Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
30 Nov -0001
296 views
VYOTE NDANI GONGA94
SHEMEJI KAUTAKA Sehemu -01
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SHEMEJI KAUTAKA
Sehemu -01
Inapoanzia ni kwenye harusi ya mdogo wake Richard aliyefunga ndoa na mrembo aitwaye Rahma. Kijiji kizima cha Mbuyuni kilikusanyika kushuhudia tukio hilo kubwa. Richard alikuwa kijana mpole, lakini mkewe Rahma ah! mrembo kupita maelezo. Mwili wake ulijengeka kama pyramid za misiri , mwili rangioja rangi nyeupe , macho kama goroli.jicho hata asipokuita lazima uende yaani naweza kusema hii ni pisi kali ya kwenda.
Siku hiyo Richard alimwalika kaka yake mkubwa Ramadhani ambaye alikuwa anaishi mjini. Ramadhani alishawahi kuoa lakini ndoa yake haikudumu. Kutokana na tabia yake ya kupenda kuchepuka na kupenda chini kuliko kula yaani mnyime chakul ila sio kitu fulaaaani hivi chenye radha zaidi ya asali.
Alikuwa amefuta kila hisia ya mapenzi moyoni mwake. Hakudhani kama kuna mwanamke tena angemtikisa. Alikuwa hana mpango na wanawakwe baada ya kuibiwa kadi ya benk na kila kitu nyumbani kwake na Mshangazi mmoja aliokutana nao jijini Dar es saalam ......
Basi sherehe iliisha na kila mtu siku hiyo alikula na kusaza sasa majira ya jioni . Ramadhani akiwa geto alilopewa alisikia kelele si unajua usiku wa kwanza wa ndoa . Na richard anavopenda masifa anajipigia mipasi yake ya nguvu ya humu tu anaigusa mali na hakuna atakayemuuliza kwa sababu haibi anakula chakula alichokilpia ????
Msumari wa ramadhani unahangaika wakati anasikia zile shangwe kutoka chumba cha pili ikiwa inaonyesha mechi inapigwa kiume na mdogo wake anamuwakilisha vema akaiseti kama dereva anavoiseti gia ya gari lakini Rahima ni makelele huyu Richard alishawahi kumwambia kaka yake siku akioa atajipigia mipasi mpaka asubuhi sasa ndo anachokifanya lazima mali iludishwe usiku.
Mpaka majira wanajiuliza nani kafiwa kumbe Richard yupo kazini anaichapa na kujipigia mipasi yake . Kuna muda Rahma alitaka akimbie ndani lakini Rashidi alimwambia mechi bado mmmmmh Rahima kayakanyaga hapa huyu Richard anaitaka mali yake anairudisha kwa kujipigia pasi ndefu
Majirani walitoka nje maana walixhokuwa wanasikia ni hapo hapo baba !!!!! Chochea kuni !!
Duuuh huyu Richard
LIKE NYINGI ZINAHITAJIKA ILI TUIPATE NAMBA MBILI
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
Basi mimi nilikaa home siku 3. Nikapigiwa simu ya kwenda kusaini mkataba katika iyo bank. Na kweli nilienda nikasaini m...
SHEMEJI KAUTAKA
Sehemu -01
Inapoanzia ni kwenye harusi ya mdogo wake Richard aliyefunga ndoa na mrembo aitwaye Rahma. Kijiji kizima cha Mbuyuni kilikusanyika kushuhudia tukio hilo kubwa. Richard alikuwa kijana mpole, lakini mkewe Rahma ah! mrembo kupita maelezo. Mwili wake ulijengeka kama pyramid za misiri , mwili rangioja rangi nyeupe , macho kama goroli.jicho hata asipokuita lazima uende yaani naweza kusema hii ni pisi kali ya kwenda.
Siku hiyo Richard alimwalika kaka yake mkubwa Ramadhani ambaye alikuwa anaishi mjini. Ramadhani alishawahi kuoa lakini ndoa yake haikudumu. Kutokana na tabia yake ya kupenda kuchepuka...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shemeji-kautaka-sehemu-01