Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........16
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.........
haikumfanya apunguze upendo wake na hii ilimfanya ata Mr.James aone utofauti wa kijana Albert na kijana Stewart aliyepunguza mazoea ya kuja kumuona Diana kama ilivyokuwa hapo kabra na hii kumfanya aanze kupunguza chuki alizokuwa nazo kwa Albert.........

ENDELEA NAYO.....
Upande wa kijana Stewart akiwa amekaa na ameshika simu yake macho yake yalikuwa yakitazama picha za Miss Tanzania ambae ni Anjelina hakumkumbuka tena Diana kwa wakati huo na akili zake zilikuwa kwa mwanadada Angelina,
"rafiki yako anaendeleaje?", sauti ya mama yake mzazi ilisikika na kumfanya aweke simu pembeni ili ajibu kile alichoulizwa.
"Rafiki gani mama?"
"Mtu wa ajabu sana wewe kwani Diana sio rafiki yako, wewe sindio ulitukulupua hapa usiku twende tukampe hamasa Diana ya kushinda taji la Miss Tanzania?", mama yake aliongea.
"Aaah kumbe Diana yupo anaendelea vizuri tu japo hataweza kutembea tena na anatumia kiti kutembea sasa ivi"
"Masikini binti bado mdogo na ni mrembo kweli lakini kapatwa na matatizo ya ukilema mapema sana,nafikiri familia yake itakuwa kwenye majonzi sana",mwanamama aliongea.
"Mama ngoja mimi nitoke mara moja", Stewart hakutaka kuka pale nakuendelea kusikiliza story za mama yake mzazi tena zinazomhusu Diana, kiujmla alitaka kusahau jina la Diana ndio mana hakutaka ata kulisikia kwenye masikio yake.
            
Upande wa Mary akiwa na rafiki yake Faith walikuwa ni watu wakulaumiana hasa Faith alimulaumu sana Mary,
"Mimi nilijua utatengeneza mipango ya maana kumbe hamna kila kitu bora ata mimi nilikuwa kwenye kumi bora",Faith aliongea.
"Albert anajifanya mjanja nilimtisha kwa kumuigizia tu kuwa nitamuua mama yake kama nisipokuwa Miss Tanzania nasikuwa na mpango wa kumuua kabisa,sasa temu hii nitamuonyesha kama mimi ndio Mary", Mary aliongea.

Hasira zake za kushindwa kuwa Miss Tanzania aliamua kuzimalizia kwa Albert na alipanga kutimiza kile alichomwambia Albert.

Faith alishangaa kumsikia rafiki yake akitamka vile,
"Mimi naona unaenda kuwa kichaa yani unataka mpaka umue mtu kisa kutokuwa Miss Tanzania?,emu achana na hayo mambo rafiki yangu yameshaisha tuangalie michongo mingine maisha yaende",Faith aliongea kama kumshauli Mary.
"Huwa sipendi dharau kwenye maisha yangu kwakuwa Albert kanionyesha dharau acha nimuonyeshe mimi ni mtu wa aina gani, na wewe pia kama huna stori zingine unaweza kupotea hapa na usikanyage tena kuanzia leo"
"Heeeeeh!!, makubwa yamekuwa hayo tena aya mimi naondoka ila nilichokwambia kizingatie utaingia matatizoni kwa kufanya kitu ambacho hakina faida yoyote ile",Faith aliongea nakuondoka.

Hasira alizokuwa nazo Mary za kukosa taji la Miss Tanzania zilimfanya mpaka avunje urafiki na Faith akiapa kufanya kile alichomwambia Albert kuwa atamuangamiza mwanamama katalina.
              
Upande wa Miss Tanzania Angelina aliingia mkataba na makampuni tofauti tofauti na moja likiwa ni kampuni kubwa la uigizaji Tanzania, maisha ya Angelina yalibadilika kwa mda mfupi tu na hakuishi tena uswahilini yeye pamoja na mama yake kwani aliweka mashariti kwenye moja ya kampuni aliloingia nalo mkataba ya wao kumnunulia nyumba.

Akiwa amekaa na mama yake mzazi Miss Tanzania alipata wazo,
"Mama ni mda mrefu leo inatakiwa twende gerezani tukamsalimie baba", Angelina akiwa na mwanamama beatrice aliona ni mda mwafaka wa kwenda kumsalimia baba yake aliyekuwa gerezani.
"Huwa najihisi ni mwenye hatia kwa kumuona baba yako akiwa gerezani bira mimi huenda asingekuwa gerezani, huwa nashindwa kumtazama baba yako usoni",mwanamama beatrice aliongea na kumfanya Angela amsogele na kumkumbatia mama yake kama ishara ya kumtoa wasiwasi.

Mwanamama beatrice alikubali kuongozana na binti yake mpaka gerezani na walianza safari mda huohuo kuelekea gerezani.

Ndani ya gereza  anaonekana baba wa makamo aliyekondeana na kuchokeana na hii ni kutokana na maisha ya gerezani yalivyo,akiwa ameka ndani ya gereza asikari alifika,
"Mfungwa namba 12"
"Nipo afande",ilikuwa ni namba ya baba huyo wa makamo aliyefahamika kwa jina Gerald, alisimama na kumfata afande.

Mbele ya macho yake hakuamini kumuona mwanamke aliyempenda kwa dhati na pembeni yake kukiwa na binti mrembo,
"Unawafahamu hawa watu?",ni swali lililotoka kwa afande akimuuliza Gerald.
"Ndio afande ni mke wangu na huyo ni binti yangu na mtoto wangu wa peke",Gerald alijibu na kumfanya afande ampe ruhusa ya kufanya maongezi na watu waliokuja kumtembelea katika gereza hilo maarufu.
"Angelina mwanangu, umekuwa binti mkubwa sasa",Gerald alimwambia binti yake huku akiwa na furaha iliyoambatana na machozi.
"Ndio baba mwanao niko hapa".

Mda wote mwanamama beatrice alikuwa kimya aliwaacha baba na mtoto waonge.

"Nilipata bahati ya kupunguziwa kifungo cha kukaa gerezani nimebakiza miezi 6 tu ya mimi kuwa gerezani sio mda nitaungana na nyinyi tena uraiani",Gerald aliongea na kuifanya familia yake ifurahi baada ya kupata tarifa zile mpya.

Waliongea mpaka pale asikari alipokuja kumchua Gerald na kumrudisha gerezani huku Mwanamama Beatrice na mwanae wakiondoka, Angelina akiwa na furaha kwa alichokisikia kutoka kwa baba yake baada ya kuwaambia mda aliobakiza wa miezi 6 atoke gerezani.
                
Ni siku ya mapumziko siku hii mwanamama katalina hakwenda katika kampuni ya FNF aliamua kubaki nyumbani na kufanya mambo mengine, na ata mwanae Albert hakuwepo nyumbani siku iyo.
Baada ya mda mrefu pasipo  kumpigia mke wake temu hii aliamua ampigie mwanamama katalina tena kwa video call na ata mwanamama katalina alishanga kuona baba yake na Albert amempigia simu ilibidi apoke na wakaanza kuongea huku kila mtu akiwa anamuona mwenzake.

Upande wa nje wa nyumba hiyo mwanadada Mary alienda kukusanya vijana wa mtaani nakuja nao maeneo ya nyumba ya mwanamama katalina, akiwa ndani ya gari lake na kazi aliyotaka kuifanya niyakumteka mwanamama katalina,
"Sikilizeni nimebadilisha mawazo msimuue kwanza tupige pesa alafu mengine badae", Mary aliongea na vijana wake.
"Eleweka Mary kwahiyo tunambeba na kumleta huku nje au anafia hukohuko ndani", moja ya kijana aliongea.
"Punguza bangi jamaa yangu kwani hujamsikia sister Mary alivyosema emu twendeni ndani tukambebe huyo mama na kama tukikuta kuna wengine nikipigo tu nakumchukua mtu wetu sisi hatujali", moja ya kijana aliongea.

Walikubaliana na  walisogea mpaka sehemu ya geti nakubisha hodi na haikupita mda alifungua mlinzi ila alipigwa na kitu kizito kilichomfanya aanguke chini na kuzimia palepale.
Mwanamama katalina alikuwa hana habari akiwa bado anaongea na mme wake alishanga kuona vijana  wakiingia ndani na ata mme wake aliweza kuwaona kupitia simu ya mke wake,
"Nyie ni kina nani?", mwanamama katalina aliwauliza akiwa na wasiwasi wa hali ya juu.
"Hatuna mda wa kupoteza hapa kamateni twende nae", moja ya kijana aliongea.

Mwanamama katalina alijaribu kuleta ubishi ila hakuwa na nguvu za kuwazuia kwani walimchukua na kumpeleka mpaka kwenye gari lao tena akipewa vitisho vya hali ya juu kama tu atajaribu kunyenyua mdomo wake na kupiga kelele kifo kitakuwa halali yake.

Mary alifurahi kuona vijana wametekeleza agizo lake aliondoa gari kwa speed na mwanamama katalina akiwa ndani ya lile gari.

Upande wa Albert alikuwa hajui kilichokuwa kikiendelea nyumbani kwao akiwa amekaa na Diana akiendelea kumfariji alipowasha data kwenye simu yake alishangaa kukutana na sms nyingi zikiingia na zilionyesha zimetoka kwa baba yake na ndani ya mda huohuo baada ya kuwa online baba yake alipiga simu,
"Fanya unachojua uende nyumbani mama yako hayupo salama", alianza kumwelezea jinsi ilivyokuwa.
"Diana nakuja sasa ivi tu",Albert aliondoka upesi akimuacha Diana kwenye maswali mengi.....ITAENDELEA

Albert atafanyikiwa kumpata mama yake?,na Mary kapanga kufanya nini kwa Mwanamama Katalina?,sehemu ijayo ina majibu zaidi.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........16
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.........
haikumfanya apunguze upendo wake na hii ilimfanya ata Mr.James aone utofauti wa kijana Albert na kijana Stewart aliyepunguza mazoea ya kuja kumuona Diana kama ilivyokuwa hapo kabra na hii kumfanya aanze kupunguza chuki alizokuwa nazo kwa Albert.........

ENDELEA NAYO.....
Upande wa kijana Stewart akiwa amekaa na ameshika simu yake macho yake yalikuwa yakitazama picha za Miss Tanzania ambae ni Anjelina hakumkumbuka tena Diana kwa wakati huo na akili zake zilikuwa kwa mwanadada Angelina,
"rafiki yako anaendeleaje?", sauti ya mama yake mzazi ilisikika na kumfanya aweke simu pembeni ili ajibu kile alichoulizwa.
"Rafiki gani mama?"
"Mtu wa ajabu sana wewe kwani Diana sio rafiki yako,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.16K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.13K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

416
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

238
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

69
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

28
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

4
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.4K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest