Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 28 na 29
Gonga94 ยท Stories

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 28 na 29

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nikasema sikia utakaaa apa, na usiwaze kabisa kuhusu kodi, mimi nipo na sina plan za kukuacha wewe kabisaa, nakupendaa sana, nakupenda kuliko chochote zena, siwez acha kukulipia kodi ata siku moja, na apa utakaa kwa mda mfupi sana, nakuoa soon utaamia kwangu sawa zena, akanmbia sawa asante millan ni pazuri nimepapenda sana, nikasema okey ,karibu mama, basi tukaikagua sana nyumba nikiwa nae na zen alionesha kapafurhia sana pale na kapapenda , na baada ya apo nikawapeleka mpaka home kwake, kisha nikamkabizi funguo ya makazi mapya na nikamkabizi na pesa kidogo, nikamwambia kesho tu aamie makazi mapya, basi zena akanishukuru sana, mtoto wa watu, nikamwambia usijali ni ya kawaida ayoo, wewe ni mwanamke wangu, so kuwa na amani kabisa mpenzi , akanmbia sawa, apo mm ndo nikaaga kisha nikaludi kwangu

Na kesho yke niliamkia job na niliwasiliana tu na zena ,na akanmbia ameshamia makazi mapyaa, nikampa hongea na nikamwambia nikitoka kazini basi nitaenda kupaona, na kweli mm nilivyotoka kazini , nilienda kwake alipoamia sasa, mashallah, kuliko kuzuri na kumependeza sana mana alipanga vitu vyake vuzuri mnoo , basi bwanaa zikapita week 2 , nimezama kweli kweli na zenaa, yani penzi limenogaa kinoma, hizo week mbili mi nyumbani nimelala siku 3, hizo siku zengine zote nalala kwa zena, nakula kwa zena , na kuna nguo zangu nyingi tu ,nilikuwa naacha kwa zena kabisaaa, nakula utamu tenaaa, mtoto mpya mpya utanambia nini , aseee zena alikuwa na furaha sana , kwa kipindi chote, alikuwa na rahaaa mnoo, alikuwa anaonesha kunipenda na kunijali kweli kweli, aseeeee kama kuzama dada alizama, na mm kwa uo mda naenda kwa zena, mademu zangu wengine wote nikapiga chini ,ila.sasa baada ya week 2, nikawa nishamzoea namuona kawaidaaaa, na nikapunguza kwenda kwake, sikuwa naelewa nilikuaga na mdudu ama nini, ila nikishatembea na mwanamke , anapunguza kunivutia natafuta wanawake wengine

Basi ndo ikawa hivyo kwa zena , nikiwa nikitoka job sipiti kwake tena kama zamani, nanyoosha kwangu, apo visingizio kibao, mala nimebanwa sana , mala naingia shift usiku, mala.nimechoka sana kazi zilinizidia , hivyo yani, nikawa nafosi machaka mapya sasa, zena kashaliwa nafanya nini, apo zena sijawahi kumpeleka nyumbani kwangu ata siku moja na hapajui kwangu, siku iyo sasa kanipigia simu mida ya mchana, apo nna week 2 sijakanyaga kwake ,sababu kibao, mi nikapokea simu, nikasema nambie mchumba akanmbia powa , uko wapi nikasema nipo kazini zena vp, akanmbia unakuja saa ngapi uku , sijakuona mda nimekumiss, nikasema oohh zena ,leo nipo busy sana na kazi, apo bwana nilikuwa kuna demu wangu wa zamani, usiku wa hii siku nilikuwa nimepanga tukapashane nae kiporo, zena akanmbia ahaaaa sawa so hautakuja nyumbani, nikasema yaaa ,akanmbia lakini haujaja week 2 sasa kila siku ni busy tu jamani, ummy anakuulizia ,nikasema ntakuja zena mambo ni mengi ata mm nimemmis sana ummy na natamani sana kuja kumuona ila majukumu yamenizidia nielewe mama ,akanmbia basi sawa ,kisha akakata simu, yani ahaaaa , nishamtomba sana asa naenda kwake kufanya nini sasa

Basi bwana mimi sikuenda kwa uyu demu kama mwezi, namkwepa kwepa sanaaa, siku iyo zena akanitumia sms, akanmbia millan naomba leo ukutoka kazini naomba ufike,japo nishkujua kuwa ww ni mwanaume wa dizaini gani, doooh asa kama kashanijua mm ni mwanaume wa dizaini gani kwake mi naenda kufanya nn, mi nikaingalia ile sms sana ,ila nikaona ngoja tu niende nikamuoneee, basi kweli mi nilivyotoka job hii siku ndo nikapita kwa zena, basi katoto kake kakanichangamkia sanaa, yani sanaa tu, naona kalinimiss na vile sijaenda mda, ila zena wala hakuwa kanichanganmkia kabisaaaa, nikajua ayaa bwana, basi nikamsalimia zena , akaniitikia ila kiunyonge kweli kweli, nikamwambia ummy nenda chumbani niongee na mama kwanza, ummy akanyanyuka akaingia chumbani, nikamwambia zena vp mbona unanuna sasa , mi sifanyi makusidi kutokuja kwako ,ni vile nina kazi nyingi sana kazini , nakuwa nabanwa sana niamini na unielewe mama, zena akaningalia sana akanmbia una uwakika ? Nikasema yes, zena akanmbia kwaiyo upo busy mwezi mzima unashindwa kupata ata mda mdogo wa kuja kuniona si ndio

Nikasema yaaa , niko busy sana na kazi nielewe mama ,akanmbia sawa ,japo sikuamini kabisaa umechange sana millan, umekuwa mwanaume ambae sikuelewi, nisipokupigia mim simu ,we hunipigii kabisa, millan umekuwaje, unanaifanya naanza kukufikilia vibaya, na kuna mda najutia kwa kuingia katika mahusiano na wewe, why lakini baba, nikasema no unakosea , ebu nielewe tu zena ,kazi yangu kuna mda huwa inanikula sana mdaa, zena akaningalia sana akanmbia sawa , akanmbia ningoje akaingia chumbani na baada ya mda akatoka na karatasi akanitupia ,mi nikaichukua ile karatasi nikasoma, ooh yalikuwa ni majibu ya hospital ambayo yalikuwa yanaonesha zena ni mjamzito wa mwezi mmoja na siku 10, nikaona kazi ipo mtoto wa 6 anakuja, na baba bado sisomeki kabisaa, uzuri wa mm sas, mi namsikiliza mama mwenyewe anasemaje, akitaka kuzaaa fresh, akinambia anatoa poa frssh na ela ya kutolea nakupa, apa nipo mi tajeer wa watoto bwana,

Nikasema nimaona we ni majamzito sio, akasema ndio si umeona apo, nikasema yaa nimeona hongera, so wewe kama mama umeamuajee, zena akanmbia naamua nini, unazani kuna la kuamua zaidi ya kuzaa ,nikasema sawa zaa hakuna shida mi ntaudumia mimba mpaka mtoto, zena akanmbia millan ,ebu naomba basi nikupeleka nyumbani kwa ndugu zangu, ukajitambulishe na ikiwezekana unioe, nazaaje nje ya ndoa millan, nikasema ahaaaa mama tulia bwana ,aya mambo hayataki harkaa yanataka kujipnga, we lea mimba, mi najipanga, ikifikia miezi 6 basi mi nataned akwenu , zena akanmbia sawa ,ukitoka apa unaenda wapi leo, nikasema naenda kwangu, zena akanmbia sawa naomba leo twende kwako, nataka kupajua kwako, mana sasa tumeshakuwa katika hatua kubwa millan, nawezaje kubeba mimba ya mwanaume ambaye bado simjuhi vizur ata kwake tu sipajuhi , nikaona kazi ipo, nikamwambia now usiku ummy unamuacha na nani, we tulia mi ntakufata siku nyengine ata kesho , zena akanmbia hapan, leo naenda kwako, utanifata siku nyengine ni lini na unvyonambia upo busy sanaa

Alafu millan, hii si ni mimba ya kwanza unampa mwanamke ,it means unaenda kupata mtoto wako wa kwanza mbona upo kawaida sana nilitegemea utafurahi sana, mh angejua anayekuja wa sita , sijuh wa saba mana daaah๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿฅฒ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ, nikasema mm nimefurahia mbona , kuwa na amani kabisaa , au unataka mpka niluke luke zena, mi nimefurahi ila leo tulia plssss, zena aknambia hapana apa leo mguu wako , mguu wangu mpaka kwako nipajue tuu, ahaa mi sikuwa nataka apajue kwangu basi tu, nikaona kwakua ana mimba yangu, apa teali kuna kitu cha pamoja tunakitengeneza na nikakubali kumpeleka kwangu, basi nikamwambia sawa muandae mtoto tunaenda, kweli zena hii siku alinikomalia, akamuandaa mwanae harka harka, nikawapakiza kwenye gari yangu na safari ya gomz kwangu ikaanza, basi njiani , nikawa najalibu kumuongelesha zena ila zena wala hakuwa ananichangamkia sana naona alishaona hakuna mwanaume umu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

Basi bwana tukafika mpaka kwangu, mi naishi pazuri, ila shida daah nabadilisha sana wanawake sana apa, basi bwna nikaingia na zena mpkaa ndani, basi ummy akawa ananmbia baba apa ndo kwetu kupya ni kuzuri, mh mimi nikawa nacheka tu zena wala hakusema kitu nikamkalibisha kwangu, na nikamwambia aya maam apa ndo kwangu, na karibu sna, akanmbia ningejisikia raha na furaha , kma wewe mwenyewe kwa ridhaa yako ndo ungetaka mimi nije apa ,.ile umenileta baada y mimi kukufosi, nashukuru nimepaona na nimepajua naomba tu niludishe kwangu, khaa ata kukaa ahajakaa et, nikamwambia acha masihara ,asa mi nakurudishaje usiku huu tena, we lala mi asubuh na kupeleka kwako, akanmbia hapana nataka kurudi kwangu, nilitaka kupajua unaishi wapi tu, na nimeharizika, nikaona uyu ananitania uyu, nikamsogelea nikamsika kiuno, nikamwambia shida nn mama mbona kama una hasira, nikaona zena machozi yanamtoka , nikajua kumekucha apaaaK

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 28 na 29


Nikasema sikia utakaaa apa, na usiwaze kabisa kuhusu kodi, mimi nipo na sina plan za kukuacha wewe kabisaa, nakupendaa sana, nakupenda kuliko chochote zena, siwez acha kukulipia kodi ata siku moja, na apa utakaa kwa mda mfupi sana, nakuoa soon utaamia kwangu sawa zena, akanmbia sawa asante millan ni pazuri nimepapenda sana, nikasema okey ,karibu mama, basi tukaikagua sana nyumba nikiwa nae na zen alionesha kapafurhia sana pale na kapapenda , na baada ya apo nikawapeleka mpaka home kwake, kisha nikamkabizi funguo ya makazi mapya na nikamkabizi na pesa kidogo, nikamwambia kesho tu aamie makazi mapya, basi...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-sehemu-ya-28-na-29

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan-sehemu-ya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 13
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 13
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 23

736
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25

723
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 28 na 29

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 28 na 29

391
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*

351
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

218
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

184
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

162
AMIRAH WANGU โ€ƒ Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU โ€ƒ Sehemu ya 01

155
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

143
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

129

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.55K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.3K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.77K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.75K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.64K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.63K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.57K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.5K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.48K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 28 na 29 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Nikasema sikia utakaaa apa, na usiwaze kabisa kuhusu kodi, mimi nipo na sina plan za kukuacha wewe kabisaa, nakupendaa sana, nakupenda kuliko chochote zena, siwez acha kukulipia kodi ata siku...

A rare and heartwarming moment with three generations of the Bachchan family in one frame โ€” Harivansh Rai Bachchan, Amitabh Bachchan, and little Abhishek Bachchan. Itโ€™s the kind of picture that instantly feels special because it captures family, legacy, a Post Mpya
A rare and heartwarming moment with three generations of the Bachchan family in one frame โ€” Harivansh Rai Bachchan, Amitabh Bachchan, and little Abhishek Bachchan. Itโ€™s the kind of picture that instantly feels special because it captures family, legacy, a
@majario LIVE

. Harivansh Rai Bachchan, one of Indiaโ€™s most respected Hindi poets, looks calm and dignified, while his son Amitabh stands beside him โ€” a man who would go on to become...

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*
@majario LIVE

zena alinikumbatia uku analia sikuelewa ni ule uchungu wa kutoa bikra yake au mahaba yamemzidia acheni kabisaaa ila nilimvuta kwa karibu nikamtuliza na nikambembeleza kweli kweli mpaka mchumba akatulia nilimwambia...

ALIMTOA MAMA YAKE KAFARA ILI AWE TAJIRI.  Elvin alikuwa kijana wa miaka 28 Post Mpya
ALIMTOA MAMA YAKE KAFARA ILI AWE TAJIRI. Elvin alikuwa kijana wa miaka 28
@majario LIVE

aliyeishi na mama yake mjane kwenye nyumba ya kupanga uswahilini. Mama yake, Mama Kelvin, alikuwa akijishughulisha na kuuza mbogamboga sokoni ili mwanawe apate chakula na mahitaji mengine. Kelvin alikuwa...

SHAMIRA sehemu ya 40&41 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 40&41
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Aisha akasema sasa sikia tuna kazi naye .si kafanya uo usenge kwaiyo zile laki 9 zako ulizomtunza kaona sisi mafala .sasa tutamuonesha kumamamke zake twende...

*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5 Post Mpya
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5
@majario LIVE

Mpyaaa ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ ย SEHEMU YA 1 ย ย  ย ย  ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Em kwanza nicheke mieeeย  , hivi mnakumbuka zile issue za yule baba wa kule sijuiย  wapi wapiiย  mi hata sijui bwana anatokea wapiii yulee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Mr. Marvel akaendelea โ€œNiliendelea kufanya kazi na wakati mwingine nilikuwa nambeba Salmon na kwenda naye kazini. Kwa sababu hiyo, nilipoteza baadhi ya kazi kwa sababu haikuruhusiwa kufanya kazi na mtoto....

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yake๐Ÿ’”. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU โ€ƒ Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU โ€ƒ Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest