AFANDE MILLAN๐ Sehemu ya 16 na 17
Mwandiishi; LISSA
Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake ni wengi na wazuri.kuliko yeye, basi mwanaume nikaenda bafuni nikapiga maji kushusha hasira kwanza, daaah asikwambie hii issue nilimind kinoma yani, yani kanajikuta sana kale kadada, basi kwakua nilishashiba, nilitaka kuchek movie kidogo, ndo nipumzike, na chumbani kwangu nna tv kali kabisa nchi 55, nikaweka movue nikawa naangalia, nikiwa busy na mavue, et naona zena ndo kanitumia sms, kaandika samahani sana millan usinifikilie vibaya naomba unielewe mi kwa sasa nahitaji kuwa mwenyewe tu, na sihitaji mahusiano, mi sikumjibu wala nn, nikamkaushia kimyaaaa kwanza sikutaka shobo nae kabisaaa mimi, ye si kashanikataaa mi nimemuelewa sms za nn sasa kama sio kunitia uchungu mshenzi uyu
Basi bwana ,nikaaangalia movue pale,nayo nikaw naona ata sielewi, kila nikimfikilia zena ,yani demu namfatilia miez mitatu kisha anakuja kunambia hanitaki msenge uyu, now anajitumisha sms za nn sasa, basi nikapanda zangu kitandani nikapumzika tu, asubuh na mapema mi nikaingia zangu job, nilivyofika job sasa, ahaa nikampanga mwanangu ibraa juu ya majibu ya yule demu jana, ibraaa alicheka kinoma akanmbia daaah kwaiyo mjanja vitu vyako vimeenda, nikasema sasa jee mwnagu, ibraa akacheka sana kisha akanmbia ila hukuombwa bwana si ulikuwa unatoa mwenyewe, nikasema au sio na wewe unanaikataa mwanangu ibraa aknmbia nakutania eeh nambie umefikilia nini sasa , nikasema mwanangu mi yule demu basi
Yani basi kabisaaaa namaanisha mwanangu, simtaki tenaaa, sitaki complain nae ,nimeshukuru yule demu kanishinda, ibraa akanmbia sasa yule ndo mwanamke wa kuoa ,nikamwambia mi ntaoa dunia ikiisha alafu sijawahi kufikilia kuoa single mother mimi, mda wowote anaenda kupasha viporo na mwanaume alozaa nae,mi mwanamke kama yule wa nini mi nilitaka kula mzigo nisepa na demu ndo kanikazia badi fresh hakuna noma wala nn,, ibraa kanmbia we si ushazoe unapashanga na wazazi wenzako basi unaona na kwa wenzio hivyo hivyo fala ww, nikasema ndi hivyo, ibraa kacheka sana akanmbia we kiboko yako ni zena kumanina wewe, umechezea chezea wadada wa watu, sasa umegilongwla breki, ela umeliwa na utamu hujapewa, nikamaind wala sijuongea mana mm nna matani sana na ibraa ,nikajua leo kanikamata bwanaa oyaaa kuanzia apo mwanaume nikafunga viooo juu ya zena, sikutaka tena mazoea na zena na nikawa sina mpango nae kabisaa, nikawa busy na kazi zangu sanaaa, kuna mda zena alikuwa ananipigia ila sikuwa napokea na akituma sms anatuma mambo ,mi sikuwa namjibu kabosaaa, yeye si kanikataaa asa sms za nn, mi nikawa busy na wanawake zangu wengine mana kwanza nna mademu kama wote, kulala na nyege kuamua tu
Basi bwana siku iyilo nipo zangu kazini mida ya saa 7 mchana,zena akanipigia, mi sikupokea kabisa simu yake, simu ilipokata zena akanitumia sms akanmbia sio mm ni mtoto ndo anafosi sana kuongea na wewe na analia ,naomba upokeee kwa. Ajili yake, daah nikamkumbuka mwaname bwana ummy, aka katoto kananipenda sana ,yani uyu mtoto ananipenda kweli kweli kuliko wanangu wa kuwazaa, mi watoto wangu hawana usumbufu wa kwamba bbaa nataka kuongea na wewe wakupituliza hapana mala nyingi mm ndo nawapigia mama zao naomba kuongea nao, ile kawaida tu, ila sasa kwa uyu mtoto daah ni shida, apo ni kama week 2 zimepita sijaongea kabisa na zena
Basi mo ndo nikapiga sasa , na kweli namsikia ummya ndo kapomea analia ananmbia baba unakuja lini, daah nikamwambia nimesafiri mwanangu, ndo mana ,ila nitakuja nikiludi ,akanmbia basi baba ukija niletee tv wananifukuza kwao akina ashana, daah tatizo mama yake kunipa mzigo hataki mbona ata kuwaamisha ningewaamisha ,mi demu akinpa mzigo kumpa ata milion 10 sioni shida, ila demu amabaye simjuh , ata elfu 10.kutoa inakuwa mtihani kwrli kweli basi tu๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐๐, nikamwambia sawa dada ummy, nikija ntakuletea tv mwanagu, akanmbia sawa baba asante nakupenda sana, nikajikuta mpaka nimecheka nikamwambia sawa mwanangu nami nakupemda sana pia, basi kale katoto kakawa kanacheka, et kamefurahi sana, nikamwabia nakupenda sanaโค๏ธ๐ ,kisha nikakata simu yangu, zena akanitumia sms, ndo umeninunia ,nikamjibu na mm asa naongea nini. Na wewe na hunitaki, akanmbia kwani maongezi hayapo mpaka tukitakana, nikasema mi siwez sasa kuwa na maomgezi ya kawaida na mtu ambae nampenda sana, na anajua kama nampenda ila anafanya kunikoma ,so bola nikaushe tu , maisha yaenda, akanmbia sawa
Basi bwana mi nikawa busy na mambo yangu sana, apa kati mpaka nilisafiri nielienda morogoeo kikazi nilikaa moro week 2 , uko sasa bado zena alikuwa ananipigia sana, yote niongee na mwanae mimi.na yeye hatukuwa na maonge,i kabisaa, daah ikafikia stage hasira zikapoa tu, kuna mda ata mm nakuwa nakamiss aka katoto nakapigia basi tunongea sana, antanihadithia mambo yote ya shuleni kwao, bado ananambia story za marafiki zake, yani ni katoto kaongeaji sana, apo sijabadilika uko moro ,kila day hotel nilikuwa nalala na mwanamke mwengine, mi mbele ya wanawake hunambii kitu, basi baada ya week 2 nikaludi nyumbani kwangu sasa, na nikapewa off ya week 1 ya kuwa nyumbani tu, basi nililala home kwanza kwa siku 3 kupoza mwili mana daah , mkoani uko kulikuwa na kazi kubwa nilifilimbika kweli kweli mwanaume, japo nilikuwa najipoza na mademu usiku, ila kazi ilikuwa ngumu mnoooo
Vasi bwana siku ya 3, nilimfukilia sana kale katoto ummy ,nikaona isiwe kesi naenda kumnunulia iyo tv, ahaa apo nimejaaa, nimetoka kazi za mkoa tena, nina pesa kinoma, basi mwanaume nikaenda gomz pale stand kuna duka la vitu vya umeme kubwa, nikanunua tv nchi 43, nikanunua na king'amuzi, nikalipia na kila kitu, mwanaume nikaanza safari ya kwa zena, kiukweli jilifanya kwa ajilinya mtoto., vile kila nikiongea nae ,ananmbia baba wenzangu wananifukuza kwao nataka.tv nikaoma nifanye kwa ajilin yake tu, alafu ata sikumwambia zena kama naenda ,basi nikafika mpaka mtaani kwao nikapark ila kabla.sijashuka.nikampigia sasa, nikamwambia zena nipo nyumbani kwako upo ,akanmbia hapana ila ndo nakalibia kuludi nilimpeleka hospital ummy leo hajamka sawa nikamwmabia sawa , ukifika nistue akanmbia sawa hakuna shida, basi kweli baada ya dakika 20 akanmbia tumeshafika nyumbani we njoo tu, na mimi ndo nikashuka na vitu vyangu, basi nikafika mpaka kwa zena, aseeee ummy alivyoona nimebeba tv mboan kalipona, kalinilukia kwa furaha mnoooo, mpaka nikajisikia rahaaaa
๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni