Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........16
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.........
haikumfanya apunguze upendo wake na hii ilimfanya ata Mr.James aone utofauti wa kijana Albert na kijana Stewart aliyepunguza mazoea ya kuja kumuona Diana kama ilivyokuwa hapo kabra na hii kumfanya aanze kupunguza chuki alizokuwa nazo kwa Albert.........

ENDELEA NAYO.....
Upande wa kijana Stewart akiwa amekaa na ameshika simu yake macho yake yalikuwa yakitazama picha za Miss Tanzania ambae ni Anjelina hakumkumbuka tena Diana kwa wakati huo na akili zake zilikuwa kwa mwanadada Angelina,
"rafiki yako anaendeleaje?", sauti ya mama yake mzazi ilisikika na kumfanya aweke simu pembeni ili ajibu kile alichoulizwa.
"Rafiki gani mama?"
"Mtu wa ajabu sana wewe kwani Diana sio rafiki yako, wewe sindio ulitukulupua hapa usiku twende tukampe hamasa Diana ya kushinda taji la Miss Tanzania?", mama yake aliongea.
"Aaah kumbe Diana yupo anaendelea vizuri tu japo hataweza kutembea tena na anatumia kiti kutembea sasa ivi"
"Masikini binti bado mdogo na ni mrembo kweli lakini kapatwa na matatizo ya ukilema mapema sana,nafikiri familia yake itakuwa kwenye majonzi sana",mwanamama aliongea.
"Mama ngoja mimi nitoke mara moja", Stewart hakutaka kuka pale nakuendelea kusikiliza story za mama yake mzazi tena zinazomhusu Diana, kiujmla alitaka kusahau jina la Diana ndio mana hakutaka ata kulisikia kwenye masikio yake.
            
Upande wa Mary akiwa na rafiki yake Faith walikuwa ni watu wakulaumiana hasa Faith alimulaumu sana Mary,
"Mimi nilijua utatengeneza mipango ya maana kumbe hamna kila kitu bora ata mimi nilikuwa kwenye kumi bora",Faith aliongea.
"Albert anajifanya mjanja nilimtisha kwa kumuigizia tu kuwa nitamuua mama yake kama nisipokuwa Miss Tanzania nasikuwa na mpango wa kumuua kabisa,sasa temu hii nitamuonyesha kama mimi ndio Mary", Mary aliongea.

Hasira zake za kushindwa kuwa Miss Tanzania aliamua kuzimalizia kwa Albert na alipanga kutimiza kile alichomwambia Albert.

Faith alishangaa kumsikia rafiki yake akitamka vile,
"Mimi naona unaenda kuwa kichaa yani unataka mpaka umue mtu kisa kutokuwa Miss Tanzania?,emu achana na hayo mambo rafiki yangu yameshaisha tuangalie michongo mingine maisha yaende",Faith aliongea kama kumshauli Mary.
"Huwa sipendi dharau kwenye maisha yangu kwakuwa Albert kanionyesha dharau acha nimuonyeshe mimi ni mtu wa aina gani, na wewe pia kama huna stori zingine unaweza kupotea hapa na usikanyage tena kuanzia leo"
"Heeeeeh!!, makubwa yamekuwa hayo tena aya mimi naondoka ila nilichokwambia kizingatie utaingia matatizoni kwa kufanya kitu ambacho hakina faida yoyote ile",Faith aliongea nakuondoka.

Hasira alizokuwa nazo Mary za kukosa taji la Miss Tanzania zilimfanya mpaka avunje urafiki na Faith akiapa kufanya kile alichomwambia Albert kuwa atamuangamiza mwanamama katalina.
              
Upande wa Miss Tanzania Angelina aliingia mkataba na makampuni tofauti tofauti na moja likiwa ni kampuni kubwa la uigizaji Tanzania, maisha ya Angelina yalibadilika kwa mda mfupi tu na hakuishi tena uswahilini yeye pamoja na mama yake kwani aliweka mashariti kwenye moja ya kampuni aliloingia nalo mkataba ya wao kumnunulia nyumba.

Akiwa amekaa na mama yake mzazi Miss Tanzania alipata wazo,
"Mama ni mda mrefu leo inatakiwa twende gerezani tukamsalimie baba", Angelina akiwa na mwanamama beatrice aliona ni mda mwafaka wa kwenda kumsalimia baba yake aliyekuwa gerezani.
"Huwa najihisi ni mwenye hatia kwa kumuona baba yako akiwa gerezani bira mimi huenda asingekuwa gerezani, huwa nashindwa kumtazama baba yako usoni",mwanamama beatrice aliongea na kumfanya Angela amsogele na kumkumbatia mama yake kama ishara ya kumtoa wasiwasi.

Mwanamama beatrice alikubali kuongozana na binti yake mpaka gerezani na walianza safari mda huohuo kuelekea gerezani.

Ndani ya gereza  anaonekana baba wa makamo aliyekondeana na kuchokeana na hii ni kutokana na maisha ya gerezani yalivyo,akiwa ameka ndani ya gereza asikari alifika,
"Mfungwa namba 12"
"Nipo afande",ilikuwa ni namba ya baba huyo wa makamo aliyefahamika kwa jina Gerald, alisimama na kumfata afande.

Mbele ya macho yake hakuamini kumuona mwanamke aliyempenda kwa dhati na pembeni yake kukiwa na binti mrembo,
"Unawafahamu hawa watu?",ni swali lililotoka kwa afande akimuuliza Gerald.
"Ndio afande ni mke wangu na huyo ni binti yangu na mtoto wangu wa peke",Gerald alijibu na kumfanya afande ampe ruhusa ya kufanya maongezi na watu waliokuja kumtembelea katika gereza hilo maarufu.
"Angelina mwanangu, umekuwa binti mkubwa sasa",Gerald alimwambia binti yake huku akiwa na furaha iliyoambatana na machozi.
"Ndio baba mwanao niko hapa".

Mda wote mwanamama beatrice alikuwa kimya aliwaacha baba na mtoto waonge.

"Nilipata bahati ya kupunguziwa kifungo cha kukaa gerezani nimebakiza miezi 6 tu ya mimi kuwa gerezani sio mda nitaungana na nyinyi tena uraiani",Gerald aliongea na kuifanya familia yake ifurahi baada ya kupata tarifa zile mpya.

Waliongea mpaka pale asikari alipokuja kumchua Gerald na kumrudisha gerezani huku Mwanamama Beatrice na mwanae wakiondoka, Angelina akiwa na furaha kwa alichokisikia kutoka kwa baba yake baada ya kuwaambia mda aliobakiza wa miezi 6 atoke gerezani.
                
Ni siku ya mapumziko siku hii mwanamama katalina hakwenda katika kampuni ya FNF aliamua kubaki nyumbani na kufanya mambo mengine, na ata mwanae Albert hakuwepo nyumbani siku iyo.
Baada ya mda mrefu pasipo  kumpigia mke wake temu hii aliamua ampigie mwanamama katalina tena kwa video call na ata mwanamama katalina alishanga kuona baba yake na Albert amempigia simu ilibidi apoke na wakaanza kuongea huku kila mtu akiwa anamuona mwenzake.

Upande wa nje wa nyumba hiyo mwanadada Mary alienda kukusanya vijana wa mtaani nakuja nao maeneo ya nyumba ya mwanamama katalina, akiwa ndani ya gari lake na kazi aliyotaka kuifanya niyakumteka mwanamama katalina,
"Sikilizeni nimebadilisha mawazo msimuue kwanza tupige pesa alafu mengine badae", Mary aliongea na vijana wake.
"Eleweka Mary kwahiyo tunambeba na kumleta huku nje au anafia hukohuko ndani", moja ya kijana aliongea.
"Punguza bangi jamaa yangu kwani hujamsikia sister Mary alivyosema emu twendeni ndani tukambebe huyo mama na kama tukikuta kuna wengine nikipigo tu nakumchukua mtu wetu sisi hatujali", moja ya kijana aliongea.

Walikubaliana na  walisogea mpaka sehemu ya geti nakubisha hodi na haikupita mda alifungua mlinzi ila alipigwa na kitu kizito kilichomfanya aanguke chini na kuzimia palepale.
Mwanamama katalina alikuwa hana habari akiwa bado anaongea na mme wake alishanga kuona vijana  wakiingia ndani na ata mme wake aliweza kuwaona kupitia simu ya mke wake,
"Nyie ni kina nani?", mwanamama katalina aliwauliza akiwa na wasiwasi wa hali ya juu.
"Hatuna mda wa kupoteza hapa kamateni twende nae", moja ya kijana aliongea.

Mwanamama katalina alijaribu kuleta ubishi ila hakuwa na nguvu za kuwazuia kwani walimchukua na kumpeleka mpaka kwenye gari lao tena akipewa vitisho vya hali ya juu kama tu atajaribu kunyenyua mdomo wake na kupiga kelele kifo kitakuwa halali yake.

Mary alifurahi kuona vijana wametekeleza agizo lake aliondoa gari kwa speed na mwanamama katalina akiwa ndani ya lile gari.

Upande wa Albert alikuwa hajui kilichokuwa kikiendelea nyumbani kwao akiwa amekaa na Diana akiendelea kumfariji alipowasha data kwenye simu yake alishangaa kukutana na sms nyingi zikiingia na zilionyesha zimetoka kwa baba yake na ndani ya mda huohuo baada ya kuwa online baba yake alipiga simu,
"Fanya unachojua uende nyumbani mama yako hayupo salama", alianza kumwelezea jinsi ilivyokuwa.
"Diana nakuja sasa ivi tu",Albert aliondoka upesi akimuacha Diana kwenye maswali mengi.....ITAENDELEA

Albert atafanyikiwa kumpata mama yake?,na Mary kapanga kufanya nini kwa Mwanamama Katalina?,sehemu ijayo ina majibu zaidi.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........16
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.........
haikumfanya apunguze upendo wake na hii ilimfanya ata Mr.James aone utofauti wa kijana Albert na kijana Stewart aliyepunguza mazoea ya kuja kumuona Diana kama ilivyokuwa hapo kabra na hii kumfanya aanze kupunguza chuki alizokuwa nazo kwa Albert.........

ENDELEA NAYO.....
Upande wa kijana Stewart akiwa amekaa na ameshika simu yake macho yake yalikuwa yakitazama picha za Miss Tanzania ambae ni Anjelina hakumkumbuka tena Diana kwa wakati huo na akili zake zilikuwa kwa mwanadada Angelina,
"rafiki yako anaendeleaje?", sauti ya mama yake mzazi ilisikika na kumfanya aweke simu pembeni ili ajibu kile alichoulizwa.
"Rafiki gani mama?"
"Mtu wa ajabu sana wewe kwani Diana sio rafiki yako,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

578
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

465
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

464
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

317
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

202
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

83
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

61

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest