Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
Gonga94 · Stories

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije nikaingia katika mahusiano ambayo mbele nitayajutia na yataniumza, nikasema nooo, sio mimi mama ,kama alikuumiza baba ummy, mi siwez mi ni mwanaume muaminifu mnoo, na nnakupenda sna, nakupemda kweli kweli mchumba, so kuwa na amani kabisaaaa zena ,naomba tuingie kwenye mahusiano, mh zena akanmbia naomba nikuombe kitu ukikubali tutaingia katika ayo mahusiano ila kama utashindwa mi sitaweza, nikamwambia nambie mrembo wangu mi siwezi kushindwa ,mana sitamani kukukosa kabisa zena nakupenda sana ,akanmbia samahani sana millan sijuh utanifikiliaje but mimi sihitaji mwanaume for sex tu, natamani sana mwanaume ntakayempata sasa hivi tuwe na mipango na malengo na mimi na ikiwezekana ndo awe mume wangu, nikasema sawa nipo apa vyote naweza mama na kukuoa wewe lazima....

Zena akanmbia ,millan naomba kwa huu mda kwanza nikujue zaidi, ila tuwe kwenye mahusiano ya kimapenzi , naomba tusifanye sex kwanza, daaah uyu demu mbona kama mtoto, asa kuna mapenzi bila ya sex uyu wa wapi , hivi mm ni mtu mzima wa miaka 38, nianze kuwa na mahusiano ya aina hii si usenge uhuu, aya si mapenzi ya kitoto aya tumeyafanya tukiwa wadogo sana, nikamwambia zena mbona uhuuuu unaotaka wewe ni utoto ,mi ni mwanaume zena , ni mda mrefu nimestop kuwa na mahusiano nikikungojea wewe, leo unanambia unatka mahusiano ya bila ya sex mi nawezaje mama yangu, mahusiano ya hivyo, unawaza vizuri kweli zena, zena we mtu mzima na mpaka una mtooo ni nn usichokijua mama

Zena akanmbia ndo mana nimeanza na samahani sababu najua ni kitu kugumu sana kwa mwanaume ila ndo msimao wangu sasa, nitakupa sex ntakapojilizisha kuwa wewe ni mwanaume mzuri na unanifaa, nikamwambia sikia zena ayo sio mapenzi hizo ni drama, mi siwez kuwa na mapenzi ya aina hiyo shuka kwenye gari yangu nisepe, nikaona uyu demu mwizi uyu, yani tuingie kwenye mahusiano, mi si ntakuwa namuhudumua ,alafu mzigo hanipi mpaka ajilizishe kwamba uyu ananifaa ndo anipe ,nilkaona usengee uhuu, kwanza mi uo mda wa kujilizisha unazani atanikamata salama nilivyo na vipengeke vingi, nikaona uyu kaamua kuninyima utamu tu ,ndo mana vipengeke vinajuwa vingi, zena wala hakuwaa na neno akashuka zake kwemye gari

Na mimi nikawasha ndinga yangu nikasepa zangu kwangu , ila nilivyifika home , nikampigia simu ibraa, tukaongea sana issue za kazi kisha nikampanga sasa kuhusu zena, ibraaa akanambi tatizo una papala sana millan, we tulia msikilize mchumba uyooo, atakupa mwenyewe, we kubali mahusiano na nenda nae mdogo mdogi, ila sasa usimpe pesa sana mpe pesa kawaida kawaida tu, nikasema ahaa michoresho kaka. Mapenzi bila kutombana umii uhuu kak,kweli , yule demu mtoto bwana , ibraa akanmbia we mtoto unamtaka humtaki, nikasema mwanangu mi namtaka si ndo mana nimepambana mwez wa nne unaendea wa5 namfukuzia , ila sasa mambo yake kama mtoto anazingua, yani angekuw mtu mwengine ningempa pesa tunamalizana kikubwa ila kwake imekuwa tofautu sana inananikata sana mwanangu, ibraa kanmbia sikia millan wanawake hawafanani ,we fanya kama alivyokwambia na iko kipindi mpo katika mahusiano kuwa makini sana asikute chochote cha ajabu kwako

Alafu akisha kuwa mwanamke wako.shida inakuwa nn, unaaanza nae taratibu mala umemmbusu ,mala ummemkiss mala umemshika mpaka mnajikuta mshafanya, nikasema aaha asa mi nimeondoka kwa hasira kinoma, ibraa kanmbia apo ndo unaalibu atakuona wewe umeenda kwake for sex na sio mapenzi, tena wewe kuwa nae pamoja ata mwez usimgusie kabisa sex ,uyi si ndege mjanja, atanasa tu katika tundu bovu niamini mimi mwanangu, nikasema sawa kaka mkubwa , basi bwana , mi nikachukua simu mda uo ui nikampigia zena, na akapokea ila kanyongea snaa, nikamwambia zena sory kwa reactios gangu ya leo ,akanmbia ndo hupo hivyo mala.zote millan, ni mtu wa hasira sana , mambo ya kuelekezena we unaleta hasira ,we afande wa. Aina gani ,ebu jalibu sana kujikontrol hasira zako, nikasema.sawa mchumba ntaaanza sasa, na naomba nisamhe zena , mi nimekubali kuwa na ayo mahusiano unayoyataka, nimejifikilia sana na nimegundua ata nikikataa mi kukaa mbali na wewe siwez kabisaaa, kwa sababunumejaa ndani ya moyo wangu

Zena akanmbia mh nishaanza kuogopa mana umereact vibaya sana, nilivyokwambia sitakupa sex nikasema nooo mam nisikilize ni suala la kawaida tu ,unanielewa mpenzi, naomba unielewe na tuanze safari yetu ya mahusiano kati ya mimi na wewe, zena akanmbia sawa nimekupokea kwa mikono miwili millan, nakuoe da sana, nikasema nami nakuoenda sana mama ummy na mimi ndo baba ummy, basi nikamsikia zena anacheka, daaaaaa bwana apo ndo nikaanzisha mahusiano rasmi ya mapenzi kati yangu na zena,....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20



Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije nikaingia katika mahusiano ambayo mbele nitayajutia na yataniumza, nikasema nooo, sio mimi mama ,kama alikuumiza baba ummy, mi siwez mi ni mwanaume muaminifu mnoo, na nnakupenda sna, nakupemda kweli kweli mchumba, so kuwa na amani kabisaaaa zena ,naomba tuingie kwenye mahusiano, mh zena akanmbia naomba nikuombe kitu ukikubali tutaingia katika ayo mahusiano ila kama utashindwa mi sitaweza, nikamwambia nambie mrembo wangu mi siwezi kushindwa ,mana sitamani kukukosa kabisa zena...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-sehemu-ya-19-na-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan-sehemu-ya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

784
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

567
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

477
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

303
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

288
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

184
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

88
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.65K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.52K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest