Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
Gonga94 · Stories

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nikaanza kukaguwa lile brufcase, nikakuta kuna barua nyingi sana alikuwa ananiandikia mimi na nyingine anaandikia familia yake, na picha zangu nyingi kuanzia za utotoni, na namna anavyosaidia familia yake kwa siri sana, na mimi alishawah kumbe kumsaidia mama yangu…

Mama alikuwa na uzito kupitiliza, akaambiwa sijui amino acid imezidi mwilini, maana miguu ilikuwa inamuuma mpaka anashindwa kutembea, mwanzo hospital walituambia matibabu ni laki mbili na nusu, ila ghafla tu wakasema tumepata mdhamin hivyo tutatibiwa bure, tulitaman sana kumjua huyo mdhamini ila hatukuwah kufanikiwa kumfahamu hata mara moja…

Na hata nyumban kwao kumeanzishwa ujenzi na kuna uvumi ulikuwa unaenea kuwa, kuna mzungu alisikia tukio ambalo alifanyiwa kijana wao , ambao ndio muhimili wao hivyo alitoa kama msaada, wakati naondoka kulikuwa bado kuna jengwa na ilikuwa ni nyumba ya maana sana na kila wakati wazaz wake wakawa wana waombea dua sana huyo mdhamini bila kujua anaeyafanya hayo yote ni kijana wao mwenyewe…

Nikakuta barua moja ambayo ndio iliniumiza sana ilikuwa inasema “ zinura mamaa, kuanzia nimekuona nashindwa kabisa kuzuia hisia zangu, nakupenda sana na sio kweli kama mimi ni Malaya, najua huwezi kuamin ila nilivyolala na wewe ndio nimelala kwa mara ya kwanza na mwanamke, nimeshawah kukiss, na kuanzisha mahusiano, ila kabla hayajafika mbali naanza kuhisi kama nimekusaliti, nikawa nabadilisha wanawake nawashika shika tu, au najionesha kwa watu kuwa nina wanawake wengi ila ukweli ni kwamba sijawah kuwa na mwanamke yoyote Yule kwenye maisha yangu, kwa sababu niliamini, hisia zangu na moyo wangu mmiliki pekee ni wewe zinura wangu, nilikuwa nikimuomba sana Mungu nikutane na wewe, na nilikuwa nataman sana usije ukawa na mahusiano wala kuolewa maana nahisi nisingeona thamani yah ii dunia bila wewe mamaa, nipo hapa ila kuna mambo mengi sana ambayo yanaendelea ambayo yananifanya nisiwe omari wako niwe nabil, kuna siku utakuja kunielewa, ila naomba usiwe na ukaribu na mwanaume mwingine yoyote mamaa, kwa sababu naumia mpaka nahisi kuchanganyikiwa, kwa sababu mwanaume pekee ambae natakiwa kukumiliki ni mimi, na sio faisali wala kidudu mtu yoyote Yule, nivumilie mamaa angu nivumilie kidogo tu, nitaenda na wewe mbali tukaanzishe maisha yetu kwa sababu nakupenda sana, ila naomba usiwe na ukaribu na wanaume, maana najiona nitashindwa kujifanya sikufahamu, maana wivu wangu kwako ni mkubwa sana kuliko hata akili zangu…

Ilikuwa ni barua ya kawaida, ila nilijikuta naanza kulia, nililia sana na kuamin kuna mambo anayahofia ndio sababu yupo vile alivyo, nikajiapia kuwa nitakuwa mtulivu ila angalau nimeshajua kuwa ni omari wangu, hivyo nitakaa kwa kutulia mpaka atakapo kuwa tayari kusema ukweli yeye pekee yake mbele yangu…

Basi nikarudisha kila kitu kwenye hali yake ya kawaida na baada ya hapo nikaendelea na shughuli zangu, na kama kawaida, nabil akawah sana kurudi nyumban, nikamtengea chai kwa sababu anapendaga sana chai ya tangawizi, nikampa, akaniangalia kisha akatabasamu na kusema “ asante zinura, nikampa na vikaranga , akaniangalia kisha akatabasamu tu…

Tabasamu lake lilikuwa kama nguzo yangu, name nikamuangalia, tukabaki tunaangaliana kwa sekunde kadhaa, mwisho mimi ndio nikajishtukia nikashusha macho chini kisha nikaenda zangu chumban kwangu…

Siku hio nilikuwa na amani sana, maana hatimae nilikuwa nina uhakika kuwa omari wangu yupo hai nab ado ananipenda, ingawa nilikuwa nataman sana kujua ilikuwaje mpaka akawa pale, ila nikaona haraka hazijawah kuwa na Baraka hata mara moja…

ITAENDELEA…
Tangazo - ila baba mkwe full story soma yote hapa
ila baba mkwe full story soma yote hapa
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10


Nikaanza kukaguwa lile brufcase, nikakuta kuna barua nyingi sana alikuwa ananiandikia mimi na nyingine anaandikia familia yake, na picha zangu nyingi kuanzia za utotoni, na namna anavyosaidia familia yake kwa siri sana, na mimi alishawah kumbe kumsaidia mama yangu…

Mama alikuwa na uzito kupitiliza, akaambiwa sijui amino acid imezidi mwilini, maana miguu ilikuwa inamuuma mpaka anashindwa kutembea, mwanzo hospital walituambia matibabu ni laki mbili na nusu, ila ghafla tu wakasema tumepata mdhamin hivyo tutatibiwa bure, tulitaman sana kumjua huyo mdhamini ila hatukuwah kufanikiwa kumfahamu hata mara moja…

Na hata nyumban kwao kumeanzishwa ujenzi na kuna uvumi ulikuwa unaenea kuwa, kuna mzungu alisikia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-true-love-story-sehemu-ya-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-true-love-story-sehemu-ya
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY    SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
 MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

9.97K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.45K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.28K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.05K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.01K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.96K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.93K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest