Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
05 Feb 2026
305 views
VYOTE NDANI GONGA94
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEFARIKI MIAKA MBILI ILIOPITA AKIUZA MAJI HUKU AMEVALIA NGUO ALIEKUA NAYO SIKU ALIFARIKI Episode 3
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Rafiki yangu Angela, Niko teyari kufatana na wewe au kufanya lolote, ili nijue kama mwanangu yuko hai au la, nimechoka na kimya cha mume wangu,
Sasa umeongea kitu yenye nilikua natamani kuskia, hapo sasa hilo ndio neno, nimekua nikikuonya kuusu mumeo sio mchungaji wa ukweli, bt hukuwai nielewa,
Hapo manena ya Angela yakaongeza machungu moyoni mwangu,
Mune wangu anahusika kwa kifo Cha Pamela?
Ama mwenye niliona sio pamela ni ghost?
Ama mume wangu alidanganya kuusu kifo cha Pamela?
Maswali chungu nzima yalinijia akilini,
Lini tutaenda mahali nilikwambia Vivian,, Angele akaniuliza
Kesho mapema asubui,
THE NEXT DAY MORNING
Kitu sa 7:00am mapema nilikia nimejiandaa teyari kuondoka, nikaskia Donald akiongea,
Akiwa bado analala akasema, sasa unaondoka bila kuniaga sindio? Hivi ndio sasa ndoa yetu inaelekea? Akaniuliza,
Nilimsikiza na vile nilikua na machungu sikumjibu, nilimuangalia tu na nikaondoka,
KWA MAKAAZI YA ANGELA
Shikamoo? karibu sana Vivian rafiki yangu, sikujua utarauka mapema hivo,
Marahaba Angela lazima nirauke,
Tuliingia kwa gari la Angela na tukaondoka, haikuchukua mda mrefu tukafika kwa jumba fulanli hivi Angela akasimamisha gari,
Nyunba yenyewe yote ni rangi nyekundi mpaka na babati,
Tulipokua tunashuka kwa Kari, niliuliza Angela hapa ndio mahali penyewe??
Yaa ni hapa akanijibu Kuna shida??
Hamna shida shida mradi nipate majibu kuusu mtoto wangu Pamela hio tu ndio haja yanngu,
Ok hakuna cha kungoja na kupoteza mda, baba anatusubiri ndani tuingie,
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sik...
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEFARIKI MIAKA MBILI ILIOPITA AKIUZA MAJI HUKU AMEVALIA NGUO ALIEKUA NAYO SIKU ALIFARIKI Episode 3
Rafiki yangu Angela, Niko teyari kufatana na wewe au kufanya lolote, ili nijue kama mwanangu yuko hai au la, nimechoka na kimya cha mume wangu,
Sasa umeongea kitu yenye nilikua natamani kuskia, hapo sasa hilo ndio neno, nimekua nikikuonya kuusu mumeo sio mchungaji wa ukweli, bt hukuwai nielewa,
Hapo manena ya Angela yakaongeza machungu moyoni mwangu,
Mune wangu anahusika kwa kifo Cha Pamela?
Ama mwenye niliona sio pamela ni ghost?
Ama mume wangu alidanganya kuusu kifo cha Pamela?
Maswali chungu nzima yalinijia akilini,
Lini tutaenda mahali nilikwambia Vivian,, Angele akaniuliza
Kesho mapema asubui,
THE NEXT DAY MORNING
Kitu sa 7:00am mapema...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nilikutana-na-binti-yangu-aliefariki-miaka-mbili-iliopita-akiuza-maji-huku-amevalia-nguo-aliekua-nay
Maoni