AFANDE MILLANπ Sehemu ya 21 na 22
Mwandiishi; LISSA
Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja nisogeze mda tu mbele, mana ahaaaa nilikuwa siyaelewi wala nn, apooo sasa zena kila siku ananitumia sms za kunitakia kazi njema na jioni atanitafuta kuniulizia kuwa naendeleaje ,sijuh pole na kazi mume wangu, yani mambo kibao, bado na mm nikawa narespond kama vile ambavyo yeye anataka,ila sasa pesa sikuwa nampa san kabisaaa, ambacho kikubwa nilikifanya kwake tulipoanza aya mahusiano ni nilimnunulia kitanda tu, mana ile kulala chini na mtoto kama binadamu ilikuwa inaniumiza ,ila ata kuonana na zena ,ni mala chache sana ndo naenda kwake, mostly mi nipo busy na mambo yangu, yani kuna mda nasahau kabisaa kuhusu aya mahusiano, ahaaa mahusiano ya kijinga jinga ndo nn sasa, apo ata nikienda kwake hataki ata nimkiss ,asa jamani ndo mahusiano gani ayoooo ,ata kumshika hataki, ata ukimtumia zile sms za mapenzi za usiku, ahaaaa zena hanijibu kabisaa ,wakati kuna wenzake mpaka picha za utupu wananitumia na unyama tu,
Ila pesa zangu nikimpa anachukua fresh kabisaa, na asante ana sema ila mm hataki ata niuguse kidogo mwili wake, yani ata ile kumshika mkonoo, yeee hataki yani, nikawa nahisi apa nachumwa vyangu wallah hakuna mapenzi apa, ila ngoja tuoneeeeee, apo kale ka ummy kannanipenda sanaaa, na kanajua mie ndo baba yake, ila sikuwa na jinsi, na ikawa kila week end ya j mosi ntapita kwa zena kumuona , ntakaa apo na kucheza na ummy,ntakula kabisa ndo naludi kwangu, na kwa kupika tu zena naajua kupika mashaaallah, basi ayo ndo yakawa aina ya mahusiano kati yangu na zena, nikapambana nae kweli kweli mpaka ikakata miez 2 ,wanangu utamu sijapewa na sioni dalili yoyote ya kwamba ata anatalajia kunipa , yani na nikimuita kuja kwangu aahaaaa hataki kabisaaa ata kusikia ,,so ikawa mm ndo kila siku naenda kwake ,yeye ata kupajua tu ile kwangu hapajui hajawahi kufika kwangu ata siku 1, apooo mnazani nimetulia thubutu, kama kawa mi na wanawake wengilu tu, kuna mdaaa ndo hivyo kazini demu akijichanganya naluka nae,yani awa maafande wa kike kam kawa ,na vile nna cheo kikubwa, basi unyama tu ,kama kawaida maisha yanaenda
Siku iyo sasa bwana, nilikuwa zangu job na mwanangu ibraaa, kuna kazi tulikuwa tunaifatailia , na tulikuwa busy sana, mh uo mda wa mchana naona zena ananipigia,apo zena ni mama ntilie bado mujue sijambadilishia chochote, naanzaje mambo hajanipa na pesa nampa a kawaida sana ,yani inaweza kata week ,nikampa.elfu 20, tena namwambia na ya mtoto ipo apo apo ya kuendea shule na wala hakuwa na shida katika suala hilo, na wala sikuona kama.anafosi sana juuu ya mm kumpa pesa ,ye chovhote ntakachompa anapokea fresh kabisaa maisha yanaenda, basi siku iyo kanipigia simu nilikuwa ofisini na mwanangu ibra kuna kazi tulikuw tunaimalizia, nikapokea simu, nikasema nambie mke wangu, akanmbia ahaaa pole na kazi mpenzi, nikasema asante nimeshapoa nambie, akanmbia ahaaa nipo nataka kuandaa chakura kizuri kwa ajili yako unaweza ukaja, ahaaaa asa chakura kitanisaidia nn, mi nataka chakura chengine bwana, nikasema asante zena but leo niko busy sana na kazi ,ntakuja mda mwengine kupata chakura na wewe, akanmbia sawa mpenzi, basi sawa endelea na kazi, basi mi nilivyokata simu nikasonyaaaa , ahaaaaa
Ibraa kanmbia nn, nikmwambia zena uyu ananita niende kwake jioni nikale, asa mi chakura kitanisaidia nini, mi sijisikii kwenda uswahilini kwake kwanza, ibraa akanmbia ila uhisi amani kwa sasa at least una mahusiano, mana sikumbuki millan ni lini ulikuwa n mahusiano ya kimapenzi ata week moja na mwanamke , ila uyu demu mna mwezi now, nikasema sababau hajanipa bado ila akinipa tuu ahaa anaachana nae. Basi ibraa akacheka sana akanmbia sawa bwana, basi bwana kaka yenu nikaendeleza mahusiano na zena ,ila sikumuweka kipaumbele sana, yani mpaka nijisikie sana , ndo ata ntanunua dera nampelekea kwenda kumzuga, kuna mda kama sitaki usumbufu, mi namwambia nimesafiri, apo natanua dar ata week 2, wala hanisumbui sana, siku nikivuta demu geto, simpokelei simu yake ata week 1, kawaida ,na nikimpigia namsondisha sanaa braa braa kibao, ila kitu ambacho alikuwa ananifurahisha zena , aseeee zena ni muelewa ,yani muelewa mnoo, ata kumdanganya sipati kazi ngumu. Ni kumpanga moja ,mbili 3 basi nimemalizaaa na anaonesha kuelewa kabisa, penzi bubu likanoga bwana, na kitu chengine zena sio mwanamke wa kupiga simu kuomba pesa hapana, yeye akikupigia ni mtaongea mengine tu, mpaka mtaagana yani kama kumpa pesa ni pale ntakapojisikia mwenyewe kumpa,
Basi nikasukuti sana na hili penzi mpaka likakata miezi 5, yani sijapewa na hakuna dalili, ahaaaa ilifikia stage , mi nikazalau kabisa aya mahusiano, na sana sana nilikuwa namwambia zena mm nimesafiri,yani sipo dar kabisaaa, ananmbia tu sawa so uko wapi, apo natafuta limkoa lolote namdanganya,ananmbia sawa nimeeleewa hakuna shida ukiludi njooo nyumbani, basi apo mi nakuwa busy na wachumba zangu, mala leo nipo na uyu kesho na yule, mi bwana kila siku natongoza na swaga ndo hizi hiz ntakuoa nakupenda sana ,kumbe ahaa wapi ni uongo mtupu, siku iyo bwana nilipata demu mkari kisenge, mtoto ana vitu vyangu kweli kweli, mtoto kajazia kajazia kweli, uyu demu nilikutana nae kwenye seminer ya kazi apa apa dar, oyaaaaa nikaomba kukutana na uyu demu, mtoto akakubali fresh kabisaa, apo ni kama nilimuomba mtoko si unajua yani tukutane sehemu tunyweeee , tuinjoy nikajua uyu akishalewa tu mie mzigo napewa bila ya shakaaa, millan mie tena na uhndsome uhuuu
Basi kweli mtoto.akakubali vizuri wanangu,apo mm nna mwez nimemwambia zena nimesafir nipo tanga kumbe nadunda mwanaume,ila naona michosho bwana na mapenzi yake ya kitoto, basi nikaongea na mtoto akanmbia yeye kwao kibaha so tusiende sehemu ya mbali, kupata vinywaji mda wa kuludi isimsumbue, nikamwmabia sawa wala usijali, mi freh nikacheki liquour nzur maeneo ya mbezi nikapapata bwana, nikampanga demu fresh, kweli mida ya usiku saa 2 ndo tulikubalina kuonana apo, mwanaume nikajiandaa fresh nikawaka ,nishapendeza ,ahaa unaweza kusema na mika 25, hivi kumbe nazeeka mbwa mm, basi mie nikatoka nikachukua gari yangu mpaka mbezi nilipokubaliana nakutana na mchumba, basi ile nimefika wala sikushuka, nimampigia mchumba akanmbia anakalibia kweli bada ya kama dakika 10 .akanmbia amefika na mm ndo nikashuka pale, kweli nikakutana.na mchumba na tukasalimiana kisha sasa, mwanaume nikamshika mkono yule mrembo kisha tujaingia ndani ya ile bar nweza kusema , nilivyomshika mkono sasa yul dada, kama najunaa nae mda mrefu, mi nilivyo maraya kumzoea mwanamke dakika 2, na simuogopi mwanamke kabisaa, hizo aibu ndo sizijuh ata zinafananaje, basi tukachagua sehemu nzuri kabisaa ya kukaaaa, tukawa tumetulia pale, tukingoja muhudumu, uku naanza kumuhoji hoji kuhusu yeye mana nilikuwa najua jina lake tu. .kwamba anaitwa tekra basi,
Sasa tukiwa paleeee akaja muhudumu sasa kuja kuchukua oder, mi nikaagiza bia zangu kama sita, demu nae kanakunywa akagiza savannah, kisha yule muhudumu tulompa.oder akaondoka sasa , sie tukawa tunae delea na story busy kweli keli , basi bwana daaah si naona zena ndo kabeba vile vinywaji tulivyoviagiza sasa anavileta pale, oyaaa mi nilikuwa nahisi kama naotaaa ,yani zena tena ukuu, kafata nn, mbona hajawahi kunambia kama anafanya kazi apa, ahaaaaaa nilichanganikiwa kwa dakika, aseeee zena akafika pale, akasema karibuni sana wateja wetu, kisha akatoa bia ,akawa antuwekea vizuri pale mezani , oyaaaa nilihisi ama nimemfananaisha mbona hajastuka kuniona apa, daaah nilikosa amani alafu nikajisikia vibaya mana nna mwez namdanganya nipo tanga alafu leo kanishaika apa ata la kuongea sikuwa nayo, tekra akasema thankss darling, alafu nataka na nyama choma, zena akasema sawa na wewe broo , ahaaaa nikamuanglia kwa aibua ,na yeye akaningalia kwa kunikazia sula, nikasema mi sitaki kitu , akanmbia sawaaa ,kisha akaondoka zake daaah nikajua demu nishamkosaa, miezi 10 nimefukuzia mzigo doooh leo naukosa, ahaa nishakamatwa na chet apa ndo sipewi kabisaaaaa
Basi zena akaenda ukooo ,pale mm nikabaki ata mood sina , yani ata ile kuongea na mchumba kama mwanzo sikuweza kabisaaa, yani raha na amani nikawa sinaaa si nishahalibu, basi pale pale nikamtumia sms ibraaa kisha nikampanga kilichotokea ,ibraa akasema inuka kaongee na zena ,mi nakuja najifanya uyo demu ni wangu apo, nikasema fresh mwanangu, kabla sijaionuka naomuona shey ndo kaleta nyama pale ,daaaah shey akanisalimia pale, nikaitikia kwa aibu acheni tu, kisha akaweka nymaa akageuza kuondoka, aseee nikamwambia tekraa nakuja sasa hivi, naenda toilet mala moja, akanmbia sawaa, daah chapu nikatoka nikamfata shey, nikamwmauita shey, shey akasimama, akanmbia millan ndo nn unafanya sasa, we si una mahusiano na zena ,yani unamdanganya mwenzako kwamba upo tanga kumbe hujaacha mambo yako millan nilizani kweli umebadilika kama ambavyo ulimuhaidi mwenzako, nikasema shey sikia mi yule sio demu wangu ni shemeji yangu, nimetangulia nae tu, na mwenye mtu wake anakuja soon, na tanga nimeludi leo na gari ya saa 12 jioni, yuko wapi zena niongeee nae kanza ,akanmbia mh anajiandaa anataka kuondoka mana imemkata sna na kazi ndo kwanza tumeanza jana, ananambia hajisikii tena kuwa apa, millan ebu usiwe hivyo, daaaaah kweli mi nikamwambia sawa yupo wapi akanmbia yupo kule anachange nguo, mi nikaemda mpaka uko ,nakuta na zena ndo anatoka ,kiukweli niliona hayupo sawa kabisaa, nikaona apa nishayatimba kabisaaaaa
π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni