BLACK BUTTERFLY π¦ 5
By Babie Love
Tsap 0742133100
ENDELEAAA
β Brayton..β Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa
Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa
β Unawezaa kuniambia hiki nini?!?β
Camilla alishangaa kwa muda ndipo alipomsogeleaa Brayton huku akisema
β Unajua Brayton ngoja nijielezee kwanzaa usipaniki moja kwa moja matapel ni wengi mjini tafadhali ngoja nikuelekeezee...β
Camilla safar hii aliongeaa huku machozi yakimtokaa sana na kigugumizi mno .
β Nielewee nini Camilla kila kitu kinajielezaa hapa eeh nielewee Nini tena isitoshee basi ukarusha Instagram ili kila mtu akuone kama wewe ni bingwa wa mapenz!?!?β Brayton aliulizaa
Camilla alistuka zaidi aliposikia picha zishafika Instagram hakujua hilo alijua Brayton alitumiwa kama yeye alivyotumiwaa
β Mpenz wangu huyo sio mimi labda akaunti feki Hiyo na akaamua kuedit tyu Brayton tafadhal unanijua vizur siwezi kuwa kama hivyo eeh Nakupenda sana et ..β Camilla alizidi kuomba huku akilia sana
Brayton udhaifu wake ni Camilla anampenda sana hakuna kifano hakutaka kabisa ajisikie vibaya alijikutaa akamkumbatia huku akimwambiaa
β Basi nyamaza kipenz hili swala nitafatilia kwa makini sana usijali ..β
β Asante kipenz Nakupenda sana siwezi fanya huo ujinga..β Camilla alisema huku akiwa kifuani kwa Brayton akijifuta machozi
β Najua na hata kama Una fanya kweli usije nionyesha maana nitaumia sana kukupotezaa camilla please usifanye hivyo eeh ?!?β
Camilla hakujibu kitu zaidi alimkumbatia huku nyuma akitabasamuu maana alishazima mtiti kwa muda mfupi na baada ya hapo Brayton alimuaga kwasababu Alihitajika kazini kwake
β Aaah baki Salama pia jana nilikwambia kuna dharura kwani nilitaka kumgonga mdada mmoja hivi ila Kwa bahat nzur haikuwa hivyo bali alijirusha pemben na kuangukia jiwe hivyo ikabidi nimpelekee Hospitali..β
β Aaah Sawa ila naomba unisameh sana ..β alisema Camilla
β Hakuna shida nitalifanyia kazi hili nijue nani anahusikaa kutufanya tugombanee usijal kipenz..β alisema Brayton kisha akaondoka na kumuacha Camilla ofisin kwake juu ya gorofa hilo la hoteli
Camilla baada ya kuona Brayton kaondoka haraka alichukua simu yakee na kumpigia kelvin na Safari hii kelvin aliwahi Kupokea
β Hello...?!?β
β Uko wapi?!?β Aliulizaa Camilla
β Eeh my love π Mbona Una hasira hivyo !?!?β Kelvin aliulizaa
β UKO WAPI...??! Nijibu kelvin?!?β Camilla alichukizwa haswa
β Niko studio my love ..β
Camilla hakungoja maswali wala majibu haraka alichukua funguo za gari lake kisha akatoka nje ya ofisi yake na kwenda moja kwa moja kwenye lifti ya kushuka chini ili awahi studio kama kelvin alivyomwambia
πΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉ
Upande wa Mariana hakuchoka kuomba kazi kila sehemu na Safari hii alikwenda hadi kwenye masoko ama maduka ya nguo ili apate kazi hata ya usafi kwake ni afadhali kwani cv ya Chet chake kimeshuka kutokana na kufukuzwa kazi ..
β Hapana dada hapa hatuhitaji mfanyakaz isitoshe tumetoka kuajiri watu juzi tyu...β
β Sawa ila nime tafuta sana tu kote majibu Ndio hayo hayo naomba sana Nina mdogo wangu ananitegemeaa sana mimi mwenyewe kama unanyoniona....nakuomba sana ...!βMariana alizidi kuomba hapo supermarket
Meneja huyo alimtazama kwa muda kisha akamwambia
β Sawa ila hapa nafasi iliyobaki labda ni usafi kufuta futa sakafuni na maeneo mengine ni kwa mshahara mdogo tyu sio nyingi...β
β Itanitosha meneja asante sana nakushuku sana ..β alishukuru sana tena mno kupata Hiyo kazi hapo supermarket hapo
β Sawaa utapitia hapo ukachukue fomu ujazee kisha atakupaa na maelekezo yote Okay!?!β
β Sawaa Meneja ..β
Meneja alitoka ofisini humo akiwa na tabasamu pana usoni mwakee kwa kupata ile kaziii ..
πΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉ
Camilla alikwenda moja kwa moja hadi kwenye studio ambayo yupo kelvin akirekodi music wakee
Alishuka kwenye gari akiwa na hasira mno ndipo alipoingiaa kwenye studio Hiyo na kukutana na rafik wa kelvin
β Shemu vipi !?!β
β Wee achana na mimi ..β
Camilla alikuwa mkali kwelikweli ndipo akaingia mpaka wanapo record nyimbo zao na kufungua mlango na kukutana kelvin akiwa ana recoding
Hakujali aliingia huko huko na alipotokaa alitokaa nae huku akiwa akamkunjaa na kumuonyeshaa zile picha
β Ni wewee !?! Hakuna mwingine kelvin ni wewe !?!?β
β Hivi Camilla hatuwezi kuongeaa mpaka tunafhalilishana hivii!?!β
Alisema kelvin
β Tuongee nini!?!? Yani una Piga picha bila kushaur bila chochote unapost unapopakaa si Ndio ?! Umenizoea kiasi hichii si ndioo!?!?β
Alisema Camilla akiwa hana masihara kabisa
β Ni mimi sio mimi kipenz hivi nawezajee kufanya mambo hayo ?!? Halafu isitoshe hata nikipost kuna shida gan wakati mimi na wewe s wapenz ama !?!?β
Camilla alishindwaa kujibuu moja kwa moja ndipo alipomchukua na kuingia moja ya chumba ili kuyazungumzaa
βKelvin sijakataa kupost lakini utazamee hii picha sio ya kupost na nani kupiga hii ? Wakati tulikuwa wawili tyu ..β
β Hapo Ndio pa kuuliza ?!? Unajua kipenz sisi ni mastaa usikute kuna mtu kafanya hivi ili ajipatie pesa tu eeh !?β
Camilla maneno hayo kidogo yalimuingiaa kichwani na kusema
β Basi itakuwa ile hoteli Ina camera za ndani Ndio maana akapata hii picha .. ooh Mungu wangu asije kuona baba yaan ... β
Camilla alichanyikiwaa kiasi kwamba aliwazaa kuhusu baba yakee ndipo alipotoka mbio bila kuaga na kurudi kwenye garii haraka .
Kabla hajawasha gari simu yakee iliita na alipotazamaa alikuwa baba yakee
β Ooho Mungu wangu baba tayari kaona Mungu wangu...β
Camilla alisema huku akitazama simu yakee bila Kupokea na ikabidi awashee gari na kwenda kabisa kwa baba yakee atajua huko huko ....
πΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉ
Camilla alifanikiwaa kufika nyumban kwao kabisaa yeye ana baba mwenye harakat nyingi za mji huo
β Baba...β Camilla alisema huku akimkumbatia baba yakee
β Hello binti yangu kipenz. Uko sawaa ?!?β
alimsalimia binti yakee kipenz
βNiko Sawa baba sijui wee ..β Camilla alisema huku akikalia sofa ili kumsikiliza baba yakee
β Ooho nimepiga simu hujapokea shida nini binti yangu ...!?β Baba aliuliza huku akimimina kinywaji kwenye glass mbili kisha moja akampa Camilla na moja akabaki nayo
Camilla Bado alikuwa anajiulizaa vipi kama Baba yakee anajua kilichojirii huko Instagram ndipo akamuuliza
β Baba vipi leo uliingia Instagram?!?β
Yule mzee baada ya kusikia hivyo ndipo akachukua rimonti ya tv kisha akawashaa na kilichokuwa kinaendelea Camilla alibaki mdomo wazi
Kwasababu haikuwa picha kama zake alizotumiwaa bali Baba ake alikuwa na video kabisa inatembeaa
Camilla alistuka mno huku akimtazama Baba yakee ndipo akasema
β Baba please Naomba nijielezee sijafanya makusudii tafadhali baba ..β
Baba yakee hakuwa na haraka alichukua sigara kubwa akaiwasha na kuvuta Pafu moja kisha akasema
βNataka huyu ni nani na anataka shingap tulimalizee hili tatizo..β
Camilla alishangaa mno ndipo akasema
β Nashukuru sana Baba nashukuru sana ...β
β Sifanyii kwaajili yakoo Camilla, nafanya kwasababu ya mama yako asidhani kukuacha utapata tabu Hapana pia sipend niwe na stendo sipend nifatiliwe wala kutiliwa shaka dhidi yangu Oky?!?β Baba aliongea kwa makini sana
β Okay daddy..β
β Okay utanipa taarifa..β
β Sawaa daddy...β
βBrayton vipi kaona hii?!?β Baba aliuliza
βHana tabu nitashughulikia hilo..β
β Okay..β
Camilla hakupotezaa muda alitokaa nyumban kwao na moja kwa moja alimpigia kelvin ila kabla simu haijaita simu ya Brayton iliingiaa akapokeaa na kusema
β Brayton tafadhal nitakupigiaa Nina kazi mara moja ....β
Camilla hakusubirii jibu kutoka kwa Brayton yeye alikata simu na kumpigia Kelvin
β Kelvin nipe matokeo vipi umejua alirekod hilo ?!?β Aliuliza Camilla punde kelvin alivyopokea simu yake
β Ndio kipenz jamaa wa kwenye cctv camera Ndio kafanya hivyo na anataka kiasi kikubwa sana sidhani kama itawezekana mimi naogopa stendo si unajua mimi msanii?!?β Ilisikika sauti ya kelvin akilalamikaa
β Usijali kipenz changu nashughulikia hilo mpe namba zangu anitafute sasa hivi ..β
βOkay love β€οΈ.β
β Unajua Nakupenda eeh Ndio maana nafanya kila kitu ok!!β
β Okay.β
Camilla alikataa simu akiwa na tabasamu huku akiendelea kuendesha garii huku kelvin akiwa amemuingia kabisa akilini mwakee......
Itaendeleaaa
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni