Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
05 Feb 2026
154 views
VYOTE NDANI GONGA94
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEKUFA MIAKA MIWILI ILIOPITA SOKONI AKIUZA MAJI Episode 1
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Kwa majina naitwa Vivian umri wa miaka 32 niliolewa kwa mchungaji kwa jina Donald na tulikua na mtoto msichana kwa jina Pamela ambaye alifariki badae
Siku moja nikitokea kwenye sherehe ya harusi mji wa mbali nikiwa njiani kurudi nyumbani nilimuona Pamela na tulipoangaliana alikimbia na kupotea,
Jambo ambalo lilinishtua sana nakawa nimechanganyikiwa na maswali ambayo hayana majibu. Niliamua kwenda kwa rafiki yangu anisaidie mawazo,
Hujambo my friend Angela, sijambi rafiki karibu kiti, nimekuja unisaidie mawazo, ehee wazo lipe mwenzsngu?
Nimemuona Pamela mwanangu aliekufa miaka miwili iliopita kwa mecho yangu mawili akiuza maji kwa street,
Angela alicheka, Vivian una uhakika ni Pamela uliona akiuza maji?? yes tena alikua na nguo aliyokua nayo alipoaga haspitalini,
Angela pia akashtuka na kupigwa na butwaa,
Nilipomuona macho zikakutana nikaona machozi ndani ya macho yake, na akakimbia, niliweka nduru nikamuita nikimfata lakina akapotelea,
Angela, hii sasa ni mtihani mkubwa, kitendawili kugumu kutegua, likini isiwe vile nunavyo waza ooh,
Unawaza nini Angela? Nikamuuliza,
Akasema,, mume wako, huenda alihusika na kifo cha Pamela,
Baada ya kuskua hayo maneno niliingia kwa mawazo nikaanza kumbuka yaliotendeka miaka mbili iliopita,
FLASHBACK
Miaka miwili iliopita ilikua siku ya jumaine asubui, nilikua naharaka kwajili ya kwenda kazini, nilipofika inje nilimsikia Pamela akiitana akisema
Mammy mammy tumbo inaniuma, kabla nigeuke kumuangalia Donald alitokea na kunizuia, akasama wewe nenda tu usichelewa kazini mimi nitampeleka hospitalini,
Hapo nikaondoka kwenda kazini bila kujia hio ndio ilikua mara ya mwisho kuona Pamela
Jioni nikiwa kazini nilipokea simu ya mume wangu, akaita beb, lakini sauti yake ilikua ya unyonge coz namjua, na hapo nikajua kuna shida,
Niliingiwa na uoga na wasiwasi,
Akasema she didn't meke it,
Donald who a you taking about? I hope it's not Pamela my dotter you're talking about,
ITAENDELEA...... Ommy khan tanzania
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
NILIKUTANA NA BINTI YANGU ALIEFARIKI MIAKA MBILI ILIOPITA AKIUZA MAJI HUKU AMEVALIA NGUO ALIEKUA NAYO SIKU ALIFARIKI Episode 3
Rafiki yangu Angela, Niko teyari kufatana na wewe au kufanya lolote, ili nijue kama mwanangu yuko hai au la, nimechoka ...
Je wajua filamu ya Deadly Prey ya mwaka 1987 ilitayarishwa na David Trior ambaye alimpa nafasi ndugu yake Ted Prior kucheza uhusika mkuu(main character)
filamu iliyotengenezwa kwa bajeti ya chini sanaa kiasi mwanzo mwisho wa filamu jamaa alikuwa na kipensi tuu vibanda umiz...
Bila ya msimamo ule leo watu wangeshasahau kama Afcon ilichezwa Morocco, bila ya huyu Mwanaume muda huu Morocco wangekuwa wanashangilia Kombe la dhulma.
Bila ya jamaa kutoa vijana wake leo Mutsepe angekiri kuwa Senegal walionewa lakini isingesaidia kitu tayari Morocco Bin...