Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
05 Mar 2026
403 views
VYOTE NDANI GONGA94
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza.
"Ishani wewe ni mjamzito"
Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala vile. Yaani
"Sijui"
Nilijibu, na mama zena akadakia.
"Nilimwambia madam groly tangu siku ile kanisani jinsi ambayo ulikuwa umechoka Choka lakini hakuniamini kabisa
Enzo akamgeukia Suzy na kumwambia.
"Wewe wai hapo pharmacy chapu niletee vipimo vitatu"
Kila mtu akashtuka na kwa pamoja Wakajikuta wakiuliza.
"Vitatu...."
Suzy akatoka chapu na kwenda pharmacy.
Hapo sasa Ndio nikakumbuka Kuwa jikoni niliinjika Mbona na haikuwa na maji ya kutosha, woiiiih nilijikuta nikitoka mbio mbio, na kila Mtu akanifata nyuma nyuma na nikakuta Kuwa nimeunguza Mboga.
"Mungu wangu jamani "
Nilisikitika na kuweka mikono kichwani baada ya kuunguza mboga yangu ambayo nilikuwa naipika vizuri Mwenyewe.
"Wewe aliyekuambia ukimbie kiasi kile ni Nani? Unataka kumsumbua mjukuu wangu"
Alizungumza madam groly akionesha Kuwa na wasiwasi sana juu yangu.
"Jamani Niko Sawa, najua Kama ni mimba ni kawaida tu mimba sio ugonjwa"
Nilijibu na kugeukia jikoni nikitaka kuendelea na mapishi yangu.
"Wewe, hiyo sio mimba tu Mladi mimba, Yaani huyo ni mjukuu wetu wa kwanza, huyo ni Rafiki yangu Mimi"
Walahi madam groly alikuwa Akinishangaza sana, alionekana kujali sana kuhusu Mimi kwa wakati huo.
"Mama zena endelea mapishi, halafu tengeneza juice ya maembe passion ziwe nyingi kwaajili ya mkwe yangu
Alizungumza madam Groly kisha akanishika mkono na moja kwa moja akanipeleka chumbani kwangu Mimi na Enzo.
"Pumzika hapo, Ukitaka chochote niambie"
Alizungumza madam groly na kutaka kutoka nje.
"Hivi haya maigizo yote ya kunijali yanasadia nini ukiwa unanichukia?"
Madam groly anageuka na kujibu.
"Kwa sasa uwezi kunielewa"
Kisha akatoka nje na kuniacha nikiwa ana maswali mengi sana kwa wakati huo.
Baada ya muda mfupi akaingia Enzo akiwa na vipimo vitatu vya mimba.
"Haya tuhakikishe sasa"
Alizungumza Enzo na kunikabizi vipimo.
Baada ya kupima na kila
Kitu, hatimaye majibu yakaonesha Kuwa ni kweli Mimi ni mjamzito na mimba bado ilikuwa changa sana.
Nyieeeeh Enzo alipiga Kelele ya Furaha uku akisindikiza na sarakasi moja matata sana.
"Ba mtoto utavunja shingo kabla Mtoto ajaona jua la kwanza
Nilimwambia na kuanza kumcheka.
Siku hiyo Bwana Furaha ilitawala sana Ndani ya Nyumba.
..
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe si...
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza.
"Ishani wewe ni mjamzito"
Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala vile. Yaani
"Sijui"
Nilijibu, na mama zena akadakia.
"Nilimwambia madam groly tangu siku ile kanisani jinsi ambayo ulikuwa umechoka Choka lakini hakuniamini kabisa
Enzo akamgeukia Suzy na kumwambia.
"Wewe wai hapo pharmacy chapu niletee vipimo vitatu"
Kila mtu akashtuka na kwa pamoja Wakajikuta wakiuliza.
"Vitatu...."
Suzy akatoka chapu na kwenda pharmacy.
Hapo sasa Ndio nikakumbuka Kuwa jikoni niliinjika Mbona na haikuwa na maji ya kutosha, woiiiih nilijikuta nikitoka mbio mbio, na kila Mtu akanifata nyuma nyuma na nikakuta Kuwa...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaash-boss-enzo-season-two-sehemu-ya-kumi-na-saba
Maoni