Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........11
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Hii ilimaanisha kuwa ameapa kuwa mshindani na sio msindikizaji kwa wenzake kauli aliyozungumza ilimfurahisha sana mwanamama katalina...

ENDELEA NAYO....
Baada ya Angelina kuamua kutokukata tamaa na kuipambania nafasi ya kuwa  Miss Tanzania mambo yalibadilika kwani alianza kuonyesha ushindani wa hali ya juu na ata baadhi ya washirika wenzake walianza kuona mabadiliko kutoka kwake hali iliyowafanya wasahau ata lile tukio la kuanguka na video yake kusambaa, huku Albert akimuahidi Mary kuwa lazima awe Miss Tanzania.

Siku nazo zilisogea sasa zilibaki siku mbili tu kwa ajili ya mashindano kufanyika.
Makampuni mbalimbali ya mavazi na wafanyabiashara wakubwa walitoa uthamini kwa washiriki mbalimbali kutumia bidhaa za mavazi yao ili waweze kujitangaza kibiashara zaidi, na kila mshiriki alisubiri kwa hamu siku iweze kufika.

Mary alimua amtafute Albert,
"Albert unakumbuka makubaliano yetu yalivyokuwa", alikuwa ni Mary aliyekuwa akiongea na hii ilimfanya Albert kukaa kimya huku akimsikiliza mwanadada huyo.
"Nakumbuka lakini mimi nitafanya nini ikiwa sipo sehemu ya watu watakao husika kupiga kura kwa ajili ya kumchagua mushindi?",Albert alijibu kiutaratibu na kiukweli alikuwa ameshikwa na kushikika na mwanadada Mary.
"Namba yangu ya ushiriki unaijua nenda kaongee na mama yako awashawishi majaji wawe upande wangu siku hiyo, mimi ninachotaka niushindi tu tumia njia yoyote ile unaoijua wewe ilimradi niwe Miss Tanzania vinginevyo utampoteza mama yako mzazi, naondoka Albert tukutane siku ya mashindano",Mary aliongea nakuondoka.

Albert alibaki mwenye mawazo asijue cha kufanya kwa kile alichoambiwa na Mary,
"Huyu asinifanye mimi mtoto mdogo ngoja tuone baada ya mashindano nini atafanya kwa mama yangu,sitafanya kile anachokitaka na mama yangu hatopata tatizo lolote lile", Alibert sasa aliamua kushikilia msimamo wake kama mwanaume.

Siku mbili ziliisha na siku ya tukio ya kumchagua mrembo wa taifa ilifika na kila mtu aliusubiri usiku huo kwa hamu kila mwanadada alikuwa na uhakika wa kuibuka mshindi mbele ya wenzake.
Mwanadada Diana mawasiliano na Stewart yaliongezeka zaidi siku hadi siku na ilifika mda ata Mr.James mwenyewe alitokea kumkubali kijana Stewart na hii ikamfanya Stewart awe na uhuru wa kwenda nyumbani kwao Diana mara kwa mara na ata siku hiyo aliamua kuja kwa ajili ya kufanya maongezi na Diana,
"Diana leo ni siku uliyokuwa ukiisubiri kwa hamu sana naamini usiku wa leo lazima utaibuka mshindi na utakuwa Miss Tanzania wa huu mwaka",Stewart aliongea.
"Nashukuru kwa kunitia moyo ila kuna mtu nilitegemea ndiyo atakuwa msaada wangu wa kuifanya kazi hii iwe nyepesi lakini nae naona kama hajali kabisa",Daina aliongea akimaanisha Albert.
"Mtu gani huyo?"
"Sio lazima sana umjue, kikubwa nahitaji uwepo wako usiku wa leo hakikisha unakuja kuniunga mkono", Diana aliamua abindishe mada hakutaka kuongea kiundani zaidi.
"Tena sio mimi tu nitakuja na wazazi wangu Mr.John na Mrs.John"
"Hahahahaha, mtoto wa mzee John unamaneno".
"Eheee vip kuhusu Mr.James atakuwepo kwenye siku hii mhimu Diana?",Stewart alimuuliza akimaanisha baba yake mzazi.
"Ndio mzazi niliyenae lazima aje atake asitake".

Walikuwa wameshazoeana kwa kiasi kikubwa sana na utani kwao kilikuwa ni kitu cha kawaida kati ya Diana na Stewart.

Upande wa Albert mawazo yalikuwa kwa mama yake mzazi na alisahau ata kumtafuta Diana siku hiyo alipokuwa nyumbani kwao macho yake yote yalikuwa kwa mwanamama katalina.
"Leo mbona unaniangalia ivyo shida nini Albert mwanangu?"
Mwanamama katalina alimuuliza mwanae.
"Hapana mama ila najiuliza leo nani atakayeibuka mshindi na natamani pia mwaka kesho kampuni letu lipewe hii tenda ya kusimamia tena mashindano yajayo",Albert aliongea.
"Albert kweli umekuwa sasa ivi mwanangu na unaongea mambo yenye kujenga tofauti na zamani lakini inakupaswa ujiandae na wewe hatuna mda wa kupoteza",Mwanamama katalina aliongea na kuelekea chumbani kwake.
"Yani leo siwezi kukaa mbali na wewe mama ata dekika moja nitakuwa na wewe kila sehemu kuhakikisha unakuwa salama", Albert aliongea baada ya mama yake kuondoka.

Angelina nae alikuwa kwenye maandalizi makubwa siku hiyo na alimchukua rafiki yake Manka amfanyie make up itakayomfanya apendeze zaidi ya wengine,
"Angelina sioni mtu wa kukushinda amini maneno yangu na baada ya masaa machache yajayo utakuja kuamini hichi ninachokwambia", Manka aliongea.
"Manka tafadhali acha maneno yako nakujua vizuri ukianza kuongea hapa utaifanya ata hii make up ukiyonipaka ifutike mana unajua kunipa plesha wewe", Angelina aliongea.

Walipokuwa wakiendelea kuongea huku Manka akimpamba rafiki yake mwanamama Beatrice alifika na kumsogelea binti yake,
"Mwanangu leo hakikisha unashinda na pia kuna jambo la mana nitakwambiwa siku ya leo", maneno ya mwanamama Beatrice yalimfanya mwanae Angelina amtazame mama yake nakumuuliza,
"Jambo gani hilo mama?"
"Sio wakati wake sasa ivi kukwambia nenda kwanza ukashinde kisha baada ya hapo nitakweleza kila kitu",Mwanamama Beatrice hakutaka kumwambia mwanae kwa wakati huo.

Angelina alikubali kishingo upande na kuendelea na maandalizi.

Usiku uliokuwa unasubiliwa kwa hamu uliweza kufika wanahabari walijazana kwenye ukimbi huo maarufu kwa ajili ya kuchukua habari na matukio mbalimbali,
Washiriki wote walikuwa wameshawasili sehemu ya tukio na kila mwanadada siku hiyo alipendeza isivyo kawaida,
"Mary unauhakika lakini umeweka mipango sawa isije kuwa unaniambia tu hapa kuwa lazima ushinde ukaja kushindwa",Faith aliongea.
"Acha ujinga yule tayali nimeshamvuluga akili yake tena unatakiwa unyamaze kabisa watu wasije kukusikia ukaharibu mipango yangu bure na hapa kuna waandishi wa habari wa kutosha sitaki uivuluge siku yangu Faith",
"Mmmmh haya sisi washindi wa pili ngoja tusogee", Faith aliongea.

Baada ya kuhakikishiwa na Mary kuwa atakuwa mshindi wa pili na yeye atakuwa mshindi wa kwanza alianza kusogea sehemu ya tukio husika.

Majaji zaidi ya watano walifika kwa ajili ya kuanza zoezi na mmoja wao akiwa ni mwanamama katalina akiwa na majaji wenzake.
Washiriki walisogea na zoezi lilianza lasimi.

Washiriki wenye namba za mwanzoni kila mmoja wao alianza kupita kwa kutembea kimadoido nakuongea kingeleza mbele ya umati uliokuwa pale na ilifika zamu ya mwanadada Mary ambae aliamini kabisa pale anaenda kutekeleza wajibu tu wa kufanya kama washiriki wenzake wanavyofanya ila hamna atakaye kuwa mshindi zaidi yake yeye, hii ilimpunguzia umakini na hakutembea vizuri kama wenzake walivyofanya na ata alipoanza kuongea bado aliongea ilimradi tu hali iliyofanya ata majaji waliokuwa wamekaa pale wengi wao hawakufurahisha na kile alichokifanya na ata rafiki yake Faith nae alijitahidi kwa kiasi chake akiamini ushindi ni wa kwao.

Zamu ya mwanadada Diana ilifika,
Mr.James alifurahi kumuona mwanae lakini alivyotazama majaji walipokuwa wamekaa alimuona mwanamama katalina hii ikazidi kumkasilisha zaidi.

Stewart nae alikuwa amekaa pamoja na wazazi wake walipomuona Diana wote walipiga makofi ishara ya kuwa wapo pamoja nae.

Diana alisogea mpaka kwenye stage nakuanza kutembea kimadoido na hii kuwafanya majaji wengi wafurahishwe na kile alichokifanya kwani alikuwa anajiamini sana ila ilikuwa tofauti kwa mwanamama katalina ambae yeye kwake hakuona maajabu yoyote Diana aliyoyaonyesha na ata Diana alivyoanza kuongea kiingeleza bado kilikuwa kimenyooka na kuzidi kuwafurahisha wote waliokuwa pale.

Majaji wengi walishika kalamu zao nakumpa marks za juu Diana karibu wote walimpa marks za juu.
"Mimi naona huyu ndiyo atakuwa mshindi wetu japo ni mzunguko wa kwanza tu ila sizani kama kuna mtu atakuja kumfikia",Jaji mmoja aliongea aliyekuwa amekaa karibu na mwanamama katalina aliyeyasikia yale maneno.
"Bado kuna washiriki wengine Mr na mizinguko bado ipo mingine kuna watakao fanya vizuri kuliko ata huyo aliyepita", Mwanamama katalina aliongea ili kusitisha mazungumzo yao kumuongelea Diana.
Na mda huo Diana alikuwa akiondoka huku watu wengi wakimpongeza, na washiriki wengine walipita mpaka pale ilipokuja kufika zamu ya mwanadada Angelina ambaye naye temu hii alikuwa tofauti kwani alijiamini isivyo kawaida.

Alivyotokeza mbele ya umati karibu kila mtu alishangaa kuona tabasamu la mwanadada Angelina na utembeaji wake uliokuwa wa kitofauti na hii kuwafanya watu wote ukumbini wakae kimya...ITAENDELEA.

Nani atakaye nyakua taji la Miss Tanzania karibu katika hatua inayofata.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........11
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Hii ilimaanisha kuwa ameapa kuwa mshindani na sio msindikizaji kwa wenzake kauli aliyozungumza ilimfurahisha sana mwanamama katalina...

ENDELEA NAYO....
Baada ya Angelina kuamua kutokukata tamaa na kuipambania nafasi ya kuwa  Miss Tanzania mambo yalibadilika kwani alianza kuonyesha ushindani wa hali ya juu na ata baadhi ya washirika wenzake walianza kuona mabadiliko kutoka kwake hali iliyowafanya wasahau ata lile tukio la kuanguka na video yake kusambaa, huku Albert akimuahidi Mary kuwa lazima awe Miss Tanzania.

Siku nazo zilisogea sasa zilibaki siku mbili tu kwa ajili ya mashindano kufanyika.
Makampuni mbalimbali ya mavazi na wafanyabiashara wakubwa walitoa uthamini kwa washiriki mbalimbali kutumia bidhaa za mavazi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

575
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

458
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

455
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

380
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

314
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

190
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

82
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

53

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest