Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........14
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.........
Mda huohuo alitoka na kwenda katika hospital kuhakikisha kama ni binti yake kweli....

ENDELEA NAYO......
Mda huohuo alitoka na kwenda katika hospital kuhakikisha kama ni binti yake kweli.
"Hapana Diana mwanangu huwezi kuwa kwenye hiyo hali, ikiwa bado sijakwambia ukweli kuhusu mama yako ni wapi alipo naomba uendele kuwa mzima tafadhali",ni maneno ya Mr.James aliyaongea huku akiendesha gari kuelekea hospital.
                 
Miss Tanzania mpya aliyepatikana mda mchache uliopita au mwite Angelina alikuwa bado ukumbini akiendelea kupiga picha na watu wachache waliokuwa wamebaki pale mana mda huo watu wengi walikuwa wameshaanza kuondoka maeneo hayo ila alishangaa kuona karibu kila mtu yupo bize na simu,
"Mmmh kuna nini mbona watu wengi wameshika simu na wanamazungumzo?", Miss Tanzania Angelina aliongea na rafiki yake Manka aliyekuwa pale.
"Ngoja niangalie kwenye simu yangu hapa mrembo wa taifa huenda kuna kitu kinachoendelea mitandaoni", Manka alimjibu na kuchukua simu yake kuangalia.

ile anafungua tu simu alishangaa kukutana na zile habari ilibidi amwonyeshe Angelina kile kilichokuwa kikiendelea,
"Huyu si Diana na alikuwa amevaa nguo hizihizi?",Angelina aliuliza lakini Manka hakuangaika kumjibu zaidi ya kutikisa kichwa tu kwamba hajakosea kabisa ni yeye diana.
"Manka naomba twende nyumbani siwezi tena kuendelea kukaa hapa",Angelina aliongea.
"Lakini Angelina mda bado kidogo"
"Nimesema twende nyumbani Manka", Angelina aliongea kwa ukali kidogo.

Angelina alijikuta anapata maumivu baada ya kuona mwanadada Diana kapata ajari, Manka hakuwa na kingine cha kufanya zaidi ya kufanya vile anavyotaka Angelina alimuchukua na kuelekea nae nyumbani.

Mr.James alifika nakuwaeleza wauguzi wa hospital hiyo nao walimchukua na kumpeleka kwenye chumba alichokuwa amelazwa Diana.

Kwanza alipomwona mwanae miwani aliyokuwa amevaa ilidondoka chini na hakuwaza ata kuiokota zaidi ya kusogea alipokuwa amelazwa mwanae ila nesi aliyekuwa pale aliiokota ile miwani na kuiweka mahali ambapo ni salama karibu na kitanda alichokuwa amelazwa Diana,
"Diana mwanangu amka binti yangu",Mr.James aliongea huku machozi yakimtoka na hakujali kama kuna mwanamke pembeni yake ambae ni nesi.
"Mr.samahani hawezi kuamka kwa sasa kutokana na ajari aliyoipata na tulikuwa tukisubiri ndugu wa huyu binti ili tufanye vipomo kwakuwa tayali umeshapatikana naomba uongozane na mimi mpaka kwa doctor", Nesi aliongea ila Mr.James hakuwa na cha kujibu kwa wakati huo zaidi ya kunyenyuka na kumfata nesi mpaka kwa Doctor.

"Mr.James,mgonjwa wako kesho asubuhi atafanyiwa vipimo ili tujue tatizo alilo nalo na hizi ni garama unazotakiwa kulipia",Doctor aliongea.
"Kwani hamuwezi kufanya vipimo sasa ivi, nataka apimwe sasa ivi na garama zote nitalipa", Mr.James alifungua kinywa chake na kuzungumza.
"Itakuwa ngumu mzee wangu kwa sasa"Doctor aliongea na maneno yake yalipingwa na Mr.James.

ilibidi watumie nguvu kubwa kumuelewesha Mr.James aliyekubaliana nao kishingo upande na aliamua kurudi kwenye chumba cha binti yake kuendelea kumwangalia.

Angelina au Miss Tanzania akiwa na rifiki yake Manka walifika nyumbani na kupokelewa na mwanamama Beatrice aliyekuwa na furaha baada ya kuzipata habari za mwanae kuwa Miss Tanzania mana tarifa zote alikuwa akizifatalia kwenye Tv yao ndogo ila alishangaa kumuona binti yake akiwa hana furaha,
"Manka kafanyeje Angelina mbona hana raha?", Mwanamama Beatrice alimuuliza rafiki wa binti yake.
"Mama kuna tarifa mbaya amezipata zilizomfanya akose raha", Manka alijibu.
"Tarifa gani izo?".

Manka alianza kumsimulia kilichokuwa kimetoa cha Diana kupata ajari na haikutosha alichukua simu yake na kumuonyesha picha zilizokuwa zimeenea kwa wingi mitandaoni,
"Masikini binti wa watu nazani wazazi wake watakuwa kwenye wakati mgumu sana kwa wakati huu,ngoja niongee na mwenzako", mwanamama beatrice alinyenyuka nakumfata mwanae Angelina kwa ajili ya kufanya nae mazungumzo.

Angelina hakuwa na hamu ya kuongea na mtu yoyote yule kwa wakati huo,
"Mama nahitaji kubaki peke yangu kwa sasa", Angelina aliongea baada ya mama yake kufika.
"Ni sawa lakini kumbuka nilichokwambia asubuhi kabra wewe hujaenda kwenye mashindano kuwa kuna kitu cha mhimu ninachotakiwa kukwambia", mwanamama beatrice aliongea na kunyenyuka ili aende.
"Basi mama njoo tuongee na uniambie hicho kitu mama angu", Angelina ilibidi aonyeshe sura ya uchangamfu mbele ya mama yake.
"Kabra sijakwambia mwanangu kwanza niambie kwanini umekuwa na huzuni kiasi hicho huku wewe ndiye uliyeibuka mshindi ?"
"Mama mimi nimeumia kumuona mtu aliyekuwa mshindi wa pili amepata ajari ina maana hii nafasi niliyoichukua mimi ilikuwa ina umhimu mkubwa mno kwake kuliko kwangu", Angelina aliongea.
"Nakujua binti yangu wewe una moyo wa upendo sana lakini kumbuka hii ni mipango ya mungu ndivyo ilivyokuwa imepangwa na kingine kwenye mashindano kila mtu ana haki ya kushinda....
Tuachane na hayo kuna kitu mhimu nataka nikuambie siku ya leo......."
"Kitu gani mama?"
"Wewe ni mtoto wa pili kwangu una dada yako ambae nilianza kumzaa yeye badae ukafata wewe", mwanamama beatrice aliongea.
"Unaongea nini mama mbona sikuelewi?"
"Unakumbuka nilishawahi kukusimilia mahusiano ya rafiki yangu katalina na mwanaume waliyekuwa wakipendana nae aliyekuwa akiitwa James?"
"Ndio mama nakumbuka"
"Basi naomba unisikilize kwa umakini,baada ya rafiki yangu katalina na John kusimamishwa na kuambiwa waje kufanya mitihani tu, nakumbuka ilikuwa ni siku ya jumamosi nilikuwa nikielekea nyumbani siku hiyo nilikutana na James aliyekuwa mpenzi wa rafiki yangu katalina tuliongea mengi sana hiyo siku na aliniomba  tuongozane mpaka kwao akanipe vitu ambavyo alipatiwa na katalina ili nimrudishie mwenye navyo.

Tulifika mpaka kwao na tukaingia ndani ajabu James alianza kufunga mlango kitu kilichonishangaza ilibidi nimuulize tatizo nini mpaka afunge mlango ila hakunijibu kitu zaidi ya kunisogelea na kunishika na kiukweli ile siku James alifanyikiwa kunibaka kisha baada ya hapo niliondoka huku nikilia mpaka nyumbani japo sikuwaambia kitu chochote"
"Nini kilichoendelea baada ya hapo mama?"
"Miezi mitatu ilipita na tulikuwa tumebakiza mwezi mmoja tu tufanye mtihani wa kumaliza kidato cha nne hali yangu ilibadilika kwani nilikuja kugundua kuwa nina mimba niliifanya siri mpaka pale nilipomalizi mitihani nakurudi nyumbani ila baba yangu alinifukuza nyumbani,

Nilitoka pale nyumbani nikaamua niende kwa James kumwambia ambae nae aliikataa mimba akidai sio mimba yake..",mwanamama Beatrice aliendelea kuongea huku machozi yakimtoka..
Baba yako aliamua kunichukua na kunisaidia mpaka pale nilipojifungua,nilikuwa na hasira sana na yule mtoto hivyo nilimchukua na kwenda mpaka kwa James aliyejaribu kumkataa lakini nilimuweka pale chini nakuondoka na baada ya mwaka mmoja kupita nilipata mimba yako na kukazaa wewe mwanangu", mwanamama beatrice alimaliza kuongea.
ilikuwa ni habari mpya kwa mwanadada Angelina hakuamini kama ana dungu kwenye hii dunia....ITAENDELEA.

ndugu wa Angelina atakuwa nani? na hali ya mwanadada Diana itakuwaje karibu katika sehemu ya 15.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k?????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........14
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.........
Mda huohuo alitoka na kwenda katika hospital kuhakikisha kama ni binti yake kweli....

ENDELEA NAYO......
Mda huohuo alitoka na kwenda katika hospital kuhakikisha kama ni binti yake kweli.
"Hapana Diana mwanangu huwezi kuwa kwenye hiyo hali, ikiwa bado sijakwambia ukweli kuhusu mama yako ni wapi alipo naomba uendele kuwa mzima tafadhali",ni maneno ya Mr.James aliyaongea huku akiendesha gari kuelekea hospital.
                 
Miss Tanzania mpya aliyepatikana mda mchache uliopita au mwite Angelina alikuwa bado ukumbini akiendelea kupiga picha na watu wachache waliokuwa wamebaki pale mana mda huo watu wengi walikuwa wameshaanza kuondoka maeneo hayo ila alishangaa kuona karibu kila mtu yupo bize na simu,
"Mmmh...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

595
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

500
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

475
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

323
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

229
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

76

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest