Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Gonga94 · Stories

Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
mto ulio katikati ya ufalme wa ADELI na ufalme wa YUNDI kisha jani moja muwekee katika jicho la upande wa kulia na jingine umuweke jicho la upande wa kushoto,UMESIKIA AMA
Hapanaaaaaaa!!!!!!!!.......

ENDELEA NAYO......
Hapanaaaaaaaa, nikelele tu zilisikika,
"Nini binti yangu mbona unapiga kelele asubuhi hii???"
"Baba ile ndoto imejirudia tena nimesikia sauti ikiniambia niende katika mti wa ajabu nikachukue majani mawili".
"Binti yangu Amma nimeshakwambia
iyo ni ndoto tu kama ndoto zingine"
"Baba ila sio ndoto ya kawaida hii,toka nikiwa mdogo ndoto hii imekuwa ikinisumbua sana mpaka hii leo".
"Basi inakupaswa uamke binti yangu".
"Sawa baba,na alafu hujawahi kuniambia mama yangu yupo wapi???".
"Mda sahihi ukifika nitakueleza binti yangu Amma".

Alijikuta machozi yakimlenga na Amma alilitambua hilo hakutaka kumuuliza tena kuhusu mama yake.

"Na ujiandae twende tukatafute dawa za mgonjwa aliyeletwa jana".
"Sawa baba"

Ni miaka 20 sasa imepita na binti Amma ameshakuwa mkubwa tangu alipozaliwa na mama yake kukutwa na umauti siku iyoiyo aliyomzaa binti yake,
Na ndio maisha aliyokuwa akiishi yeye pamoja na baba yake ya kuwatibu watu,
Kutokana na baba yake kuwa na ujuzi wa kufahamu kila aina ya mitishamba katika kijiji chao cha Nyengweli kilicho ndani ya ufalme wa ADELI binti Amma nae alijikuta analithi ujuzi wa baba yake.

************
Ni katika ufalme wa YUNDI,
Prince Yao akiwa ameketi kandokando ya mto ADEYU akisikiliza kwa umakini sauti za maji yale yaliyokuwa yanaelekea katika ufalme wa ADELI.

"Nimekutafuta sana mwanangu kumbe umekaa huku na nani aliyekuleta???,
ni sauti iliyosikika masikioni mwa Prince Yao"
"Binti wa karibu na jirani kwetu ndio kanileta"
"Aaah kumbe ni Yunde ndio kakuleta???".
"Ndio mama, ila nataman sana nione jinsi maji yanavyofanana,natamani sana nione mwaga wa jua ulivyo, bira kusahau wewe mama angu,Prince Yao aliongea kwa masikitiko makubwa".

Ni miaka mingi imepita na Prince Yao hakuwa na kumbukumbu zozote zile kuwa yeye ni mwana wa Mfalme na Lindiwe hakutaka kumweleza kila kitu kwa wakati huo.

"Bado sijachoka kukutafutia dawa mwanangu".
"Nakuamini sana mama,Prince Yao aliongea na kunyenyuka".
Lindiwe aliishika fimbo ya prince Yao na kumuongonza njia kuelekea kwenye makazi yao katika ufalme huo wa YUNDI,

Maisha hayo Lindiwe alizoea na alijiona ni mwenye bahati kuishi na Prince Yao kwani alimpenda kama mwanae wa kumzaa na licha ya vijana wengi wa ufalme wa YUNDI kuhitaji kumuoa kipindi anafika katika ufalme huo, ila hakuhitaji kuolewa na aliamua kumlea Prince Yao.

***********************

Katika ufalme wa ADELI,baada ya miaka mingi kupita Mfalme Kojo pamoja na Malikia Andwaa walifanyikiwa kupata watoto wawili na wote walikuwa wa kike jambo lililokuwa likimuumiza sana mfalme Kojo juu ya nani atakaye kalia kiti chake cha ufalme.

Balaza la mawaziri pamoja na viongonzi mbalimbali walipendekeza ombi kwa Mfalme juu ya kikao cha gafra ili waeleze kile walichozamilia mbele ya Mfalme wao.

"Leo lazima Mfalme atueleze kwanini mpaka sasa hatujawahi kumuona Prince ila hawa maprincess wawili kila siku tunawaona,na hatujui anafananaje Prince??".
Mmoja wa mawaziri aliongea walipokuwa wakimsubiri Mfalme kwa ajili ya mazungumzo ya kikao icho maalum walichoomba mawazari hao na viongonzi mbalimbali.

Waziri mkuu alifurahi baada ya kuona mipango yake inaenda vizuri licha ya umri wake kusogea lakini bado alikuwa anakitamani kiti cha kifalme.

"watu wote simama juu mfalme anaingia"
Mawazari na viongonzi walitii sauti ile kwa ajali ya kumkaribisha mfalme wao.

"Kyaooo mfalme,viongonzi walitoa salam kwa mfalme wao"
"Setuleeeee,mfalme Kojo aliitikia na kuuliza sababu zilizowafanya wamwite kwenye kikao kile"
Waziri mkuu aliona ndio mda sahihi wa kuvuluga mambo ,

"Mtukufu mfalme,lengo la kikao hichi ni sisi kama viongonzi tunaowawakilisha wananchi wetu, wanataka kumjua prince wa hili taifa yupo wapi????"
"Kumbe ni hilo tu hamna jingine????"
"Ndio mfalme,maprincess wote watu wa ADELI wanawafahamu kasolo Prince tu "
"Basi waambieni wajiandae, siku tatu zinazokuja Prince atatambulishwa na watu wote watamwona kwa mara ya kwanza".

Mfalme aliongea vile na kunyenyuka kwa hasira katika kiti chake nakuondoka katika jumba la mkutano,
Waziri mkuu aliliona lile na kuanza kujiuliza kwanini mfalme awe na hasira huku mwenyewe ndie kaongea kuwa siku tatu Prince atatambulishwa .

Alifika chumbani kwake na kufungua mlango kwa hasira hali iliyomshangaza Malikia Andwaa,
"Mtukufu mfalme kuna tatizo????".
"Tatizo lipo na wewe ni sababu wa haya matatizo"
"Mimi????".
"Ndio wewe...........ITAENDELEA.

Ni kwanini mfalme Kojo anamlaumu Malikia Andwaa kama yeye ndie sababu ya matatizo, na vipi kuhusu hatima ya Prince Yao ataendelea kukaa katika ufalme wa YUNDI maisha yake yote???? tukutane sehemu inayofata.

Story.....................MFALME KIPOFU
Mtunzi...................Zooper
Sehemi..ya............07
Whatsapp.............0748697173

Ilipoishia sehemu iliyopita........
Alifika chumbani kwake na kufungua mlango kwa hasira hali iliyomshangaza malikia andwaa,
"Mtukufu mfalme kuna tatizo????".
"Tatizo lipo na wewe ni sababu wa haya matatizo"
"Mimi????".
"Ndio wewe........

ENDELEA NAYO.....
"Ndio wewe hapo ndio sababu, bira wewe kumuamini aliyekuwa mtumishi wako Lindiwe yote haya yasingetokea".
"Tatizo nini mtukufu mfalme???"
"Wananchi wanataka kumuona Prince wao na hayupo tunamtoa wapi sasa??"
"Nisamehe mtukufu mfalme lakini kile kipindi ulisema wewe ni Mfalme wa ADELI na unaweza kufanya chochote".
"Tunabishana sasa!!!"
"Nisamehe mtukufu Mfalme".

"Tazama hajawahi kutupa tarifa zozote juu ya kile kinachoendelea kwa Prince Yao na umefika mda wananchi wanahitaji kumuona Prince na bahati mbaya watoto wote ulionizalia ni wakike tu"
"Ni kosa langu mtukufu Mfalme nilimuamini sana Lindiwe".
"Prince Yao inatakiwa apatikane haraka iwezekanavyo nimeahidi baada ya siku tatu atatambulishwa Prince".
"Heeeeeh!!!!! Mfalme siku tatu???????"
"eee siku tatu na siitaji kelele kwa sasa nahitaji kupumzika".

Mfalme Kojo alikuwa na hasira sana siku iyo na Malikia Andwaa alilitambua hilo ila kuna wazo alilipata.

"Nisamehe mtukufu mfalme kwa kusema haya maneno japo umenisihi nisikusumbue kwa sasa"
"Ongea nakusikiliza".

" Mfalme naona ni vyema tumtafute kijana yoyote kutoka nchi ya mbali aje tumtambulishe kama ndie Prince kwa watu, na mda huo tukiendelea kumtafuta Lindiwe atuambie ni wapi alipo Prince Yao"
"Leo umeongea kitu cha maana nimefurahishwa na mawazo yako na nimekubaliana na wazo lako Malikia".

Baada ya Malikia kutoa wazo ambalo Mfalme Kojo alikubaliana nalo utaratibu ulianza kufanyika wa kutuma vijana wake kisiri katika falme za mbali kumtafuta kijana atakayetambulika kama Prince wa mda mfupi tu.

******************
Prince Yao pamoja na Lindiwe ambae anamtambua kama mama yake mzazi wanafanyikiwa kufika katika makazi yao katika falme hiyo ya YUNDI,

"Samahani Yao kwa kukuacha peke yako kule mtoni", ilisikika sauti ya binti Yunde.
"Ata usijili Yunde huyu ndivyo alivyo haiwezi pita siku ajaniomba nimpeleke mtoni kwenda kusikiliza sauti za maji,Lindiwe aliongea na kumfanya Yunde acheke tu".

Wakati maongenzi yale yakiendelea vijana wawili walipita yale maeneo na kuona binti Yunde akiongea na Lindiwe pamoja na Prince Yao.

"Mimi sinilikwambia ndugu yangu yule kipofu ukizubaa atakuchukulia mchumba wako"
"Haiwezekani hamna mwanamke atakayependa kuishi na kipofu"
"Cheki,wewe endelea tu kuzuba hujasikia kama wadada wengi wanamsifia huyo jamaa kuwa anamvuto kushinda sisi wengine sema tu tatizo lake ni kipofu".
"Afanye yote ila asijaribu kuwa karibu na Yunde".
Ni maongonzi ya Cheki pamoja na mwenzake yaliyokuwa yakiwahusu Price Yao na binti Yunde baada ya kuwaona pamoja.

*****************

Gerezani katika ufalme wa ADELI miaka mingi imepita General Tengeli akiwa ameshazoea mateso ya hukumu aliyopewa baada ya kujaribu kuupindua ufalme na kuwasalitiwa na wazari mkuu ambae alitoboa siri ya uvamizi kwa mfalme,
siku iyo kuna mtu aliyemtembelea katika gereza kubwa la ADELI.

"Ni wewe Nzegi?????"
"Ndio general ni kawaida yangu kila mwisho wa juma kuja kukutembelea na kukupa habari zinazoendelea katika jumba la kifalme".
"Najua wewe umefanya kazi kwa miaka mingi kama mlinzi mkuu wa Mfalme na bado anakuamini mpaka leo kuwa makini tu wasije kukugundua wakaharibu mipango".
"Usijali General nitafanya chochote kwa ajili yako na bira wewe mimi nisingekuwa hapa nilipo".

General alifarijika sana kuona licha ya baadhi ya watu kumtenga tangu akiwa gerezani ila bado mlinzi mkuu Nzegi alikuwa pamoja nae.

"Kubwa kilichonileta hapa kuna tarifa kutoka katika jumba la kifalme General"
"Tarifa gani???"
"Inasemekana baada ya siku tatu Prince atatambulishwa mbele ya wananchi wote wa ADELI,Nzegi alimpata tarifa zile General".
"Hahahahahahahaha mda ambao nilikuwa nikiusuburi kwa miaka ishirini (20) sasa umewadia....ITAENDELEA.

Kwa sh 1000 tu unajipatia mwendelezo huu mpaka mwisho lipia sasa kwa NAMBA 0613083801 HALOPESA jina John Bugumba, kisha nitumie SMS ya malipo kwa njia ya whatsapp namba 0748697173 upate Full simulizi 🙏🙏🙏🙏🙏.

Kwanini general amefurahi baada ya kupata tarifa za Prince kutambulishwa kuna kitu gani anachofikilia na vipi mfalme Kojo pamoja na Malikia andwaa watafanyikiwa kumpata kijana atakayechukua nafasi ya Prince Yao, si ya kukosa sehemu inayokuja

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU

mto ulio katikati ya ufalme wa ADELI na ufalme wa YUNDI kisha jani moja muwekee katika jicho la upande wa kulia na jingine umuweke jicho la upande wa kushoto,UMESIKIA AMA
Hapanaaaaaaa!!!!!!!!.......

ENDELEA NAYO......
Hapanaaaaaaaa, nikelele tu zilisikika,
"Nini binti yangu mbona unapiga kelele asubuhi hii???"
"Baba ile ndoto imejirudia tena nimesikia sauti ikiniambia niende katika mti wa ajabu nikachukue majani mawili".
"Binti yangu Amma nimeshakwambia
iyo ni ndoto tu kama ndoto zingine"
"Baba ila sio ndoto ya kawaida hii,toka nikiwa mdogo ndoto hii imekuwa ikinisumbua sana mpaka hii leo".
"Basi inakupaswa uamke binti yangu".
"Sawa baba,na alafu hujawahi kuniambia mama yangu yupo wapi???".
"Mda sahihi ukifika...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-mfalme-kipofu-sehemi-ya-06-ilipoishia-sehemu-iliyopita-chukua-majani-mawili-ya-mti-wa-ajabu-ne

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-mfalme-kipofu-sehemi-ya
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

369
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

340
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

329
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

178
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

131
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

117
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

53
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

40
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

35
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

35

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.7K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.9K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.09K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.88K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.85K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.7K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE
@majario LIVE

109 Mwenzenu nimechambwaaa, nishanangwa siamini kama ndiyi nilifunguliwa mlango mimi, nikapelekwa mtoko mimi, na nikawa natumiwa ujumbe. Leo hii kwa ukali nafokewa macho yametoka mpaka natetemeka. Nilikuwa nimechoka sana. Sijui nini kiliendelea,...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7
@majario LIVE

NO 06 Niliamka na kwenda sebleni nikakuta johari haha amka naona itakuwa nimeamka mapema sana ilibidi nikae nimsubiri maana sikuwa najua vifaa vya usafi vinatoka wapi .........nilikaa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108
@majario LIVE

:101 Nimeingia tu chumbani, rafiki yangu alikuwa amejilaza akakaa ananitazama, ni kweli alionekana kama vile katoka kulia. Hakunipa nafasi hata akasema “wewe mtoto, unanukia kama kajini kakitajiri.” Nikacheka nikisema “upoje jini la...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest