Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Gonga94 · Stories

Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
atatambulishwa mbele ya wananchi wote wa ADELI,Nzegi alimpata tarifa zile general".
"Hahahahahahahaha mda ambao nilikuwa nikiusuburi kwa miaka ishirini (20) sasa umewadia....

ENDELEA NAYO......
"Hahahahahahahaha mda ambao nilikuwa nikiusuburi kwa miaka ishirini (20) sasa umewadia"
"Unamaana gani General kuongea ivyo??"
"Nzegi wewe ni mlinzi wa mda mrefu katika jumba la kifalme unajua siku zenye matukio makubwa ulinzi huimalishwa sehemu moja tu katika ufalme wetu huu"
"Hahahaha nimekuelewa General nasijui kwanini sikufikilia hili mapema".
"Mda wangu wa kutoka gerezani umefika bora wangeniua tu kile kipindi ila kuniacha hai ni kosa ambalo hawatokuja kulisahau".

Ni mpango uliokuwepo kati ya General pamoja na mlinzi mkuu Nzegi na hii ni hatari sana kwa familia ya kifalme kama General akifanyikiwa kutoroka gerezani.

*****************

Familia ya Mfalme Kojo ikiwa katika meza ya chakula.
"Mtukufu mfalme nimesikia tarifa za kutambulishwa kwa Prince,tarifa hizi zinaukweli wowote baba??, Princess mkubwa aliye fahamika kwa jina la Yanite alimuuliza baba yake au Mfalme kojo"
Mfalme kojo hakuwa na la kujibu zaidi ya kumtazama na kumfanya Princess Yanite anyamaze kimya.
"Ata mimi pia nataman nimjue kaka yangu tuwe tunacheza wote, mtoto wa mwisho wa mfalme kojo aliyefahamika kama Princess Yanni aliongea"

Mfalme kojo hakutaka tena kuendelea kukaa katika meza ile ya chakula alinyenyuka na kuondoka na kuiacha familia yake katika meza ya chakula.

"Huwa nawambia siku zote mda wa kula hamtakiwi kuongea ovyo,Malikia aliongea kwa hasira"
"Lakini mama sinikweli hichi tulicho kizungumza??, Princess Yanite aliongea".
"Mda ukifika mtajua kila kitu".

Mfalme Kojo akiwa anatembea baada ya kutoka katika meza ya chakula alikumbuka kuwa anasiku tatu alizo ahidi za kumtambulisha Prince mbele ya halaiki,
Palepale aliamua kuita asikari wake anao waamini na kuwapa kazi kwenda nchi za mbali kumtafuta kijana atakaye kuja kuchukua nafasi ya Prince kwa mda mfupi.

"Nimewaamini nyinyi na ndio mana sitaki kumhusisha Mlinzi mkuu Nzegi hili swala ivyo nendeni mkatekeleza maagizo yangu na yoyote atakayevujisha izi tarifa kifo kinamhusu"
"Tumekuelewa mtukufu mfalme".
"Na ivi ni vipande vya dhahabu ambavyo mtampatia huyo kijana kama malipo yake ya mwanzo badae nitamumalizia malipo yake mengine baada ya kazi".

Asikari waliondoka katika jumba la kifalme na kutekeleza jukumu walilopewa na mfalme wao,
Pia walipewa barua maalumu yenye muhuri wa kifalme kama ishara ya popote pale watakapofika kwenye mipaka ya falme zingine waweze kuingia bira kuwa na kipingamizi.

********************
Ndani ya kijiji cha Nyengweli kilicho katika ufalme wa ADELI,
"Nashukuru sana kwa matibabu ya mjukuu wangu sikutegemea kama atarudi katika hali yake"
"Usijali babu ni kazi yetu kusaidia watu kwa kuwatibu,binti Amma alimjibu mzee yule"
"Naomba nishike mkono wako nikuangalie inaonekana ni mtu mwenye bahati sana".
Binti Amma alimpatia mkono mzee yule.

Palepale yule mzee alipiga magoti chini na kumfanya mjukuu wake kushangaa!!!.

"Babu unamatatizo gani????"
Mjukuu wake alimuuliza baada ya kuona babu yake amepiga magoti mbele ya binti Amma.
"Mimi sipaswi kusimama mbele ya mtu mkubwa katika ufalme huu wa ADELI nakuomba upige magoti mjukuu wangu utoe heshima juu ya huyu binti".

Maneno yale yalimtoa ndani baba yake na Amma baada ya kusikia mazungumzo ya yule mzee.

"Mzee wangu emu amka haina haja ya kupiga magoti"
"unabahati sana katika uzao wako".Mzee yule aliongea.
"unamaana gani kusema ivyo???".
"Yakupaswa uelewe tu unabahati katika uzao wako na pia nashukuru kwa matibabu ya mjukuu wangu na sina cha kuongea zaidi ila najivunia kuona mtu ambae sikutegemea kama ipo siku nitafanyikiwa ata kumshika kwenye maisha yangu"

Mzee yule aliongea na kuondoka zake pamoja na mjukuu wake aliyekwisha kutibiwa na kuwaacha Amma pamoja na baba yake katika maswali mengi yasiyo na majibu......ITAENDELEA.

Kwa sh 1000 tu unajipatia mwendelezo huu mpaka mwisho lipia sasa kwa NAMBA 0613083801 HALOPESA jina John Bugumba, kisha nitumie SMS ya malipo kwa njia ya whatsapp namba 0748697173 upate Full simulizi 🙏🙏🙏🙏🙏.

Kipi ambacho mzee huyu amekiona kwa binti Amma mpaka kupelekea kupiga magoto mbele yake na je? asikari waliotumwa na Mfalme Kojo watafanyikiwa kumpata kijana atakayechukua nafasi ya Prince Yao kqa mda mfupi????, tukutane sehemu inayofata.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince

atatambulishwa mbele ya wananchi wote wa ADELI,Nzegi alimpata tarifa zile general".
"Hahahahahahahaha mda ambao nilikuwa nikiusuburi kwa miaka ishirini (20) sasa umewadia....

ENDELEA NAYO......
"Hahahahahahahaha mda ambao nilikuwa nikiusuburi kwa miaka ishirini (20) sasa umewadia"
"Unamaana gani General kuongea ivyo??"
"Nzegi wewe ni mlinzi wa mda mrefu katika jumba la kifalme unajua siku zenye matukio makubwa ulinzi huimalishwa sehemu moja tu katika ufalme wetu huu"
"Hahahaha nimekuelewa General nasijui kwanini sikufikilia hili mapema".
"Mda wangu wa kutoka gerezani umefika bora wangeniua tu kile kipindi ila kuniacha hai ni kosa ambalo hawatokuja kulisahau".

Ni mpango uliokuwepo kati ya General pamoja na mlinzi mkuu Nzegi na hii ni hatari...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-mfalme-kipofu-sehemi-ya-08-ilipoishia-sehemu-iliyopita-tarifa-gani-inasemekana-baada-ya-siku-t

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-mfalme-kipofu-sehemi-ya
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

369
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

340
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

329
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

177
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

126
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

116
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

53
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

40
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

35
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

35

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.7K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.9K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.09K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.87K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.85K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.7K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE
@majario LIVE

109 Mwenzenu nimechambwaaa, nishanangwa siamini kama ndiyi nilifunguliwa mlango mimi, nikapelekwa mtoko mimi, na nikawa natumiwa ujumbe. Leo hii kwa ukali nafokewa macho yametoka mpaka natetemeka. Nilikuwa nimechoka sana. Sijui nini kiliendelea,...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7
@majario LIVE

NO 06 Niliamka na kwenda sebleni nikakuta johari haha amka naona itakuwa nimeamka mapema sana ilibidi nikae nimsubiri maana sikuwa najua vifaa vya usafi vinatoka wapi .........nilikaa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108
@majario LIVE

:101 Nimeingia tu chumbani, rafiki yangu alikuwa amejilaza akakaa ananitazama, ni kweli alionekana kama vile katoka kulia. Hakunipa nafasi hata akasema “wewe mtoto, unanukia kama kajini kakitajiri.” Nikacheka nikisema “upoje jini la...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest