NI WANGU PEKEANGU epsd 8.
Aliingia na kushangazwa kumkuta Franco akiwa sebreni kakaa na baba na mama wanazungumza tena wakiwa na furaha
Vanessa alikasilika na kuingia moja kwa moja chumbani kwake baada ya muda dada wa kazi alikuja akagonga mlango na kumuita alipoitikia akamwambia unaitwa na mamaako
Vanessa alijibu mwambie baadae kwa sasa naumwa kichwa
Dada alienda nakumpa taarifa mama kuwa Vanessa anajisikia kuumwa na kichwa kwasasa hawezi kuja atakuja baadae
Mama alimuitikia sawa muache apumzike
Mala wakati kajipumzisha iliingia msg kuangalia ni Franco alimuandikia pole kipenzi pumzika utapona
Vanessa alichukizwa na alitoka akakuta Franco kaondoka na kumfuata mamaake na kuanza kuongea nae
Mama huyu Franco anataka nini hapa
Mama akamjibu kwanini unaongea kwa jaziba hivyo kwani Franco kakufanyanini
Vanessa akamwambia mama Franco ananisumbua sana ndio maana nimekasilika istoshe mimi nimchumba wa mdogoake Fred
Mama akamwambia hebu jitulize kwanza unajazba sana huyu mbona anafanya kazi na babaako na istoshe nikijana mzurituu hana tatizo kapumzike kwanza maana unajazba sana tuliza akiliyako kwanza
Basi baadae walikuwa mama na babake Vanessa wakizungumza walikuwa wamekaa sebreni Vanessa akaja baba akamwambia sasa bintiangu kipenzi umekuwa mkubwa nataka nikuweke ofisini ujue kazi nakisha nikuachie ofisi unasemaje
Vanessa akamwambia sawa baba usemavyo nitafanya
Baba alifurahi na kumwambia kesho naomba twende ofisini pamoja nikakukabizi mtu wakukuelekeza ok kipenzi
Vanessa alijibu sawa daddy
Walifurahi sana baada ya hapo walienda kulala Vanessa alimpigia sim Fred na kumtaarifu kuwa kesho anaanza kwenda kuhudhulia ofisini kwa baba kujifunza kazi
Fred alifurahi na kumwambia nivizuri maana nitakuwa na amani pia unajua unavyokuwa unaenda kupanda jukwaani na ukitembea pale kwa madaha unanivuruga nahofu sana utaibiwa wewe nimrembo sana mpenzi wangu
Vanessa alicheka na kumwambia kuwa sokuwa nitaacha kazi yangu hapana sio kweli nitakuwa nafanyapia naipenda faniyangu
Fred akaitikia sawa kinyonge naendelea kufa natai shingoni kisha walicheka wote na kufurahi baada ya muda walikatasim na kulala
Asubuhi ilipofika walitoka Vanessa na babaake kuelekea ofisini Vanessa nibinti wapekee katika familia hiyo na nikipenzi chao wote baba na mama hivyo alikuwa anafuraha sana walifika ofisini baba alimtembeza ofisi yote na kumtambulisha kwa wafanyakazi wote baada ya hapo alipelekwa kwenye ofisi yake akaambiwa hapa ndio ofisi yako sawa
Vanessa akamwambia sawa baba kisha akaambiwa twende kwenye ukumbi wa mikutano kunawatu nikakutambulishe watu tunaoshilikiana kibiashara aliinuka na kuelekea huko na kalikuwa kame pendeza sana ki ofisi ofisi alipofika pale akashangazwa kumuona Franco nae akiwemo alijizuia ila alipigwa na mshangao akijisemea kimoyo moyo kuwa huyunae kawa kama maji nisipokunywa nitaoga imekua tatizo haya ngoja nitulie hii niofisi ya baba
Baba akawakaribisha washilika wenzie na kuwatambulisha huyu nibinti yangu anaitwa Vanessa karibu Vanessa
Akasimama nakujitambulisha walifurahi kumfaham nakumkaribisha kwenye gem
Hivyo baba Vanessa aliomba Franco kijanawangu naomba uwekaribu na Vanessa umfundishe na kumuelekeza kila hatua tunayopita na hata safari mnasafiri wote na wikihii natarajia utaenda na Vanessa mombasa
Franco aliitikia sawa mzee usihofu hupo sehem sarama kabisa
Vanessa alishangaa nakujisemea kimoyo moyo baba hivi ninini hiki
Baba akamwambia mwanangu Vanessa biashara kazizetu nikujitoa sana usije kuleta utoto utaiangamiza kampuni na kufilisika kabisa ukiingiza mambo ya interesting zako na kukuunganisha na Mr Franco ninaakilizangu nimekuwa mudamrefu kwenye hiligemu najua pia yeye anajua
Vanessa alimuitikia baba na kumuakikishia kuwa watashilikiana kilahatua atakuwa nafranco hivyo asiwe nashaka .........je watashilikiana aje na Franco unataka kujua endelea kufuatilia simulizi tamu
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
