuamini hichi ninachokwambia", Manka aliongea.
"Manka tafadhali acha maneno yako nakujua vizuri ukianza kuongea hapa utaifanya ata hii make up ukiyonipaka ifutike mana unajua kunipa plesha wewe", Angelina aliongea.

Walipokuwa wakiendelea kuongea huku Manka akimpamba rafiki yake mwanamama Beatrice alifika na kumsogelea binti yake,
"Mwanangu leo hakikisha unashinda na pia kuna jambo la mana nitakwambiwa siku ya leo", maneno ya mwanamama Beatrice yalimfanya mwanae Angelina amtazame mama yake nakumuuliza,
"Jambo gani hilo mama?"
"Sio wakati wake sasa ivi kukwambia nenda kwanza ukashinde kisha baada ya hapo nitakweleza kila kitu",Mwanamama Beatrice hakutaka kumwambia mwanae kwa wakati huo.

Angelina alikubali kishingo upande na kuendelea na maandalizi.

Usiku uliokuwa unasubiliwa kwa hamu uliweza kufika wanahabari walijazana kwenye ukimbi huo maarufu kwa ajili ya kuchukua habari na matukio mbalimbali,
Washiriki wote walikuwa wameshawasili sehemu ya tukio na kila mwanadada siku hiyo alipendeza isivyo kawaida,
"Mary unauhakika lakini umeweka mipango sawa isije kuwa unaniambia tu hapa kuwa lazima ushinde ukaja kushindwa",Faith aliongea.
"Acha ujinga yule tayali nimeshamvuluga akili yake tena unatakiwa unyamaze kabisa watu wasije kukusikia ukaharibu mipango yangu bure na hapa kuna waandishi wa habari wa kutosha sitaki uivuluge siku yangu Faith",
"Mmmmh haya sisi washindi wa pili ngoja tusogee", Faith aliongea.

Baada ya kuhakikishiwa na Mary kuwa atakuwa mshindi wa pili na yeye atakuwa mshindi wa kwanza alianza kusogea sehemu ya tukio husika.

Majaji zaidi ya watano walifika kwa ajili ya kuanza zoezi na mmoja wao akiwa ni mwanamama katalina akiwa na majaji wenzake.
Washiriki walisogea na zoezi lilianza lasimi.

Washiriki wenye namba za mwanzoni kila mmoja wao alianza kupita kwa kutembea kimadoido nakuongea kingeleza mbele ya umati uliokuwa pale na ilifika zamu ya mwanadada Mary ambae aliamini kabisa pale anaenda kutekeleza wajibu tu wa kufanya kama washiriki wenzake wanavyofanya ila hamna atakaye kuwa mshindi zaidi yake yeye, hii ilimpunguzia umakini na hakutembea vizuri kama wenzake walivyofanya na ata alipoanza kuongea bado aliongea ilimradi tu hali iliyofanya ata majaji waliokuwa wamekaa pale wengi wao hawakufurahisha na kile alichokifanya na ata rafiki yake Faith nae alijitahidi kwa kiasi chake akiamini ushindi ni wa kwao.

Zamu ya mwanadada Diana ilifika,
Mr.James alifurahi kumuona mwanae lakini alivyotazama majaji walipokuwa wamekaa alimuona mwanamama katalina hii ikazidi kumkasilisha zaidi.

Stewart nae alikuwa amekaa pamoja na wazazi wake walipomuona Diana wote walipiga makofi ishara ya kuwa wapo pamoja nae.

Diana alisogea mpaka kwenye stage nakuanza kutembea kimadoido na hii kuwafanya majaji wengi wafurahishwe na kile alichokifanya kwani alikuwa anajiamini sana ila ilikuwa tofauti kwa mwanamama katalina ambae yeye kwake hakuona maajabu yoyote Diana aliyoyaonyesha na ata Diana alivyoanza kuongea kiingeleza bado kilikuwa kimenyooka na kuzidi kuwafurahisha wote waliokuwa pale.

Majaji wengi walishika kalamu zao nakumpa marks za juu Diana karibu wote walimpa marks za juu.
"Mimi naona huyu ndiyo atakuwa mshindi wetu japo ni mzunguko wa kwanza tu ila sizani kama kuna mtu atakuja kumfikia",Jaji mmoja aliongea aliyekuwa amekaa karibu na mwanamama katalina aliyeyasikia yale maneno.
"Bado kuna washiriki wengine Mr na mizinguko bado ipo mingine kuna watakao fanya vizuri kuliko ata huyo aliyepita", Mwanamama katalina aliongea ili kusitisha mazungumzo yao kumuongelea Diana.
Na mda huo Diana alikuwa akiondoka huku watu wengi wakimpongeza, na washiriki wengine walipita mpaka pale ilipokuja kufika zamu ya mwanadada Angelina ambaye naye temu hii alikuwa tofauti kwani alijiamini isivyo kawaida.

Alivyotokeza mbele ya umati karibu kila mtu alishangaa kuona tabasamu la mwanadada Angelina na utembeaji wake uliokuwa wa kitofauti na hii kuwafanya watu wote ukumbini wakae kimya...ITAENDELEA.

Nani atakaye nyakua taji la Miss Tanzania karibu katika hatua inayofata.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........11
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Hii ilimaanisha kuwa ameapa kuwa mshindani na sio msindikizaji kwa wenzake kauli aliyozungumza ilimfurahisha sana mwanamama katalina...

ENDELEA NAYO....
Baada ya Angelina kuamua kutokukata tamaa na kuipambania nafasi ya kuwa  Miss Tanzania mambo yalibadilika kwani alianza kuonyesha ushindani wa hali ya juu na ata baadhi ya washirika wenzake walianza kuona mabadiliko kutoka kwake hali iliyowafanya wasahau ata lile tukio la kuanguka na video yake kusambaa, huku Albert akimuahidi Mary kuwa lazima awe Miss Tanzania.

Siku nazo zilisogea sasa zilibaki siku mbili tu kwa ajili ya mashindano kufanyika.
Makampuni mbalimbali ya mavazi na wafanyabiashara wakubwa walitoa uthamini kwa washiriki mbalimbali kutumia bidhaa za mavazi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*

566
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*

516
REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34*

REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*

331
MY CRAZY BOSS 12,13,14

MY CRAZY BOSS 12,13,14

300
SHAMIRA sehemu ya 27&28

SHAMIRA sehemu ya 27&28

165
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 11

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 11

145
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 12

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 12

139
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18

127
MY CRAZY BOSS 15

MY CRAZY BOSS 15

119
SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15

SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15

115

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.33K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.08K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.73K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.16K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.57K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.38K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.36K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 13 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 13
@majario LIVE

Nikasikia kuna nini hapoo???" Halafu muda huo Veda alikuwa ananitazama machoni na mie nimtazama yaani tunatazamana nina uhakima mioyo yetu ilikuwa inaongea maana kwa yale macho ya veda daah achaaaa Nikageuka...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana baada ya kukutana na madam groly Tena NYUMBANI kwangu. "Amepajuaje hapa ? Au amekuja na pully?" Nilijiuliza kimoyamoyo uku nikimuangalla madam Groly kwa wasiwasi uku nikiwaza amekuja kufanya nini...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kwanza nilishtuka sana, nilimuangalia Enzo kwa makini sana lakini enzo hakuwa na uwezo ata wa kuniangalia, muda wote alipepesa macho akiangalia pembeni tu wakati akizungumza. Maneno makali sana juu...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 12 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 12
@majario LIVE

Nilijitetea kwelii japo nilikwangua ka_akiba kangu ila niliona aibu sana kurudishiwa ile pesa aah nikasema acha nilipwe na Mungu tu .. Akanibembeleza sanaa nikakataa wakati naondoka akaniomba namba ya simu nikawaachia...

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Sehemu ya 16 na 17. Mwandishi; lissa wa huru media kijana . Nakuuliza si unajifanya mjanja .basi tutasomana . Ata mimi ni mjanja wa zamani. Baba yangu alimuangalia sana adrian....

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 11 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 11
@majario LIVE

Ikabidi tu nikubali kinyongee ila roho iliniuma sanaaa yaani mpaka chozi lilinitoka aiseee... Tinner akabaki kunibembeleza na hapo hata sijui atakuja linii mjinga kweli huyu kakaa gari yangu tena aah roho...

Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire Post Mpya
Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire
@majario LIVE

for achieving the highest score of 719 and earning Rank 1 in the examination! 🎉👏 Your outstanding achievement brings pride not only to your province but also to your Isabelino...

Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto Post Mpya
Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto
@majario LIVE

yake kweli Mungu alisikia maombi yake akapata kazi kwenye hiyo Kampuni. Baada ya kupata kazi John safari yake ya kwanza tu akiwa na ile kampuni akapata ajali na kufarika hapo...

THE SECRET MESSAGE 💬 1,2 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 💬 1,2
@majario LIVE

01 Ninatamani kama isiwe ni kweli kwenye hili ambalo mimi leo hii nataka niwaweke wazi. Lakini hii sio ndoto, sijaota mimi, ni kweli nimeyaishi na yamenitokea kwenye maisha yangu. Maisha yangu...

MY CRAZY BOSS 15 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 15
@majario LIVE

"Watu wote waliohudhuria kikao waliondoka , chumbanai humo tulibaki mimi pamoja na Boss Erick, macho yake muda wote yaliangaza kwangu ." "Nimekumiss sana mrembo wangu, nimemiss sura yako, tabasamu lako,...

MY CRAZY BOSS 12,13,14 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 12,13,14
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 12 Kama ofisini hapafai naomba twende nyumbani,yaani twende sasa hivi,boss alizungumza. Hapana ,sio sasa hivi,nilijibu. "Sawa kama ni baadae,boss aliitikia" Nilitoka na kuagiza lunch kisha nikampelekea boss nakuendelea...

REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34* Post Mpya
REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*
@majario LIVE

upande mwingine calor na mama yake walifika na kumkuta cathe akiwa anaosha vyombo, mama cathe alishangaa sana kuona mwanae anafanya kazi, cathe alipomuona mama yake alinyanyuka na kwenda kumkumbatia huku analia cathe...

SHAMIRA sehemu ya 27&28 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 27&28
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana shoga akanishukuru mno. Bado nikamtoa lunch mimi sindo tajiri tena alikula alichokitaka nakwambia. Basi baada ya yote tukaenda charambe sasa .nikapita kwa...

SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Sehemu ya 11 na 12. Mwandishi; lissa wa huru media Basi nilivyotoka pale nikaeenda kutulia sebleni rohooo yangu kwatu. Sijuh ata alimalizanaje na mwanamke wake uko. Mida ya mchana mama akaniuliza...

REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 33* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA 33*
@majario LIVE

kwahiyo baba unanikataza mimi nisiende kwa dada yangu? wewe baba gani mbaguzi yani unamjali sana dada kuliko mimi? vipi kuhusi namimi hali yangu mbona hunijali alisema cathe kwa kumfokea baba...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest