Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

 BINAMU WEWE UNGEWEZA?  SEHEMU 15
Gonga94 ยท Stories

BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


ENDELEA..........
"Kama mimba ni yako kubali kulea mtoto. Si busara kumsusia mtoto asiye na hatia" Baba Sony aliomgea.

"Waondoke mengine yatajulikana hapo badae kwa sasa sihitaji kuwaona kabisa. Wanawake wabaya sana nyie. Kwa tamaa za mali ulikuwa tayari kunifanya msukule wenu.

"Sasa Sony usiku huu tunaenda wapi jamani".

" basi endeleeni kukaa hapo si hamna pakwenda nisubirini. Sony aliingia chumbani kwake muda mchache alitoka akiwa na bastora mkononi.

Weee walivyoona bastora mbona walitafutana ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„.

Basi na ujinga wao kipindi chote walichokaa kwa Sony na malimbwata yote waliyomfanyia hakuna cha maana walichofanya wala kupata. Hela hawana nyumba hawana. Na pakwenda hawana.

Basi walivyo hawana haya walienda nyumbani kwetu. Mama aliwafukuza kama ubwa. Hata kama ni wewe ungewapokea watu wa namna hii?"

BAADA YA MIEZI SITA.
Mimi na Iron tuliludi Tanzania. Uzuri tulimkuta na baba amekuja likizo. Itoni alinichumbia na kunivisha pete ya uchumba.

Sony alipata taarifa za mimi kuludi alifunga safari mpaka nyumbani kwetu ila hakunikuta. Mie huyo nilikuwa kwa mume wangu mtarajiwa tunalea mimba changa๐Ÿฅฐ๐Ÿ˜.

Kwakuwa anapajua kwa Iron alinifuata huko huko.

"Karibu" Iron alimkaribisha kiroho safi.

"Sony hakuvunga kuniomba msamaha" Nilimsamehe ila ndo hakuwa na nafasi tena kwangu.

Siku moja nipo zangu kwa Iron nilipokea ugeni. Alikuwa Manka sijui alipajuaje kwa Iron.

Alikuwa amechoka sana, amekondo amefubaa, yaani kanypdoroka kama mwana sesere. Hata nguvu ya kumtimua nilikosa maana maisha yalivyompiga ni hudhuni aiseeee.

"Alianza kuniomba msamaha na kuomba nimstili kwa muda hana pa kwenda".

" vipi kuhusu mimba yako iliyokupq kiburu?"

"Niliitoa baada ya Sony kunifukuza"

"Ni sawa wewe ni ndugu yangu lakini pia wewe ni adui wa maisha yangu nafaa kukaa na wewe mbali mita elfu moja. Hivi manka mimi ningekuwa wewe WEWE UNGEWEZA tena kunisaidia mimi?"

"Nisamehe ndugu yangu nimejutia makosa yote niliyokufanyia"

"Kukusamehe nilishakusamehe kwa sasa nina maisha yangu mengine kabisa. Ila nimejifunza tu kwa yote uliyonitendea na sitaludia makosa tena. Msada wangu ni mmoja tu.

" ninakupa nauli uludi kijijini"

Nilimpa nauli Manka aende kijijini sikutaka kukaa nae karibu tena.

Baada ya mwezi mmoja tulifungs ndoa na Iron na baada ya kumaliza fungate rasmi Iron alinikabidhi kampuni mimi niisimamie na sio Sony. Mimi sasa ndo nilikuwa boss na Sony akikuwa mfanyakazi wa kawaida tu. Secretary wangu Sophia.

Kwa aibu Sony aliamua kuacha kaza na kujikita na biashara tu. Ndoa yangu ina amani na natarajia kujifungua watoto mapacha...........HUU NDO MWISHO WA SIMULIZI HII.

MOYO WANGU UMEJAWA NA SHUKURANI KWA AJILI YENU WATEJA WANGU AMBAO MMEKUWA FAMILIA YANGU KATIKA FASIHI HII. ASANTE SANAAAA! KWA SAPOTI YENU MWAKA MZIMA MPAKA LEO HII TUNAUMALIZA MWAKA WOTE TUKIWA NA UZIMA. HII NI ZAWADI YANGU KWAKO JAPO NI KIDOGO TU LAKINI NAAMINI MMEKIFURAHIA NA KITAACHA ARAMA NZURI YA UPENDO NDANI YA MIOYO YENU๐Ÿซถ.

NAAMINI MWAKA 2026 ITAENDELEA KUWA PAMOJA NAMI KWA KUNISAPOTI KAZI ZANGU KWA NAMNA NZURI. BILA NYIE MIMI SIO KITU KATIKA FASIHI HII ANDISHI. NAWAPENDA, NAWATHAMINI NA NAJALI SANA UWEPO WENUโค๏ธโค๏ธโค๏ธ.

MUNGU AZIDI KUWABARIKI ZAIDI, 2026 UKAWE MWAKA WENYE BARAKA ZAIDI KWAKO NA FAMILIA YAKO KWA UJUMLA. MKAZIDISHIWE KILA ENEO NA MUNGU NA KUINULIWA KWA VIWANGO VYA JUU NA ALIYETUUMBA.

HAPPY NEW YEAR 2026๐Ÿซถ๐Ÿ™.
Tangazo - Hostinger 2026 on fire
Hostinger 2026 on fire
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 15



ENDELEA..........
"Kama mimba ni yako kubali kulea mtoto. Si busara kumsusia mtoto asiye na hatia" Baba Sony aliomgea.

"Waondoke mengine yatajulikana hapo badae kwa sasa sihitaji kuwaona kabisa. Wanawake wabaya sana nyie. Kwa tamaa za mali ulikuwa tayari kunifanya msukule wenu.

"Sasa Sony usiku huu tunaenda wapi jamani".

" basi endeleeni kukaa hapo si hamna pakwenda nisubirini. Sony aliingia chumbani kwake muda mchache alitoka akiwa na bastora mkononi.

Weee walivyoona bastora mbona walitafutana ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„.

Basi na ujinga wao kipindi chote walichokaa kwa Sony na malimbwata yote waliyomfanyia hakuna cha maana walichofanya wala kupata. Hela hawana nyumba hawana. Na pakwenda hawana.

Basi walivyo hawana haya...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/binamu-wewe-ungeweza-sehemu-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi binamu-wewe-ungeweza-sehemu
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 13
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 13
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 11  ENDELEA.......
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 11 ENDELEA.......
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 09
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 09
BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHEMU 12  ENDELEA........
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 12 ENDELEA........
BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHEMU 05
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 05
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 08
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 08
BINAMU WEWE UNGEWEZA?  SEHEMU 02  ENDELEA...... "Hajambo kabisa"   "Na mipango mengine si inaenda vizuri?"  "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni"  "Hata mimi naona...
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni" "Hata mimi naona...
BINAMU WEWE UNGEWEZA?  SEHEMU 03
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 03
BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHEMU 04
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

9.96K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.19K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.45K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.51K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.28K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.05K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.01K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.96K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.93K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest