Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
Gonga94 · Stories

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu.

Kwa upande wangu Kama mnakumbuka, nilipendwa kuishi kwa madam groly kwaajili ya kumkela na kumsumbua lakini nimeibiwa kumuelewa na kumpenda zaidi.

Kuna watu duniani wa naweza wakakuchukia kutokana na mitazamo Yao tu wanayoijenga. kwenye fikra zao juu yako pasi na kukufahamu undani wako na Ndio iko kilichotokea kwa madam groly.

Kwa upendo ambao tuliutengeneza sisi Kama familia Walahi, Mimi na Enzo tulishindwa kabisa kurudi NYUMBANI kwetu, tukajikuta kule Kwa Enzo tukipangisha na tukabaki kwa mama mkwe

NYUMBANI Kwa mama mkwe nilijiachia utazani NYUMBANI kwetu, nilidekezwa utazani Mimi Ndio

Mtoto wao wa mwisho mule Ndani.

Kwa upande

Suzy Ndio kabisa, alinipenda

kuliko maelezo, Suzy alihakikisha kila ananifanyia Ka massage Yaani wooool, kuna muda nilikuwa naona Kama namiliki dunia vile kutoka na mapenzi mazito ninayooneshwa na hil

familia

Kwa upande wa urafiki wangu Mimi na Suzy,

waoooooh Sijui niwaambie nini lakini urafiki wetu ulikuwa so mwaaaaah, Suzy alikuwa naakuja kunitembelea kila weekend na madam groly Wala hakuwa na shida nae, na ikitokea

weekend imepita na Pili ajaja lazima madam amuulizie au baba Enzo Maana wamependa vibe lake na upendo mkubwa aliokuwa nac

Nyieeeh siku azigandi Bwana, siku zilikimbia na miezi ikaendelea kuyoyoma na hatimaye mimba yangu ikatimiza miezi 7, Kiukweli nilichoka mapema sana, nilikuwa nikitembea kwa kujivuta sana, muda mwingi Nilihisi Uvivu wa hali ya juu.

Ikiwa nikiwa ni siku ya jumamosi, siku hiyo. NYUMBANI Ilikuwa na wageni kwani Suzy alikuwa akitolewa mahari na mzungu wake ambaye walikutana Uko chuoni si unajua Tena mambo ya wasomi

Nyumba ilikuwa bize sana siku hiyo, Yaani kila

mtu alikuwa anatokea kina yake, huyu anaingia uku, huyu anatokea uku lla Kwa upande wangu sasa, nilikuwa Kama mwadawa nyamigulu Yaani kimekaa tu Nipo Nipo na sina Masada wowote ule.

Sherehe ya Mahari ilienda salama kabis ana mahari ikalipwa yote uku ikiambatanishwa na zawadi kedekede.

Wenye Pesa sio wenzetu Bwana, baada ya

mahari kutolewa, ikapita mwezi mmoja tu na week zake Kama MBILI shughuli zingine. zikashika nafasi Yaani kitchen part, Sijui send off na mambo mengine mzungu alikuwa hot

anataka babe wake.

"lla Wifi nitawamisi sana"

Alizungumza Suzy kwa huzuni.

Wakati huo Mimi na yeye tulikuwa saloon kwani ilikuwa ni siku ya harusi.

'ATA sisi tutakumisi sana Tena sana, lakini

lazima ukaanzw maisha yako kipenzi na uzuri

hapo Kenya sio mbali sana tunauwezo wa kuja kukuta kukutembelea na wakati mwingine wewe kututembelea

Niliendelea kuzungumza na WiFi yangu uku mambo ya make up yakiendelea.

Ndoa ya Suzy yenye we ilifanyika saa 8 MCHANA na saa 10 kila Kitu kila wa kimekamilika na Suzy akawa Mke wa mtu halali kabisa.

Ikiwa ni muda wa kupiga Picha za ukumbusho, shoga yenu nikaanza kumtania nick shemeji yangu na nusu.

"Bado wewe sasa sio kila siku unapiga Picha za wenzio

Nick akaniangalia kisha kwa SAUTI ya chini akaninong'oneza.

"Nirahishie kwa binti wa uswazi Basi Ila nick jamani, uwa anapenda sana kumuita Pili kwa Jina lo la binti wa uswazi.

Ikiwa ni Majila ya saa 4 usiku tukiwa ukumbini, gafla tu nikaanza kuhisi mambo ndivyo sivyo, Yaani kiuno kilianza Sijui kukaza Sijui Ndio kuuma jamani

"Mama huu ni uchungu"

Nilizungumza kimoyomoyo uku nikiwa na wasiwasi wa hali ya juu.

Niliweza kujua Kuwa ni uchungu kwa Kuwa mama zena alikuwa ameshanifundisha na kunielekeza mambo mengi sana

Nilijaribu kujikaza kusubili sherehe hilshe

lakini Ishunikawa pambe.

"Enzo nipeleke nje nikapogwe na upepo" Nilimwambia Enzo,

Enzo Angu Wala hakuwa na shida, akanishika mkono na kunitoa nje, tulipofika tu nje nikamwambia.

tusije kuharibu sherehe ya suzy

"Muite mama zena kimya kimya tuwal hospital siko Sawa, hakikisha uwapi wengine taarifa

Enzo Wala hakupoteza muda haraka akaingia Ndani na aliporudi akarudi na mama zena.

Lakini pia tukapiga simu kwa mlinzi wa NYUMBANI na kumuomba atuletee vitu vyangu ambayo niliviandaa kwa kujifungua.

Nyleeeh uchungu Una Una Walahi, lakini Mungu ni Mwema sana, yaani nilivyofika hospital Ndani ya dakika 45 tu nikajifungua.

"Hongera sana ni Mtoto wa kike"

Alizungumza ness uku akinikabizi Mtoto wangu

Niwachekeshe sasa, muda wote huo wakati

najifungua. Enzo alikuwepo na alishuhudia kila kitu, lakini Mtoto alivyotoka tu mume wangu. akazimia Maana ameona mambo mazito

Majila ya saa 7 siku baada ya Enzo kuamia, Ndio tukapigia familia simu na kuiambia Kuwa tayali mgeni Mpya wa familia amewasili

Familia yangu ni noma, ilifika mapema snaa ikiwa na zawadi kibao Sijui ata walitoa wapi ukizingatia ilikuwa usiku.

Sasa hapa nitaondoka kwa amani baada ya kumuona shangazi

Alizungumza Suzy akiwa amemshika Mtoto wangu.

Kuna muda nilikuwa aliamini kabisa Kama naitwa mama.

Upande wa Enzo alikuwa na hekaheka jamani akutulia ata kidogo.

Kwakuwa nilijifungua salama na Mtoto wangu alikuwa Sawa kabisa, siku iliyofuata. tukaruhusiwa na kwenda NYUMBANI

Maisha ya mama ya kaama sasa, kulala kidogo

kuangaika sana na nisiwe muongo Mtoto wangu ni mlizi sana, nashukuru Mungu familia yangu. Ilikuwa kinisaidia sana.

Mtoto wangu alikuwa akipendwa sana, Yaani kila kitu Ndani ya Nyumba ni charity, charity.

Ooooooh sikuwaambia, binti yangu anaitwa CHARITY

Yote yanawezekana kupitia Mungu na Rehema zake, usichoke na usikate tamaa pambania unachokiltaji lakini pia hakikisha Kama chenyewe pia kinakuitaji

Mpaka nilipofikia sina la ziada kwako shabiki yangu, zaidi nikushukuru kwa Kuwa na Mimi Kuanzia mwanzo mpaka mwisho Mungu

akubariki sana nakupenda.

MWISHO

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*




Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu.

Kwa upande wangu Kama mnakumbuka, nilipendwa kuishi kwa madam groly kwaajili ya kumkela na kumsumbua lakini nimeibiwa kumuelewa na kumpenda zaidi.

Kuna watu duniani wa naweza wakakuchukia kutokana na mitazamo Yao tu wanayoijenga. kwenye fikra zao juu yako pasi na kukufahamu undani wako na Ndio iko kilichotokea kwa madam groly.

Kwa upendo ambao tuliutengeneza sisi Kama familia Walahi, Mimi na Enzo tulishindwa kabisa kurudi NYUMBANI kwetu, tukajikuta kule Kwa Enzo tukipangisha na tukabaki...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaash-boss-enzo-season-two-19-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaash-boss-enzo-season-two
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU Ya tisa*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

775
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

753
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

743
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

389
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

355
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

306
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

251
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

154
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

98
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

47

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.52K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.7K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest