*AFANDE MILLAN๐* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*
zena alinikumbatia uku analia sikuelewa ni ule uchungu wa kutoa bikra yake au mahaba yamemzidia acheni kabisaaa ila nilimvuta kwa karibu nikamtuliza na nikambembeleza kweli kweli mpaka mchumba akatulia nilimwambia sikia zena acha kulia na unisikilize mi nakupenda sana na ntakuoa niamini kipeniz sawa akanmbia ndio asante nashukuru na naomba usiniache millan nakupenda sana nikamwambia mm siwezi kukuacha wewe habadani mpenzi basi nikamtuliza mchumba na nakumbuka sana nilimuhaidi vitu vingi zena hii siku yani vingi mnoo ambavyo ata havikuwa vinatoka moyoni mwangu kabisaaa
basi zena akawa powa na akawa ancheka tu nikaongea sana na mtoro hii siku mtoto akawa ananielezea kuwa ananipenda sana yani maelezo kibao na hivi ndo kashanipa mambo nikajua atazidi kuchanganikiwa na mimi basi saa 9 usiku ndo mimi na zena tunalala tena mchumba kanikumbatia nakwambia nikaona aya bwana ndo mahaba aya basi bwana tukalala nikaja kustuka asubuh kitandani nipo peke yangu mh nikavuta simu nacheki mdaa et saa 3 asubuh dooh ni vile tu iyo siku sikuwa naingia kazini piah basi nikiwa nimekaa pale kitandani akaingia sasa zena na tabasamu pana nakwambia alafu mtoto na dimpos basi mashavu yake yakawa yanabonyea mashallah zena mzuri wanangu ila mimi ndo kichwa changu kidhakuwa na mambo mengi
basi zena kanambia unaendelea na umemkaje mpenzi nikasema niko powa zena vp ww akasema niko powa akanmbia aya basi amka ukaogee mpenzi daan et choo cha njeee nikasema naoana aibu si kutakuwa na watu wengi apo nje akanmbia hapana kila mtu yupo kwake kaoge bana uje kunywa chai nikasema powa basi akanipa taulo lake na mm nikavaaa suluali yangu akanipeleka mpaka chooni na maji alikuwa kashaniwekea so mm nikaingia tu kujimwagia maji daaah nikaona uyu demu anakaa pabaya kweli iko choo kibovu kisenge mpaka kinatibua ila nikajikaza mwanaume nikaoga na nilipomaliza sasa nikatoka nikaingia mpaka ndani nikakuta zena kashaniandalia nguo zangu zile zile ila kaziweka vizuri mi nikafikia kuvaaa tu na nikavaa boksa tu bado nilikuwa namtaka mtoto na nautaka mchezo nikamuuliza kwan ummy yupo wapi akanmbia nishampeleka shule nikasema powa basi mtoto alinipikia supu ya nyama na chapati nikashuka chini kwenye mkeka mtoto akanitengea sasa woow zena anajia kupika bwana niliinjoy sana chakura chake apo na chai ya maziwa kwa pembeni apo tunakula mtoto ananingalia kwa jicho la kulembua kweli kweli nikajua anatakaaaa uyu
basi baada y chakura nikamvuta tena kitandani na wala hakuwa muoga na wala hakugoma aseee nikaselubuka nae tena nikala mzigo taratibu mana alikuwa anasema bado anasikia kunauma chini nikawa naenda nae slow kabisaa aseee mwanaume sikutoka ndani nilikula mzigo kweli kweli yani mpaka sa 10 jioni nipo chumbani kwa zena tunakulana tu mala nimemshika apa mala apa si mnajua mkiwa hamjuani sana penzi lake linavyokuwa basi mpaka iyo saa 10 jioni ndo tunaachana sio kwamba mda wote tunafanya ila yale mahaba tu na apo ni baadabya zena kumkumbuka mwanae kuwa anatakiwa kurudi shule alafu akitukuta vile itakuwa sio sawa ndo nikamuacha ila niilinjoy sana kuwa na zena nilimsoma ni mwanamke anayejielewa snaa basi apo mi nikavaa kisha nikamuaga kuwa naenda kupumzika kesho naingia kazini mapema sana zena akanmbia sawa basi ukifika nyumbani utanipigia mpenzi nikasema sawa hakuna shidaa basi bwana hii siku nikatoa pochi nikampa zena laki 1 ndo ilikuwa pesa yangu kubwa kumpa mi demu akanipa kuma ela nampa fresh wala sio ubahiri mimi
basi zena akapokea na akashurkuru sana kisha tukatoka wote akanisindikiza mpaka nilipopark gari yangu kisha sasa nikaagana nae mie nikaondoka zangu na yeye akaenda kumfaya mwanae shule daa nikiwa njiani nilifurahi sana mana nilihitimisha azma yangu ya kumkula zena na pia niliinjoy kumkuta bikra nikajiona nina bahati kudadeki basi nikadrive mpaka nyumbani kwangu na nilivyofika tu mikamtumia sms zena ya kuwa nimefika zena akanipigia akanmbia basi kaoge ndo upumzike si umeondoka kwangu bila ya kuoga uhuu mda nikasema sawa hakuna shida mke wangu basi kweli nikaenda kuoga ndo nikaja kujimwaga kutandani sas apo nikampigia simu kwnza ibraaa na ibra akapokea kisha nikamuuliza oyaa yule demu jana ulimalizana nae vp kule mbezi mana daah ibraa akacheka akanmbia we msenge ulilala wapi mbona ulikuwa hupokei simu zangu au ndo ulilala kwa zena
nikasema ebu nijibu kwanza kuhusu yule dada ibraa akanmbia pale hakuna demu bwan yule demu mi nimelala nae jana nimekula mzigo sana doooh yani ile mi kuondoka yule demu nae kaenda kumpa ibraaa nikajua yule demu maraya mwenzangu tunafanana tabia kabisaaa nikasema kwaiyo jana umesaliti mwanagu umemsalimti mkeo sasa fresh ngoja siku ujichanganye nimwambie mkeo ibraa akacheka akanmbia kausha bwana kuna mda unabadilisha mboga kidogo eeeh we ulilala kwa zena ama na mtoro kaelewa kuhusu ile isssue ya jana nikasema kaka kaelewa bwana na kesi ilisha na alafu kanipa utamu ibraa kasema weee wacha wewe amekupa mzigo nikasema ndio na uzuri mwanagu yule demu nimemkuta bikra kumbe yule mtoto wala sio wake ni wa marehemu dada yake ibraa akasema weeee umri ule yule demu ni bikra nikasema yaaaa ni bikra na mm ndo nimemtoa jana na leo nimetomba sana mwanangu yani nimekula mzigo kinoma ibraa akanmbia sasa millan kwa nn usitulie na uyu zena na ukamuoa si umemtoa biraa nikasema tulia wewe uyo mkeo ulpomuoa umemtoa bikra wewe kumtoa demu bikra haimaanishi utamuoa ww
ibraaa akanambia millan bwana powa basi tutaongea zaidi kesho kazini nikasema umyama kaka na baada ya kumaliza maongezi na ibraa mi nilijibwaga kitandani nikalala kabisaaaa yani nikapumzika zangu mana nilihisi nimechoka kweli kweli basi nililala sana nikaja kustuka usikua saa 4 tena ni zena ndo ananipigia nikapokea na tukaongea san yani mtoto alikuwa kakolea kweli kweli maongezi yake mda wote ooh usiniumize usinicheat tulia na mimi jamni na mimi namjaza kweli kweli yani mm niwe na yeye tu amekuwa kaburi basi tuliongea sana kama mapenzi ya sekondari na saa 7 ndo tukakalala nyieeeeee penzi la mimi na uyu demu ndo likazidi kunogaaa mimi nilikua nakaa siku 1 siku ya pili naenda kwa zena kula mzigo na mtoto ananipa asa ananinyimaje kwa mfano na nishamuonjesha utamu
basi hwanaaa ila sasa nikawa siyapendi yale mazingiea ya kwa zena nikaona basi nimtafutie ata nyumba nzuri nimpangie ata chumba na seburee mana kuna mda nikienda kwake nakuwa nakosa ata faragha ya mimi na yeye tu kwa sababu ya mtoto na ana chumba kimoja so mm mwenyewe kwa mda wangu nilimwambia dalali anitafutie chumba na sebule maeno ya kule kule banana na dalali akanmbia sawa na yule dalali baada ya siku 1 akanipa majibi kuwa kipo na sehemu nzuri kuna geti na gari inaingia nikaona apo ndo pazuri sana na nikaomba kwenda kupana wooow ni kuzuri sana alfu kodi laki tu na chumba ni master na kuna sehemu ya jiko nikaona apa apa namleta zena ili niwe nakuja kumfaidi vizuri si mnajua mtoto bado uyu ubichi ubichi haujaisha japo na kwa sasa afadhali haumii sana ila badoooo basi mi nikalipia kodi ya miez 6 na nikamnunulia seti 1 ya sofa show case ya tv tv sikununua mana najua anayo na nikamnunulia na friji vyengine nikajua atakuja navyo yye apo sikumwambia kabisaa kuwa tunaamia nyumba mpyaaaaaa na sikumueleza kuwa nimekuoangia nyumb mpya
na baada ya week mimi nilienda kwa zena nikamwambia kuwa kuna sehemu nataka twende kuna kitu ukaone zena akakubali na wala uyu mwanamke sio mbishi kwangu kabisaa kila nachokisema kwake ni sheria sio mwanamke mbishi kabisaa basi mimi nikampeleka mpka makazi mpyaaa na tulivyofika nilimwambia kuwa zena apa ni kwako na kuanzia leo natakaa uwe unaishi apa nazani umepapenda na nimetaka chumba na sebure ila ata nikiwa nimekumiss na nataka kulala kwako basi niwe nalala na sio unamtoa motot akalale njee sio sawa zena akapangalia sana akaniuliza hivi vitu vyote umeninunulia mimi nikasema ndio mpenzi ni wewe kisha aksema sawa asante ni pazuri na nimepapenda je kodi ni sh ngapi nikasema laki kwa mwezi zena akanmbia mh mbona kodi ni kubwa je ikitokea umeshindwa kunilipia kodi inakuwaje mbona kama sitaweza kupaendeleza kupalipia kwa nn hujanitafutia nyumba ya uwezo wangu tu ata siku wewe ukikwama mimi ntakuwa najilipia mh nikaoma uyu demu ana akiri kinomaa yani anawaza mbali sana aangalii leo tu anaangalia na kesho yake
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni