Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
mama yupo pembeni yangu ananitizama tu me naee namshaanga "kwani imekuaje mpaka nipo hapa kumbukumbh yangu ya mwisho ilikuwa nipo chumbani nalia balaa mama alinikata hilo jicho kali kinoma yaaani hadi nikatizama chini kwa uoga
"Kwahyo wewe mpuuzi ulitaka ufe? Maan umejifungia mlango wewe mjinga maanake tusingevunja mlango ungekufa wewe yaani sasa hvi tungekuwa tunaongea mengine kabisa hapa yaani wewe sijui upoje yaani mhh hapana hivi hizo akili zako ndio ulitaka umuumize na mjukuu wangu si ndio? Wee nilishtuka jamni mimi "nina mimba?" Niliuliza kwa sauti ya wasi wasi mkubwa sana mimi Mungu wangu sijui itakuajee uwii ndio unayo ulitaka usiwe nayo ulivyokipeleka yaan wewe jamani hiyo si hil nyota ya mama yako upo unatembea nayo wewe mjinga wewe hapana mwanangu inabidi ukatakaswe na wee tena umetelekezwa tena siku ya harusi kweli Asmy?" Mama aliongea kwa hisiia kali kweli yaani mpaka machozi yaakaanza kumtoka akanza kulalamika"mimi sijui maisha yangu yamekuwa hivi hadi wanangu wameshindwa kutafuta nyota nyingine wamekuja kuangua kwenye nyota yangu hii mbaya hivi jamani kweli? Kwni hamkuona sehem ya kirithi watu wanarithi hela nyie mnarithi nyota za shida na umasikini mkubwa jamani hii ni nyota ya umasikini mwanangu ujuee, nilimtizama mama sikumjibu maan na mim nilikuwa natokwa na machozi afu nina machungu alikuja daktari
"Hutakiwi kuwa na stress mpenzi utaathiri afya ya mtoto sawa mpenzi, alinipa maelekezo na kusema kwamba nipo sawa saaa naweza kurudi nyumbani ila akilini mwangu nilikuwa na mawazo ya kuuwa nilikuwa nataka hata nitoe hyo mimba siwezi kuzaa mtoto ambae hana baba mimi nilikuwa nafikiria ujinga nilifika nyumbani nikamshirikisha mama yangu. alinikataza na kichambo juu
"Hivi wewe mjinga kwani mimi nilikuuuwa wewe mpuuzi tena weee unabahati sana mwenzako nilifukuzwa hadi nyumbani mpaka unakuwa hujiongezi etty wewe mjinga unakuwa kama vile sio mwanangu ambae nakufahamu, wewe ni mkarimu na mwenye huruma sawa mama yangu usilie wala usihuzunike sawa binti yangu, ila kama unataka kufanya hivyoo nakupa mtihani ukiweza kumuua huyu Hemed nakuruhusu muue huyo mtoto wako humo tumboni nimekuruhusu kabisa bila wasi wasi sawa kipenzi changu wewe muuee tu sawa ukiweza nakuruhusu kuuwa huyo mtoto humo tumboni, ila kam huwezi nakuomba sana usiimuue huyo sawa" alisema mama, kisha akaainuka na kuingia zake ndani kwake, hii ilikuwa ngumu sana kwangu yaani nimuue Hemed hapana pia nilifikiria sana nikaona acha nilee tu mbona mama yangu kaweza kutukuza sisi wote bila shida na hakuna aliemuua nilikubali ila nilikuwa na hasira sana na huyu mwanaume nikasema acha nifocus na mambo yangu ya kazi niendeleze maisha mapenzi niwaachie wenye nayo
Siku, miezi ilipita na kitumbo kilikuwa na miezi minne sasa na nipo nafanya mambo yangu sitaki shida ndogo ndogo huku mama yangu ananipa moyo na mdogo wangu akijaribu kunifurahisha furahisha sana nilikuwa nafata na masharti ya daktari
Hii siku nilikuwa nimekaa zangu officine kwemye duka la dawa la ile hospitali ya Khalid alioniajiri nashangaa namuona Khalid anaingia, zilikuwa zimepita siku nyingi sasa bila kumuona nashangaa kumuona tena mbele ya macho yangu niliiinuka kwa mshangao mkubwa nilitamani nimpige bao ila hata hakusema kitu akanishika mkono akanipeleka parking akaniweka kwenye gari
Itaendelea...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Nina miaka 23, niko chuo mwaka wa tatu. Mwaka jana nilikuja hapa kwa dada yangu baada ya baba yangu kufariki, ambaye alikuwa ananisomesha
. Hivyo nilishindwa kukaa hostel kutokana na changamoto mbalimbali. Basi nikaja hapa kwa dada, ndiyo akaanza kunisaidia ...
mama yupo pembeni yangu ananitizama tu me naee namshaanga "kwani imekuaje mpaka nipo hapa kumbukumbh yangu ya mwisho ilikuwa nipo chumbani nalia balaa mama alinikata hilo jicho kali kinoma yaaani hadi nikatizama chini kwa uoga
"Kwahyo wewe mpuuzi ulitaka ufe? Maan umejifungia mlango wewe mjinga maanake tusingevunja mlango ungekufa wewe yaani sasa hvi tungekuwa tunaongea mengine kabisa hapa yaani wewe sijui upoje yaani mhh hapana hivi hizo akili zako ndio ulitaka umuumize na mjukuu wangu si ndio? Wee nilishtuka jamni mimi "nina mimba?" Niliuliza kwa sauti ya wasi wasi mkubwa sana mimi Mungu wangu sijui itakuajee uwii ndio unayo ulitaka usiwe...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lecturer-nikikupa-hutoninanii-chapter-17-nilikuja-kuzinduka-najiona-nipo-hospitali-tayri