Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
Gonga94 · Stories

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



SONGA NAYO.............

Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae.

Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote ya nyumba ile na kunipa taratibu zao pamoja na majukumu yanipasayo kufanya

Baada ya hayo nikataka kuingia jikoni kwaajili ya kuandaa chakula cha jioni ,akanizuia kwakunambia mara zote juma tano huwa mama yake anarudi na chakula so nyumbani hakupikwi kitu.

Niliitikia sawa na kukaa tu maana hakukuwa na chakufanya.

Mda ulisogea ikafika usiku mama yake akarudi tukampokea ,akauliza kama nimesha elekezwa na kupewa taratibu zote wote tukajibu ndio.

Basi kaingia chumbani sisi tukabaki tukiandaa meza na baada ya mda akatoka tukapata chakula pamoja kisha kila mmoja akaendelea na ratiba zake .

Mimi huwa sio mpenzi wa tv hivyo baada ya chakula Daria na mdogo wake walibaki wanaangalia movie mimi nikaingia chumbani kwangu.

Nilifika na kujitupa kitandani , nikalala chali na kuelekeza macho yangu juu , taratibu akili yangu ikaanza kuzama kwenye dimbwi la mawazo, niliwaza na kukumbuka matukio yote ya nyuma.

Nikashusha pumzi ndefu na kutoka kitandani nikasogea dirishani , ili niangalie nje walau nipigwe kiupepo ,maana mara zote nikiwa nahisi msongo wa mawazo au kutokuwa sawa huwa napenda nikae sehemu nipigwe upepo weee.

Hapo nahisi nafuu kwa kiasi kikubwa sana , hivyo nikasogea pale na kufungua mapazia pamoja na kioo sasa ile nimefungua kioo nilikutana uso kwa uso na yule mkaka niliekutana nae nje mida Ile namkimbilia Alvin.

Nilishtuka maana sikutegemea kumuona pale, sasa nikawaza niendelee na jambo langu au nifunge na kurudi zangu kulala🤔mmmh hapana nikifunga ataona kama namkimbia maana tayari alishaniona .

Kwa hiyo cha kufanya nikuendelea na mambo yangu ila nitajifanya kama sijamuona , kweli nilichukua kiti nikakaa na kula upepo wa Mungu.

Upande wake akawa ananiangalia huku akitabasamu naona alihisi sijamuona ,akaona akae ili aweze kuniangalia vizuri 😏.

Dakika zilisogea ikafika mda nikaona sasa hapa niko sawa , nikainuka na kutoa kiti kisha nikafunga vioo na kurudi kitandani .

Upande wake baada ya kuona nimetoka na yeye akatoka na kuingia ndani, alitembea kuelekea sebleni na kufika anakaa huku uso wake ukiwa bado na tabasamu pana.

Robyn ambae ni kijana watatu wa familia hiyo alikuwa amekaa sebleni huku akiangalia tv , kitendo cha Samuel kuja na kukaa huku akitabasamu mwenyewe kilimfanya akaacha kuangalia tv na kumuuliza ndugu yake.

"Oya vipi mbona unatabasamu mwenyewe umepata mtonyo wa maana nini ?"

Samuel kuulizwa hivyo alimuangalia Robyn na kusema " hii ni zaidi ya mtonyo mzee😊, aaah Mungu fundi bhna "

"Una maanisha nini ??🤨"

"Achana nayo maana hutanielewa " aliongea na kuinuka akaondoka , Robyn alibaki akimuangalia huku akijiuliza ni nini kilichomfanya ndugu yake kuwa na furaha vile.

Aliwaza bila majibu ,akaamua kuachana nayo na kuendelea kuangalia Tv, basi mda ulienda hatmae usiku ukapita na asubuhi ikaingia .

Kama kawaida watu waliamka na kila mmoja akawa bize na majukumu yake huku wakwenda kazini wakiwa bize kujiandaa.

Sasa mmoja kati ya majukumu yangu humu ndani ni kufanya shughuli zote za ndani pamoja na kusimamia mauzo ya mayai pamoja na kuku.

Maana boss wangu alikuwa akijushughulisha na ufugaji wa kuku ,sungura pamoja na ngo'mbe ,ila ng'ombe walikuwa sehemu tofauti na nyumbani hapo.

Hivyo kijana anaehusuka na mifugo asubuhi huwa kule waliko ng'ombe na baadae ndo huja huku nyumbani kwaajili ya kuwahudumia hawa hapa pamoja na kuweka mazingira ya nje sawa.

Sasa mimi huwa niko shap sana kwenye kazi zangu hivyo nilivyo maliza kila kitu nikaona kuliko nikae ndani tu ni bora nimsaidie kijana wawatu walau hata kumwagilia maua .

Basi nikachukua mpira na kuunganisha kwenye bomba kisha nikaanza kumwagilia, ambapo baada ya kumaliza ndani nikatoka nje ya geti na kuendelea kumwagilia.

Upande wa Samuel baada ya kujiandaa na kunywa chai alichukua begi lenye pc pamoja na simu yake akataka kutoka kuelekea kwenye gari kwaajili ya kuanza safari ya kwenda kazn.

Lakini kabla hajapiga hatua kutoka nje aliitwa na mama wa nyumba ile , Samuel aliitika na kuambatanisha na salamu.

Mama yule aliitikia huku akionesha kuchukia na kumwambia " Nipe funguo za gari lako "

Samuel alihisi kama hajasikia vizuri akamuuliza " sorry umesema !!?"

"Nimesema !! Kwamba hujasikia nilichosema 😠 embu nipe bhna unanichelewesha "

"Okay ,lakini kwanini unataka funguo la gari langu ,au kuna kitu ulisahau humo ?"

"Samuel! Unataka kunitibua si ndio , embu nipe bwanaaa 😡" eeeh hii kali, aliwaza Samuel kumpatia funguo mama yule au tumuite Mrs Watson aliichukua kwakukwapua na kuondoka huku akiambatanisha na sonyo kali.

Kwa hatua za haraka alienda maegesho na kuingia kwenye gari la Samuel, hakuchukua mda akawasha gari na kuondoka.

Samuel alibaki amesimama mlangoni huku akijiuliza kwani kuna nini hadi mama yake kaamua kutumia gari lake🤔, aliwaza na kuamua kurudi ndani .

Akamuita binti wa kazi na kumuagiza chumbani kwa wazazi wake ili akamchukulie funguo ya gari la mama yake , binti yule bila kuchelewa aliingia chumbani na kuangalia sehemu zinako wekwaga funguo ila hakuona .

Akajaribu kuangalia sehemu nyingine lakini pia hakuona, akatoka na kumwambia Samuel kuwa hajaona funguo , Samuel akamuuliza.

"Unauhakika hakuna ?" Binti yule alijibu ndio Samuel akaona huyu hayuko serious akatoka na kwenda mwenyewe ila pia hakuweza kuona .

Kwa hasira alitoka na kuchukua simu yake akampigia mama yake, ajabu simu iliita ila hakupokelewa na sio kwamba Mrs Watson alikuwa haoni simu no aliiona ila hakutaka kupokea.

Basi Samuel alivyoona simu zake hazipokelewi aliacha na kwenda chumbani kwa Robyn akangia kufika anakaa kitandani.

Kwa sauti yenye hasira akamwambia Robyn " Mama kashaanza mambo yake, ameondoka na gari langu na funguo zingine hazipo "

"Ohooo mapema hii ! Sasa utafanyaje maana mwenyewe nataka kwenda chuo na baadae nitakuwa na mizunguko mingi "

"Naelewa ila sasaivi inabidi unisogeze hadi kazn "

"Sawa na jioni je ?"

"We sikia nipeleke kazini kuhusu jioni nitajua mwenyewe"

"Poa " Robyn alimaliza kujiandaa wakatoka na kuingia kwenye gari, mlinzi akafungua geti wakatoka , sasa mda ambao wanatoka mimi nilikuwa bado namwagilia .

Hivyo walivyonifikia tu Samuel macho yote kwangu , angalia yake ilimfanya hadi Robyn akageuka kuniangalia na kumrudia ndugu yake .

Akataka kuuliza ila akakausha na kuendelea kuendesha wakanipita , upande wangu nilimaliza nikakunja mpira na kurudi ndani.


ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*




SONGA NAYO.............

Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae.

Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote ya nyumba ile na kunipa taratibu zao pamoja na majukumu yanipasayo kufanya

Baada ya hayo nikataka kuingia jikoni kwaajili ya kuandaa chakula cha jioni ,akanizuia kwakunambia mara zote juma tano huwa mama yake anarudi na chakula so nyumbani hakupikwi kitu.

Niliitikia sawa na kukaa tu maana hakukuwa na chakufanya.

Mda ulisogea ikafika usiku mama yake akarudi tukampokea ,akauliza kama nimesha elekezwa na kupewa taratibu zote wote tukajibu ndio.

Basi kaingia chumbani sisi tukabaki tukiandaa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utaniita-shemeji-sehemu-ya-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utaniita-shemeji-sehemu-ya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09
UTANIITA SHEMEJI*  SEHEMU YA 10
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

735
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

723
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

708
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

340
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

331
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

141
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

118
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

38
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

25
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.51K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.69K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.54K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest