Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
Gonga94 · Stories

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO.....

nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza

"Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..."

Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika kutembea nilisikia madam akiniita.

Nilirudi ili kumsikiliza alichokuwa ananiitia, huyu mama ananipenda sio poa baada ya mimi kufika pale alinikumbatia na alionekana kuwa na furaha sana.

Alinikumbatia kwa wakati kisha akajitoa kwenye kumbato na kunishika viganja vya mikono yangu huku akitabasamu na kunifanya niogope.

"Vip...??"

Niliuliza baada ya kuona natazamwa kama sanamu, hakunijibu zaidi akaibusu mikono yangu, mimi nilikuwa nashangaa na nisielewe chochote.

Ikabidi nijitoe mikono yangu maana hata sikuwa naelewa chochote, akanishika tena mikono kisha akazungumza.

"Mira leo nina furaha sana, kijana wangu yupo uwanja wa ndege anakuja huku..."

Aisee hivi mnajua nilijisikiaje, yaani pamoja na kunisumbua kote kule sijui kufanya hivi na hivi kumbe kijana wake anakuja me nikajua labda amemkubali Nasra kumbe anaongelea habari ya kijana wake aisee nilichukia.

Nikaivuta mikono kwa nguvu, sikumjibu neno lolote zaidi nikaondoka, akaanza kunikimbilia huku ananiita

"Mira mama, hebu simama tuzungumze basi..."

Sikutaka kusikia chochote kutoka kwake maana anaongea vitu vya kipuuzi yani anawaza ujinga ujinga badala ya kujali mtoto aisee ananikera mimi.

Aliendelea kuniita ila mimi sikusimama lakini nilipofika mbele kidogo nilisimama hii ni baada ya kumuona Swatii anatokea chumbani kwake ikabidi nisimame na madam nae akawa amefika pale nilipokuwa Swatii baada ya kutuona aliamua kutufuata..

"Morning mom...!!"

Swatii alimsalimu mama yake, mama mtu macho yote yalikuwa kwangu mwanamke alikuwa ananitazama huku anataka kulia kabisa huyu mama ananipenda hata upendo unaonekana kwenye macho yake.

"Morning..."

Alijibu kifupi tu, basi Swatii anaona Kawaida, madam akanishika mkono wangu huku anaongea.

"Mira, nakuomba uende airport ukampokee Anfrey..."

Madam aliniambia, Swatii kusikia Anfrey anakuja alifurahi sana akaanza kurukaruka huku akinisihi twende.

"Madam siwezi kwenda maana Nasra bado anaumwa.."

"Aah Mira, mtoto utamuachia Shida..."

Nilimuangalia huyu mwanamke yani sikuwa namuelwa kabisa kwenye akili yake kuna akili au matope, hivi naweza kwenda airport kwenda kupokea jitu zima lina akili zake timamu arafu nimuache mtoto anaumwa tena nimuache kwa mdada mpya wa kazi ambae amekuja jana tuu

Sikuwa na neno la kuongea zaidi nikabaki kimya, Swatii nae akaunga hoja ya mama yake basi mtu mbili zikabaki zikinisihi niende airport.

"Nimesema nina mgonjwa hivi hamuelewi nini sasa.."

"Kumbe unamgonjwa..??"

Swatii aliniuliza, alionekana hajui lolote kuhusu afya ya mtoto

"Ndio anaumwa sana, inabidi uende hata wewe na Naina.."

"Usijali kipenzi wewe baki umuangalie mwanao mimi nitaenda kumpokea kaka.."

Swatii alizungumza, madam hakuwa na neno la kuongea zaidi alikubali kishingo upande na sikutaka hata kubakia hapo niliondoka nikimuacha akiniangalia sikugeuka hata kumtazama.

Basi kama kawaida yangu nilikuwa namcare sana Nasra yani binti yangu alikuwa mzuri mpaka nikawa naona wivu sasa maana sio kwa uzuri huo arafu jitu lenye akili zake timamu linakataa mtoto kwa sababu za kijinga

Kama alikuwa na nia ya kujiunga freemason si angejitoa mwenyewe na sio mtoto ambae hana aita, kuna upande nilikuwa nikishindwa kabisa kuamini eti hii familia wamejiunga freemason na huku nawaona wanahudhuria sana ibada

Lakini inawezekana ikawa kweli maana siku hizi watu wanaishi kwa kuigiza ni watu wema machoni kwa watu lakini huku ndani ya nyumba balaa tupu kama lililo ndani ya nyumba hii

Nilitamani kujua kuwa yale maneno aliyoniambia madam ni ya kweli, niliamua kufanya uchunguzi ili kuhakikisha zaidi. Nafanya hivi ili kulinda maisha ya mtoto Nasra

Basi bwana siku hiyo hapo nyumbani yani kuanzia kwenye ile mida ya saa tatu asubuhi kulikuwa na heka heka nyingi, kwa siku moja wwaliweza kualika watu kibao huku wakipanga party iwe usiku.

Upande wangu sikujishughulisha na chochote zaidi ya kumuangalia mwanangu ambaye muda wote alikuwa hajui lolote likiendelea..........

ITAENDELEA......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6


SONGA NAYO.....

nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza

"Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..."

Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika kutembea nilisikia madam akiniita.

Nilirudi ili kumsikiliza alichokuwa ananiitia, huyu mama ananipenda sio poa baada ya mimi kufika pale alinikumbatia na alionekana kuwa na furaha sana.

Alinikumbatia kwa wakati kisha akajitoa kwenye kumbato na kunishika viganja vya mikono yangu huku akitabasamu na kunifanya niogope.

"Vip...??"

Niliuliza baada ya kuona natazamwa kama sanamu, hakunijibu zaidi akaibusu mikono yangu, mimi nilikuwa nashangaa na nisielewe chochote.

Ikabidi nijitoe mikono yangu maana hata sikuwa naelewa chochote, akanishika tena mikono...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miranda-binti-yangu-sehemu-ya-6

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miranda-binti-yangu-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

1K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

705
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

631
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

625
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

607
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

546
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

401
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

252
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

195
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

109

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.51K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.68K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.54K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest