Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
Gonga94 · Stories

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yake💔.

Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba kuna kitu kinaendelea kati ya Iris na Salmon lakini alikuwa anazipuuza tu😭.

Kisha mwishoni akakumbuka maneno ya Mr. Marvel aliyomwambia muda mfupi uliopita. Akagundua kuwa kuna uwezekano Mr. Marvel alikuwa anajua ukweli tangu mwanzo.

Kwa hasira Akatoa simu yake na kupiga ile namba ya mwisho ambao ilikua ya Mr Marvel.

Wakati huo, Mr. Marvel alikuwa amelala lakini alipoona anayepiga ni Noela, alipokea simu haraka.

Kwa utani akasema “Umenimiss tayari?”

“Kumbe ulijua mwanao analala na rafiki yangu wa karibu halafu hukuniambia?” Noela alisema huku analia

Sauti ya Noela akiwa analia ilimpa ukichaa Mr Marvel mpaka usingizi wote ukamuisha

“Uko wapi sasa?”

“Sijui hata niko wapi! Ila ninachojua ni kiwa Nataka tu kufa…… haya maumivu ni too much”😭

“Uko wapi Niambie, Nakuja hapo sasa hivi”

Noela akacheka kwa uchungu “Nooooo usije. Kwa nini uje? Kwanza ukija Nitakuwa tayari nimeshakufa. Siwezi kuona rafiki yangu na mpenzi wangu pamoja. Inauma sana”😭

Baada ya kusema hivyo, Noela akakata simu na kuizima kabisa.

Aiseee Hilo lilimfanya Mr. Marvel apanic. Hakuwa tayari kumpoteza Noela kwa gharama yoyote. Aliposikia anataka kujiua, akachanganyikiwa kabisa.

Akaamka, akabadilisha nguo then akachukua bodyguards wake na magari kadhaa, akaanza kumtafuta. Alitaka kumpata kabla jambo baya halijatokea.

Wakati huo, Noela alikuwa tayari amefika darajani. Alisimama pale akiangalia maji yalivyo tulia. Maumivu ya usaliti yalikuwa makubwa sana na kitu pekee kilichokuwa akilini mwake ni kujiua ili asisikie maumivu tena💔.

Alidhani Salmon alimcheat kwa sababu yeye ni mnene, mkubwa na si mrembo vya kutosha. Na sio mara ya kwanza kwa watu kumsema vibaya kisa mwili wake.

Alijichukia kwa kuwa mnene kiasi kile. Akaangalia mwili wake akahisi mpaka kichefuchefu.

Basi alitupa pochi yake pembeni kisha akaweka mguu wa kwanza, kisha aweke wa pili ili ajitupe. Mungu bariki kuna mtu alifika nyuma yake akamdaka kwa nguvu.

Hakua mwingine bali ni Mr Marvel! Hamuwezi amini alitumia almoast milioni 3 ili afanikishe kumpata Noela kwa mda mchache! Na kama
Sio yeye tungekua tunaongea mengine kuhusu Noela
Sasa ivi🥺

“Usiniguse!…..Niachie!……Nataka kufa!……Niachie!” Noela Akaendelea kupiga kelele lakini Mr. Marvel hakumuachia.

“Unataka kujiua kwa sababu ya mapenzi? Kwani Wewe ni wa kwanza kuchitiwa???”

Noela akalia kwa sauti “Inauma sana… haya maumivu ni too much……inaumaaa……”😭

“Najua inauma lakini maumivu yanatufanya tuwe na nguvu. Kama kila mtu alie chitiwa angejiua, dunia ingekuwaje? Ivi Umefikiria kuhusu familia yako? Ndugu zako? Unajiua kabla ya kutimiza ndoto zako, kwa sababu ya watu wasiostahili uhai wako???”

“Kama ningejua mapenzi yanauma hivi nisinge jihusisha nayo. Etii amenicheat kwa sababu mimi ni mnene, si mzuri! Hata rafiki yangu amediriki kuniita mimi nguruwe”😭

“Wewe uko perfect ulivyo. Kuwa mnene kunaongeza uzuri wako. Mimi napenda ulivyo, na machoni pangu wewe ni mwanamke mrembo sana! Maisha ni mazuri sema hujakutana tu na mtu sahihi. Mimi nipo na nitakuonyesha ninafaa kwako. Please tulia…….”

Maneno hayo mazuri yalimtuliza Noela. Akamkumbatia Mr. Marvel huku analia na Mr. Marvel akamwacha alie juu ya kifua chake🥰.

Baada ya Noela kutulia, wakaingia kwenye gari na Mr. Marvel akampeleka kwenye nyumba nzuri sana. Nyumba hiyo aliijenga kama sehemu ya kupumzika pale anapokuwa na stress au anataka kutulia.

Nyumba ilikuwa nzuri, simple na classic. Ilikuwa karibu na bahari, hivyo upepo wa bahari ulikuwa unasikika vizuri kabisa👌.

Walipofika Mr. Marvel akampa chumba Noela ili apumzike kwanza maana hapakua hata na haja ya maongezi.

Noela akakubali, akaingia chumbani kulala. Sio kwamba alilala kwa raha??? Hapana, kila aliposhtuka kilio kilianza upyaa mpaka kunakucha.

Jua lilipo chomoza Noela aliamka akaenda hadi jikoni akamkuta Mr Marvel yupo busy anaandaa Breakfast.

Alisimama mlangoni akimtazama kwa muda mrefu huku akimchunguza. Sio siri Mr Marvel ni handsome kinoma hata mtoto wake Salmon hajaurithi u-handsome wa baba yake kama inavyotakiwa maana ingekua balaa zaidi ya hili.

Pia aligundua ni mpole alafu anajali mno, sasa akashindwa kuelewa kwa nini Salmon si kama baba yake🥱

“Hujachoka kuniangalia?” Sauti ya Mr Marvel ilimshtua Noela mpaka akaona aibu

“Sorrry”🙈

Mr. Marvel akatabasamu “its okay! unaweza kuniangalia mpaka uchoke”

“Sipaswi kufanya ivo! By the way Unapika nini?”

“Nakuandalia breakfast”

“Ila mimi Sina njaa” Noela akajitetea

“Izo ni stress tu ndio maana huna hamu ya kula. Unatakiwa Kula hata kidogo ni nzuri kwa afya yako”😊

Noela akajibu “Sawa”

Kisha Mr. Marvel akaandaa meza yenye vitafunwa vichache kama soseji, mayai na sambusa.

Walikaa pamoja mezani wakipata kifungua kinywa huku Noela akila kidogo tu kwa sababu kila akifikiria yaliyotokea jana hamu ya kula inapotea.

Baada ya chai alimshukuru sana Mr. Marvel kwa kumjali kwa muda mfupi waliokuwa pamoja

Mr. Marvel akamuuliza “Mpango wako ni upi?”

“Sijui, Sijisikii kurudi chuo sasa hivi”😔

“Mpaka lini?”

“Sijui! Sitaki hata kumuona Salmon wala Iris. Itauma sana”

“Kwa hiyo unataka kujificha?”

“Ndiyo, Kama hakuna shida, ningependa kukaa hapa siku chache mpaka nitakapokuwa sawa” Noela aliomba🥺

“Unaweza kukaa hapa kwa siku zote utakazo but kumbuka lazima usome. Familia yako inakutegemea”

“Najua! Nahitaji tu muda wa kupona kama wiki moja au mbili tu zinatosha”

“Sawa, no problem”

“Acha niende chumbani” Noela alinyanyuka akarudi chumbani na hapo kilio kikaanza upya.

Alikua anaogopa kulia mbele ya Mr Marvel kwaiyo alijiificha ili alie vizuri. Uzuri Mr Marvel ni mtu mzima anajua kupona kidonda cha mapenzi sio rahisi. Ila
Kwakua yeye yupo, atahakikisha Noela anakua sawa kabisa.

Basi Mchana akaenda kugonga mlango wa chumba cha Noela. Alipofunguliwa, alimuambia Noela
Kuwa kamuandalia Suprise, jambo
Ambalo Noela hakua analitegemea kabisa.

“Nini? Siko tayari kwa surprise” Akatabasamu kidogo😊

“Ni lunch tu. Pia nimekununulia nguo chache, Natumaini zitakutosha” Akampa mifuko yenye nguo na viatu.

Noela akashukuru “Asante”

Baada ya hapo Mr Marvel akaondoka akimpisha Noela ajiandae. Noela alipofungua ile mifuko akakutana na magauni mazuri na pamoja na viatu. Na vyote vilikuwa size yake, imagine hata nguo za ndani zilimtosha. Akashangaa Mr. Marvel alijuaje size zake na yeye ni tipwa tipwa🙈🙈

Basi kwenye yale magauni, alichagua gauni moja jeupe ambalo ndilo alilovaa. Na lilimpendeza sana mpaka Mr. Marvel alipomuona, alijisifia kuwa anajua kuchagua🥰.

So Pembezoni kidogo mwa ile nyumba palikua pameandaliwa special kwaajili yao. Kulikua na vyakula, vinywaji na kulipambwa pakapambika.

Mr Marvel alifanya vile kwa matumaini ya kumfuraisha Noela na kweli alifanikiwa kwani Noela alikua hakaukwi na matabasamu usoni.

Tena hasa U-gentleman wa Mr. Marvel ulimvutia mno. Kulikuwa na mambo aliyomfanyia ambayo Salmon hakuwahi kumfanyia kabla..

Sasa Wakiwa wanakula, Noela akamuuliza Mr Marvel swali la kizushi

“Mkeo yupo wapi?”

“Mke gani?”😳

“Si Mama Salmon?”

Mr. Marvel akatabasamu “Ooooh…”

“Hautaki kuniambia? Niko interested maana sijawahi kumsikia Salmon akimzungumzia”

“Yeah! Ni kweli Lakini tule kwanza, Tukimaliza nitakuambia kila kitu unachotaka kujua kuhusu mimi. Sawa, msichana wangu?”

Noela akasema “Sawa”

Wakaendelea kula kimya kimya huku Noela akimtazama kwa siri siri. Kadri walivyoendelea kuwa pamoja ndivyo alivyozidi kuvutiwa na Mr Marvel bila yeye kujua.

Baada ya kumaliza kula, Mr. Marvel akamshika mkono wakaenda kutembea ufukweni. Walitembea, wakacheza na maji kidogo, wakakimbizana kama watoto. Ilikuwa moment nzuri sana👌.

Walipochoka na kupumzika, ndipo Mr. Marvel akaanza kumwambia ukweli kuhusu mama yake Salmon.

“Miaka michache iliyopita, nilikuwa na mke mzuri sana niliyempenda. Lakini wakati huo sikuwa na kitu licha ya kuwa msomi mwenye Degree ya Engineering. Hata milo mitatu kwa siku sikuweza kumudu. Nilifanya kazi kwa bidii but mapenzi na juhudi hazikutosha. Wife Alitaka maisha ya kifahari, pesa na mimi sikuwa navyo. Aliamua kuniacha lakini akagundua ana mimba ivyo akahairisha kuniacha kwa mda! Alivumilia mpaka alipojifungua Salmon ndipo akaondoka na kuniachia mtoto”

Noela akashangaa “Nini?”😭

“Ilikuwa ngumu sana kwangu, kufanya kazi na kulea mtoto mchanga kwa wakati mmoja”

Noela akauliza “Halafu nini kilitokea?”

Unajua nini kitatokea baadaye?
Nakuja………

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11


🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋

Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yake💔.

Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba kuna kitu kinaendelea kati ya Iris na Salmon lakini alikuwa anazipuuza tu😭.

Kisha mwishoni akakumbuka maneno ya Mr. Marvel aliyomwambia muda mfupi uliopita. Akagundua kuwa kuna uwezekano Mr. Marvel alikuwa anajua ukweli tangu mwanzo.

Kwa hasira Akatoa simu yake na kupiga ile namba ya mwisho ambao ilikua ya Mr Marvel.

Wakati huo, Mr. Marvel alikuwa amelala lakini alipoona anayepiga ni Noela, alipokea simu haraka.

Kwa utani akasema “Umenimiss tayari?”

“Kumbe ulijua mwanao analala na rafiki...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tipwa-tipwa-na-mr-marvel-sehemu-ya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 6
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

643
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

520
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

206
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

145
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

128
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

123
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

92
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

84
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

56
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |

5

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mr. Marvel akaendelea “Niliendelea kufanya kazi na wakati mwingine nilikuwa nambeba Salmon na kwenda naye kazini. Kwa sababu hiyo, nilipoteza baadhi ya kazi kwa sababu haikuruhusiwa kufanya kazi na mtoto....

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yake💔. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest