Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 BINAMU WEWE UNGEWEZA?  SEHEMU 15
Gonga94 · Stories

BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


ENDELEA..........
"Kama mimba ni yako kubali kulea mtoto. Si busara kumsusia mtoto asiye na hatia" Baba Sony aliomgea.

"Waondoke mengine yatajulikana hapo badae kwa sasa sihitaji kuwaona kabisa. Wanawake wabaya sana nyie. Kwa tamaa za mali ulikuwa tayari kunifanya msukule wenu.

"Sasa Sony usiku huu tunaenda wapi jamani".

" basi endeleeni kukaa hapo si hamna pakwenda nisubirini. Sony aliingia chumbani kwake muda mchache alitoka akiwa na bastora mkononi.

Weee walivyoona bastora mbona walitafutana 😄😄😄.

Basi na ujinga wao kipindi chote walichokaa kwa Sony na malimbwata yote waliyomfanyia hakuna cha maana walichofanya wala kupata. Hela hawana nyumba hawana. Na pakwenda hawana.

Basi walivyo hawana haya walienda nyumbani kwetu. Mama aliwafukuza kama ubwa. Hata kama ni wewe ungewapokea watu wa namna hii?"

BAADA YA MIEZI SITA.
Mimi na Iron tuliludi Tanzania. Uzuri tulimkuta na baba amekuja likizo. Itoni alinichumbia na kunivisha pete ya uchumba.

Sony alipata taarifa za mimi kuludi alifunga safari mpaka nyumbani kwetu ila hakunikuta. Mie huyo nilikuwa kwa mume wangu mtarajiwa tunalea mimba changa🥰😁.

Kwakuwa anapajua kwa Iron alinifuata huko huko.

"Karibu" Iron alimkaribisha kiroho safi.

"Sony hakuvunga kuniomba msamaha" Nilimsamehe ila ndo hakuwa na nafasi tena kwangu.

Siku moja nipo zangu kwa Iron nilipokea ugeni. Alikuwa Manka sijui alipajuaje kwa Iron.

Alikuwa amechoka sana, amekondo amefubaa, yaani kanypdoroka kama mwana sesere. Hata nguvu ya kumtimua nilikosa maana maisha yalivyompiga ni hudhuni aiseeee.

"Alianza kuniomba msamaha na kuomba nimstili kwa muda hana pa kwenda".

" vipi kuhusu mimba yako iliyokupq kiburu?"

"Niliitoa baada ya Sony kunifukuza"

"Ni sawa wewe ni ndugu yangu lakini pia wewe ni adui wa maisha yangu nafaa kukaa na wewe mbali mita elfu moja. Hivi manka mimi ningekuwa wewe WEWE UNGEWEZA tena kunisaidia mimi?"

"Nisamehe ndugu yangu nimejutia makosa yote niliyokufanyia"

"Kukusamehe nilishakusamehe kwa sasa nina maisha yangu mengine kabisa. Ila nimejifunza tu kwa yote uliyonitendea na sitaludia makosa tena. Msada wangu ni mmoja tu.

" ninakupa nauli uludi kijijini"

Nilimpa nauli Manka aende kijijini sikutaka kukaa nae karibu tena.

Baada ya mwezi mmoja tulifungs ndoa na Iron na baada ya kumaliza fungate rasmi Iron alinikabidhi kampuni mimi niisimamie na sio Sony. Mimi sasa ndo nilikuwa boss na Sony akikuwa mfanyakazi wa kawaida tu. Secretary wangu Sophia.

Kwa aibu Sony aliamua kuacha kaza na kujikita na biashara tu. Ndoa yangu ina amani na natarajia kujifungua watoto mapacha...........HUU NDO MWISHO WA SIMULIZI HII.

MOYO WANGU UMEJAWA NA SHUKURANI KWA AJILI YENU WATEJA WANGU AMBAO MMEKUWA FAMILIA YANGU KATIKA FASIHI HII. ASANTE SANAAAA! KWA SAPOTI YENU MWAKA MZIMA MPAKA LEO HII TUNAUMALIZA MWAKA WOTE TUKIWA NA UZIMA. HII NI ZAWADI YANGU KWAKO JAPO NI KIDOGO TU LAKINI NAAMINI MMEKIFURAHIA NA KITAACHA ARAMA NZURI YA UPENDO NDANI YA MIOYO YENU🫶.

NAAMINI MWAKA 2026 ITAENDELEA KUWA PAMOJA NAMI KWA KUNISAPOTI KAZI ZANGU KWA NAMNA NZURI. BILA NYIE MIMI SIO KITU KATIKA FASIHI HII ANDISHI. NAWAPENDA, NAWATHAMINI NA NAJALI SANA UWEPO WENU❤️❤️❤️.

MUNGU AZIDI KUWABARIKI ZAIDI, 2026 UKAWE MWAKA WENYE BARAKA ZAIDI KWAKO NA FAMILIA YAKO KWA UJUMLA. MKAZIDISHIWE KILA ENEO NA MUNGU NA KUINULIWA KWA VIWANGO VYA JUU NA ALIYETUUMBA.

HAPPY NEW YEAR 2026🫶🙏.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 15



ENDELEA..........
"Kama mimba ni yako kubali kulea mtoto. Si busara kumsusia mtoto asiye na hatia" Baba Sony aliomgea.

"Waondoke mengine yatajulikana hapo badae kwa sasa sihitaji kuwaona kabisa. Wanawake wabaya sana nyie. Kwa tamaa za mali ulikuwa tayari kunifanya msukule wenu.

"Sasa Sony usiku huu tunaenda wapi jamani".

" basi endeleeni kukaa hapo si hamna pakwenda nisubirini. Sony aliingia chumbani kwake muda mchache alitoka akiwa na bastora mkononi.

Weee walivyoona bastora mbona walitafutana 😄😄😄.

Basi na ujinga wao kipindi chote walichokaa kwa Sony na malimbwata yote waliyomfanyia hakuna cha maana walichofanya wala kupata. Hela hawana nyumba hawana. Na pakwenda hawana.

Basi walivyo hawana haya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/binamu-wewe-ungeweza-sehemu-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi binamu-wewe-ungeweza-sehemu
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 13
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 13
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 11  ENDELEA.......
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 11 ENDELEA.......
BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHEMU 12  ENDELEA........
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 12 ENDELEA........
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 09
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 09
BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHEMU 05
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 05
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 08
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 08
BINAMU WEWE UNGEWEZA?  SEHEMU 02  ENDELEA...... "Hajambo kabisa"   "Na mipango mengine si inaenda vizuri?"  "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni"  "Hata mimi naona...
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni" "Hata mimi naona...
BINAMU WEWE UNGEWEZA?  SEHEMU 03
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 03
BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHEMU 04
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

1.12K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

1.08K
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

592
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

245
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

244
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

235
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

232
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

143
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5

110
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

102

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS 🥰 yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. 🔴 Maamuzi yaliyotangazwa: 💵 Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest