Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
06 Mar 2026
2 views
VYOTE NDANI GONGA94
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio sisi?
2- Tuna haki ya kukuhoji tunajiuliza ulikuwa uamuzi wako ama Netanyau?
3- Kabla wino haujakauka nikuulize ile Bodi ya amani uliyounda inafanya kazi gani kwasasa? Sisi tupo katika matatizo makubwa tunapigwa Kijeshi unaweza kutuambia sasa utaratibu upoje maana uliunda Baraza kwa hoja ya amani.
4- Mheshimiwa unafahamu pesa nyingi zaidi katika hilo Baraza la amani zimetoka kwenye nchi zetu tumetoa mabillion ya dola, leo tuna haki ya kukuuliza pesa zetu zimeenda wapi? Au tulikuchangia pesa ili ukafadhili vita za kutuweka matatizoni?
5- Sio sisi tu umetupa hasara bali hata Wapiga Kura wako wa Marekani uliowaahidi maisha mazuri wanalia gharama zimepanda za maisha, pesa zao za kodi unatumia kwenye vita bila kusahau Wanajeshi umewadumbukiza shimoni kama Ngamia wanaangamia.
6- Kama unasema unafanya yote kwa ajili ya amani basi leo tuulizane kwa heshima na uwazi, amani ipi?
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MFALME KIPOFU 12 na13
Sehemi..ya............12 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Pasipo kufikili mara mbili roho ya wivu ikamuingia hakuta ...
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
atatambulishwa mbele ya wananchi wote wa ADELI,Nzegi alimpata tarifa zile general". "Hahahahahahahaha mda ambao nilikuw...
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
mto ulio katikati ya ufalme wa ADELI na ufalme wa YUNDI kisha jani moja muwekee katika jicho la upande wa kulia na jing...
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio sisi?
2- Tuna haki ya kukuhoji tunajiuliza ulikuwa uamuzi wako ama Netanyau?
3- Kabla wino haujakauka nikuulize ile Bodi ya amani uliyounda inafanya kazi gani kwasasa? Sisi tupo katika matatizo makubwa tunapigwa Kijeshi unaweza kutuambia sasa utaratibu upoje maana uliunda Baraza kwa hoja ya amani.
4- Mheshimiwa unafahamu pesa nyingi zaidi katika hilo Baraza la amani zimetoka kwenye nchi zetu tumetoa mabillion ya dola, leo tuna haki ya kukuuliza pesa...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/maswali-ya-bilionea-wa-falme-za-kiarabu-khalaf-ahmad-al-habtoor-kwa-rais-wa-marekani
Maoni