*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo.
"NAKUJA
Alizungumza Enzo kisha kwa mwendo haraka akawafuata wazazi wake
"Shoga yangu kazi unayo na hii familia"
Alizungumza pili Maana anamjua vizuri sana madam groly na drama zake za kila siku utazani ni Binti wa kidato cha pill Baada ya Kama dakika 5 hivi, Enzo akarudi na wazazi wake wakarudi Ndani ya gari
"Tunaweza akuendelea"
Alizungumza Enzo, Nikamuangalia
kumuuliza
"Wamekuja kufanya nini? Na wanaondoka
wenyewe au wanaondoka na wewe?"
"Wana mazungumzo na sisi na watatusubilia
mpaka tutakapomaliza shughuli yetu
Basi shughull iliendelea lakini sikuwa comfortable kabisa Yaani niliogopa ata kucheza mziki na kigoma kwa amani, Walahi nilishindwa kuinjoy siku yangu, imagine kutikisa makalio mbele ya baba mkwe na mama mkive.
Nilipanga mziki wangu ukae mpaka Saa 6 usiku lakini ilipofika tu Saa 2 usiku, nimamuomba si DJ azime mziki na waweze kuondoka na shughuli ikaisha Kama hivyo.
"Shikamooni
Niliwasalimia wazazi wa Enzo baada ya kuwakaribisha Ndani kwangu na muda walikuwa tayali wako Ndani.
"Marahaba Mwanangu Unaendeleaje?"
Aliniuliza madam groly.
Kwanza nikashtuka sana Walahi, Yaani madam
groly Ndio wa kuniita Mimi mwanae kweli? Tena
gafla kabisa na baada ya kila kitu kilichotokea.
Nilibaki nikiwaangalia na kuwasikikza wamekuja
na jipya gani
"Naona Enzo anainjoy maisha ya uswahilini na
amekuwa mzoefu sana mmenitamanisha
kwakweli
Alizungumza baba Enzo akiwa na tabasamu
Kama lote usoni mwake.
Muda wote huo Enzo alikuwa kimya, Lakini gafla tu akavunja ukimya na kuuliza
"Mbona mnazunguka sana mmekuja kufanya
nini uku
"Tumekuja kuwaona kujua mnaendeleaje na
kila kitu
Alijibu madam groly, Enzo akasimama na kuzungumza.
"Mmekuja kutuona au kuniona ? Najua chaguo
langu amittaki Kwahiyo hapa mmekuja kuniona Mimi tu, na Kama sio kuniona Basi kunichukua, Ngoja niwaambie kitu Mimi hapa Ndio nimefika
bakini na Mali zenu
"Actually icho Sicho kilichotuleta kabisa, Enzo ni
kwell tumekuwa wazazi tunaokubana na
kukusimama sana lakini kwa sababu
tunakupende sana na tunawaza mama juu yako,
aaaah Mimi na mama yako hapa, tumekaa
tumezungumza na tumekubaliana Kuwa Tuko
tayali kumpokea Ishani Kama mkwe wetu"
Macho yalinitoka na kubaki nicimuangalia
madam Groly ambaye alionekana Kuwa
"Ebu
Furaha sana kwa wakati huo
subilini
kwanza,
mnamaanisha
manachokizungumza ?"
Enzo aliwaulza wazazi wake ni wazi kuwa ata
yeye alishindwa kuamini kwa wakati
Huo
Madam Groly akasogea Karibu.
Yangu na kunishika mikono yangu yote miwili na
kuzungumza.
"Ishani binti yangu, nakumbuka Mimi na wewe
tulikuwa na mwanzo mzuri sana siku ambayo
tulijuana, nilikuonesha upendo wa hali ya juu na
haukuwal Kuwa fake ata siku moja, hapo katikati
mambo yalivulugika sana, Nafikili ni wasiwasi wangu Kama mama juu ya Kijana wangu Ndio umetufalakanisha, najua utanielewa mama yako
na kunisamehe, nakuomba sana tuanze mwanzo
Mpya
Kisha madam Groly akanikumbatia kwa nguvu
sana akiwa Analla ni wazi Kuwa alijutia sana
matendo yake mabaya dhidi yangu.
Kiukweli kwa wakati huo sikuwa na majibu.
sahihi ya Kuwapatia nilibaki nikiwashangaa na
sikuchangia mada ata kidogo.
"Nafikili wacha sisi Twende na mpate nafasi ya
kuzungumza, lakini nawaombeni sana sana
mrudi kule NYUMBANI kwenu
Alizungumza baba mkwe kisha wakaaga na
kutoka nje.
Enzo pia akatoka na wazazi wake me Nikabaki
tu Mwenyewe
"Mbona Kama kuna kitu akipo Sawa jamani
Niljkiliza
Sawa madam Groly na mume wake
wamezungumza mambo mazuri sana juu yangu na Enzo lakini Mbona Kama moyo wangu bado hauko tayali ni Kama moyo wangu. Ulikataa
kuwaamini kabisa.
"Yes, yea, yes"
Alishangilia Enzo baada ya kuingia Ndani na kwa
furaha ya hali ya juu akanikumbatia.
"Finally i can take you home, ishani umeweza
mama, umeweza Mke wangu waoooooh
umeshinda
upendo
nakupenda mwenzio
wazazi wangu
Enzo alikuwa na Furaha sana Walahi na sikutaka
kuharibu Furaha yake so nilichofanya
kumuigizia Furaha ambayo sikuwa nayo.
Mimi na Enzo Tulizungumza mambo mawili
matau kisha nikasimama na kumwambia
"NAKUJA
Moja kwa moja nikaenda chumbani kwa Pill
shoga yangu wa Hubani huyu.
"We Mke wa mtu usiku huu chumbani kwangu?
Au mahayakologa Uko ?
Pili aliniuliza uku akiniangalia kwa makini sana.
Nikatulia pale na kuanza kumsimulia shoga
yangu kila kitu Maana yeye Ndio mtu Niko Huru
sana kuzungumza nae mambo yangu, Sawa Pili
ana uswahili mwingi sana lakini yuko vizun sana
kichwani na anajua kuzungumza na mtu.
"Kwahiyo mama mkwe yako Ndio amekuja
kukuambia hivyo Lea?"
Pili aliulize
"Ndio, Yaani Squi lakini Mimi nahisi Kama sio kwell, Yaani sioni ule upendo wa kweli kutoka
kwake
Pili akashusha Pumzi Ndefu kisha akajibu.
Kiukweli siwezi kwenda moja kwa Moja kwenye
majibu Maana uwezi jua moyo mtu na Ndio
Maana wahenga walisema moyo wa mtu ni
kichaka
"Saa Pili me nafanyaje mwenzio eeeeh, Yaani
nahisi kuchanganyikiwa Sijui ni kitu gani
nafanya
"Sikia ishani, si unampenda Enzo na anakupenda
sana fanya Kama ambavyo mama yake anataka,
Yaani cheza ngoma yaka lakini usijiachie sana,
watu hivyo uwaga awawezi kujificha kwa
muda mrefu
"Kwahiyo Unataka Mimi nikubali kwenda kuishi
kule kwa Enzo?
"Ndio Enzo ni mwanaume wako na anakupenda
sana Tena sana, imagine ameacha maisha yake
mazuri
na yuko hapa anacheza mpaka vigoma
kwaajili yako huo ni upendo ishani na
umebarikiwa Kuwa na Enzo kwenye maisha
yako, Mimi ninachokiomba mpatie Furaha Enzo
Nikatabasamu na kumkumbatia Pili wangu kwa nguvu sana, yaani huyu Mdada daach amenisaidia
Siku ziliendelea kwenda na hatimaye Mimi na
Enzo tukafunga Maamuzi ya kurudi ushuani kule
kwa Enzo, vitu vyangu vya uswazi vyote
nikaviacha kwa Pili Maana lolote lile linaweza
likatokea
Hatimaye miezi 8 Ikapita uku Mimi na Enzo
lakini pia familia ya Enzo tulikuwa Sawa
kabisa, Yaani madam Groly alinipenda
kuliko
maelezo nikajikuta nikimuamini sana na kuamini
Kuwa ni kweli amebadilika.
Ikiwa
siku ya harusi yangu Mimi na Enzo,
Ilikuwa ni siku ya Furaha sana, ndoa ya Mimi na
Enzo likuwa inafungwa saa 10 jions
Ikiwa ni Majila ya saa 8 MCHANA nikiwa saloon,
mama mkwe alikuja akiwa na Suzy, Kiukwell
Ilikuwa ni Furaha ya hali ya juu kuna muda
Nilihisi Kuwa ni ndoto lakini kumbe Ndio uhalisia
Yaani baada ya kila
Kitu, baada ya mapigo na machozi mfululizo Leo
hii ni Ndani ya shera na Kuwa Mke halali wal
Enzo
Ila Pesa sio mwenzio Walahi, Yaani saloon
nilipelekwa kwenye chumba cha VIP Yaani ni
Mimi na wahudumu tu
"Mnaweza kutupisha nina mazungumzo na
mkwe yangu kidogo jamani
Alizungumza madam Groly na kumfanya kila
mtu kutoka nje na ata Suzy pia akatoka nje
"Unajisikiaje ?
Madam groly allniuliza baada ya kuhakikisha
Kuwa tumebaki Mimi na yeye tu
Squi niseme kitu gani mama, lakini nasikia raha
na amani, finally Leo Mimi na Enzo tunatimiza
ndoto yetu kubwa
"Well Mimi sina Furaha kabisa na hil Siku
Alijibu madam Groly akiwa serious nika..
Je Kwanini madam groly hana Furaha? Tukutane
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni