*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo
"Ishani umeolewa Mwanangu?"
Nikamuangalia na kumwambia.
"Mind your business bi mkubwa
Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla.
Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo ana magari, Jamani my wangu ameamua kuishi maisha ya kawaida kabisa Yaani ataki kuishi maisha ya Pesa Mingi ikiwa hakuna amani.
Miezi miwili ilipita na maisha yalikuwa yakiendelea vizuri kabisa pasi matatizo vikwazo Wala
Ikiwa ni siku ya jumatano, siku hiyo nikiwa nje nimekaa na pili, ikaja Boda na kupaki pembeni na akashuka msichana ambaye kwa haraka haraka sikuweza kumtambua lakini
alivyosimama vizuri Ndio nikagundua Kuwa ni pully Yaani msichana ambaye aliwai kufunga ndoa na Enzo wangu.
"Huyu Chizi kaja kufanya nini hapa"
Niliuliza kwa jazba na kusanama kishari Shart nikimuangalia
"Za hapa?"
Alisalimia pully kwa SAUTI ya utulivu sana. Nikamuangalia na kumuuliza.
"Eeeeeh nikusaidie nini?"
Ila kwanza kabla Sijaenda mbali Ngoja niwaambie nyie kuisha kupo, Yaani kaachwa miezi Sijui minne tayali amepauka utazani ameachwa miaka minne iliyopita
"Ishani naitaji msaada wako Sana Yaani Nikamuangalia kisha nikamgeukia pili
kumuuliza
"Unamsikia huyu mjinga?"
Pili Wala hakupoteza muda akadakia.
"Msichana wenzio hatutaki kwenda jela kwa
Mara ya pili cha kufanya changanya Hizo fito
zako
upotee katoka maeneo haya, Yaani
hatutaki kukuona Binti sayuni"
"ISHANI, please najua nimewai kukukosea, najua kuna mabaya mengi yametokea kati yetu lakini Leo hii naitaji sana msaada wako, Ishani
mama yangu anaumwa sana Tena sana, ishani sina msaada mwingine zaidi ya Enzo, madam groly ataki ata kunisikia, Antie Asu ameama nchi
kabisa, please ishani nisaidie mwenzio
Daaah kuna Namna nilianza kumuonea huruma
Jamani, ukiachana na visa na mikasa yetu bado Mimi ni binadamu na mama mzazi wa pully aliwai Kuwa Mwema kwangu ingawa alibadilika gafla tu
"Mama anaumwa nini?"
Nilimuuliza
Hapo kwanza pili akanigeukia na kuniangalia
kwa jicho moja ambalo nilielewa linaanisha nini.
SHANI mama yangu anaumwa mno, Tena mno,
ana Kansa, matumizi ya hospital yamekuwa
Makubwa sana, mpaka Sasa unavyoosha sina
chochote mwenzio
"Sasa puilly Unafikili Mimi Nina Pesa ya
kumuhudumia mama yako kweli? Mimi Pesa ya
hivyo nimetoa wapi na unajua kabisa hali yangu
ya mpunga nikikuna natoka unga tu
Nijibu
"Najua, hali yako Kama yangu tu, lakini wewe
unaweza kuzungumza na Enzo Mimi Apokel
simu zangu Wala ajibu jumbe zangu, Naomba
nisaidie kumpigia simu na kuongea nae
anisaidie
Pili akadakia
"Shemeji yangu sio shirika la msaada"
Nikamtulla pili na kuzungumza.
"Akirudi kazini nitaongea nae, na nitakupigia
"Asante sana ishani, lakini andika Namba yako.
umu Maana Nina Namba Mpya"
Alizungumza pully
kunipatia simu yake,
wollhuku kushuka kwa pully sio kushuka ni kupolomka Walahi, Imagine kutoka kwenye IPhone 15 mpaka kwenye kidogoli Tena
ambacho hakikuwa ata na zile Batani, Yaani ni
mwendo wa kubonyeza na kijiti
Nikamuandikia Namba na kumpatia simu yake,
pully akaaga na kuondoka kwa amani kabisa.
"Yaani unamuamini huyu msichana Haya
Ngoja amchukue Tena Shem darling Walahi
nitaamia upande wake siwezi kuacha vinono
viende
la pili jamani ingawa aliongea ukweli lakini
ni kheri niangalie jinsi gani natoka msaada kwa
mama amina Maana alinifaa sana kipindi
ambacho nilikuwa naishi mtaani.
Majila ya usiku nikiwa na Enzo wangu kwa
utulivu wa hali ya juu juu nikamuuliza
"Tunaweza kuongea?"
"Bila Shaka
Alijibu Enzo na kukaa vizun akinitazama
Leo Amina alikuja
"Amina? Amina Ndio Nani?"
Nikacheka na kujibu
"Ooooh Namaanisha pully"
"Alikuja kufanya nini? Na wewe ulimpokea 7
Ajakufanya kitu chochote kile ? Ajaleta Fujo ata
kidogo
Enzo alijikuta akiniuliza maswali mfululizo
wazi alikuwa na wasiwasi sana
"Hakuna amekuja kwa utulivu sana, ata hivyo.
Lengo sio ilo mume wangu, mama amina
anaumwa sana
Sasa Kama anaumwa si waende hospital uku
alikokuja wewe ni Dokta au
"Aaaah jamani Enzo, hasira za nini mume
wangu? Lengo la pully ni anaitaj sana msaada
wako kwenye matibabu ya mama yake
"Subill ishani, Kwahiyo Unataka Mimi nimsaidie
pully Umesahau alikuwa kwenye mission ya
kuniua? Mimi kumuacha Uraiani isiwe sababu
kabisa, slika Saa Hizi ni usiku nataka kupumzika
Enzo akachukua shuka akajifunika kisha
akageukia upande wa pili na kulala.
"Hi sikuombi kwa niaba ya Pully nakuomba kwa
niaba yangu Mimi, Enzo nataka kujaribu
kurudisha wema ambao amewai kunitendea
Enzo akanigeukia na kujibu.
"Sawa kesho tutaenda kumuona"
Siku iliyofuata asubuhi na mapema Mimi na
Enzo tukajiandaa na kwenda hospital kwaajili ya
kumuona mama amina, Kiukwell mama amina
alikuwa anaumwa sana Tena sana
Tukapata muda wa kuzungumza na ndugu lakini
pia na pully na daktari ambaye alikuwa
anahusika na mama amina.
Nyteeeeh nikisema Kuwa Enzo Kuwa ni
mwanaume na
mnanielewa Bwana,
Enzo akafanikisha kulipa bill zote za mama
amina ambayo ilikuwa ni milioni 3 na laki 2.
"Asante Sana Enzo, Asante Ishani Mungu
awabariki sana
Alizungumza pully akiwa anatililikwa na machozi
tu.
"Sawa uwe na maisha mama"
Alijibu Enzo kisha akanishika mkono na
tukaondoka, Yaari Enzo akutaka mazoea
pully ata kidogo.
Tukiwa njiani tunarudi NYUMBANI Mimi na Enzo
gafla nikajikuta nikipiga Kelele na kumshtua Kila
mtu akiwemo dereva Bajaji
"Nini wewe shida nini?"
Enzo aliniuliza kwa jazba ya hali ya juu Maana
nillimshtua sana.
"Ma Mdogo, Enzo ma Mdogo ameuwawa
Nilijibu na kumpatia Enzo simu aweze kuona.
Maana ni taaarifa niliyoiona instagram kwenye
account ya Millard na anayetangazwa kuwawa
ni mama yangu Mdogo allyekuwa akininyanyasa.
"Dereva Twende mikocheni sasa hivi
Basi safari ikabadilika tukaenda NYUMBANI
Kwa ma Mdogo na kukuta Nyumba ikiwa kwenye
uangalizi mzito
Siku mbili zilipita
Hatimaye nikapatiwa
ruhusa ya kupumzika mwili wa mana yangu.
Mdogo na ukizingatia Mimi ndiye ndugu yake
niliyebakia.
Kuhusu mume wa ma Mdogo na Binti yake tayali
wanamaisha Yao Uko marekani kwars ma
Mdogo na Mume wake wallshaachana na taarifa
zote Hiza nilipewa tuntu msichana ambaye
alikuwa kuzwa Kama Mimi Ingawa yeye
alipokea kazi kwa mikono miwill.
Kiukweli Sijui ni roho mbaya au ni kitu gani lakini
msiba huo Wala haukuntuma kabisa Yaani
niliona ni kam kitu cha kawaida tu
Week mbili zikapita tangu msiba wa ma Mdogo
kupita na maisha yangu yalikuwa yanaenda
powa kabisa.
Ikiwa ni kumbukizi yangu ya siku kuzaliwa, siku
hiyo niliweka kigoma cha uswazi na mziki
mnene
na ghalama zote zilitoka kwa mwanaume
wangu na nusu Enzo
Tukiwa bize tunasherehekea gafla gari ya
madam groly ikafika na akashuka madam groly
akiwa ameongozana na mume wake
Mimi na Enzo tuka.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi

Maoni