*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly
kisha nikamuuliza.
"Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana"
Madam groly akacheka sana kisha akasogea mbele yangu akiwa na Sura kauzu sana
kuzungumza.
Ishani, kumbe wewe nawe akili yako ni ukubwa wa KISODA tu, Yaani Mimi nikupokee wewe kwenye familia yangu 7 Sijawai kuisubili hii siku ata siku moja, sikuwal Kuwa na shauku na hii siku ata kidogo
Nikaona sasa huyu mama anataka kunizoea na ananiona Mimi Kama toy lake anaweza skachezea muda na saa yoyote ile, kwa kujamini sana nikasimama na kumjibu.
"Ooooooh is that so ? Kumbe bado unitaki na
utaki Mtoto wako awe na Mimi? Madam groly bado ujachelewa bado kuna lisas limoja tu nenda kanisani halafu hakikisha hii ndoa Inakatishwa ila sio unaniletea mdomo wako
hapa
"Nini wewe? Yaani ishani Ndio unaniongelesha Mimi hivyo? Unasahau Kuwa Mimi ni mama mume wako mtalajiwa
"Ni mama yake wewe sio Mimmi uwezi Kuwa mama yangu ata siku moja Sawa, sasa utachagua ukavunje ndoa sasa hivi ukan kinywa kwa maisha yako yote yaliyobakia hapa duniani, mshenzi mmoja wewe
Kiukweli huyu mama ameshanikaa kooni Vaani angekuwa mate ningemterna tu ili anitoke roho yake mbaya.
Kwa hasira akatoka nje na watu wa kuniandaa
wakarudi Ndani na kuendelea kuniandaa.
Kiukweli sikuwa Sawa Furaha yangu ilipotea yote wakati Mwenyewe nilikuwa nina vibe Kama lote bi harusi Mimi nilichachuka kabla ya huyu mama kuja kuharibu
Hatimaye muda ukawadia nikatolewa saloon na
kupelekwa kanisani, Ila ili awala la kutokuwa na
wazazi linaumiza sana, Imagine, Enzo
anasindikizwa wazazi wake kwenye atale
Mimi nilindikizwa na Pili lakini pia sio Pili
Pekee yake Bali baba mzazi wa Pili pia akasimama Kama baba yangu nyleeeh hil familia lacheni naipenda sana, wamenionesha
upendo wa hali ya juu.
Enzo wangu alikuwa no Furaha sana muda wote
alikuwa kucheka tu, Walahi alikuwa ananipa raha
na kuna Namna Furaha yake ilinipatia Furaha pia na kujikuta nikipotezea Maneno machafu ambayo mama yake alinipatia saloon.
Aaaaah nyie Jambo likipangwa na Mungu
hakuna mwanadamu yeyote Yule ambaye
anaweza akapangua, hatimaye nikawa Mke
halali wa Enzo.
Baada ya Ibada kuisha, nikarnsogelea madam groly na kuanza kumlingishia Pete yangu uku
nikimzomea kila mtu aliamini Kuwa ni utani lakini Mimi na yeye Ndio tulikuwa tunajua ni kitu gani kinaendelea kati yetu
Enzo Nae ni Kama Wivu ulimvaa hivi, akasogea. nilipokuwa namchokoza mama yake na kunikimbatia kwa nyuma
"Hongereni sana wangu, Yaani hongereni mno
Mamaa Enzo Alizungumza baada ya kumuona
Enzo amefika
Karna familia tukapiga Picha MBILI Tatu kisha
Mimi na Enzo na wasimamizi wetu,
tukachukuliwa na kupelekwa hotelini kwaajili ya
kubadilisha nguo na make up nyingine kwaajili
ya kwenda ukumbini sasa.
Tulipoingia tu kwenye chumba cha hotel, shoga
yenu nikafunga mlango vizuri kisha nikarudi na
kumkumbatia Enzo kwa nguvu sana na kwa
mahaba ya hali ya juu nikaanza kutema Cheche.
Enzo Mume wangu, najua Kama nakupenda
sana wewe unanipenda sana tu, lakini katika
hii siku ya Leo nataka ujue Kuwa Mimi naishi
kwaajili yako, nataka ujue Kuwa ishani Mimi siwezi kuishi bila wewe, nataka ujue Kuwa Kama kuna kuzaliwa Mara ya Pili nitataka wewe
uendelee Kuwa mume wangu, nakupenda mno,
nakupenda mume wangu"
Enzo akaninyanyua vizuri kabisa
na
kunipandisha kitandani kisha na yeye akapanda
na kunijibu
"Moja ya ndoto yangu kubwa ilikuwa ni Kuwa na
mwanamke ambaye nitampenda sana, na tangu nilipogundua Kuwa moyo wangu umenasa kwako nikaaidi Kuwa lazima nisimame na wewe
kanisani and am grad i did it, Ishani, madhaifu
yetu yasije kuushinda upendo wetu ata siku
moja
Aghaaaaaaaah nyte huyu kaka anazidi
kunimaliza mwenzenu.
Eeeeh huyu mtu wa make up Mbona aji sasa Nilizungumza baada ya mazungumzo yetu ya Maana kuisha
Enzo akajibu
"Nimemwambia asije utaenda ukumbini ukiwa
natural
"Nini wewe? Yaani Mimi niende ukumbini bila
kupaka make up? Weeeh labda Mimi sio Mimi
nataka kubaluza baba
Enzo akaniangalia aka tabasamu na kunisogelea
Karibu kabisa na Kwa SAUTI ya kukoloma
akajibu.
"Nimemwambia achelewe kuja kidogo, nijonjee
tunda langu la halali Maana ile la mwanzo
lilikuwa haramu
"We jinga nini Ebu Niache, hapa kwenye
nimechoka Sijui ata ukumbini itakuwaje halafu
na wewe Unataka kumipindua 7 Kijana
tubeshimiane
Nilizungumza na kutoka kitandani na kwenda.
kukaa kwenye kochi haikuchukua muda
mrefu mtu wa make up na team yake wakafika
na tukaendelea na process
Kiukweli my zangu harusi ilifana sio michezo,
Yaani ukumbini kila mtu allarnini Kuwa Miami na
mama mkwe yangu ni tunapendana sana na
Ndio Maana tunatambiana na kushindana
kumbe likuwa ni vita baridi, Yaani Mimi na
mama mkwe tulikuwa Kama mtu na Mike
mwenzio siku hiyo.
Kiukweli natamani niwasimulie kila kitu lakini
siwezi Walahi, siku ili Kuwa Ndefu sana na
nilichoka mno mpaka nikalala pasi na kuoga
samsinichambe me sio
Mchafu ni uchovu tu
Mimi
mume wangu tulikaa hotelini week
moja kisha tukarudi NYUMBANI kwetu
"Eeeeeh Mike wangu kipenzi, nambie honeymoon
Unataka nikupeleke nchi gani?"
Enzo aliniuliza muda huo ulikuwa ni usiku na
Ndio kwanza tulikuwa tumetoka kumaliza
mechi.
"Mume wangu, Wala usijiaumbue me sitaki
kwenda kokote pale, lakini nilikuwa nimewaza
Kuwa tukakae kule kwa mama week MBILI tu au
mwezi mzima
Nilijibu kwa mahaba Makubwa sana, Enzo
alibaki alicheka uku akiamini Kuwa nataka kuwa
Karibu
na mama yake kumbe L
Sitaki Kuwa Muongo wakweli, Yaari Mimi
niliandaa shengesha la Maana ambalo nilitaka
kumfanyia mama mikiwe, nilijitolea kumuonesha
mama mkwe uchizi na utalla.
Pasi na kupoteza muda mume wangu.
akachukua simu na kumpigia mama yake na
kumpa Habari hiyo, pasi na shida yoyote madam
Groly ekakubali na alionesha Kuwa na Furaha
kupitia SAUTI yake.
Siku iliyofuata, Mimi mume wangu tukapaki
nguo zetu
tukaenda kwa mama mkwe, kwa
mama mkwe kulikuwa na maandalizi mazuri
sana ya kutupokea
Ila nyie subilini kwnza, hivi kumbe ukipendwa
vizuri Ndio Una nawili kiasi hiki? Nyieeeh me
nilinawili Bwana, Yaani ilifica kipindi nikkipita
kwenye kioo naganda nikijishangaa.
Ikiwa ni majila Ya jioni siku hiyo nilimuacha
mama wa kazi Yaani mama zena apumzike uku
nikiipromise familia nzima Kuwa nitaandaa
chakula cha jioni.
Aaaah mwanamke jiko Bwana aswaah ukiwa na
ndoa ya halali
Nikiwa jikoni naandaa mambo mazuri gafia
madam groly akaja na kusimama pembeni
yangu na kubaki akiniangalla tu
"Umemaliza kunishangaa?"
Nilimuuliza madam groly Maana ameganda tu
ananishangaa Kama amepotea posta.
"Hivi kunguni Mdogo unajiamini nini?"
Madam groly aliniuliza
Nikamuangalia na kutabasamu kisha lova
kujiamini Nikamjibu.
"Kaama Mimi kunguni Mdogo lakini harufi yangu
Kali sana na inakosesha amani kabisa
"Stupid Yaani Sijui umemfanya nini Enzo wangu,
Yaani Enzo asikii Wala aambiwi kuhusu wewe
"Madam groly, hivi unajua Maana ya kupenda na
kupendana 7 Mimi na Enzo tunapendana sana.
Tena sana, najua wewe ni muhenga lakini wacha
nikukumbushe Kuwa mliwai kusema Kuwa,
Ndege wafananao huruka pamoja
Madam groly alikosa ata cha kuniambia skabaki
akniangalia kwa hasira akachukua kitunguu
saumu na kuanza kukukatakata na kisu.
Uwilih kitendo cha Mimi kunusa harufu ya
kitunguu Swaumu,
nilijikuta
nikipata
kichefuchefu cha gafla, nikatoka mbio na
kwenda kwenye public toilet kwaajili ya kutapika
Nilishusha pumzi Ndefu baada ya kumaliza
kutapika
"Aaaaah maralia yameanza kuninyemelea sasa
Nilizungumza uku nikirudi kwenda jikoni, lakini
gafia mama zena akalopoka.
"Maralla wapi wakati ni kijukuu cha madam groly
iko
Weeeh nilishtuka san sio Mimi tu kila mtu
aliyesikia alishtuka, kwa haraka Enzo aka
Je ni kweli Nina Mimba au mama zena
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi

Maoni