π₯ SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANIπ³ Sehemu...tatu. π Namzuia ndio akaanza kuniminya minya matuta alafu sijui mikono yake ina nini nasikia raha anavyoyaminya minya...π
Dah yani nawaza naliwa hapa Muda si mrefu)
" Niachie sio vizuri kunifanyia ivyo.
" Na wewe nishike basi mbona unakuwa ivyo amina kama vile sio mkubwa.
" Hapana sijajianda naomba niachie.
( Yani akanishika mkono wangu akanigusisha kwenye kichwa chake cha chini cha moto alafu amenyanyuka kisawa sawa ananiambia)
" Si unaona mwenzio nimezidiwa naomba.
" Hapana naomba uniachie tu.
( Nimetoa mkono wangu alipouweka...akataka kutumia nguvu anile kwa nguvu akapanda juu yangu chaga ikavunjika....ndio ikawa salama kwangu)
" Uyu fundi akuniwekea chaga zenye akili.
" Nyanyuka naumia.
( Alinyanyuka akachukua simu akampigia fundi)
" Mbona usiku mkuu vipi?
" Nani mkuu unaniwekea chaga za ajabu mimi.
" Zimefanyaje?
" Zimevunjika.
" Iyo ni ajali tu kama ajali nyengine Kesho njoo ofisini.
( Mimi Nikatoka nikaenda chumbani kwangu kuvumilia mauzauza maana akili ya mimba ndio inanichanganya kuliwa ovyo mwisho unabeba mimba hapa unaanza kuteseka....Nikaingia chumbani kwangu ndio mawazo ya hamu yanakuja....si ningempa kidogo tu ningemwambia amwage nje......nawaza ujinga nipo kitandani nawaza mpaka usingizi umenichukua...asubuhi nikaondoka kwenye miangaiko yangu...ni siku ambayo joji alipiga sana simu sikupokea simu yake...nilirudi nyumbani nilimkuta jilani amelala nje ya mrango wangu)
" Kulikoni unalala hapa.
" Samahani amina hapa mlangoni kwako kuna kaupepo kazuri.
" Sawa naomba unipishe.
" Bila kusema mimi mwenyewe ningekupisha.
( Kweli akanipisha namsikia dada mwengine anaongea nae jilani)
" Pili Leo una nini unalala kila mlango usiokuhusu au ndio unafanya dawa kwa sababu ya nguo yako ya ndani maana sikuelewi umetoka kulala kule umeona aitoshi umelala kwenye mlango wa amina saizi unalala kwangu.
" Mnisamehe tu Leo sipo Sawa.
( Akanyanyuka akaondoka...mimi nasema kimoyoni atajua mwenyewe na ujinga wake...nikachukua maji nikaenda kuoga nikarudi Nikaingia jikoni kupika nikala wakati nakula ndio namsikia uyo pili anaongea na simu)
" Nishafanya ulivyonielekeza.
" Sawa basi aliyechukua atawashwa mpaka aseme mwenyewe yeye ndio kachukua nguo yako.
" Sawa Nitashukuru maana ya zawadi ile alafu mtu aichukue tu kirahisi akaniroge mimi.
" Aya usiku mwema.
( Nilimsikia yote nikasema kimoyoni siivai tena nguo yake Kesho naenda kununua zangu mpya ata kama hii nitanunua tu...nikamaliza kula nikapanda kitandani kulala....usiku sana nasikia mkojo umenibana naamka niende chooni najikuta nimevaa ile nguo ya ndani ya pili nikastuka... sikuwa nayo nani kanivalisha....nawaza uku naenda kukojoa choo kipo nje...nikavua nguo ya ndani ile nikakojoa...likaja wazo niache kulekule chooni nguo hii isinilete ujinga...nikaiacha mlangoni...narudi ndani naikuta juu ya kitanda...nilistuka nikauvaa ujasiri nikaishika nikaitupia nje nikafunga mlango nikapanda kitandani kulala ndio naona sasa muwasho unaanza kwenye mashavu kwa mbali nikawa najikuna uku nawaza nikamwambie pili mimi ndio nimechukua ile nguo au wakati nawaza uku najikuna...mala nasikia sauti anayeongea simuoni)
" Tanua miguu tu nikukune kwa ulimi alafu nguo yako ya ndani nimekurudishia iyo hapo pembeni yako.
( Kuangalia naiona kweli imekuja tena na nimeitupa nje...niliingia uoga nataka kupiga kelele sauti aitoki)
Dah yani...
ITAENDELEA
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi