Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
17 Dec 2025
235 views
VYOTE NDANI GONGA94
VITOTO VYA ELFU MBILI VINA HATARI Sehemu ya kwanza Dada umeamkaje "nimeamka salama mdogo wangu vipi mbona Asubuhi asubuhi leo"
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Dada umeamkaje "nimeamka salama mdogo wangu vipi mbona Asubuhi asubuhi leo"
aaah naenda kikundi mala moja kuchagua viwaro kidogo si unajua muda mlefu umepita sija daka vitu vipya
"ila dogo bwana haya nenda leo unaenda peke yako pacha wako muddy si mwoni?"
Na mwachaje dada yupo njiani tuta kutana mjini huko huko "haya dogo vipi chai niwa wekee ?"
ndio dada weka, Ngoja nikavizie bajaji pale "haya dogo"
nilisogea hadi mzambalauni kuvizia bajaji zinazo toka nane nane haikupita muda bajaji ilisimama mbele yangu oya mjini jelo hili hapa "panda twende mjomba"
fasta nikazama kwenye bajaji mwendo haikuchukua muda kuingia mjini nilishuka zangu sheri mjini nikawa na piga rege mdogo mdogo ebu nimcheki muddy yuko wapi oyaa muddy wapi mzee baba "nipo sokoni mzee" ok fasta hapo dakika mbili tu "ok"
fasta tu nilimwona muddy sokoni oyaa jana vipi mzee mbona ukushika simu "oyaa mzee baba jana ilikuwa noma sana"
aaaah usha anza kunipanga mzee "nikupange nikupange vipi angalia picha hizi"
aaah toa locky mzee vipi "poa shika angalia wewe"
mmmmmh mmmmmh mmmmmh mzee hii pisi si ya pale sheri oilcom "ndio mzee mapema tu nisha piga zangu jana ila mtoto fundi sana rangi yake na mambo yake kitandani asikwambie mtu anajua sana nimepiga vingi sana" aloooo huyu mtoto mkali sana daah aloooh umefaidi mzee vipi kavuka kwake "avuke ana ujanja uwo nime mwacha kalala geto hapa penyewe nimekuja tu chapu tufanye fasta nigeuke home"
Leo mende kaangusha kabati sijui kama maji yata nyweka kweli leo "Ommy Khan nilisha kuambia toka kitambo huu moto achananao mimi nikiwa kwenye kumi na nane messi mtupu" Ha ha ha daah leo kazi ipo mzee eti messi mtupu umesahau kama ulisha wahi kosa penati Meddy Kagere wewe
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
VITOTO VYA ELFU MBILI VINA HATARI Sehemu ya kwanza Dada umeamkaje "nimeamka salama mdogo wangu vipi mbona Asubuhi asubuhi leo"
Dada umeamkaje "nimeamka salama mdogo wangu vipi mbona Asubuhi asubuhi leo"
aaah naenda kikundi mala moja kuchagua viwaro kidogo si unajua muda mlefu umepita sija daka vitu vipya
"ila dogo bwana haya nenda leo unaenda peke yako pacha wako muddy si mwoni?"
Na mwachaje dada yupo njiani tuta kutana mjini huko huko "haya dogo vipi chai niwa wekee ?"
ndio dada weka, Ngoja nikavizie bajaji pale "haya dogo"
nilisogea hadi mzambalauni kuvizia bajaji zinazo toka nane nane haikupita muda bajaji ilisimama mbele yangu oya mjini jelo hili hapa "panda twende mjomba"
fasta nikazama kwenye bajaji mwendo haikuchukua muda kuingia mjini nilishuka zangu sheri mjini nikawa...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/vitoto-vya-elfu-mbili-vina-hatari-sehemu-ya-kwanza-dada-umeamkaje-nimeamka-salama-mdogo-wangu-vipi-m