Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
12 Jan 2026
66 views
VYOTE NDANI GONGA94
BINAMU WEEE UNGEWEZA? SEHEMU 10
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ENDELEA........
"Kama ungekuwa na Wivu na mimi usingenisaliti kwa kutembea na ndugu yangu. Ludi ofisini kwako. Hapa wafanya kazi wote wanakushangaa weww na kumbuka wewe ni nani. Hutakiwi kufanya mambo ya mihemko namna hii unashusha heshima yako"
"Nilishakwambia usinipangie cha kufanya. Mimi ni boss wako na pia ni mchumba ako"
"Mchumba?, mchumba hiyo vipi tena na wakati jana tu mbele ya wazazi ulinikana"
Sony hakutaka kuongea zaidi badala yake alinisogelea kwa ukaribu alitaka kunibusu mdomoni ila kabda ya kufanya hivyo Manka alifika eneo hilo.
Sony baada ya kumuona Manka alishtuka alidogea mbali kabisa na mimi.
"Mtoto amekumiss anataka kiss kutoka kwako"
"Tangulia ofisini"
"Ungeanza kutangulia wewe kwanza. Nice kaa mbali na baba mtoto wangu. Wewe na yeye mlishamalizana Jana"
Wala sikumjibu zaidi ya kutabasamu.
"Sony kama hutojali naomba umuondoe Manka nyumbani kwangu. Mimi na yeye hatuwezi kupika tena chungu kimoja. Najua una uwezo wa kumpangia hata leo'
"Hata hivyo nipo sawa. Sony amechagua kubaki na Manka mbele za wazazi. Mpaka sasa hajui kama mimi ni mjamzito na sina mpango wa kumwambia. Nipo tayari kuwa single mama. Wazo la kutoa mimba halipo tena.
" Sophia nikuombe kitu kimoja "
"Yeah bila shaka kipenzi"
"Naomba usije ukamwambia Sony kuhusu mimi kuwa na ujauzito wake"
"Hilo tu wala usijali"
"Leo hii nilipata ofa ya kutolewa Dinner mbwa huyu amechana namba"
"Alafu ni kijama handsome sana na ana huruma mno. Usijali ataludi tena"
"Sipo hapa kwaajili ya kulusubilia wewe. Namsubili Sony anifuaye. Naondoka nyumbani kwako nikiwa ma ushindi. Mimi sio omba omba tena wala sio mtu wa hadhi yako. Nitaushangaza ulimwengu. Binti niliyekuwa mchafu mchafu kutoka kijijini naenda kuwa mke wa CEO"
"Hongera nakutakia kila la heri. Nipo chumbani kwangu" niliongea hayo alafu nikaelekea chumbani. Sikutaka kutoka chumbani mpaka nilipohakikisha Manka ameondoka. Ni kweli Sony alimfuata 🥹.
Maisha yaliendelea ulipita mwezi mzima sikuwai kumuona Iron. Ka mimba kangu kalianza kujitokeza. Nilianza kuvaa nguo kubwa kubwa ili Sony asinigundue japo minong'ono ya chini chini ya wafanya kazi wenzangu ilikuwa mingi sana.
Sony pia aliendelea kunisumbua na bado alinihesabia mimi ni mchumba ake. Basi siku hiyo Manka alifika ofisini kwangu kama kawaida yake anapenda kunichokoa.
"Nasikia eti wewe huyu ni mjamzito?" Nilishtuka baada ya Manka kusema hayo. Nilijiuliza kajuaje?
"Umeanza kufanya Drama ili kumludisha Sony mikononi mwako, Sony hawezi kuludia matapishi"
"Usivhokijua ni kwamba, muda wowote nikimtaka Dony nampata. Mimi ndiye mwanamke niliyeuteka moyo wake ni vile tu nimeamua kukuachia wewe. Hivi unafikiria Sony anaweza kukupenda wewe?, kwa Kipi kwanza Mimba?, Kama mimba hata mimi ninayo ndiyo aliyelwambia wala hajakudanganya. Vipi nyota, sura shape, elimu, pesa unavyo?, Au una nyota ya kuchukua mabwana za watu tu 😄😄😄😄.
" haloooo! Ebu nipishe hapa nisije nikakutapikia mie".
Bubu leo kaongea 😂😂😂👌👌👌🙌........ITAENDELEA........
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying...
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just...
Mother India (1957) is not just a film, it’s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar
. It was actually a remake of Khan’s earlier film Aurat (1940), but Mother India became much bigger in scale and impact....
Shahnaz Lalarukh Khan, born in 1960, is Shah Rukh Khan’s elder sister and one of the most important people in his life. She’s about six years older than him and lives with SRK and his family at their beautiful Mumbai home, Mannat
. After their father passed away in 1981 and later their mother in 1991, Shahnaz was deeply affected. Their father’s sud...
ENDELEA........
"Kama ungekuwa na Wivu na mimi usingenisaliti kwa kutembea na ndugu yangu. Ludi ofisini kwako. Hapa wafanya kazi wote wanakushangaa weww na kumbuka wewe ni nani. Hutakiwi kufanya mambo ya mihemko namna hii unashusha heshima yako"
"Nilishakwambia usinipangie cha kufanya. Mimi ni boss wako na pia ni mchumba ako"
"Mchumba?, mchumba hiyo vipi tena na wakati jana tu mbele ya wazazi ulinikana"
Sony hakutaka kuongea zaidi badala yake alinisogelea kwa ukaribu alitaka kunibusu mdomoni ila kabda ya kufanya hivyo Manka alifika eneo hilo.
Sony baada ya kumuona Manka alishtuka alidogea mbali kabisa na mimi.
"Mtoto amekumiss anataka kiss kutoka kwako"
"Tangulia ofisini"
"Ungeanza kutangulia wewe kwanza. Nice...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/binamu-weee-ungeweza-sehemu-10
Maoni