VYOTE NDANI GONGA94
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
mto ulio katikati ya ufalme wa ADELI na ufalme wa YUNDI kisha jani moja muwekee katika jicho la upande wa kulia na jingine umuweke jicho la upande wa kushoto,UMESIKIA AMA
Hapanaaaaaaa!!!!!!!!.......
ENDELEA NAYO......
Hapanaaaaaaaa, nikelele tu zilisikika,
"Nini binti yangu mbona unapiga kelele asubuhi hii???"
"Baba ile ndoto imejirudia tena nimesikia sauti ikiniambia niende katika mti wa ajabu nikachukue majani mawili".
"Binti yangu Amma nimeshakwambia
iyo ni ndoto tu kama ndoto zingine"
"Baba ila sio ndoto ya kawaida hii,toka nikiwa mdogo ndoto hii imekuwa ikinisumbua sana mpaka hii leo".
"Basi inakupaswa uamke binti yangu".
"Sawa baba,na alafu hujawahi kuniambia mama yangu yupo wapi???".
"Mda sahihi ukifika nitakueleza binti yangu Amma".
Alijikuta machozi yakimlenga na Amma alilitambua hilo hakutaka kumuuliza tena kuhusu mama yake.
"Na ujiandae twende tukatafute dawa za mgonjwa aliyeletwa jana".
"Sawa baba"
Ni miaka 20 sasa imepita na binti Amma ameshakuwa mkubwa tangu alipozaliwa na mama yake kukutwa na umauti siku iyoiyo aliyomzaa binti yake,
Na ndio maisha aliyokuwa akiishi yeye pamoja na baba yake ya kuwatibu watu,
Kutokana na baba yake kuwa na ujuzi wa kufahamu kila aina ya mitishamba katika kijiji chao cha Nyengweli kilicho ndani ya ufalme wa ADELI binti Amma nae alijikuta analithi ujuzi wa baba yake.
************
Ni katika ufalme wa YUNDI,
Prince Yao akiwa ameketi kandokando ya mto ADEYU akisikiliza kwa umakini sauti za maji yale yaliyokuwa yanaelekea katika ufalme wa ADELI.
"Nimekutafuta sana mwanangu kumbe umekaa huku na nani aliyekuleta???,
ni sauti iliyosikika masikioni mwa Prince Yao"
"Binti wa karibu na jirani kwetu ndio kanileta"
"Aaah kumbe ni Yunde ndio kakuleta???".
"Ndio mama, ila nataman sana nione jinsi maji yanavyofanana,natamani sana nione mwaga wa jua ulivyo, bira kusahau wewe mama angu,Prince Yao aliongea kwa masikitiko makubwa".
Ni miaka mingi imepita na Prince Yao hakuwa na kumbukumbu zozote zile kuwa yeye ni mwana wa Mfalme na Lindiwe hakutaka kumweleza kila kitu kwa wakati huo.
"Bado sijachoka kukutafutia dawa mwanangu".
"Nakuamini sana mama,Prince Yao aliongea na kunyenyuka".
Lindiwe aliishika fimbo ya prince Yao na kumuongonza njia kuelekea kwenye makazi yao katika ufalme huo wa YUNDI,
Maisha hayo Lindiwe alizoea na alijiona ni mwenye bahati kuishi na Prince Yao kwani alimpenda kama mwanae wa kumzaa na licha ya vijana wengi wa ufalme wa YUNDI kuhitaji kumuoa kipindi anafika katika ufalme huo, ila hakuhitaji kuolewa na aliamua kumlea Prince Yao.
***********************
Katika ufalme wa ADELI,baada ya miaka mingi kupita Mfalme Kojo pamoja na Malikia Andwaa walifanyikiwa kupata watoto wawili na wote walikuwa wa kike jambo lililokuwa likimuumiza sana mfalme Kojo juu ya nani atakaye kalia kiti chake cha ufalme.
Balaza la mawaziri pamoja na viongonzi mbalimbali walipendekeza ombi kwa Mfalme juu ya kikao cha gafra ili waeleze kile walichozamilia mbele ya Mfalme wao.
"Leo lazima Mfalme atueleze kwanini mpaka sasa hatujawahi kumuona Prince ila hawa maprincess wawili kila siku tunawaona,na hatujui anafananaje Prince??".
Mmoja wa mawaziri aliongea walipokuwa wakimsubiri Mfalme kwa ajili ya mazungumzo ya kikao icho maalum walichoomba mawazari hao na viongonzi mbalimbali.
Waziri mkuu alifurahi baada ya kuona mipango yake inaenda vizuri licha ya umri wake kusogea lakini bado alikuwa anakitamani kiti cha kifalme.
"watu wote simama juu mfalme anaingia"
Mawazari na viongonzi walitii sauti ile kwa ajali ya kumkaribisha mfalme wao.
"Kyaooo mfalme,viongonzi walitoa salam kwa mfalme wao"
"Setuleeeee,mfalme Kojo aliitikia na kuuliza sababu zilizowafanya wamwite kwenye kikao kile"
Waziri mkuu aliona ndio mda sahihi wa kuvuluga mambo ,
"Mtukufu mfalme,lengo la kikao hichi ni sisi kama viongonzi tunaowawakilisha wananchi wetu, wanataka kumjua prince wa hili taifa yupo wapi????"
"Kumbe ni hilo tu hamna jingine????"
"Ndio mfalme,maprincess wote watu wa ADELI wanawafahamu kasolo Prince tu "
"Basi waambieni wajiandae, siku tatu zinazokuja Prince atatambulishwa na watu wote watamwona kwa mara ya kwanza".
Mfalme aliongea vile na kunyenyuka kwa hasira katika kiti chake nakuondoka katika jumba la mkutano,
Waziri mkuu aliliona lile na kuanza kujiuliza kwanini mfalme awe na hasira huku mwenyewe ndie kaongea kuwa siku tatu Prince atatambulishwa .
Alifika chumbani kwake na kufungua mlango kwa hasira hali iliyomshangaza Malikia Andwaa,
"Mtukufu mfalme kuna tatizo????".
"Tatizo lipo na wewe ni sababu wa haya matatizo"
"Mimi????".
"Ndio wewe...........ITAENDELEA.
Ni kwanini mfalme Kojo anamlaumu Malikia Andwaa kama yeye ndie sababu ya matatizo, na vipi kuhusu hatima ya Prince Yao ataendelea kukaa katika ufalme wa YUNDI maisha yake yote???? tukutane sehemu inayofata.
Story.....................MFALME KIPOFU
Mtunzi...................Zooper
Sehemi..ya............07
Whatsapp.............0748697173
Ilipoishia sehemu iliyopita........
Alifika chumbani kwake na kufungua mlango kwa hasira hali iliyomshangaza malikia andwaa,
"Mtukufu mfalme kuna tatizo????".
"Tatizo lipo na wewe ni sababu wa haya matatizo"
"Mimi????".
"Ndio wewe........
ENDELEA NAYO.....
"Ndio wewe hapo ndio sababu, bira wewe kumuamini aliyekuwa mtumishi wako Lindiwe yote haya yasingetokea".
"Tatizo nini mtukufu mfalme???"
"Wananchi wanataka kumuona Prince wao na hayupo tunamtoa wapi sasa??"
"Nisamehe mtukufu mfalme lakini kile kipindi ulisema wewe ni Mfalme wa ADELI na unaweza kufanya chochote".
"Tunabishana sasa!!!"
"Nisamehe mtukufu Mfalme".
"Tazama hajawahi kutupa tarifa zozote juu ya kile kinachoendelea kwa Prince Yao na umefika mda wananchi wanahitaji kumuona Prince na bahati mbaya watoto wote ulionizalia ni wakike tu"
"Ni kosa langu mtukufu Mfalme nilimuamini sana Lindiwe".
"Prince Yao inatakiwa apatikane haraka iwezekanavyo nimeahidi baada ya siku tatu atatambulishwa Prince".
"Heeeeeh!!!!! Mfalme siku tatu???????"
"eee siku tatu na siitaji kelele kwa sasa nahitaji kupumzika".
Mfalme Kojo alikuwa na hasira sana siku iyo na Malikia Andwaa alilitambua hilo ila kuna wazo alilipata.
"Nisamehe mtukufu mfalme kwa kusema haya maneno japo umenisihi nisikusumbue kwa sasa"
"Ongea nakusikiliza".
" Mfalme naona ni vyema tumtafute kijana yoyote kutoka nchi ya mbali aje tumtambulishe kama ndie Prince kwa watu, na mda huo tukiendelea kumtafuta Lindiwe atuambie ni wapi alipo Prince Yao"
"Leo umeongea kitu cha maana nimefurahishwa na mawazo yako na nimekubaliana na wazo lako Malikia".
Baada ya Malikia kutoa wazo ambalo Mfalme Kojo alikubaliana nalo utaratibu ulianza kufanyika wa kutuma vijana wake kisiri katika falme za mbali kumtafuta kijana atakayetambulika kama Prince wa mda mfupi tu.
******************
Prince Yao pamoja na Lindiwe ambae anamtambua kama mama yake mzazi wanafanyikiwa kufika katika makazi yao katika falme hiyo ya YUNDI,
"Samahani Yao kwa kukuacha peke yako kule mtoni", ilisikika sauti ya binti Yunde.
"Ata usijili Yunde huyu ndivyo alivyo haiwezi pita siku ajaniomba nimpeleke mtoni kwenda kusikiliza sauti za maji,Lindiwe aliongea na kumfanya Yunde acheke tu".
Wakati maongenzi yale yakiendelea vijana wawili walipita yale maeneo na kuona binti Yunde akiongea na Lindiwe pamoja na Prince Yao.
"Mimi sinilikwambia ndugu yangu yule kipofu ukizubaa atakuchukulia mchumba wako"
"Haiwezekani hamna mwanamke atakayependa kuishi na kipofu"
"Cheki,wewe endelea tu kuzuba hujasikia kama wadada wengi wanamsifia huyo jamaa kuwa anamvuto kushinda sisi wengine sema tu tatizo lake ni kipofu".
"Afanye yote ila asijaribu kuwa karibu na Yunde".
Ni maongonzi ya Cheki pamoja na mwenzake yaliyokuwa yakiwahusu Price Yao na binti Yunde baada ya kuwaona pamoja.
*****************
Gerezani katika ufalme wa ADELI miaka mingi imepita General Tengeli akiwa ameshazoea mateso ya hukumu aliyopewa baada ya kujaribu kuupindua ufalme na kuwasalitiwa na wazari mkuu ambae alitoboa siri ya uvamizi kwa mfalme,
siku iyo kuna mtu aliyemtembelea katika gereza kubwa la ADELI.
"Ni wewe Nzegi?????"
"Ndio general ni kawaida yangu kila mwisho wa juma kuja kukutembelea na kukupa habari zinazoendelea katika jumba la kifalme".
"Najua wewe umefanya kazi kwa miaka mingi kama mlinzi mkuu wa Mfalme na bado anakuamini mpaka leo kuwa makini tu wasije kukugundua wakaharibu mipango".
"Usijali General nitafanya chochote kwa ajili yako na bira wewe mimi nisingekuwa hapa nilipo".
General alifarijika sana kuona licha ya baadhi ya watu kumtenga tangu akiwa gerezani ila bado mlinzi mkuu Nzegi alikuwa pamoja nae.
"Kubwa kilichonileta hapa kuna tarifa kutoka katika jumba la kifalme General"
"Tarifa gani???"
"Inasemekana baada ya siku tatu Prince atatambulishwa mbele ya wananchi wote wa ADELI,Nzegi alimpata tarifa zile General".
"Hahahahahahahaha mda ambao nilikuwa nikiusuburi kwa miaka ishirini (20) sasa umewadia....ITAENDELEA.
Kwa sh 1000 tu unajipatia mwendelezo huu mpaka mwisho lipia sasa kwa NAMBA 0613083801 HALOPESA jina John Bugumba, kisha nitumie SMS ya malipo kwa njia ya whatsapp namba 0748697173 upate Full simulizi 🙏🙏🙏🙏🙏.
Kwanini general amefurahi baada ya kupata tarifa za Prince kutambulishwa kuna kitu gani anachofikilia na vipi mfalme Kojo pamoja na Malikia andwaa watafanyikiwa kumpata kijana atakayechukua nafasi ya Prince Yao, si ya kukosa sehemu inayokuja
Hapanaaaaaaa!!!!!!!!.......
ENDELEA NAYO......
Hapanaaaaaaaa, nikelele tu zilisikika,
"Nini binti yangu mbona unapiga kelele asubuhi hii???"
"Baba ile ndoto imejirudia tena nimesikia sauti ikiniambia niende katika mti wa ajabu nikachukue majani mawili".
"Binti yangu Amma nimeshakwambia
iyo ni ndoto tu kama ndoto zingine"
"Baba ila sio ndoto ya kawaida hii,toka nikiwa mdogo ndoto hii imekuwa ikinisumbua sana mpaka hii leo".
"Basi inakupaswa uamke binti yangu".
"Sawa baba,na alafu hujawahi kuniambia mama yangu yupo wapi???".
"Mda sahihi ukifika nitakueleza binti yangu Amma".
Alijikuta machozi yakimlenga na Amma alilitambua hilo hakutaka kumuuliza tena kuhusu mama yake.
"Na ujiandae twende tukatafute dawa za mgonjwa aliyeletwa jana".
"Sawa baba"
Ni miaka 20 sasa imepita na binti Amma ameshakuwa mkubwa tangu alipozaliwa na mama yake kukutwa na umauti siku iyoiyo aliyomzaa binti yake,
Na ndio maisha aliyokuwa akiishi yeye pamoja na baba yake ya kuwatibu watu,
Kutokana na baba yake kuwa na ujuzi wa kufahamu kila aina ya mitishamba katika kijiji chao cha Nyengweli kilicho ndani ya ufalme wa ADELI binti Amma nae alijikuta analithi ujuzi wa baba yake.
************
Ni katika ufalme wa YUNDI,
Prince Yao akiwa ameketi kandokando ya mto ADEYU akisikiliza kwa umakini sauti za maji yale yaliyokuwa yanaelekea katika ufalme wa ADELI.
"Nimekutafuta sana mwanangu kumbe umekaa huku na nani aliyekuleta???,
ni sauti iliyosikika masikioni mwa Prince Yao"
"Binti wa karibu na jirani kwetu ndio kanileta"
"Aaah kumbe ni Yunde ndio kakuleta???".
"Ndio mama, ila nataman sana nione jinsi maji yanavyofanana,natamani sana nione mwaga wa jua ulivyo, bira kusahau wewe mama angu,Prince Yao aliongea kwa masikitiko makubwa".
Ni miaka mingi imepita na Prince Yao hakuwa na kumbukumbu zozote zile kuwa yeye ni mwana wa Mfalme na Lindiwe hakutaka kumweleza kila kitu kwa wakati huo.
"Bado sijachoka kukutafutia dawa mwanangu".
"Nakuamini sana mama,Prince Yao aliongea na kunyenyuka".
Lindiwe aliishika fimbo ya prince Yao na kumuongonza njia kuelekea kwenye makazi yao katika ufalme huo wa YUNDI,
Maisha hayo Lindiwe alizoea na alijiona ni mwenye bahati kuishi na Prince Yao kwani alimpenda kama mwanae wa kumzaa na licha ya vijana wengi wa ufalme wa YUNDI kuhitaji kumuoa kipindi anafika katika ufalme huo, ila hakuhitaji kuolewa na aliamua kumlea Prince Yao.
***********************
Katika ufalme wa ADELI,baada ya miaka mingi kupita Mfalme Kojo pamoja na Malikia Andwaa walifanyikiwa kupata watoto wawili na wote walikuwa wa kike jambo lililokuwa likimuumiza sana mfalme Kojo juu ya nani atakaye kalia kiti chake cha ufalme.
Balaza la mawaziri pamoja na viongonzi mbalimbali walipendekeza ombi kwa Mfalme juu ya kikao cha gafra ili waeleze kile walichozamilia mbele ya Mfalme wao.
"Leo lazima Mfalme atueleze kwanini mpaka sasa hatujawahi kumuona Prince ila hawa maprincess wawili kila siku tunawaona,na hatujui anafananaje Prince??".
Mmoja wa mawaziri aliongea walipokuwa wakimsubiri Mfalme kwa ajili ya mazungumzo ya kikao icho maalum walichoomba mawazari hao na viongonzi mbalimbali.
Waziri mkuu alifurahi baada ya kuona mipango yake inaenda vizuri licha ya umri wake kusogea lakini bado alikuwa anakitamani kiti cha kifalme.
"watu wote simama juu mfalme anaingia"
Mawazari na viongonzi walitii sauti ile kwa ajali ya kumkaribisha mfalme wao.
"Kyaooo mfalme,viongonzi walitoa salam kwa mfalme wao"
"Setuleeeee,mfalme Kojo aliitikia na kuuliza sababu zilizowafanya wamwite kwenye kikao kile"
Waziri mkuu aliona ndio mda sahihi wa kuvuluga mambo ,
"Mtukufu mfalme,lengo la kikao hichi ni sisi kama viongonzi tunaowawakilisha wananchi wetu, wanataka kumjua prince wa hili taifa yupo wapi????"
"Kumbe ni hilo tu hamna jingine????"
"Ndio mfalme,maprincess wote watu wa ADELI wanawafahamu kasolo Prince tu "
"Basi waambieni wajiandae, siku tatu zinazokuja Prince atatambulishwa na watu wote watamwona kwa mara ya kwanza".
Mfalme aliongea vile na kunyenyuka kwa hasira katika kiti chake nakuondoka katika jumba la mkutano,
Waziri mkuu aliliona lile na kuanza kujiuliza kwanini mfalme awe na hasira huku mwenyewe ndie kaongea kuwa siku tatu Prince atatambulishwa .
Alifika chumbani kwake na kufungua mlango kwa hasira hali iliyomshangaza Malikia Andwaa,
"Mtukufu mfalme kuna tatizo????".
"Tatizo lipo na wewe ni sababu wa haya matatizo"
"Mimi????".
"Ndio wewe...........ITAENDELEA.
Ni kwanini mfalme Kojo anamlaumu Malikia Andwaa kama yeye ndie sababu ya matatizo, na vipi kuhusu hatima ya Prince Yao ataendelea kukaa katika ufalme wa YUNDI maisha yake yote???? tukutane sehemu inayofata.
Story.....................MFALME KIPOFU
Mtunzi...................Zooper
Sehemi..ya............07
Whatsapp.............0748697173
Ilipoishia sehemu iliyopita........
Alifika chumbani kwake na kufungua mlango kwa hasira hali iliyomshangaza malikia andwaa,
"Mtukufu mfalme kuna tatizo????".
"Tatizo lipo na wewe ni sababu wa haya matatizo"
"Mimi????".
"Ndio wewe........
ENDELEA NAYO.....
"Ndio wewe hapo ndio sababu, bira wewe kumuamini aliyekuwa mtumishi wako Lindiwe yote haya yasingetokea".
"Tatizo nini mtukufu mfalme???"
"Wananchi wanataka kumuona Prince wao na hayupo tunamtoa wapi sasa??"
"Nisamehe mtukufu mfalme lakini kile kipindi ulisema wewe ni Mfalme wa ADELI na unaweza kufanya chochote".
"Tunabishana sasa!!!"
"Nisamehe mtukufu Mfalme".
"Tazama hajawahi kutupa tarifa zozote juu ya kile kinachoendelea kwa Prince Yao na umefika mda wananchi wanahitaji kumuona Prince na bahati mbaya watoto wote ulionizalia ni wakike tu"
"Ni kosa langu mtukufu Mfalme nilimuamini sana Lindiwe".
"Prince Yao inatakiwa apatikane haraka iwezekanavyo nimeahidi baada ya siku tatu atatambulishwa Prince".
"Heeeeeh!!!!! Mfalme siku tatu???????"
"eee siku tatu na siitaji kelele kwa sasa nahitaji kupumzika".
Mfalme Kojo alikuwa na hasira sana siku iyo na Malikia Andwaa alilitambua hilo ila kuna wazo alilipata.
"Nisamehe mtukufu mfalme kwa kusema haya maneno japo umenisihi nisikusumbue kwa sasa"
"Ongea nakusikiliza".
" Mfalme naona ni vyema tumtafute kijana yoyote kutoka nchi ya mbali aje tumtambulishe kama ndie Prince kwa watu, na mda huo tukiendelea kumtafuta Lindiwe atuambie ni wapi alipo Prince Yao"
"Leo umeongea kitu cha maana nimefurahishwa na mawazo yako na nimekubaliana na wazo lako Malikia".
Baada ya Malikia kutoa wazo ambalo Mfalme Kojo alikubaliana nalo utaratibu ulianza kufanyika wa kutuma vijana wake kisiri katika falme za mbali kumtafuta kijana atakayetambulika kama Prince wa mda mfupi tu.
******************
Prince Yao pamoja na Lindiwe ambae anamtambua kama mama yake mzazi wanafanyikiwa kufika katika makazi yao katika falme hiyo ya YUNDI,
"Samahani Yao kwa kukuacha peke yako kule mtoni", ilisikika sauti ya binti Yunde.
"Ata usijili Yunde huyu ndivyo alivyo haiwezi pita siku ajaniomba nimpeleke mtoni kwenda kusikiliza sauti za maji,Lindiwe aliongea na kumfanya Yunde acheke tu".
Wakati maongenzi yale yakiendelea vijana wawili walipita yale maeneo na kuona binti Yunde akiongea na Lindiwe pamoja na Prince Yao.
"Mimi sinilikwambia ndugu yangu yule kipofu ukizubaa atakuchukulia mchumba wako"
"Haiwezekani hamna mwanamke atakayependa kuishi na kipofu"
"Cheki,wewe endelea tu kuzuba hujasikia kama wadada wengi wanamsifia huyo jamaa kuwa anamvuto kushinda sisi wengine sema tu tatizo lake ni kipofu".
"Afanye yote ila asijaribu kuwa karibu na Yunde".
Ni maongonzi ya Cheki pamoja na mwenzake yaliyokuwa yakiwahusu Price Yao na binti Yunde baada ya kuwaona pamoja.
*****************
Gerezani katika ufalme wa ADELI miaka mingi imepita General Tengeli akiwa ameshazoea mateso ya hukumu aliyopewa baada ya kujaribu kuupindua ufalme na kuwasalitiwa na wazari mkuu ambae alitoboa siri ya uvamizi kwa mfalme,
siku iyo kuna mtu aliyemtembelea katika gereza kubwa la ADELI.
"Ni wewe Nzegi?????"
"Ndio general ni kawaida yangu kila mwisho wa juma kuja kukutembelea na kukupa habari zinazoendelea katika jumba la kifalme".
"Najua wewe umefanya kazi kwa miaka mingi kama mlinzi mkuu wa Mfalme na bado anakuamini mpaka leo kuwa makini tu wasije kukugundua wakaharibu mipango".
"Usijali General nitafanya chochote kwa ajili yako na bira wewe mimi nisingekuwa hapa nilipo".
General alifarijika sana kuona licha ya baadhi ya watu kumtenga tangu akiwa gerezani ila bado mlinzi mkuu Nzegi alikuwa pamoja nae.
"Kubwa kilichonileta hapa kuna tarifa kutoka katika jumba la kifalme General"
"Tarifa gani???"
"Inasemekana baada ya siku tatu Prince atatambulishwa mbele ya wananchi wote wa ADELI,Nzegi alimpata tarifa zile General".
"Hahahahahahahaha mda ambao nilikuwa nikiusuburi kwa miaka ishirini (20) sasa umewadia....ITAENDELEA.
Kwa sh 1000 tu unajipatia mwendelezo huu mpaka mwisho lipia sasa kwa NAMBA 0613083801 HALOPESA jina John Bugumba, kisha nitumie SMS ya malipo kwa njia ya whatsapp namba 0748697173 upate Full simulizi 🙏🙏🙏🙏🙏.
Kwanini general amefurahi baada ya kupata tarifa za Prince kutambulishwa kuna kitu gani anachofikilia na vipi mfalme Kojo pamoja na Malikia andwaa watafanyikiwa kumpata kijana atakayechukua nafasi ya Prince Yao, si ya kukosa sehemu inayokuja
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-mfalme-kipofu-sehemi-ya
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo