VYOTE NDANI GONGA94
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 17 "Mama G anatupenda wote pale dukani acha story zako za kutunga." Mia alijilaza kitandani.
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
" Sawa kama hutaki kuamini."
Kwa upande wa Gael, Gian na Gavin wallenda kumtembelea.
*Tumesikia unaumwa na hukwenda ofisini leo," Ni mafua tu kidogo, nimetumia dawa mpaka kesho nitakuwa sawa." Gael alikuwa na huzuni.
"Mbona umepoa hivyo kama unaumwa sana tukupeleke hospital." alisema Gavin.
Hapana kaka nipo sawa, ni moyo wangu tu unanisumbua. Gael aliweka mkono wake mmoja kifuani.
Nitampigia simu doctor Enosh aje haraka kukufanyia vipimo." Gian alitoa simu. Gavin alianza kucheka.
Dogo unazingua, huyu haumwi ni mapenzi
yanamsumbua." alisema Gavin.
"Ni yule mwanamke tena? Kwanini unapoteza muda wako kwa mwanamke mwenye tabia za
ajabu kama Mira? Tayari unajua ukweli kuwa anakudanganya lakini bado umemn'gan'gania sijui amekuroga." aliongea Gian kwa hasira.
Sio Mira, ni Mia anautesa moyo wangu." aliongea Gael kwa huzuni.
"Unampenda kweli au unamtafuta sehemu ya kumsahau Mira?" Gian alimuuliza Gael.
"Nampenda kweli sio utani, nilimpenda zamani tu sema sikuwa naelewa kama nampenda kama
rafiki au nahitaji kuwa nae zaidi ya urafiki."
"Basi mwambie ukweli wa jinsi unavyojisikia juu yake." alisema Gian.
"Amenitolea nje hataki kabisa kusikia hizo
habari." Usikate tamaa, ongea nae tena kwa mara
nyingine huenda akakuelewa, na kabla ya kuwa na Mia hakikisha umeshaachana rasmi na Mira,
la sivyo sitokuruhusu uwe na Mia." aliongea Gian akiwa yupo serious,
Okay hilo sio jambo kubwa, nitajitahidi anielewe,"
"Utaongea nae vizuri lini?" aliuliza Gavin. "Hata sijui ila nitaongea nae."
alitoa simu akampigia Mia.
"Acha kupoteza muda, ngoja nikusaidie." Gavin
"Gavin... mbona anapiga usiku? Kuna nini?" Mia alijiuliza maswali alimua kupokea simu.
Mia njoo haraka sana nyumbani kwa Gael, amezidiwa sana tafadhali naomba ufike hapa
haraka, amekuwa akitaja jina lako tu." "Sawa nitakuja sasa hivi." Mia alivaa haraka
akatoka akakodi tax mpaka nyumbani kwa Gael.
"Gael anaendeleaje?" Mia alimuuliza Gavin na Gian.
"Amepumzika kidogo lakini hali yake sio nzuri
kabisa. alidanganya Gavin.
"Naweza kwenda kumuona?" aliuliza Mia. Ndiyo, ingia tu hapo chumbani kwake. Gian alimuonyesha Mia chumba cha Gael.
Mia aliingia chumbani alimkuta Gael amelala kitandani.
Gael upo sawa?" Mia alimgusa Gael kwenye paji la uso kumpima joto.
"Naumwa Mia... naumwa sana." Gael aliushika mkono wa Mia.
Gael umeanza tena na umesema unaumwa, kama ndo hivyo mimi naondoka." Mia alitoa mkono wake kwenye mikono ya Gael alisimama
aondoke, Gael akamkumbatia kwa nyuma.
"Usiniache Mia, sikufikiria siku moja nitakuwa hivi, nimekutana na watu wengi, wanawake wengi wazuri... lakini hakuna hata mmoja
aliyewahi kunifanya nihisi namna ninavyojihisi
nikiwa karibu na wewe. Upole wako, uaminifu wako, hata jinsi unavyocheka kwa aibu, hayo yote yananifanya nikuone upo tofauti na wanawake wengine."
Nakubali huenda unaniona nipo hivyo lakini mimi sitaki kuwa karibu na wewe, natamani
tuendelee kuwa marafiki lakini siwezi tena, naomba uniachie niondoke. Mia alianza kumsukuma Gael.
Mia sikuachii, huwezi kuondoka saizi muda umeenda sana sitokaa kwa amani ukiondoka,
vipi kama kitu kibaya kikikukuta njiani?" Gael unajua kama unanipa wakati mgumu?"
Macho ya Mia yalianza kulengwa na machozi. "Kivipi?" Gael alimgeuza Mia upande wake.
Vipi kama nikiishia kukupenda watu watanichukuliaje? Sitaki historia ijirudie tena... naogopa sana. Mia alianza kulia.
Shhhh, usilie, sipendi kukuona unalia, unauumiza moyo wangu Mia na nikuhakikishie
tu siwezi kukuacha na nitakuwa upande wako maisha yangu yote." Gael alifuta machozi yaliyoteremka kwenye mashavu ya Mia.
"Muongo na vipi kuhusu Mira?"
Tumeshaongea kuhusu Mir kufupi ni kama tumeshaa wasiwasi Gael alimuuta Mia
Gavin na Gian walichunguli
aliwape ishara weandoke
Full 1000
Whatsp 0784468229
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay...
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwe...
Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school
. They met back in the 1980s and dated for almost nine years before getting married. Coming from different cultural back...
Jackie Shroff has been happily married to Ayesha Shroff since June 5, 1987, and their love story is one of the most real and long-lasting in Bollywood
. Ayesha, who was a former model and appeared in the film Teri Baahon Mein (1984), has always been Jackie’s biggest stre...
MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu!
Mimi ni kijana wa miaka 36, nimeoa na ndoa yangu ina miaka 7 sasa, binafsi sijabahatika kupata mtoto. Kama kawaida huko...
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEFARIKI MIAKA MBILI ILIOPITA AKIUZA MAJI HUKU AMEVALIA NGUO ALIEKUA NAYO SIKU ALIFARIKI Episode 3
Rafiki yangu Angela, Niko teyari kufatana na wewe au kufanya lolote, ili nijue kama mwanangu yuko hai au la, nimechoka ...
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEFARIKI MIAKA MIWELI ILIOPITA AKIUZA MAJI KWA STREET Episode 2
She,, she didn't make it,, Donald confessed to me, Donald, nakuomba kwa jina la yesu, niambie Ninani unaongelea, natuna...
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEKUFA MIAKA MIWILI ILIOPITA SOKONI AKIUZA MAJI Episode 1
Kwa majina naitwa Vivian umri wa miaka 32 niliolewa kwa mchungaji kwa jina Donald na tulikua na mtoto msichana kwa jina ...
Penenka ni Nini? (Brahim Diaz) Historia, Namna ya Kuitumia na Mifano ya Penalti ya Penenka Katika Soka
Penenka ni aina ya mpira wa penalti kwenye soka ambapo mchezaji anapiga mpira kwa utulivu kuelekea katikati ya goli, ma...
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Skip Ad
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
share
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 17 "Mama G anatupenda wote pale dukani acha story zako za kutunga." Mia alijilaza kitandani.
" Sawa kama hutaki kuamini."
Kwa upande wa Gael, Gian na Gavin wallenda kumtembelea.
*Tumesikia unaumwa na hukwenda ofisini leo," Ni mafua tu kidogo, nimetumia dawa mpaka kesho nitakuwa sawa." Gael alikuwa na huzuni.
"Mbona umepoa hivyo kama unaumwa sana tukupeleke hospital." alisema Gavin.
Hapana kaka nipo sawa, ni moyo wangu tu unanisumbua. Gael aliweka mkono wake mmoja kifuani.
Nitampigia simu doctor Enosh aje haraka kukufanyia vipimo." Gian alitoa simu. Gavin alianza kucheka.
Dogo unazingua, huyu haumwi ni mapenzi
yanamsumbua." alisema Gavin.
"Ni yule mwanamke tena? Kwanini unapoteza muda wako kwa mwanamke mwenye tabia za
ajabu kama Mira? Tayari unajua ukweli kuwa anakudanganya lakini bado umemn'gan'gania sijui amekuroga." aliongea...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/between-sisters-and-secret-chapter-17-mama-g-anatupenda-wote-pale-dukani-acha-story-zako-za-kutunga-
#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral
Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn Share on Pinterest
 
Show Text
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi between-sisters-and-secret-chapter
Maoni