Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 20
Gonga94 Β· Stories

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho

Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata

Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu, yaani kila kitu kilikuwa taratibu hata moyo wangu kwa asilimia 90 ulipunguza ile speed ya kudunda ukawa unaenda taraaaatiiibu Du......du.....du, Veda hata hakuwa na harakaaa, akanifanya nijisikia Salamaa kama nimetoka safari ndefu nimechoka kisha nikafika nyumbani kwenye kivuli maji ya kunywa na sehem safi ya kupumzika, Mahaba yake aaah basi bwana nitaanza kulia mieee aah ..

Nilikuwa nimefumba macho mpaka machozi ya Furaha yalianza kunitoka, kwa sababu ndio mara yangu ya kwanza najihisi hivii nikiwa kwenye tendo sio rahaa et useme nasikia rahaa sijui mpaka nachanganyikiwa Hapanaa raha nilikuwa naisikia lakini Amaniii amanii jamani kwa mara ya kwanza nilihisi amani nilihisi akili yangu imetuliaa siwazi chochote zaidi ya kile anachonipa Veda masikio yalikuwa yamezibaa sisikii chochote zaidi ya mishindo yake sikuwa napiga kelele za raha et wala kuugulia utam, Nilikuwa kimyaa lakini nilikuwa na amani sijawahi kuihisi nilikuwa nafurahia tendo sijawahi maisha yangu yooote ...

Machozi tu ndio kelele pekee zilizo amua kumsapoti kipenzi changu

Nikaona kasita yaani kaacha kazi yake hapo hapo akaniita "Ma mpenz!!"
Nikaitika "mmmh" Nikafumbua macho yameloa machozi ile kufumbua ndio kama niliyachokoza wee yakamwagia mengiii yaani mpaka nikavuta ile kama mtu alikuwa analia muda mrefuuu anamalizia uchungu wake, Veda alishtuka

"Ooh Ma mpenzi ooh Noo!!!" Akataka kutoka nikamzuia nikambana hapo hapo nikaliaaa

"Nimefanyajee.... nimekuumiza " yaani ndo nikazidi kuliaa, Veda nilikuwa namchanganya tu anahangaika hatari

"Naomba unisamehe kama nimekukosea, Nitazame embu nambie nimekosea ninii!!"

Nikamkumbatia kwa nguvuuu halafu nikafuta machozi, Nikamwambia "Sijui kwanini hatujuana mapema "

'"Huuu ndio muda sahihi, ndio maana tupo hapa mamaa" akanikumbatiaaa naliaa

Nikakumbuka ule wimbo ulee wa Bushoke na mdada flani hivi nimemsahau jina, ule unaibwa hivii

Bushoke:Mbona wanitazamaa kisha waanza kulia kama nimekukosea naomba unisamehe

Mdada: Hapana hujanikosea nina lia kwa furahaa mapenzi unayo nipa sijawahi kupata, Unapo sogea karibu unapo nishika mkono, unapo Nitazama machoni nashindwa vumilia, mapenzi unayo nipa sijawahi kupaata ..

Nimeishi na wasio jua mapenzi wasio, wasio jua hata kunyenyekea, nimeishi na wanao jua ku force wasio jua hata kubembeleza, napokuwa na wewe najiona ndio mwenyewee............)

Aaah we dadaaa weweee hakiamungu kumbe huu wimbo ulikuwa na maana kubwa sanaa leo ndio nilielewa kumbe kuna mapenzi bwanaa aisee kuna mapenzi nyiee mmmh hehehe Hakiamungu unahisi kama unakaribia kupata uchizii, nilikukumbuka huu wimbo nikamwambia Veda Auweke tafadhali yaani huu wimbo utaelezea hisia zangu zotee ..

Basi Ba mpenzi wangu hakuwa na hiyana mwenyewe tena alikuwa hata hana kwenye simu akaudownload aka play alooo yaani babyyy michuano ya Taratibu na haka ka wimbo kanatuburudisha tena kaweka ujirudie nyieee aah Mpaka Ba mpenzi chozi lilimtokaaa aloo hii siku aah au niache bwana ..

Baada ya Kazi laini sio ngumuu mie nimezoea kufanyishwa kazi nguvuu mkitoka hapo mnahema kama ma mbwa yanashindana mi jashoo zito hadi feni haifanyi kazi mnaanza kujipepea na mikono, Leo kazi ilikuwa lainiii kijashi chepesii kinachapuza kwa mbalii hata pumzi zilikuwa laini

Akanivuta karibu yake zaidi akaniweka kifuani, akanikumbatiaa, nikawa nasikia tu mapigo yake ya moyo , yanapiga taratiiibu

"Ma mpenzi wangu..." akaniita kwa sauti ya chini kumbe akiongea kimahaba huyu kaka anaweza kukupa uchini haki tena

"Mmh..." nikaitika kwa kugugumia hapo hapo kifuani wala sikuhangaika kumtazama

β€œNakwambia leo nikiwa na akili timamu, sitakuacha sitakutoroka wala kuku cheat"
Nikainua macho kumtazama. β€œUsiahidi kwa hisia za usiku tu, ”nikamwambia kwa upole yaani yakutia huruma mpaka basii
β€œNiahidi kwa mchana pia.”
Akatabasamu, akanibusu kipaji cha uso.

β€œNakuahidi kwa mchana na kwa usiku. Kuanzia leo, maamuzi hatuyafanyi peke yetu ila na mtoto wetu mtunze mwanangu Vero hata nipate shida gani hata nije kubadiliika niwe kiumbe wa ajabu nakuomba mtunze mtoto "
Nikavuta pumzi ndefu.

β€œNa mimi nakuahidi kusikiliza, Sitakimbia, nitakupenda leo kesho na milele, wewe na mwanangu ndio vitu pekee nilivyo navyo hapa duniani"

Akaweka mkono wake juu ya tumbo langu kwa upendo β€œTutalinda hiki tulichokianzisha awe njia salama ya wadogo zake "
Nikajiegemeza kwake, nikahisi amani ikishuka polepole nikajilaza tena, Gafla nikakumbuka kuhusu D

"Ba mpenzi Samahani!" Nikainua uso kuumtazama nae akanikazia jicho yaani kama anauliza vipi tena

"Samahani, Naomba kuuliza muafaka wako wewe na D, kwa maana ni Boss wako na mmegombana haiwezi kukuletea shida kazini??" Akacheka hatarii

"Yule mjinga sio Boss wangu mie, Ile siku nilikuwa namtazama tu anavyojipakulia nyama kwako anapenda sana sifa yule" eh nikabaki tena nimetumbua macho

"Sio Boss wako??" Mpaka niliinuka nikakaa kitandani

"Ndio... alikiwa anakuoshea ile siku sa mie ningesema ninii?"

"We ulijuana nae vipi sasa??"

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 20


Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho

Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata

Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu, yaani kila kitu kilikuwa taratibu hata moyo wangu kwa asilimia 90 ulipunguza ile speed ya kudunda ukawa unaenda taraaaatiiibu Du......du.....du, Veda hata hakuwa na harakaaa, akanifanya nijisikia Salamaa kama nimetoka safari ndefu nimechoka kisha nikafika nyumbani kwenye kivuli maji ya kunywa na sehem safi ya kupumzika, Mahaba yake aaah basi bwana nitaanza kulia mieee aah ..

Nilikuwa nimefumba macho mpaka machozi ya Furaha yalianza kunitoka, kwa sababu ndio mara yangu ya...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/from-bangi-to-baby-sehemu-ya-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi from-bangi-to-baby-sehemu-ya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 16
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 16
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 15
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 15
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 18
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 18
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 13
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 13
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 11
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 11
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 9
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 14
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

1.03K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

631
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19

587
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

572
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 18

508
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 20

275
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

238
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 3

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 3

115
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

98
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

6

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.46K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.23K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.75K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.21K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.61K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.54K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.45K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.45K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.44K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.39K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee β€œ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest