Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

BINAMU WEE UNGEKUWAZA? 1 na 2
Gonga94 ยท Stories

BINAMU WEE UNGEKUWAZA? 1 na 2

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SIMULIZI :

๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ
๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚

SEHEMU 01

MWANZO........
Kitendo cha kutoka tu ndani kwangu nilistaajabu baada ya kumuona mchumba angu ambaye tayari alikuwa ashanichumbia amemshika binafu yangu kiuno huku akimuangalia kwa wasiwasi kidogo.

Binamu alikuwa wa mwanza kuniona hakuonyesha kustuka wala nini badala yake aliachia tabasamu alagu alimgeukia mchumba angu. Nilisikia akizungumza.

Naomba uniwaishe hospitali tumbo linaniuma sana, nilimwambia Nice lakini hakujali, napoelekea naweza kuzimia. Binamu alimwambia mchumba angu Sony huku akizidi kujilegeza na kujifanya mwenye maumivu.

"Huyu mtoto mbona ameanza kunifanyia drama, ananitafutia nini mimi?, nilijiuliza mwenyewe huku nikiwa nawaangalia na mpaka muda huo Sony hakuwa amenioan.

Sony alifika hapo nyumbani kwangu kwa lengo la kunitoa out ila safari iliingia doa. Nilimuona Sony anambeba binamu Manka kabda ya kumuingiza kwenye gari nilizungumza ndipo Sony alijua kuwa nipo eneo hilo.

"Kuna nini kinaendelea?".

" Nice huyu ni ndugu yako tena mdogo wako huyu kwanini hujali kuhusu yeye. Hivi unaweza kweli ukamtelekeza mwenzio ndani kwemye hali hii kisa tu unataka kutoka out na mimi?" Sony aliongea kwa paniki.

"Sina taarifa za yeye kuumwa. Eti Manka unaumwa nini?" Nilimuuliza Manka ila hakujibu alizidisha kuugulia. Sony alimpakia Manka mwenye gari alishika usukani hao wakaondoka.

Sikuwa na nguvu za kuludi tena ndani. Nilikaa hapo kibarazani nawaza na kuwazua kwanini Manka amebadilika namna hii....

Baada ya kukaa muda mrefu pale nje ya nyumba yangu niliingia ndani, nilibadili ngua nikavaa penzi na tisheti. Niliingia jikoni kwaajili ya kuandaa chakula kwaajili ya walioenda hospitali ila kabda sijaanza kupika simu yangu ilianza kuita.

"Mama anajisikia vibaya, amenikataza nisikwambie ila naogopa asije akazidiwa zaidi, kama hutojali naomba uje" Sauti ya mdogo wangu Joleen ilisikika simuni.

Sikuwa na chakujiandaa tena nilitoka chap kama nilivyo safari kwenda nyumbani kwetu.

Mama yangu alikuwa anasumbuliwa sana na presha haitaji mawazo kabisa. Alinishangaa baads ya kuniona hapo, alijua moja kwa moja Joleen amenipa taarifa.

"Naomba nikupeleke hospitali"

"Nipo sawa haikuwa na haja ya wewe kusumbuka namna hii. Joleen ni mtoto mpu bavu sana. Nikimwambia tu najisikia vibaya ataanza kusumbuwa watu, hapa navyokwambia kampigia mpaka baba yenu huko nje ya nchi".

" Anakupenda sana na ndo maana anajali kuhusu wewe. Jiandae basi nikupeleke hospitali "

"Nipo sawa kwa sasa wala usijali nadhani nilimiss uwepo wako karibu yangu ndo maana nilikuwa hovyo"

"Jamani mamaa!"

"Ondoa shaka mwanangu. Vipi mkwe hajambo?" Mama aliniuliza nilikaa kimya kwa sekunde kadhaaa........ITAENDELEA.........

SIMULIZI : BINAMU WEWE UNGEWEZA?

SEHEMU 02

ENDELEA......
"Hajambo kabisa"

"Na mipango mengine si inaenda vizuri?"

"Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni"

"Hata mimi naona Japo unanificha mama yako kwa jambo kubwa kama hili labda unasubili mpaka tumbo lionekane ndo uniambie kama ni mjamzito" Mama aliongea hayo mie huyo nisiangue kicheko.

"Mama bhana umeanza mambo yako. Tangu lini nikakuficha mambo yangu na wewe ndo msiri wangu"

"Sasa mbona hili umenificha ndo maana nasema labda unasubiri tumbo likuwe"

"Ndo kwamba unamaanisha mimi huyu ni mjamzito?, mama bhana"

"Una kichaa wewe?, hujui kama una mimba au unanizuga mbwa wewe. Mtu mzima dawa popote anapokuwa mimi nimekuzaa wewe na ndo wa kwanza kuona jua unanificha mimba jinga kabisa wewe"

Nilifikiria kwa dakika chache huku nikipiga mahesabu kwenye kichwa changu.

"Inaweza kuwa kweli mbona sijaingia kwenye siku zangu karibia miezi miwili" niliongea hayo kwa sauti.

"Yaani Nice na utuuzima huo hujui hata dalili za mimba?"

"Mama nina tabia ya kupitiliza siku zangu ni ngumu kujua mapema kama nina mimba". Nilijitetee ila ni uongo mtupu.

Hata sikuamini kama ni kweli ni mjamzito. Majira ya jioni niliondoka nyumbani nilitaka nihakikishe kama kweli nina mimba. Moja kwa moja nilienda hospitali.

Nafika tu hospitali kwa mbali niliwaona Manka na Sony wanaelekea parking huku Sony akiwa amemshika Manka kwa uangalifu sana. Wivu wa mapenzi ulinikaba haswaaa! Niliendelea kuwatazama mpaka walipoondoka eneo hilo na wao wala hawakuniona.

Nilienda kuonana na doctor alinifanyia vipimo ni kweli nilikuwa mjamzito tena wa miezi miwili.

Nilifurahi sana maana ni matamanio yetu mimi na Sony kupata mtoto hasa Sony alikuwa na hamu sana ya kuitwa baba.

Niliondoka hospitali kwa mbwembwe zote. Nilijua muda huo Sony atakuwa nyumbani kwangu tu. Maana hawezi kuondoka akamuacha mgonjwa peke yake.

Nilifika nyumbani ile naingia ndani nikamkuta Manka amekaa kwemye sofa alafu miguu kainyoosha mezani. Mkononi kwake ana kipande cha rimao.

"Unaendeleaje?" Nilimuuliza kiroho safi.

"Salama" Alinijibu kwa mkato tu.

Sikutaka kumjali sana tena nina furaha zangu mwenyewe nilamuuliza kuhusu Sony.

"Ni muhimu kuliko mimi binamu yako?, Ok yupo jikoni ananiandalia supu" Sikutaka mambo yawe mengi nilielekea jikoni moja kwa moja.

Ni kweli nilimkuta Sony anaandaa supu. Nilimkumbatia nyuma ya mgongo kwa mahaba kama yote ila niliishiwa pawa kwa maneno aliyonitamkia. Wacha nilie kwanza ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.......
Je nini kitaendelea Pata mwendelezo

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BINAMU WEE UNGEKUWAZA? 1 na 2

SIMULIZI :

๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ๐Ÿต๏ธ
๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚๐Ÿ‚

SEHEMU 01

MWANZO........
Kitendo cha kutoka tu ndani kwangu nilistaajabu baada ya kumuona mchumba angu ambaye tayari alikuwa ashanichumbia amemshika binafu yangu kiuno huku akimuangalia kwa wasiwasi kidogo.

Binamu alikuwa wa mwanza kuniona hakuonyesha kustuka wala nini badala yake aliachia tabasamu alagu alimgeukia mchumba angu. Nilisikia akizungumza.

Naomba uniwaishe hospitali tumbo linaniuma sana, nilimwambia Nice lakini hakujali, napoelekea naweza kuzimia. Binamu alimwambia mchumba angu Sony huku akizidi kujilegeza na kujifanya mwenye maumivu.

"Huyu mtoto mbona ameanza kunifanyia drama, ananitafutia nini mimi?, nilijiuliza mwenyewe huku nikiwa nawaangalia na mpaka muda huo Sony hakuwa amenioan.

Sony alifika hapo nyumbani kwangu kwa lengo la...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/binamu-wee-ungekuwaza-1-na-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi binamu-wee-ungekuwaza
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

793
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

570
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

480
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20

328
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

292
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

185
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

89
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.76K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.65K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.62K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.52K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.46K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA โ€œ Brayton..โ€ Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa โ€œ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?โ€ Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers โ€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest