AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana nae jioni hiii apo njeee, na ibraa anakuja yupo njiani kwa ajili ya demu wake, niamini plssss, zena akanmbia sawa hakuna shidaa, nenda kaendelee tu na rafiki zako mufurahi, mi nishakuelewa millan, ahaaaaa naanzaje sasa tena kurudi kwa yule mwanamke, nikamwmabia mbona unafanya kazi apa na hujashilikisha, na usikuu huu upo apa ummy anabaki na nani, zena hakunijibu akawa anondoka, daah nikajua kamaind nikawa namfata nyuma mpaka tumetoka njeee, et hataki kuongea na mm ,nikamshika mkono kwa nguvu, nikamwmabia tunaondoka nyumbani wote nakupeleka mm , akanambia nooi, we si umeludi hko tanga hukuona umuhimu wa kunueleza mm mwanamke wako, aaa apa unakuja kujielezea nn ,au unataka kunipeleka wapi, ebu niache bwana mimi naenda mwenyewe
Daah mi nikamshika mkono kwa nguvu, nikamwambia twende kwenye gari mi nakuludisha nyumbani, akanmbia sitaki, naona ana hasira alafu kashanza na kulia, nikamvuta kwa nguvu mpaka nikipark gari nikafungua mlango nikamuingiza kilazima, akawa amekaa mbele ila ana hasira na machozi yanamtoka, na mm nikaanzaa kudrive gari sasa , kuelekea banana kumludihe na tukaongeee. Vizuri, bado sikuwa tayari kuachika na utamu sijapewaa weeee,kuwa wewe kuweza,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌 nikiwa njiani sasa yule demu nilomuacha pale bar akawa ananipigia kisengeeee, na simu nimeweka sauti ila nikawa supokei, zen akanambia kwa nn hipokei ihii simu ndo yule mwanamke anakupigia si ndio, nikasema.nisikilize zena ni shemu wangu na si lingine, zena akanmbia we ni muongo na haujabadilika lolote ukute ata tanga hukuwepo, mi najuta kabisa kuwa na wewe, shey alinieleza kila kitu kuhusu tabia zako nikajua umebadilika kumbe hakuna kitu, apo anaonge na analia sana
Mi nikanyamaza kimya asa naongea nini, na ndo nishaalibu, alafu nimajua kumbe mi mchawi wangu yule shey, anamjaz maneno shoga yake mjinga yuleee, apo mi kweli ila bar ya zamani alipokuwa nafanya kazi shey, niligonga mabaamedi wote, nilimuacha uyo shey tu ,na kwa sababu mbovu kweli kweli ,yani hakunivutia. Basi tukiwa njiani sass, ibrraaa akanipigia, kwakuwa nilikuwa na drive nikaweka loud mi najua mwanangu anajua kucheza na mazingira vizuri, ibraa akanmbi we fala mbona shemeji yako ananipigia simu anambia umesepa umemuacha na anakupigia hupokei, si nilikwambia kaa nae apo mi nakuja, demu mwenyewe mgeni dar masela wakimsumbua jeee, nikamwambia mwanangu mi nna majanga, nimefika pale kumbe zena alikuwa pale, kaniona kanifikilia vibaya mnoo, amejua mi yule demu wangu,umenitengenezea kesi mzee, mwanamke wangu hataki at kunisikiliza kaka,
Ibraaa akasema daaah, mbona anakosea sasa, basi fresh mi nipo kimara apa namuwahi demu wangu, ebu malizana na zena kwanza na umuelezeee vizuri asikuwazie vibaya na unavyompemda uyo demu akikuach utakufa mwananangu, nikasema ndo ipo hivyo kaka mi bila ya zena siwez kabisaaa, ahaaaaaa nikaona ibraa msenge ana akiri uyuu, ibra akanmbia we muelezee shemeji, akizingua utanipigia niongee nae nikasema sawa, apo sasa nikaona zena kama kapoa hivi, nikamwmabia zena si umesikia maongezi ya ibraaa kuwa na amani zena, mi yule dada sio mwanamke wangu, na tanga nimeludi leo, niliplani kuja kwako kesho kukuona, niamini, nikaona zena kanyamaza kimya, nikahua kwisha aaa uyuuu , kishanasa, apo sasa nikaweka na air plane mode yule demu asinipate ,akinipigia tena mimi, kisha nikaendelea kudrive mpka banana kwa zena, kisha sasa nikashuka ,na yeye nikaenda kumshushaa , akanipa mkono kisha nikasmshusha
🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni