Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Gonga94 · Stories

Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



Ilipoishia sehemu iliyopita........
Maongezi yote yaliyokuwa yanaendelea pale Lindiwe alikuwa akisikia kila kitu..
"Hii haiwezekani yani mfalme ameamua aje amtafute Prince mwingine, hapana hii haiwezekani.....



ENDELEA NAYO.......
Hapana hii haiwezekani,Lindiwe alijikuta akiongea kwa nguvu na kuwafanya asikari wa ADELI pamoja na kijana Cheki wasogee eneo ilipotokea sauti ile na kuangalia ni nani huyo aliyeongea.

"Jamani emu tufanye mambo yaliyotuleta hapa ayo mengine hayatuhusu sisi, asikari mmoja aliongea"
"Wewe huoni kama huyu mtu alikuwa anasikiliza mazungumzo yetu????"
"Huo ni wasiwasi wako tu kama mtu mwenyewe ameshapatikana tuondoke nae tusipoteze mda".

Walikubaliana na wakaamua kuondoka maeneo yale na iyo ikawa ni ahueni kwa Lindiwe aliyerudi kwenye makazi yake kwa kasi sana kama mwizi anayekimbizwa.

"Mama mbona unahema ivyo tatizo nini???".
"Hamna tatizo lolote ila kuna sehemu tutaenda siku sio nyingi"
"Wapi tena huko???"
"Utafahamu tu mwanangu usiwe na haraka".
Lindiwe kuna kitu alichokifikilia nakuona ni sahihi kuja kukifanya kwa badae.

*******************
Katika jumba la kifalme Princess Yanite akiwa amekaa na mdogo wake Princess Yanni,
"Ivi dada kwel kaka atakuja tucheze nae wote???"
"Sahau kabisa kama una kaka,Yanite alimjibu mdogo wake".

"Ujinga gani huu unaondelea hapa,Malikia Andwaa aliingia baada ya kusikia mazungumzo ya mabinti zake"

"Mama huyu Yanite anasema nisahau kama nina kaka"

"Una matatizo gani wewe Princess Yanite na ndie mkubwa unaetakiwa uwe mfano kwa mwenzako????".

"Nini nifanye ikiwa mnatuficha sisi watoto wenu tusijue kinachoendelea"
"Nimekuambia kuwa na subra utajua kila kitu badae".
"Kwani kufahamu ndugu yetu yupo wapi limekuwa ni kosa nalo????".

Princess Yanite alinyenyuka kwa hasira na kuondoka, kitendo kilichomfanya Malikia Andwaa ashangae mana hajawahi kumuona binti yake akiwa kwenye hasira izo tangu alipo mzaa.

Upande mwingine Malikia Andwaa aliona wao wazazi ndio wenye makosa kwa kushindwa kuwaelezea ukweli mabinti zao kuhusu ndugu yao.

******************

Baada ya sherehe kumalizika ndani ya jumba la kifalme Princess Nailet hakuacha kumuwaza Prince Yao, sura ya kijana yule ilikuwa haifutiki katika ubongo wake,
Alimfata mtumishi wake aliyemuahidi atampeleka sehemu anayokaa Prince Yao.

"Lakini Princess ndio kwanza sherehe imeisha huoni kama mfalme Tengu atakuwa na hasira akisikia umetoka????"
"Naona tumeanza kupangiana sasa umesahau kati yangu mimi na wewe nani mkubwa???".
"Hapana princess"
"Aya ongoza njia".

Licha ya kigiza kuanza kuingia siku iyo Princess Nailet hakujali zaidi ya kutaka kufika nyumbani kwa Prince Yao safari ilianza akiwa na msaidizi wake mpaka nyumbani kwa Prince Yao.

Lindiwe akiwa ameka na Prince Yao alishangaa kusikia mtu akibisha hodii,alinyenyuka na kwenda kufungua mlango.
"Heeeeeeh Princess ni.... wewe???, aliinama ili atoe heshima kwa Princess lakini Nailet alimuwahi na kumshika.
"Hapana inatosha haina haja ya kutoa heshima kwangu".
"Ka...ribuni, Lindiwe aliwakalibisha kwa tabu Princess Nailet na msaidizi wake mpaka ndani".

Katika jumba la kifalme baada ya mfalme Tengu kugundua binti yake hayupo alipata mashaka na kujua, huenda atakuwa katika mikono isiyo salama sababu haikuwa kawaida kuondoka bira kuaga aliagiza vijana wake wamtafute haraka na upesi...........ITAENDELEA.

Tsh 1000 unapata mwendelezo mpaka mwisho wa simulizi hii tamu lipia sasa kupitia namba 0613083801 HALOPESA Jina john Bugumba kisha njoo WhatsApp kwa namba 0748697173 upate simulizi yako mpaka mwisho

Mfalme Tengu atafanya maamuzi gani akigundua kuwa binti yake Nailet yupo katika nyumba ya Lindiwe????sehemu inayofata inamajibu zaidi
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10




Ilipoishia sehemu iliyopita........
Maongezi yote yaliyokuwa yanaendelea pale Lindiwe alikuwa akisikia kila kitu..
"Hii haiwezekani yani mfalme ameamua aje amtafute Prince mwingine, hapana hii haiwezekani.....



ENDELEA NAYO.......
Hapana hii haiwezekani,Lindiwe alijikuta akiongea kwa nguvu na kuwafanya asikari wa ADELI pamoja na kijana Cheki wasogee eneo ilipotokea sauti ile na kuangalia ni nani huyo aliyeongea.

"Jamani emu tufanye mambo yaliyotuleta hapa ayo mengine hayatuhusu sisi, asikari mmoja aliongea"
"Wewe huoni kama huyu mtu alikuwa anasikiliza mazungumzo yetu????"
"Huo ni wasiwasi wako tu kama mtu mwenyewe ameshapatikana tuondoke nae tusipoteze mda".

Walikubaliana na wakaamua kuondoka maeneo yale na iyo ikawa ni ahueni kwa Lindiwe aliyerudi kwenye makazi yake kwa kasi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-mfalme-kipofu-sehemi-ya-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-mfalme-kipofu-sehemi-ya
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30

MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30

377
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33

MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33

365
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35

MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35

259
MY WANGU❤️ sehemu ya 31

MY WANGU❤️ sehemu ya 31

235
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 16

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 16

143
MFALME KIPOFU 11

MFALME KIPOFU 11

62
walio mpiga Murtaza Mangungu wakemewa

walio mpiga Murtaza Mangungu wakemewa

58

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.6K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.6K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.85K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.37K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.21K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.17K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.16K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.06K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest