Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 11  ENDELEA.......
Gonga94 · Stories

BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 11 ENDELEA.......

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

"Halooooo! Ebu nipishe mie nisije nikakutapikia hapa"😂😂😂👌🙌
Bubu leo kasema na badooo!👌😁😁😁.

Bhana weeee Manka hakuamini kama nimempa kichambo cha ukweli. Sura hana, shepu hana, nyota hana, Elimu hana, pesa hana alafu ndo ashindane na mie niliyemzidi kila kitu.

"Yaani unanitukana mimi. Ngoja sasa nikuonyeshe. Alinilukia basi na alivyo na limwili kama tembo basi nilikoma mwenzenu 🥹.

Watu walikuwa kutuamulia pale mie nilikuwa hoi, Tumbo lilikuwa linaniuma balaa kwasababu alinikalia Juu ya tumbo langu alafu sasa Manka ni bonge nyie.

Damu zilianza kunitoka huku chini kwa bibi, Sony alifika eneo hilo Manka alijidai anaugulia tumbo.

Sony alimkimbilis mama badala yangu mimi ninayechuruzikwa na damu.

"Baby mwanangu jamani. Nice ameniharibia mimba tumbo linauma sana sijui kama mtoto yupo salama. Niwaishe hospitali mtoto atafia tumboni" Manka aliongea hayo huku analia.

Sony aliniangalia mie pia damu xinanitoka na nipo kwenye hali mbaya sana. Anatakiwa achague mmoja.

"Sony naomba mnisaidie nitakufa" niliongea kwa maumivu makali sana.

Manka Nae alizidi kujilegeza, Sophia yeye alikuwa analia tu. Wafanya kazi wengine walikuwa kwenye simanzi yaani ilikuwa kama vile muv aiseeee!

Sony alichagua kuwa upande wa Manka. Walikokotana mpaka nje ya ofisi huko waliingia kwenye gari alimpeleka Manka Hospitali.

Sikuweza kuhimili maumivu niliyokuwa nayasikia Nilizimia sikujua nini kiliendelea. Nilikuja kushtuka nilijikuta nipo hospitali pembeni yangu alikuwepo mama yangu mzazi.

"Umeamka mwanangu?"

"Mamaaa!" Nilimuita na kuangua kilio.

"Basi binti yangu baaasi inatosha sasa. Nyamaza mama yako nipo hapa"

"Mama mwanangu yupo salama"

"Usijali kila kitu kitakuwa sawa kwasasa unatakiwa kuwa mtulivu sawa binti yangu. Ebu kunywa kwanza huu mtori"

Mama alianza kunilisha mtori. Mlango ulifunguliwa nilishangaa baada ya kumuona Iron.

"Iron!" Nilimuita.

"Yes My lady" huyu mwanaume hana hata aibu ananiita mie my Lady wake mbele ya mama yangu mzazi 😄😄😄. Niliona aibu mwenzenu.

"Unaendeleaje?"

"Naona nipo sawa japo sijui usalama wa mtoto wangu"

"Mama naomba nikusaidie kumlisha"

Mama alimkabidhi Iron bakuri la mtori yeye akatoka nje.

"Sijui umejuaje kama nipo hapa. Kwanini ulinitenga kipindi chote hicho. Nateseka mno Iron"

"Nisamehe, Nilipoona kimya nilijua huukuhitaji kutoka Dinner na mimi. Kesho yake nilisafiri nje ya nchi, Jana tu ndio nimelejea Tanzania na kitu cha kwanza kabisa nilitaka kuonana na wewe ila bahati nzuri au mbaya nilikukuta kwenye hali mbaya sana. Pole sana Nice kila pito lina sababu zake"

"Ni kweli. Asante sana kwa kujali. Tangu siku ya kwanza kukuona mpaka leo hii umekuwa ni sehemu kubwa ya kuyaokoa maisha yangu. Asante Iron sina cha kukulia MUNGU atakubariki zaidi.

"Cha kunilipa unacho mama 😁😁😁" Iron aliongea kwa utani basi tulifurahi kwa pamoja. Aliendelea kininywesha mtori huku akinipigisha Story za hapa na pale.

"Basi tukiwa tunaendelea na yetu Sony aliingia wodini. Alishtuka baada ya kumuona Iron.

"Onhooooo! Bwana mkubwa kumbe upo hapa" Sony alianza kujichekesha.

"Yes nimekuja kumuona mrembo wangu. Karibu sana"

"Asante. Unaendeleaj Nice?" Sony aliniuliza. Sikumjibu niligeuka pembeni, kiukweli tukio la mwisho lilinifanya nimchukia sana Sony. Ni mwanaume niliyempenda sanaaaa ila ndiye mwanaume niliyewai kumchukia kupita kiasi.

Sony alivyoona simjibu alitoka nje huko alikutana na mama.

"Sitegemei kama utakuja kujitokea tena kwenye maisha ya mwanangu. Mahari yako tutailudisha muda wowote kuanzia sasa.

"Sijui kwanini mlinificha ujauzito wa Nice"

"Ni kweli alikuwa mjamzito na siku aliyopanga kukwambia kuwa ana mimba haukumpa nafasi hiyo zaidi ya kumpiga na kumuumiza, na kila alipotaka kukupa taarifa hizo wewe na Manka mliishia kumuumiza. Alichagua kukaa kimya ili muda uongee ila mipango ya MUNGU haina makosa. Manka ameharibu mimba ya mwenzie. Nimesikitika sana na nimeumia mno ila sina la kuwafanya wewe na Manka acha nimuachie MUNGU. Mama aliongea hayo kwa uchungu mpaka alilia😭.........ITAENDELEA..........
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 11 ENDELEA.......


"Halooooo! Ebu nipishe mie nisije nikakutapikia hapa"😂😂😂👌🙌
Bubu leo kasema na badooo!👌😁😁😁.

Bhana weeee Manka hakuamini kama nimempa kichambo cha ukweli. Sura hana, shepu hana, nyota hana, Elimu hana, pesa hana alafu ndo ashindane na mie niliyemzidi kila kitu.

"Yaani unanitukana mimi. Ngoja sasa nikuonyeshe. Alinilukia basi na alivyo na limwili kama tembo basi nilikoma mwenzenu 🥹.

Watu walikuwa kutuamulia pale mie nilikuwa hoi, Tumbo lilikuwa linaniuma balaa kwasababu alinikalia Juu ya tumbo langu alafu sasa Manka ni bonge nyie.

Damu zilianza kunitoka huku chini kwa bibi, Sony alifika eneo hilo Manka alijidai anaugulia tumbo.

Sony alimkimbilis mama badala yangu mimi ninayechuruzikwa na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/binamu-wewe-ungeweza-sehemu-11-endelea

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi binamu-wewe-ungeweza-sehemu
 BINAMU WEWE UNGEWEZA?  SEHEMU 15
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 15
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 13
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 13
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 09
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 09
BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHEMU 12  ENDELEA........
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 12 ENDELEA........
BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHEMU 05
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 05
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 08
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 08
BINAMU WEWE UNGEWEZA?  SEHEMU 02  ENDELEA...... "Hajambo kabisa"   "Na mipango mengine si inaenda vizuri?"  "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni"  "Hata mimi naona...
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni" "Hata mimi naona...
BINAMU WEWE UNGEWEZA?  SEHEMU 03
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 03
BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHEMU 04
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

592
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

492
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

475
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

322
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

224
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

74

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest