*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5
SEHEMU YA 1
😂😂😂😂Em kwanza nicheke mieee , hivi mnakumbuka zile issue za yule baba wa kule sijui wapi wapii mi hata sijui bwana anatokea wapiii yulee wa 400+ video 😜😜😜
Siku enyewe nilikuwa saloon bwana nimeenda kuosha osha nywele hivi nisuke kilimanjaro yangu ya buku 🤗🤗🤗
Wamama wa saloon hapo wakaanza kupiga story sijui kuna mbaba video zake zimevuja anafanya mapenzi na wanawake 400 heee🙄🙄 nikashtukaa aaweeh hii tena mbona mpyaa , Sikutaka kuchangia mada mana mie mpole mpolee 😅😅najifanya sina hatia ila nikawa nameza maneno na mie nirudi mtaani kuwahadithia shost zangu
Mana habari zilikuwa bado za motooooo😜😜😜wakawa wanasema kuna huyo baba sijui wa nchi gani huko, ni kiongozi mkubwa tu serikalini , amekutwa na video 400+ za ngono kwenye Laptop yake akifanya mapenzi na wanawake tofauti tofauti
Embu Imagine yaan wanawake 400 halafu hizo video zotee ni zake yeye ila wanawake ndio tofauti tofauti wanafika 400 tena na kupita we huogopiii
Nakuuliza we huogopii??😅😅😅Mi niliogopaa mwili ukanisisimkaa,
Ndio maana mie sitaki kuwa na bwana akaa bora nitunze kidude changu😜😜 tena nilichoka baada ya kusikia et ni mume wa mtu mmh🙄🙄mi sitaki kuolewa bwana😫😫😫, Umbea nikaumeza wotee .
Nilipo toka hapo sasa mimi ndio kinara mtaani story zote ninazo nawakarisha watu chumvi kama zoteee 😂😂😂
Basi mie nina Tambo langu bwana , yaan nikisema tambo namaanisha lisiimu kubwaa la Tecno lakini mie ndio natambia nalo si langu
Hata siwekagi bundle nikupigiwa tu nakupokea kwanza niweke bundle nina hela miee ya kuchezea😅😅😅
Sasa kwakua mie mtaani nishaonekana star mana kila mtu alikuwa ananifata kuniuliza kama ni kweli , nikimuhadithia huyu nae anaenda kuhadithia wenzie hukoo wakimuuliza alipotoa anasema kwangu nao wanakuja kuthibitisha ,
Ilibidi nimuibie jero mama ili niweke bundle la jero ili namie nipate habari kamili mana nilisikia wale wa mama wanasema huko mtandaoni kumechafuka kila sehemu ni habari za huyo baba tu na video zake zimesambaa kila kona
Nikaweka zangu ki bundle cha jero tu( 500Tsh) safari ya kwanza ni mjini FACEBOOK 😅😅😅Niingie insta kufanya nini yaan mie insta jamani naonaga kumepoooza hata hakunogi sijui ndio mshamba hata sijui ila kule kwa mr Fb aloooo🙌🙌🙌
Huko ndio naonaga umbea full full, sasa nikaingia ili niongeze materia ya bwana mianne plus😅😅😅 ili niwaadithie vizuri mtaani nikiwa na ushahidi wa kuona mwenyewe
Nilikuwa napita kila page nasomaaaa tena kwa umakini hatarii , kila page kila page , kila taarifa inayo muhusu mr mianne plus nilikuwa siiachi inipiteee
Sasa nikapita kwenye page moja hivi nikakutana na post inasema et bwana mianne plus mbona anapenda kushika chuchu hii inamaana gani??
Nikazama kwenye Comments ili nipate data namie , nikikaa kusimulia nitoe udaku mzitoo😅😅😅😅
Kuna Comments zingine zinasema anatema tema mate mie ananikera mwengine anasema hata mimi sipendi linavyotema mate basi tuuu
Namie roho ya kutaka kuona video sasa si ndio ikanivamiaaa🙄🙄🙄
*02*
Mwanzo hata sikuwa nataka kuona mie video zake ila nilitaka tu kutoa habari za uhakika ninapo simulia wamama wa mtaani kwetu ..
Sijui ndio ule msemo wanasema safari moja huanzisha ingine🙄 ndio hii sasaa , nikaanza kutamani kuona hayo nayosoma kwenye Comments ili niwe na ushahidi kabisaaa kuwa niliona ..
Nikatamani kuona sasa nitapata wapi nizione nikawa nawaza mwenyewe nikaona embu ngoja nikoment hapa kama atatokea msamalia mwema wa kunitumia sawa nitaona asipo tokea basiii
Nikaandika hivi "Jamani naombeni na mimi hiyo dhambi nionee😔😔"
Nikaweka na vi emoji vya kutilisha huruma 😅😅😅
Nikasikilizia majibu , Watu wakawa wanajibu hapo kwenye Comment yangu
Lete Buku tu nakutumia zote mianne , mwingine sijui nipe bundle oyaa zipo kibao , wengine unataka kuona nini wewe
Nilikasirika roho ikaniumaa nikaona kama wananidhihaki hawa nikaifufa ile Comment yangu fasta halafu nikazima data nikalala zangu huku najuta kwanini niliandika vilee ..
Usingizi nao hata hauji nikageuka geuka karibu li saa zimaa, usingizi hauji nikachukua simu yangu nikawasha data tena ile nawasha tu messenger zikaingia msg mfululizo kama nne hivi zimetoka kwa mtu mmoja lakini simjui na hakuna rafiki yangu...
Nikafungua nakuta video nne zimetumwa nikafungua video ya kwanza 🙈🙈🙈Si ndio naona watu wananyanduana aloo🙈🙈 mara ikaganda ndo ime pray sijui sec kumi zilee ki bundle kimeisha
Roho iliniumaaaa😔😔😔mara sms ikaingia pale pale messenger umepata ?? 🙄🙄 nikajibu Asante mwaya japo hazijafunguka kwahiyo sijaona kitu akanambia mmh kwanini sasaaa nikasema aah bundle limekatia akanambia mbona bado upo online nikasema aah nitakuwa zimebaki Ndogo ndo mana hazifungui video akanambia nipe namba nikuwezeshe usilale roho juu buree...akaniwekea na Emoj za kuzomea😜
Nikaandika namba chap 😅😅😅😅akhaa mwenzangu nikiremba wakati hapo nimeweka bundle kuweka tena sijui mwaka gani
Sekunde hiyo hiyo ikaingia msg ya kawaida M_pesa imethibitishwa umepokea 10000 kutoka kwa mussa ,Alooo🙄 nikasema huyu nani tena amekosea namba
Mara messenger ikaingia Hope umepata mrembo eeh🙄 nikamuuliza ndio umetuma elfu kumi?? Akasema ooh kumbe imekuja 10000 nilitaka kutuma 1000 itakuwa wanakupenda sana hawa voda Any way Tumia yotee🤗🤗🤗🤗🤗
Jaman nikamtumia emoji za kuchekaa na zile za kumshukuru zile mikono miwili imekutana 😂😂😂
Nikajiunga bundle la jero kama kawaida yangu hapo nikasema afadhali nimepata ya kuanzia asubuhi hapa mana embu nikae kimyaaaa😷😷😷
Nikafungua video zangu hapo ndio ulikuwa na mwisho wa kuchati nimefungua zile video zilikuwa nne nikaangalia vyema kabisaa😂😂😂
Halafu mimi ni single bwana sasa kuangalia ma video kama yale, nikajikuta hata nawatamani ma demu wa mianne plus naona wanafaidiiii😜😜 halafu nilibaba lizuriii aisee nikabaki najisemea li handsome limejariwa kote juu na chini 🤗🤗🤗🙈🙈
Lina sura nzuri mwili mzuri yaa vooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣 li zuriiiiiii kote kotee, nikajikuta nimeona visivyoonwaa mie , usiku ukawa wa mazinguziii nikalala kwa shida miee🤗🤗😜😜😜😜
Nimeamka zangu asubuhi siku enyewe nilikuwa wa kwanza hela za mihogo si ninazo bwana nikaamka zangu pweee kwenye mihogo
Nikakuta foleni sio ya hapa kila mtu amewahi mihongo , Nikatazama pale nanu nammudu mana nina ubuyu kama wote wa Mianne plus nataka niutoee kila mtu asikie sasa nitaanzisha vipi??
Nikamcheck mdada mmoja alikuwa yupo nae kwenye foleni nikaenda kukaa oembeni yake , nikaanza kujisemesha "ila wanaume jamani huyu baba wanawake mianne au alikuwa anatumia madawa?"
Hapo hata hajaniuliza basi tu nawashwa kuongea
"Yaan unajua mie nasikia sikia tu juu juu hivi ni kwelii??"
Hilo lilikuwa kosa lake kubwa sanaaaa🤣🤣nilianza kuongea kama nimemeza flash ya mr mianne plus
Wamama wote wa mihogo nakwambia walinigeukia kila mtu ananiuliza swali lake
"Sasa mke wake maskini mama wa watu uuh sijui amejisikiajee??" Mama muuza mihogo alikuwa anasikitika utafikiri huyo ni mdogo wake
"Unaambiwa amezimia hapo tangu jana mpaka leo hajaamka mumewe amekamatwa na police na hapo wampima ni muathirika yaani huyo mke wake unaambiwa ametishia kujiua atari"
🤣🤣Mimi hata habari za mke wake sijui sema nikapita na upepo huko huko kwanza hawana hata ma tambo wataonea wapiii??
Nilipiga udaku nikahadithia kila aliekuja 😔😔mie ndio nilikuwa wa mwanzo mwanzo kufika pale lakini mpaka mihogo inakaribia kuisha mama Muuza ananiambia we Dina wewe huchukui mihogo nikamwambie niwekee ya elfu mbili akaniwekea , Ndio nikaondoka kwenda nyumbani
"Enhee leo ukaamkia wapi we mwenda wazimu??" Mama yangu akanidakia huko ndio nachomoza tu nyumbani nilimuacha bado amelalaaa
"Mama nilifata mihongo ilikuwa na foleni"
"Nani amekuagiza"
"Ya kwetu nimechukua na sukari" niliongea huku nampa mama vile vitu
"Hela umetoa wapii??"
"Sa mamaa si upokee kwanza jamani aah"
"Eh.ehee nipokee ili iweje hela umetoa wapii,Huna kazi huna badhi kazi yako .......
*03*
"Eh.ehee nipokee ili iweje hela umetoa wapii,Huna kazi huna badhi kazi yako kulala tu nakula hayaa nambie hiyo hela umetoa wapi Dinaa kama umeanza michezo michafu Dina nakukata hilo kojoleo lako mbwa wewe hivi unanielewa??'
"Jamani mamaaaa!!!"
"Jamani Ng'ong'oooo ,Nyooo!!!"
😔😔Niliamua kuingia zangu tu ndani kwa hasira yaan mama yangu hana hata shukrani kila siku ananitukana mie kazi yangu kula na kulala nimeferi Form four, ananiita mie mmbea naweza hiyo kazi tu
Mtaa mzima wanajua mie nilipata zero mama yangu hajui kuongea taratibu hapo penyewe mtaa mzima wamejua kama mie nimeleo nimenunua mihogo kwa hela ya kuhongwa mama akaikataa ile mihogo ..
Nikajitupa zangu kitandani nikachukua simu nikawasha data , vimeseji vijaingia kwa kuongozana nilipo fungua ni yule Kaka wa jana alie nitumia video anatumia jina la Mussa shango
(Hujaamka tu mrembo)
(Uko poa)
(Siku njema)
Mmmh🙄nikasema huyu kaka nae vipi mbona kama ananishaukia, nikaingia kutazama Profile yake , hakukua na picha hata mojaa
Mmh nikasema hapa si ndio watu wanakutanaga na majini jamani naskiaga story za majini hivi hivi
Nikaachana nae nikaendelea kusaka habari za Mr Mianne , mama akaingia ndani
"We Dina ,Umetoa wapi hela ??"
Yaan mama yanguuu😟😟😟khaaa!!
"Mi nikajua yameshakwishaa?? Daaah ?"
"Yanaishajee??"
Yaan huyu mama yangu Amekuwa ananikagua mie tangu mdogo mpaka najielewa , kila siku kunipachua chupi ananikagua kama nimeanza wanaume mama yangu ni mkaliii , sijawahi kumzoea japo mimi ndio kipenzi chake lakini nikileta ujinga weeh nafumulia mie kama hanijuii , Yaan hapa huwezi amini tunagombania mihogo ya elfu mbili na sukari robo jamanii🙌🙌🙌
Mama yangu ana maisha magumu sana lakini sio wa kutegemea mtoto wake wa kike zaidi wa kiume , kaka yangu ndio huwa anatutetea nyumbani kwa vitu vyote kula hata mimi shule ,japokuwa na yeye bado anajitafuta huko ...
Mama katuzaa wawili tu mimi na kaka yangu yeye yupo mkoa mwingine anajitafuta
Elfu tatu tu na chench inarudi lakini imekuwa kesi ya jinai , hapa mama kawa mbogo mie nilijua atafurahi mana hatukuwa na ratiba ya tunakula nini asubuhi nina uhakika mama amelala na hela yake ya mtaji tu wa mkaa na sio ya kulaa lakini ona anavyonichamba ...
"Bwana mama me sijapewa na mwanaume wala sina huyo mwanaume??"
"Enhee umetoa wapi, Au tuvuane chupi unataka??"
"Mamaaaa!!!"
"Nyokooo!!"
."vua hiyo chupii"
"Mamaaaaa!!! Kwahiyo mimi kukusaidia kununua chakula imekuwa shida??"
"Sio kununua chakula shida hela umetoa wapi Dina, hela hizo miambili zisikudanganye mwanangu hivi unanielewa vizuri , kufeli shule sio kufeli maisha sio ujirahisi kwa hawa wavuta bangi wa hapa mtaani Dina hivi unanielewa??"
"Maaamaaaaa aah Nakuelewa wala mie siwezi siwezi mama siweziii aaah"
"Hayaa kalete mihogo "
"Saaa mama unanipa hela ya mihogo wakati nimenunua mihogo hii hapa mama sijahongwa hii hela jamani wala sina bwana"
Mama yangu aligoma kabisa kula hiyo mihogo asojua imetoka wapii namie kumwambia nilipo toa nilikuwa nashindwa
Ilibdi nimwambia mama nilikuwa na 3000 nilimuibia ibia kwenye mkaa wake yaan niliikusanya kidogo kidogo
Mama angu huwa ananiamini sana tu mana ananipenda mno na anajua mie siwezi kwelii kugeuka mashart yake na kila siku najitunza mie
*04*
mama akanionya onya hapo akanichamba kuhusu kumuibia hela akasema ndio maana alikuwa anapoteza hela kumbe mimi ndio naiba 🙄 Sijawahi hata kumuibia helaa huyu mwanamke jamani mungu shahidi lakini tafanyaje sasa sina pa kuipeleka hii mihogo 🤦♀️
Hela iliyobaki mmh nikaona bora kula miguu ya kuku mwenyewe huyu mwanamke asije kuniua buree😟😟😟 na Itkadi zake ngumu ngumu ....
Na ka hela kaka isha habari tena za kuweka bundle nikasahau na vile nilikuwa nishamaliza shida yangu ya kuona Chululu ya Kaka mia nne akaaa🤣🤣🤣 sikuwa na shida tena
Usiku kuna namba ngeni ikanitext , hapo zilikuwa zimepita kama siku tatu hivi tangu ninunue mihogo au nipewe hela na yule mtu asiejulikana
(Mamboo)
(Nanii??)
(Mmmh vibaya hivyo wenzio wanaitikia hata salamu kwanza mrembo)
Mmh nikawaza hili li nani hilii nikaandika kwa hasira (bwana weeeh kama huwezi kusema we nani kausha mxeeeeww)
Haikupita muda simu ikaanza kuita namba ile ile iliyotuma sms nikapokea nimekunja sura hatari
"Halooo"
Nikasikia sauti ya kiume kwanza nikatulia kuitafuta na zile hasira kidogo zikanywea
"Mambo" akanasalimia tena amechamgamka hatari
:poa"
"Uko poa"
"Ndio"
Yaan hapo najibu kifupi huku naivuta ile sauti kama niliwahi kuisikia sehemu
"Hujanijua??" Nikataka nimjibu kwa karaha yaan ananiuliza hijanijua wakati hata kujitambulisha hajajitambulisha nikajikazaaa
"Ndio"
"Okay let call It Friend "
"Sijasoma kaka angu kama huwezi kuongea kiswahili basiii"
Hapo kaba likanishinda ananiletea English wakati mie ni Form 4 felia Mxeeeew
Akaanza kucheka akacheka kwelii mie nipo kimyaa namsikiliza akanambia embu acha hasira bwanaaa mie musaa"
"Mussa gani?? "
"Mmmhhhh hapoo sijui nikutambulishe vipi okay mie yule nilikutext Ma juzi kati kule fb kuna kitu ulikuwa unahitaji nikakutumia jina langu ni mussa"
Ohoooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣nilicheka kwa aibuuu nikamwambia kumbe wewe akasema ndio we mkali mpaka umenitisha daah nikasema hamna bwana mie hata sio.akasema mmh lakini una sauti nzuriii kweli nilijua naongea na katoto nikasema hee kwahiyo nilimtumia matusi.mtoto wa watu🤣🤣🤣
. Daah nikasema mie sio mtoto bwana nimemaliza mpaka 4m4 ujue akanambia kwahiyo una miaka mingapi nikasema 17 akanambia we bado mtoto bwana kumbe upo Under18 halafu mie nikakutumia vitu vya Kumi na nane plus (18+) daaaah 🤣🤣
Nikamwambia bwana sio mie mkubwaaa
Akanambia umeolewa eeh?? Nikasema mmmh anioe nanii miee akasema kwa sauti hii Hope utakuwa mzuri zaidi ya hii sauti yako mie nikachekaa si unajua wadada tukiwa tunasifiwa huwa nguvu zinaisha kabisaaaa😂😂😂 mwili unakuwa unatetemeka kwa Rahaaa
Basi tukaongea tukaongea tukaongeaaaa usiku hapo unaenda tu kaka ana story huyu sijawahi kuonaaa🤗 Mpaka ukaingia usiku sanaa mie nasinzia yaan akiongea najikuta sijasikia yote nilikuwa nimesinzia
*05*
Akanambia nikuache basi ulale nikasema sawa mana nasinzia hapa hatari ndio akakata simu mie usingizi ukanipitia
Nimekuja kushtuka asubuhi nakuta text et ulale salamaa mmmh huyuu nikatabasam tu bwana , nataka kuifuta kuna text ikaingia M pesa nimepokea 15000 kutoka kwa mussa mmh😞😞 jamani wakati bado nashangaa ikaingia text nunua Vocha bint et uwe na asubuhi njema
Hee hadi kujibu nikashindwa nijibu niniii??
Unajua Elfu kumi na tano kwangu ni kama milioni eeh nishazoea jero jero naa jero yaan mia tano ya Tanzania mie kuishika kwangu ni mtihani sana sasa hela kama hizi nawehuka
Nilimtumia sms Asante sanaaa lakini naomba usinitumie tena pesa mama yangu akijua anaweza hata nichunja hapendi mno , na simu yangu anaishika mara kwa maraa
Akanijibu muda huo huo akanambia mmh jamani I wish nimuone mama nimpe Hongera amekulea vyema mpaka raha umekuwa kama sio bint wa Dar
Mie nikacheka kwa emoji tu sikuandika kitu akanambia sijakuuliza hata jina mhu unaitwa nani cxx
Nikamwambia naitwa Dixfxnxxxa mie akasema Hata kajina kazuri sauti nzuri hivi huyu bint atakuwaje si atakuwa zaidi hata wa yule malkia wa uingeleza🤣🤣🤣🤣🤣
Ila wanaume jamani 🙌🙌🙌🙌🙌 hapanaaa Nilichekaaa sanaaa nikamwambia walaa mie wakawaida tu akasema Wish nikuone siku moja nikamwambia inshaallah tutaonana bwana Mussa
Akacheka kwa Emoji akanambia D mamaa nitakuchek mida nipo kibaruani hivyo nisije fukuzwa kazi bureee
Nikasema sawa kazi njema akasema sawa mamaa et akaweka na emoj ya kuchumu😘
Makubwa 🙌🙌🙌 sijawahi mie kuchat na Boy yeyote zaidi ya mashost kwahiyo haka ka moments nilijiona kama kiasi flani nimebadilika yaan nimependa😜😜
Mana muda wote nilikuwa nazipitia pitia Ile text😂😂 mtu mwenyewe hata simjui lakini basi tuuu anafurahisha
Mchana akanitex hello
mmh nikajibu fast hbr
Akajibu poa babyy umekula??
🙄🙄🙄Babyyy tenaaaa??? )Nikamuuliza kwa mshtuko akanambia
Baby I mean mtoto jamani we si unakisauti kama mtoto jamani hata hivyo hujatimiza miaka 18 so we ni Babyyy😀😀😀
. Ila huyu kaka 😂😂😂 nikaona aibu nikajichekesha kwa emoj kama zotee
Akambia Umeshakula babyy
😀😀😀nikajibu bado
Akanambia kwanini nikamwambia ni mapema sana sa hii sa sita hii jamani akanambia kwani chakula cha mchana wanakula sa ngapi?? Nikasema sa nane au Tisa
Akasema🙄🙄weee hicho mbona cha usiku nikamwambia basi tumetofautiana mie cha usiku sa nne kabisa akasema hee wewe unalala sa ngap nikamwambia muda wowote tu akanambia nakutumia hela basi ule hata viazi hapo mie sijiskii vizuri nakula wakati baby yupo njaa
😀😀😀Nikamwambia mie sisikii njaa bwana chai nimekunywa muda huu akasema hee basi mie nakutumia unywe hata soda😀😀
Nikawaza huyu mbona ameng'ang'ania sana kunitumia helaa?? Ujue ndio wanatolewa kafara watu hivi hivii hakiamungu nikamwambia mie hapana usinitumie mama yangu atajua na anaweza hata nitoa kichwa akacheka kwelii kwa Emoji akanambia nakutumia ndogoooo hata hawezi kujua ya soda tu please
Jamaniiii 🙄🙄nikabaki nina mtafakari huyu vipii hata bado sijamjibu ikaingia sms ya M pesa imethibishwa umepokea Elfu tano kutoka kwa Mussa Mmh🙄🙄 nimepatikana mie aisee
Akanambia nunua soda basi baby,mie narudi kibaruani kwani baadae bwana et
Hata sikumjibu aisee mie mbona naanza kuogopa jamani yaan naogopa kabisaa
Yaan ile kuongea kwangu kila habari ninayo lakini habari yangu nilikosa mtu wa kumsimulia kabisaaa
Niliona ngoja tu nimwambia mama lisije kuwa jini mie nikafa bure bila mama kujua lakini roho ingine inanambia nitaanzia wapi mie kumwambia mama yanguu??
Nikatoka chumbani kwangu ilikuwa usiku mama yupo ndani kwake , nikaenda kumwambia mama nashida ua kuongea na wewe akanambia enhee kwemaa nikasema hata sio kwema mama kuna huyo mkaka sijui mba....."
"Amekubakaa??" Mama aliniwahiii hata sijamaliza
Yaan mama yangu bora mniue maiti mpelekeeeni lakini sio kunibandua aisee hilo ni kosa la jinai kabisaaa
"Mama bwana ndo mana mie sipendi kukuambia mambo yangu we hata husikilizi"
"Embu ongea sasa haraka haraka unajibana bana ninii??"
Nikamwambia mama kuna mtu mie nilikutana nae Fb tu akaniomba namba yangu nikampa si mjui wala hanijui ajabu ananitumia ma hela kila saa mie naogopa asije kuwa jambazii
Mama akasema ma helaa?? Yaan alikutumia kama milioni ngap?? Ni mzungu au ??
Milioni tena🙄🙄🙄 nikamwambia mama sio milioni embu angalia ile siku alinitumia elfu kumi......
INAENDELEA......
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni