Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  never give up harmonize

SINGLE MOTHER NA BUSU LA MJEDA* *______________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

26th Aug, 2025 Views 38



Kucheki no ngeni na nimechoka sana nilitaka tu kuizima, B akanizuia nakuipokea yeye, nyie alikuwa ni Emma, alianza kuongea shombo, nakudai asijizime data mimi kwake sipindui, na tunawasiliana sana, na hata taarifa ya kuja kwa ajili ya mahali nimemwambia, na juzi tumeongea sana, na alikuja kunila juzi, apo akawa amejichanganya make hio juzi mimi sikuwa na hio line ni mpya B kanisajilia jana tu, na juzi hatukutoka tumeshinda wote...

Alipewa onyo lakini hakuelewa, upande wetu nilibadilishiwa line, na taratibu za ndoa zikaanza, mkwe wangu alikuja, na mashemeji zangu wawili, nilibahatisha mama mkwe safi, japo hakupenda mwanae aoe mtu alie zaa, alimshauli akaona kijana haelewi akaamua kunipojea ivo ivo, hakuwa na mtoto wa kike kabisa, sikumchukia kisa kinikataa, nilimchukulia kawaida tu, kama mama angu tu mzazi ananipanga za uso sembuse mama mkwe, kwangu haikuwa na shida kabisa, adi mwenyewe akashangaa...

Alinianza kunielewa, siku moja niliamka nimechoka sijisiikii ata kuongea, nilisalimia tu, afu nikawa kimya, walishangas sio kawaida yangu kulikoni, nilijibu tu leo sijisiikii kuongea wala kusikia kelele, mams mkwe alinitizama sana, kisha akaanza kushangilia, nilichukia nikaenda chumbani, B alivyoludi tu akaambiwa na mwanae, mama kawa mkali, amesema ataki kuongea, ataki kelele, bibi alikuwa anashagilia mama akaondoka kea hasira chumbani, sasa Babs uko chumbani ingia vizuli, usije ukaletewa noma dady,B alishangaa lakini kabla hajaingia mama ake alimpa maelekezo, B alionekana kufurahi kuita kiasi, aliingia akiwa na furaha mno, mimi kimya tu...

Mke wangu, naomba twende mahali mala moja basi, B mimi ninechoka wewe nenda tu, nimuhimu kumbuka wiki ijayo ni ndoa yetu, tumebadilisha gauni ni vyema ukachague kuna matole mazuli yamekuja, B jamani si ata kesho tutaenda, " P kesho tutakueta watu wameshayachambua tukose,alinimbembeleza adi tukaenda, tulifika akaomba gauni lisiwe la kushep, liwe la kumwaga, nikamuuliza kwa nini, akati mimi ndo nae vas afu ananipangia, P kwa sababu, mimi navutiwa nawewe ukuwa umevaa hivi, kuna namna tu unanichanganya...

Alinidanganya danganya mpaka nikamuelewa, tulivyotoka apo tukapita hosptal kupimwa, nikamwambia mimi siumwi akasema ni vipimo vya kujaza kwenye ndoa, na kweli walijaza ila nikakutwa na kibendi, B alifurahi mno, tuliludi nyumbani, nikiwa nimechoka sana, miguu imevimba mno, tulikuwa Mama mkwe yuko macho na B, wanacheza, nikama walikuwa wanatusubili sisi, walivyotuona tu wote wakatupokea kwa shauku...
Kupata full 1000
Whatsp 0784468229

Itaendelea....💥.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SINGLE MOTHER NA BUSU LA MJEDA* *______________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*  >>> https://gonga94.com/semajambo/single-mother-na-busu-la-mjeda-______________________________________-sehemu-ya-kumi-na-moja

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
never give up harmonize
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest