ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya pili Moyo wa Amara ulianza kupiga kwa kasi. Hakuelewa walichokuwa wakizungumza.
Aliposogea karibu na njiya yake ndogo iliyo kuwa inelekea nyumbani, aliamua kupita kwenye kichaka kidogo nyuma ya mitimi kubwa iliaweze kuwaepuka wawindaji. Lakini alipokuwa akitembea, alisikia sauti laini ya kilio ikitoka nyuma ya mtimu kubwa wa miyanze. Amara alisimama. Aliweka sufuria yake chini kwa upole na kusikiliza kwa makini.
Msaada, nisaidie! Aliskia sauti dhaifu. Amara aliogopa. Miguu yake ilikuwa ikitetemeka na mapigo ya moyo ya kienda kasi. Alitazama huku na huku ili kuona kama kuna mtu, lakini hakukua na mtu yoyote. Kisha tarakibu, akasogea karibu miyanze na alichokiona kilimshutua. alimwona mtu akiwa amefungwa kwenye mti mkubwa kwa kamba, Kali alikuwa mrembo mwenye nyele ndefu zilizolowa na ngozi inayongara. Macho yake alijawa na machozi na alionekana mnyonge sana na mchovu. Tumbo lilikuwa kubwa sana na ilionekana wazi kwamba alikuwa mjamzito.
Amara alitazama chini na kuona kitu ambacho kilimfanya kuganda. Baada ya kuona miguu, mwanamke huyu alikuwa na mkia mrefu wa feather na ulikuwa umefungwa kwa kamba na kumfanya ashindiwe kusonga. Amara alifungua kinywa chake lakini hakune neno lililotoka. Alikuwa akimuangalia nguvu mjamzito kwenye kichaka karibu na mto wa kijiji. Nguva akainua mkono wake kwa unyonge kuelekea kwa Amara. Machozi ya kimtoka. Tafadhali nisaidie, wataniua mimi na mtoto wangu. Nguva akaomba kwa sauti nyororo na yenye kutetemeka. Amara alirudi nyuma kwa hofu. Mwili wake ulikuwa unatetemeka na kutaka kukimbia. Lakini macho ya uzuni ya nguva yalikuwa ya namuita. Amara hakuwai kumwona nguva na aliwai kusikia hadithi kijijini kuhusu nguva wanaochukua roho za watu na jinsia walivokuwa hatari. Lakini nguva huyu mbele yake hakuonekana kuwa hatari. Alionekana mnyonge na mwenye hofu kama mwanamke aliehitaji msaada.
Amara alitazama huku nahuku haraka na hakuona mtu. Alipiga atuwa kumusogelea nguva yule mapigo ya moyo ya kienda kasi. Tafadhali nisaidie, watarudi kuni chukua, sitaki kufa. Mermaid akasema tena. Mkono aliinua kwa shida kuelekea kwa Amara. Amara akainama chini taratibu na kunong`ona. Wewe ni nguva kweli. Mermaid alitikisa kichwa machozi ya kimtoka. Ndiyo, na nina mimba. Walinikamata nilipokuja msituni usiku wa manane. Walinifunga hapa ili wanimirudie badae. Tafadhali.
Macho ya Amara yalijawa na huruma. Aliona nguva alikuwa kitetemeka na kulikuwa na michubuko mikononi mwake pale kamba ilipokuwa imefungwa. Gafla Amara alisikia sauti za wanaume wakizungumza karibu. Haraka akageuka na kuona wanasogea karibu na kichaka. Wanakuja. Mermaid alinong`ona. Hofu machoni mwake. Akili ya Amara ilichanganyikiwa. Hakujua la kufanya. Je, amsaidie nguva kutoroka? Je, amwache hapo na kukimbia?
Sauti zikawa wazi zaidi na Amara akawasikia wawindaji wakicheka na kusema tutamchukua kabla watu hawajanza kutoka. Alijua kwamba ikiwa wanakuja sasa wanaweza kumwona amesimama karibu na nguva na wanaweza kumdhuru pia. Alimtazama nguva ambaye bado alikuwa akimsihi huku akitokwa na machozi na woga. Amara haku jua kama atapata ujasiri. Akasogea karibu na kugusa kamba ili ofungwa kwenye mikono ya nguva. Mermaid alitetemeka kwa maumivu. Lakini alimtazama Amara kwa matumaini. Amara alijaribu kufungua kamba lakini ilikuwa imekaza sana.
Please, please, please, nguva akaendelea kusema kwa unyonge. Amara alisikia jasho kwenye paji la uso. Mapigo ya moyo ya kidunda kama ngoma, mikono ikisogea kwa kasi kuifungua kamba. Sauti za wawindaji sasa zilikuwa karibu sana. Hebu tuone kama tunaweza kumchukua. Mmoja wao alisema. Macho ya Amara ya limtoka kwa hofu. Chungu cha maji alichoacha chini kilikuwa bado pale. Na ingekuwa rahisi kwa wawindaji kujua kuna mtu karibu. Amara akamtazama nguva na nguva akamtazama tena.
Wakati huo Amara alijua kwamba maisha yake yangebadilika milele kwa sababu ya kile ambacho alikuwa karibu kufanya. Lakini kabla tu haja fungua fundo la mwisho nyayo za wawindaji zilisimama karibu nao na Amara akajificha haraka. Moyo wa Amara ulikuwa ukipigia kwa kasi kama ngoma. Mikono yake ilikuwa ikitetemeka na jasho lilikuwa likimtiririka mgongoni ingawa asubuhi na mapema bado kulikuwa na baridi. Nguva alikuwa akipumua kwa nguvu. Machozi ya kitiririka mashavuni mwake huku akimtazama Amara kwa woga na maumivu machoni mwake. Alijua wawindaji wanampata hivi karibu ni na anachukuliwa.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi